Simba mnajipamba sana ila mpira ni makombe siyo maneno mnajifariji
@harunaymanАй бұрын
Ticket za simba zinauzwa pale ghorofani jengo la simba leo... sold out ncard ila clubuni zipo ambao hawajakwata muwahi kwa walanguzi
@kolosii4351Ай бұрын
Kila kitu duniani leo kilichafanywa kilichafanywa hapo zamani na waliopita. Hata wewe uliiga.
@didierilombe5572Ай бұрын
Simba wana wazee wenye mdomo sana . Na mdomo hauchukuwi kombe bali nivitisho tu kama raisi wa congo drc felix anavyo towa mdomo mwingi kwa kagama na matokeo hakuna.
@johnurio9151Ай бұрын
Ni kwann Simba Ina wazee wengi sana wanaongea kwenye Media kwani kunan,wazee wengi wa Simba ni wazee wa vijiweni
@iddfundikira2817Ай бұрын
We mzee propaganda nyingi za nini twende uwanjani acha kujifariji kwa hizo propaganda tukutane tarehe 8 tu
@errydeo8865Ай бұрын
Hivi hawa wazee,hawajui hii ni 2024!?
@nasseralshaibani6995Ай бұрын
Sasa ikiwa 2024 ndio nini?
@nasseralshaibani6995Ай бұрын
Huwo ndio ujinga uliojaa kwenye vichwa vyenu. People without their past history and culture is like a tree without roots
@errydeo8865Ай бұрын
@@nasseralshaibani6995 now u sound like that very old free that no longer bares ruits! History helps us to progress from where we were not ito go backwards,! These oldies their mindsets are still stuck in 1974 unfortunately! I bet u dont understand my point!!