Рет қаралды 21,566
Mdungi Usi, Jaha Ubwa, Jimi Ringo, Khamis Masoud na Nadhifu wamechukuliwa kutoka gereza ya Langini. Askari wakamuambia Aman Thni na wenziwe kwamba hao wote wameuliwa.
Aman anasema: "Iko siku lazima wananchi wa Zanzibar iwatake serikali ieleze vifo vya watu hawa."