26 Haki za Binadamu
7:58
8 жыл бұрын
25 Ahmed Diria 2
9:44
8 жыл бұрын
24 Ahmed Diria 1
11:41
8 жыл бұрын
23 Rashid Abdalla Mamba
3:28
8 жыл бұрын
22 Maovu ya Mapinduzi
12:26
8 жыл бұрын
21 Haki Lazima Ipatikane
13:11
8 жыл бұрын
19 Kisa cha Hanga 2
14:10
8 жыл бұрын
20 Jaha Ubwa
10:41
8 жыл бұрын
18 Kisa cha Hanga 1
9:45
8 жыл бұрын
17 Yalomkuta Saleh Sadalla
16:08
8 жыл бұрын
16 Kutoka Gerezani 1967
13:15
8 жыл бұрын
15 Langoni na Kilonzi
12:54
8 жыл бұрын
14  Kwa BaMkwe Tena
8:01
8 жыл бұрын
13  Twala Kakimbia Jela
9:20
8 жыл бұрын
11 Twala Yuko Jela
12:37
8 жыл бұрын
12  Twala Kanielezea Jela
12:10
8 жыл бұрын
10  Jela 1969
10:05
8 жыл бұрын
8  Athabu kwa Mandera
14:56
8 жыл бұрын
7  Siku ya Kwanza kwa Bamkwe
10:28
8 жыл бұрын
9  Kutoka kwa Mandera Kurudi Jela
11:16
6  Kurudishwa Zanzibar
7:12
8 жыл бұрын
5  Nimekamatwa Dar Es Salaam
13:13
8 жыл бұрын
4  Chakula na Magonjwa Langoni
12:12
8 жыл бұрын
1  Mwaka wa Mwanzo Jela
11:42
8 жыл бұрын
2  Kufungwa Miaka Kumi
11:16
8 жыл бұрын
3  Jela ya Langoni
9:47
8 жыл бұрын
13. Mapinduzi Zanzibar
13:04
8 жыл бұрын
12. Serikali ya Madaraka Mpaka Uhuru
11:42
11.  Mauwaji ya June 1961, Zanzibar
9:43
Пікірлер
@ahmedgulam2194
@ahmedgulam2194 3 күн бұрын
Mmh
@ommymsangi9182
@ommymsangi9182 20 күн бұрын
Serikali ya mapinduzi ilikuwa ya kinyama sana.
@masoudmasoud8138
@masoudmasoud8138 Ай бұрын
HALAFUU WEE MWENZANGU UNAYAKUBALI MAPINDUZI DAHHH
@MusabashiruMusa
@MusabashiruMusa Ай бұрын
Daah
@mbwanarashidi1774
@mbwanarashidi1774 Ай бұрын
Huyu hanga yuko wapi sasa na historia yake ikoje
@AmraniRamadhani
@AmraniRamadhani 2 ай бұрын
ALLAH AKUREHEMU AMANI THANI, KWA KUSEMA UKWELI
@LovelyBubbleTea-vz4ol
@LovelyBubbleTea-vz4ol 2 ай бұрын
Makame fidia ana hostoria mbaya sana
@LovelyBubbleTea-vz4ol
@LovelyBubbleTea-vz4ol 2 ай бұрын
YOTE NIKWELI YAYQ ANAYO SEMA
@charlesbibombe2301
@charlesbibombe2301 3 ай бұрын
Duuh, tumedanganywa Sana kuhusu mapinduzi ya Zanzibar. Nipo bara natetemeka mzee anavosimulia haya
@charlesbibombe2301
@charlesbibombe2301 4 ай бұрын
Sawa, lakini wangepelekwa mahakamani na kesi ikasikilizwa kwa haki. Hakika hiyo Ni dhuluma mbaya waliyofanyiwa
@masoudmasoud8138
@masoudmasoud8138 Ай бұрын
mahkama ipi
@LovelyBubbleTea-vz4ol
@LovelyBubbleTea-vz4ol 4 ай бұрын
Kumkubali sio kumkubari
@LovelyBubbleTea-vz4ol
@LovelyBubbleTea-vz4ol 4 ай бұрын
Wewe mbara sio wakoroni atakiswahilli chako kinaonesha
@LovelyBubbleTea-vz4ol
@LovelyBubbleTea-vz4ol 4 ай бұрын
Huy sio kibaraka alikua kiongozi
@LovelyBubbleTea-vz4ol
@LovelyBubbleTea-vz4ol 4 ай бұрын
Wewe mbara ?
@LovelyBubbleTea-vz4ol
@LovelyBubbleTea-vz4ol 4 ай бұрын
Huna akili wewe mlevi
@charlesbibombe2301
@charlesbibombe2301 4 ай бұрын
Nafuatilia darasa la mzee huyu, alitakiwa apewe tuzo
@charlesbibombe2301
@charlesbibombe2301 4 ай бұрын
Matatizo Kama hayo kwenye jamii huisha kwa kufanya maridhiano na kuombana msamaha. Viongozi wenu wajiandae kwa Hilo.
@HassaniMzee
@HassaniMzee 3 ай бұрын
Wengi waliotendewa uovu huo wameshatangulia mbele ya haki msamaha aombwe nani
@lenniefei6710
@lenniefei6710 Ай бұрын
Haya ni Mungu pekee atahukumu, maridhiano hayawezekani !
@charlesbibombe2301
@charlesbibombe2301 4 ай бұрын
Hongera Sana mzee kwa kuongea unachokikumbuka. Hakika Maovu hutendeka gizani, lakini mwisho hujulikana kwenye Nuru
@charlesbibombe2301
@charlesbibombe2301 4 ай бұрын
Kuna haha ya utawala Zanzibar kuwaomba radhi wahanga wa mateso. Huyo mzee anakumbuka kila kitu, na hii Ni imeandikwa
@hassansugha5935
@hassansugha5935 4 ай бұрын
Yaani ukisikilza kma sio zanzibar hii duugh
@hassansugha5935
@hassansugha5935 4 ай бұрын
Naziftitilia hz clps za mapinduzi ya Zanzibar Dah kumbe tulidanganywa sana
@abdallasheha4173
@abdallasheha4173 5 ай бұрын
Ndio mpaka Leo wanasema uwongo ndani ya mskiti
@user13375
@user13375 5 ай бұрын
Pua refu ,mwarab ww
@MuzneOthman-l7i
@MuzneOthman-l7i 5 ай бұрын
UNAPOSEMA WAARABU WAMEKUJA MIAKA ZAIDI YA ELFU . WALIPOKUJA WALIKUTA HII UNGUJA HAMNA MTU. KISIWA KITUPU AU WALIKUTA WATU. UNAPOSEMA WAAFRIKA WA KIBANTU SIO WAARIKA WA WAKATI HUO UNAMAANA GANI. UNALIHASIMISHA VIPI KUKU NA YAI. WACHA UNAFIKI
@NassorOmarDadi
@NassorOmarDadi 2 ай бұрын
We mtwana unasemaje ww
@MuzneOthman-l7i
@MuzneOthman-l7i 5 ай бұрын
hana lolote mnafiki huyu. tunamjua mtwana mkubwa kusema hayo na mengine na huo umri anaosema ni muongo. aje nimuoneshe kipande/kibali cha kupatachakula 1918 cha baba yangu kipo. mwafrika anapata chakula dona ratili 3,sukari ratili 1. mchele ratili 2 kwa mwezi , waarabu hakuna kitu kama chakula na kidogo afadhali uwe mngazija.
@mwanaidialiame318
@mwanaidialiame318 6 ай бұрын
Subhanallah 😢😢
@AllyHamran
@AllyHamran 6 ай бұрын
Nchiii kisha isidamirike.
@AllyHamran
@AllyHamran 6 ай бұрын
Na kizuri walifanyiana ubaya wenyewe kwa wenyewe.
@AllyHamran
@AllyHamran 6 ай бұрын
Genge la tupendane lilokuwa miembeni lililokuwa lilokuwa likizaminiwa na Karume na chama chake cha ASP ndio walofanza hale.
@AllyHamran
@AllyHamran 6 ай бұрын
Diria aliishia wapi na vpi?
@AllyHamran
@AllyHamran 6 ай бұрын
Mungu akulaze pema mzee wetu
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 6 ай бұрын
Baada ya kupata uhuru kulikuwa NA serekali ya halali ilichaguliwa NA wazanzibari
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 7 ай бұрын
Huyo mzee ni mzanzibari kuhusu waarbu ni tarahe miyaka mia tisa 900 iliyo pita wakazaliyana humo humo zanzibari NA kuona kuhusu oman NA zanzibari ilishagawanyka toka kitambo zanzibari peke yake NA oman peke yake zanzibari ikawa chini ya ukoloni ya ungereza pamoja NA tanganika nchi mbili hizo zilipata uhuru tanganika NA zanzibar kutoka kwa mwengerza baada ya uhuru wa zanzibari ilifanwa uchaguzi NA wazanzibari wenyewe kwa hiyari yao matokeo kundi la wazanzibari wenye asili ya waarabu ilishinda hao ni wazaliwa pemba ni wanainchi wakapendwa ile mbaya NA wazanzibari kwa uwema wao uadilifu uaminifu wao sasa ubaya gani kuwa wanaasili ya kiyarabu raisi wa malaziya alikuwa mwarabu raisi wa amerka alikua mkenya yani zanzibari elikua dola peke yake ina kiti katika umoja wa mataifa NA elikua NA pasport NA mabalozi duniani NA klikua NA amani hana thulma uhakika ni kwamba vibaraka kutoka zanzibari ndio wameharibu nchi kwa msaada ya ungereza NA tanganika nchi ikavamiwa usiku wa manane NA majeshi kutoka bara NA kiongozi wao alikuwa jhon okeli wakati siku ile karume alikuwa dar eslaam kwa nyerere wakingojea matokeo ya uvamizi inayo sikitisha ni kwamba walivyo uliwa watu wasio NA hatia raia wa kawaida waliwatoa manyumbani usiku NA kuwapanga fuleni NA wote walipigwa raisi bila huruma watoto wadogo NA wazee NA wanawake NA wanaume wakawapanga fuleni NA wote walipigwa raisi NA serekali ya zanzibari ikapotea ikaja utawala wa namna nyingine au ukoloni mpya wakaita mapinduzi NA tena matakatifu itakuaje kuwaua waslam mwenzio NA kiuta mapinduzi matakatifu ajabu sana
@Worldunite
@Worldunite 7 ай бұрын
Oyaaa, waarabu zanzibar SIO KWAO BALI WALIKUJA ZNZ NA PEMBA, waliwakuta WABANTU WAAFRIKA WEUSI AMBAO NI WAZAWA
@AllySibila
@AllySibila 7 ай бұрын
Me naona uzanzibar ulikua mbele tu lakin kikubwa tatzo ilikua ni uislam sababu hta kafiri nyelele kwenye moja ya hutuba alisema uzanzibar na uislamu. Pia Kafiri William lukuvi moja ya clip aliwah kusema uislam Zanzibar ni tishio kwa hyo ni dhulma juu ya uislam
@AbdallaMwagora-sm1rj
@AbdallaMwagora-sm1rj 7 ай бұрын
Mm ni mtanganyika lkn sifurahii mateso waliopitia wazanzibari.
@MohdIkra-d7s
@MohdIkra-d7s 7 ай бұрын
Wewe sio mtanganyika t wewe ni binaadamu mwenye kuujua utu
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 8 ай бұрын
👍👊✌️.
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 8 ай бұрын
✌️👊👍.
@salumhassanallymkurdistan7006
@salumhassanallymkurdistan7006 8 ай бұрын
HISTORIA YA UKWELI KABISA WALA HAONA CHENGA
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 8 ай бұрын
👍✌️👊.
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 8 ай бұрын
✌️👊👍。
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 8 ай бұрын
👊✌️👍。
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 8 ай бұрын
✌️👊👍.
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 8 ай бұрын
👊✌️👍.
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 8 ай бұрын
✌️👊👍.
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 8 ай бұрын
✌️👍
@AlawyAlawy-r1i
@AlawyAlawy-r1i 9 ай бұрын
Heee lazima tujue kwa nn wazanzibar watiwe jela ya dodoma
@EshaHamd-ed9yv
@EshaHamd-ed9yv 9 ай бұрын
Wewe mshenzi wacha kumzuilia Marehemu katika Mambo haya je kama ni baba yako ungalifurahia mpaka leo bado unao uchungu na maiti lol umezidi
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 9 ай бұрын
✌️👊🙏.
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 9 ай бұрын
👊✌👍.