17 Yalomkuta Saleh Sadalla

  Рет қаралды 34,377

MzeeBarwani

MzeeBarwani

Күн бұрын

Saleh Sadalla aligombana na Karume kwa sababu ya mwanamke. Karume alimtukana Sasalla kwenye kikao cha baraza la mapinduzi. Karume kataka kumpiga Sadalla na Sadalla akataka kumpiga risasi Karume, hakufaulu. Kwahivyo Sadalla kafungwa na baadae Karume kamuua.

Пікірлер: 20
@rashidsalum722
@rashidsalum722 6 жыл бұрын
Allah akupe pepo ya hali ya juu kabisa shehe Aman Than kiukweli mlipata mateso makubwa sana.
@ussikhamisussi4882
@ussikhamisussi4882 4 жыл бұрын
Allah(SW) akuweke mahali pema peponi amin. Haya mambo hayasemwi na wanaendelea kupotosha ukweli huu kwenye misingi ya elimu.
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu 5 жыл бұрын
Naomba Ruhusa Kuzitumia Hizi Video zako Ndugu yangu, Zitasaidia sana Kusaidia Tanzania Kuona Umuhimu wa Kujali haki.
@salamakhamis7245
@salamakhamis7245 5 жыл бұрын
Watesaji wateswaji wote wameshafika kwa Hakim muadilifu
@farhatfatma12
@farhatfatma12 8 жыл бұрын
sasa kiduchu nimeanza kupata ukweli wa mambo yalivyokua wakati wa utawala wa serikali ya kwanza ya mapinduzi. inaonekana tulivyosomeshwa skuli sivyo kabisa. Allah mrehemu mzee huyu kwa kutupa ukweli wa mambo na umuingize kwenye pepo yako tukufu.
@MzeeBarwani
@MzeeBarwani 8 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu anatufundisha: "Wanataka kuizima Nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao, na Mwenyezi Mungu anakataa ila aitimize Nuru yake ijapo kuwa makafiri watachukia." (9:33) Na Abraham Lincoln anatuambia: "Unaweza kudanganya watu kwa muda mchache na baadhi ya watu milele, lakin huwezi kudanganya watu wote milele"
@farhatfatma12
@farhatfatma12 5 жыл бұрын
@@MzeeBarwani , Baada ya miaka 3 najibu message yako. Allah akubarik. Kila nikipata muda humaikiliza marehemu Thani, hakika katufumbua macho.
@jeanmubemba1204
@jeanmubemba1204 3 жыл бұрын
MZEE THAN WAS SO GENIUS
@andrewairo3483
@andrewairo3483 7 жыл бұрын
kumbe wakati wa utawala wa mwanzo yalifanyika mambo mazito
@masoudmasoud8138
@masoudmasoud8138 4 жыл бұрын
Inshallah kher
@salamakhamis7245
@salamakhamis7245 5 жыл бұрын
Ukweli ni huu kuusuta ni uwongo
@donpablo2651
@donpablo2651 4 жыл бұрын
Wamegeuka mbogo wakaanza kulana wenyewe kwa wenyewe dhambi ya damu bana
@AllyHamran
@AllyHamran 6 ай бұрын
Na kizuri walifanyiana ubaya wenyewe kwa wenyewe.
@ibrahimnassor1561
@ibrahimnassor1561 6 жыл бұрын
Kumbe mambo ndivyo yalivyokua hivyo
@hassanmtema194
@hassanmtema194 5 жыл бұрын
wazee wali teseka san jamani
@seifcrony2435
@seifcrony2435 3 жыл бұрын
Yule baharia alikuwa mshenzi sana
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 9 ай бұрын
✌️👊🙏.
@alhamdulillahalhamdulillah7529
@alhamdulillahalhamdulillah7529 2 жыл бұрын
Eti tunamuondoa muarabu madhalim wakubwa washirazi wangapi muliwaangamiza
@SaSa-n2t1w
@SaSa-n2t1w Жыл бұрын
Unamutoleya rais bastola. ? Unafikikiya nn. ? Kisa kuma za Kizanji za wote haya limekukuta majuto mjukuu yote hii elimu Dunia angekuwa nayo yasingemukuta Karume hajasoma harafu unashindana naye
@donpablo2651
@donpablo2651 4 жыл бұрын
Wamegeuka mbogo wakaanza kulana wenyewe kwa wenyewe dhambi ya damu bana
18 Kisa cha Hanga 1
9:45
MzeeBarwani
Рет қаралды 28 М.
20 Jaha Ubwa
10:41
MzeeBarwani
Рет қаралды 25 М.
когда не обедаешь в школе // EVA mash
00:51
EVA mash
Рет қаралды 3,9 МЛН
🍉😋 #shorts
00:24
Денис Кукояка
Рет қаралды 3,7 МЛН
小路飞嫁祸姐姐搞破坏 #路飞#海贼王
00:45
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 17 МЛН
16 Kutoka Gerezani 1967
13:15
MzeeBarwani
Рет қаралды 27 М.
16. Amani Thani: Kisa cha Hanga
24:11
Hilmi Hilal 259
Рет қаралды 5 М.
12  Twala Kanielezea Jela
12:10
MzeeBarwani
Рет қаралды 22 М.
PITIO LA KITABU: Maisha Yangu cha Khamis Abdullah Ameir
1:10:58
Gumzo la Ghassani
Рет қаралды 10 М.
11 Twala Yuko Jela
12:37
MzeeBarwani
Рет қаралды 26 М.
Tafsir Quran And Other Issues Bye Sheikh Omar Bun Jeng
1:17:12
@Yahya Fatty
Рет қаралды 9 М.
когда не обедаешь в школе // EVA mash
00:51
EVA mash
Рет қаралды 3,9 МЛН