Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu.
Пікірлер: 39
@mwanajaa-v5xАй бұрын
Masha Allah MUNGU ni mkubwa na mjuzi wa kila kitu katutofautisha na makabila tu, historia ni ya kusisimua kweli, tunamuomba Allah awape nguvu na afya katika kuifikisha dini yake kila sehemu
@AdamShumbuАй бұрын
From Zanzibar Allah awape subra na awalipe malipo mema Aamina
@mhadhara-reloadedАй бұрын
MASHALLAH MASHALLAH MASHALLAH...kaka Rammah
@Iris-p3gАй бұрын
Kazi nzuri hii Allah akuzidishie wema inshallah
@Adm9464Ай бұрын
Sheikh history this is an important history of the Massai and it needs do be written and preserved .
MashaAllah ❤❤❤ great job from team straight path daawah association
@مريمنيجيريا-د5لАй бұрын
Mashallah tabarakallah ❤❤❤❤
@hassanmpemba5747Ай бұрын
Masha Allah Allah akupe umri zaidi ili uzidi kulingania mzee wetu na akupe mwisho mwema
@jimjam-xg7rvАй бұрын
MASHA ALLAH 💚💚💚
@fahimabeid6953Ай бұрын
Masha Allah
@fardoshnassor7847Ай бұрын
Mashaallah Allha 💖💖💖🤲🏾
@MohamedMejaАй бұрын
Mashaallah
@aburaasmedia3682Ай бұрын
MASHA ALLAH. Tumejifunza historia ya kimasaai
@salmanassor8732Ай бұрын
Bismillah mashallah
@MohamedMejaАй бұрын
Masha allah kuwa julishaa wamasai
@rashidadan5072Ай бұрын
ManshaAllah🎉❤
@aliabdi5369Ай бұрын
Mashallah Ustadh
@salmaminja7714Ай бұрын
Mashallah Uctadh nimesubir snaa clip zenu zenye manufaa. Allah awape wepec ktk kazi yenu ngumu. Allah awaongoze na kuwajalia afya na subra kwn ni mambo magumu mnakumbana nayo. Subhanallah.
@zubeirjuma6473Ай бұрын
Maasahallah maasahallah maasahallah
@mohamedabdulkadir2667Ай бұрын
Hakuna shida kwa mwenye kusilimu kuwa na jina la jamii yake, Wallahu Aallam
@adrisshagi1255Ай бұрын
ALLAAHU AKBRA NIME KIMBUKA WAKATI WA MTUME SALALAHU ALEYHI WASIM .. AME KUTANA NA JAMA KUTOKA MBALI AKA ULIZA UNA MUKO NA DINI. AKA I SENA TUMA KITU ZA LUQMAN. RASUL LAAH AKA SEMA UKO POA. MASAI KUMBE WAME TOKANA NA LIQMAN generation
@Sai.Mo69Ай бұрын
Wa KIKUYU ni ONE of the Four ARAB tribes zilizo SHUKA na ku settle in KENYA, pamoja na hawa MASAI kutoka: 1) NABLUS, Palestine, ambao ni Mji kuu wa WaARABU wanao itwa 'Wa SAMARIA'. 2) IRAQ, ambao ni UKOO wa IBRAHIM (na SARAH), na UZAA wake. 3) ALLEPO, Syria na Lebanon. 4) MISR. 5) YEMEN. Wengi wa Wa KIKUYU, Samburu, Borana na Masai, ni kutota YEMEN, NCHI ambapo kuna WaArabu Weusi!.
@salimjuma7785Ай бұрын
Allahu Akbar
@abdullahiahmed-fi8boАй бұрын
48:21 Hiyo jamii mzee anajaribu kuelezea wanaitwa RENDILLE.
@OmarAli-zi2jgАй бұрын
Assalaamu alaikum. Nashauri hizi historia mukusanye ili tupate kitabu cha historia ya kiisilamu kwa ulimi wa Masai. Shukran.
@kassimabdilatif1802Ай бұрын
Tunaambiwa na masheikh kuwa inasemekana Luqman alikuwa ni mtu mweusi. Hatujui hi ni kweli ama sikweli.
@abdirizakali6223Ай бұрын
The Salaf differed over the identity of Luqman; there are two opinions: was he a Prophet or just a righteous servant of Allah without the prophethood The majority favored the latter view, that he was a righteous servant of Allah without being a Prophet. Sufyan Ath-Thawri said, narrating from Al-Ash`ath, from `Ikrimah, from Ibn `Abbas, "Luqman was an Ethiopian slave who was a carpenter. `Abdullah bin Az-Zubayr said, "I said to Jabir bin `Abdullah: `What did you hear about Luqman' He said: `He was short with a flat nose, and came from Nubia."' Yahya bin Sa`id Al-Ansari narrated from Sa`id bin Al-Musayyib that "Luqman was from the black peoples of (southern) Egypt, and had thick lips. Allah gave him wisdom but withheld prophethood from him." Al-`Awza`i said, "`Abdur-Rahman bin Harmalah told me; `A black man came to Sa`id bin Al-Musayyib to ask him a question, and Sa`id bin Al-Musayyib said to him: "Do not be upset because you are black, for among the best of people were three who were black: Bilal, Mahja` the freed slave of `Umar bin Al-Khattab, and Luqman the Wise, who was a black Nubian with thick lips." Ibn Jarir recorded that Khalid Ar-Raba`i said: "Luqman was an Ethiopian slave who was a carpenter. His master said to him, `Slaughter this sheep for us,' so he slaughtered it. His master said: `Bring the best two pieces from it,' so he brought out the tongue and the heart.Then time passed, as much as Allah willed, and his master said: `Slaughter this sheep for us,' so he slaughtered it. His master said, `Bring the worst two morsels from it,' so he brought out the tongue and the heart. His master said to him, `I told you to bring out the best two pieces, and you brought these, then I told you to bring out the worst two pieces, and you brought these!' Luqman said, `There is nothing better than these if they are good, and there is nothing worse than these if they are bad."' Shu`bah narrated from Al-Hakam, from Mujahid, "Luqman was a righteous servant, but he was not a Prophet." Allah's saying: ﴾وَلَقَدْ ءَاتَيْنَا لُقْمَانَ الْحِكْمَةَ﴿ (And indeed We bestowed upon Luqman Al-Hikmah) means, understanding, knowledge and eloquence.
@brightzone.Ай бұрын
Shekhe Ramadhani - Kila leo unaelekezwa kuhusu uungu wa Yesu - Wewe kushindwa kuelewa haimaanishi kuwa Sio sahihi. Rai yangu kwako - Usipate watu kuwa waislamu kwa kudnganya. Waambie watu ukweli ili wafanye maamuzi. Yesu ni mwana wa Mungu. Muhammad alisema kama Mungu angekuwa na mwana basi yeye (Muhammad) angemuabudu mwana - Mbona hiyo ni simple sana kuelewa.
@abuuhafswaАй бұрын
kumbe mpaka leo ww unajuwa yesu ni mungu .
@brightzone.Ай бұрын
@ Sahihi. Wewe hadi leo hujui?
@adrisshagi1255Ай бұрын
Asalamu aleykum. Neno hi. Yaa samburu(. Somali. Ni pua kubwa ama. Buru. Peke. Ni. Kubwa
@aliabdi5369Ай бұрын
Saanbuur= pua kubwa- saan( pua) - ikiandikwa kwa lugha ya kisomali
@aliabdi5369Ай бұрын
Sheikh you have done good job - May Allah ( swt) reward abundantly wewe na Mzee ( a very good oldman ) with great wisdom!!!