Nafuatilia darasa la mzee huyu, alitakiwa apewe tuzo
@charlesbibombe23014 ай бұрын
Matatizo Kama hayo kwenye jamii huisha kwa kufanya maridhiano na kuombana msamaha. Viongozi wenu wajiandae kwa Hilo.
@HassaniMzee3 ай бұрын
Wengi waliotendewa uovu huo wameshatangulia mbele ya haki msamaha aombwe nani
@lenniefei6710Ай бұрын
Haya ni Mungu pekee atahukumu, maridhiano hayawezekani !
@charlesbibombe23014 ай бұрын
Hongera Sana mzee kwa kuongea unachokikumbuka. Hakika Maovu hutendeka gizani, lakini mwisho hujulikana kwenye Nuru
@charlesbibombe23014 ай бұрын
Kuna haha ya utawala Zanzibar kuwaomba radhi wahanga wa mateso. Huyo mzee anakumbuka kila kitu, na hii Ni imeandikwa
@hassansugha59354 ай бұрын
Yaani ukisikilza kma sio zanzibar hii duugh
@hassansugha59354 ай бұрын
Naziftitilia hz clps za mapinduzi ya Zanzibar Dah kumbe tulidanganywa sana
@abdallasheha41735 ай бұрын
Ndio mpaka Leo wanasema uwongo ndani ya mskiti
@user133755 ай бұрын
Pua refu ,mwarab ww
@MuzneOthman-l7i5 ай бұрын
UNAPOSEMA WAARABU WAMEKUJA MIAKA ZAIDI YA ELFU . WALIPOKUJA WALIKUTA HII UNGUJA HAMNA MTU. KISIWA KITUPU AU WALIKUTA WATU. UNAPOSEMA WAAFRIKA WA KIBANTU SIO WAARIKA WA WAKATI HUO UNAMAANA GANI. UNALIHASIMISHA VIPI KUKU NA YAI. WACHA UNAFIKI
@NassorOmarDadi2 ай бұрын
We mtwana unasemaje ww
@MuzneOthman-l7i5 ай бұрын
hana lolote mnafiki huyu. tunamjua mtwana mkubwa kusema hayo na mengine na huo umri anaosema ni muongo. aje nimuoneshe kipande/kibali cha kupatachakula 1918 cha baba yangu kipo. mwafrika anapata chakula dona ratili 3,sukari ratili 1. mchele ratili 2 kwa mwezi , waarabu hakuna kitu kama chakula na kidogo afadhali uwe mngazija.
@mwanaidialiame3186 ай бұрын
Subhanallah 😢😢
@AllyHamran6 ай бұрын
Nchiii kisha isidamirike.
@AllyHamran6 ай бұрын
Na kizuri walifanyiana ubaya wenyewe kwa wenyewe.
@AllyHamran6 ай бұрын
Genge la tupendane lilokuwa miembeni lililokuwa lilokuwa likizaminiwa na Karume na chama chake cha ASP ndio walofanza hale.
@AllyHamran6 ай бұрын
Diria aliishia wapi na vpi?
@AllyHamran6 ай бұрын
Mungu akulaze pema mzee wetu
@alialamoudi97296 ай бұрын
Baada ya kupata uhuru kulikuwa NA serekali ya halali ilichaguliwa NA wazanzibari
@alialamoudi97297 ай бұрын
Huyo mzee ni mzanzibari kuhusu waarbu ni tarahe miyaka mia tisa 900 iliyo pita wakazaliyana humo humo zanzibari NA kuona kuhusu oman NA zanzibari ilishagawanyka toka kitambo zanzibari peke yake NA oman peke yake zanzibari ikawa chini ya ukoloni ya ungereza pamoja NA tanganika nchi mbili hizo zilipata uhuru tanganika NA zanzibar kutoka kwa mwengerza baada ya uhuru wa zanzibari ilifanwa uchaguzi NA wazanzibari wenyewe kwa hiyari yao matokeo kundi la wazanzibari wenye asili ya waarabu ilishinda hao ni wazaliwa pemba ni wanainchi wakapendwa ile mbaya NA wazanzibari kwa uwema wao uadilifu uaminifu wao sasa ubaya gani kuwa wanaasili ya kiyarabu raisi wa malaziya alikuwa mwarabu raisi wa amerka alikua mkenya yani zanzibari elikua dola peke yake ina kiti katika umoja wa mataifa NA elikua NA pasport NA mabalozi duniani NA klikua NA amani hana thulma uhakika ni kwamba vibaraka kutoka zanzibari ndio wameharibu nchi kwa msaada ya ungereza NA tanganika nchi ikavamiwa usiku wa manane NA majeshi kutoka bara NA kiongozi wao alikuwa jhon okeli wakati siku ile karume alikuwa dar eslaam kwa nyerere wakingojea matokeo ya uvamizi inayo sikitisha ni kwamba walivyo uliwa watu wasio NA hatia raia wa kawaida waliwatoa manyumbani usiku NA kuwapanga fuleni NA wote walipigwa raisi bila huruma watoto wadogo NA wazee NA wanawake NA wanaume wakawapanga fuleni NA wote walipigwa raisi NA serekali ya zanzibari ikapotea ikaja utawala wa namna nyingine au ukoloni mpya wakaita mapinduzi NA tena matakatifu itakuaje kuwaua waslam mwenzio NA kiuta mapinduzi matakatifu ajabu sana
@Worldunite7 ай бұрын
Oyaaa, waarabu zanzibar SIO KWAO BALI WALIKUJA ZNZ NA PEMBA, waliwakuta WABANTU WAAFRIKA WEUSI AMBAO NI WAZAWA
@AllySibila7 ай бұрын
Me naona uzanzibar ulikua mbele tu lakin kikubwa tatzo ilikua ni uislam sababu hta kafiri nyelele kwenye moja ya hutuba alisema uzanzibar na uislamu. Pia Kafiri William lukuvi moja ya clip aliwah kusema uislam Zanzibar ni tishio kwa hyo ni dhulma juu ya uislam
@AbdallaMwagora-sm1rj7 ай бұрын
Mm ni mtanganyika lkn sifurahii mateso waliopitia wazanzibari.
@MohdIkra-d7s7 ай бұрын
Wewe sio mtanganyika t wewe ni binaadamu mwenye kuujua utu
@King_Of_Everything8 ай бұрын
👍👊✌️.
@King_Of_Everything8 ай бұрын
✌️👊👍.
@salumhassanallymkurdistan70068 ай бұрын
HISTORIA YA UKWELI KABISA WALA HAONA CHENGA
@King_Of_Everything8 ай бұрын
👍✌️👊.
@King_Of_Everything8 ай бұрын
✌️👊👍。
@King_Of_Everything8 ай бұрын
👊✌️👍。
@King_Of_Everything8 ай бұрын
✌️👊👍.
@King_Of_Everything8 ай бұрын
👊✌️👍.
@King_Of_Everything8 ай бұрын
✌️👊👍.
@King_Of_Everything8 ай бұрын
✌️👍
@AlawyAlawy-r1i9 ай бұрын
Heee lazima tujue kwa nn wazanzibar watiwe jela ya dodoma
@EshaHamd-ed9yv9 ай бұрын
Wewe mshenzi wacha kumzuilia Marehemu katika Mambo haya je kama ni baba yako ungalifurahia mpaka leo bado unao uchungu na maiti lol umezidi