Februari 1967 Aman Thani na wafungwa wa siasa wameletwa kutoka Langoni kuletwa gereza la Kilimani. Karume na memba wa baraza la mapinduzi wamekuja jela kuwafungua baada ya kufungwa miaka mitatu.
Пікірлер: 12
@hassanussi17478 жыл бұрын
Ahsante sana mzee wetu kwa kutupa historic, Allah atupe kila la kheri.
@ussikhamisussi48826 жыл бұрын
Hayasemwi haya, yanafichwa kwenye historia zetu.
@asiarajab52238 жыл бұрын
mwenyez mungu ape wepesi uko alipo ishaallh
@asutfaile26478 жыл бұрын
subhan Allah, nimeguzwa sana.
@gresmorutatinisibwa72103 жыл бұрын
Kusema Ukweli leo nimejua Mengi Sana Ambayo Yapo Sirini. Aisee Nimeumia Sana
@blacknature36914 жыл бұрын
😢 Mbona mimi ndo naiona hii Leo? Duh nimechelewea wapi hata sijuwi
@abdallahnkrumah62372 жыл бұрын
Nitoe Pole kwa wote waliopita kwenye Madhila hayo. Kwa histori za Mzee Thani Ni zaidi ya yaliofanywa na Adolf Hitler
@aliymaulid89414 жыл бұрын
kilozi aliletwa na Allah kwa rehma zake kutoka bara ndo maana udugu ckufanana bali ni kufaana
@ahmedissa78824 жыл бұрын
Huyu mandera katesa watu wingi sana
@fakiaabass58937 жыл бұрын
Mzee umelegea kitu juu ya mstari
@masudiselemani7507 жыл бұрын
azam tv
@abdallahnkrumah62372 жыл бұрын
Nitoe Pole kwa wote waliopita kwenye Madhila hayo. Kwa histori za Mzee Thani Ni zaidi ya yaliofanywa na Adolf Hitler