Wanajifanya wanajadili ili tuone kama wanafanya kazi kubwa kumbe ni danganya toto hakuna mkazo wowote
@GabrielSky643 ай бұрын
Mpina oyeeeeeh
@deniccgabriel61533 ай бұрын
IPO siku na sisitutawakimbiza hapo bungeni mmeona wenzenu Kenya walivyo fanya nyie tuchezeeni
@evansdecaprio81963 ай бұрын
Ukitaka kujua bunge letu Lina vilaza wengi hapa hutasikia meza kupigwa maana hakuna wanachokielewa zaidi ya kutoa macho tu
@sylivanusbernard33253 ай бұрын
Chief Umenifurahisha Sana japo nina Imani saana na kile ulichokisema
@gallusmbaga55223 ай бұрын
Kwani kupiga makofi ni lazima hoja iwe nzuri, si Hata utumbo watu wanapiga makofi.
@julietngassa23533 ай бұрын
😂😂😂
@josephmahando4933 ай бұрын
Yani huyo mwanasheria mkuu wa serikali, ndo simwelewagi kabisa, nadhani ni vyeo vya kupeana. Spika uko vizuri kabisa ila udhaifu wako ni pale unapo gundua tatizo, unashindwa kutoa maamuzi ya uwajibishwaji kwa kosa uliloligundua.
@ErnestLutubija-wp5tq3 ай бұрын
kwani kunaubaya gani bungeni kikitumika Kiswahili Tu kama lugha ya taifa maana kuchanganya lugha hivii mh
@mrimaniyamtu3 ай бұрын
Wanatuzonga tu
@paulmteki81963 ай бұрын
Hivi shule mmeenda nyinyi tu serikali tunaomba Bashe urudishe ela yetu ya zidio la sukari tuliyonunua 6000 kwa kilo sisi wananchi. Na Mpina harudi bungeni ameonewa
@AndrewShiratu3 ай бұрын
Tunaomba mpina mmuombe msamaha.maana hajawakosea bali mmemuonea tu
@jimonmwakalebela94703 ай бұрын
Kosa la mpina liko wapi
@Teddy-z4i3 ай бұрын
Hapo sasa
@leonardjohnson20583 ай бұрын
Ni kuja kuwaambia wananchi
@JaphetJairos-n4l3 ай бұрын
Kama ni ivo mpina luhaga alikuwa sahihi sana
@samwelshepa84433 ай бұрын
Hapa ninachoona wanajaribu kuweka viraka vya kuendeleza kuficha madudu ambayo yameshatokea. Mimi ningeshauri serikali wangekuwa wanakubali kukosolewa wanapoona wamekosa wakomba msamaha badala ya kufukuza nje ya Bunge watu wanowkosoa. Yaani ndio wanakumbuka kufanya maekebisho sasa wakati walishaovertake procedure!!!
@majidimussa86783 ай бұрын
mpina💪💪💪
@Dfamilysingers3 ай бұрын
Ivi kwanini kistumike kiswahili kwenye kuandika vitu ya msingi kama ivyo da kweli mkoloni katuloga
@AnethRevocatus3 ай бұрын
kweli kabisa
@AllyMaya-yj3xd3 ай бұрын
Nenda shule
@kesterkanyala77183 ай бұрын
NI SAHIHI KABISA ...WANAONA WAMESOMA KULIKO SISI
@haidhabushiri95583 ай бұрын
Ni upumbavu mtupu
@illomowerner76903 ай бұрын
Hivi huyu Bashe hawezi KUONGEA kiswahili mahiri mpaka aongee kiingereza? Watanzania wote wanaujua kiingereza? Kama hawezi kuongea lugha yetu basi aachishwe, lakini pia Kwa nini bajeti ziwasilishwe kwa kiingereza....? Kwa nini zisiandaliwe mbili? Ya kiswahili na kiingereza for international matters and recognition?.
@mikemutabuzi36653 ай бұрын
Ni bunge linazima sauti? ama ndo hii channel? mpina jitayarishe kushtaki bunge lote wakulipe mahela😅😅😅😅😅
@fadhilmbulugwa73223 ай бұрын
Mwanasheria mkuu wa serikal mbona anajibu kwa kubahatisha
@Nedjadist3 ай бұрын
Rubbish. Watu wazima badala ya kuzungumzia lini tunaondoa umaskini wa kutisha Tanzania....
@jumamayenga74493 ай бұрын
Ccm nnyie ni mmetuzoea twende kazi
@drp37213 ай бұрын
Mh. Spika unapata kazi ya ziada, kazi ambayo Mwanasheria mkuu angekwisha kufanya.
@octiminja52603 ай бұрын
Kama vile ulikuwepo
@feiswalsalim21172 ай бұрын
mdio maana badodo niko hapoa nigekuwa nikekuja huko Tz nymbaa nagojaa maombi kuwepo kwa kazi sababu compuni yetu ya sukari hawajanibu juu ilee faida wanaypleta kwetu 500000 milioni hamsini kwa mwaka sip sahiho
@SelemanMhana-ol7tk3 ай бұрын
Mbona wabunge kama mmepoa sana nahisi mmeanza kumkumbuka Mh.Mpina alikuwa yuko sahihi kufuatilia mambo ya kitaifa kwa hapo Mpina angelipika na taarifa (Mpina-Think tank ya Taifa)
@MonicaBeni3 ай бұрын
Me sijaelewa kwani ili ni Bunge la Ulaya au Tanzania? Sasa kizungu kingi cha nn ongeeni Kiswahili chetu Kwene kilakitu woote tuelewe mbona mkija kutudai Kodi amuongei kingeleza chenu
@jumamaganga50642 ай бұрын
Kumbe tukifikiaga kwenye mambo ya sheria ndio hakunaga taarifa au mm ndio sina D mbili😢😢
@feiswalsalim21172 ай бұрын
mweheshimowa punguza uhabaa hukuwepo kwa sukari bei ya choni mwsnzo tu kabla yakuwepo kwa bei kuwa juu
@kitosio3 ай бұрын
Mh. Spika Ni Hodari Sana Sana. Sasa ivi Bungu letu Lina Manufaa makubwa zaidi.
@paulmushi24283 ай бұрын
Huyo mwanasheria ingekuwa enzi za bunge la kina Tundu Lisu, Zito, Silaa jasho lingemtoka😅
@hassanchiwambo6873 ай бұрын
Wakubali kwanza waziri wa kilimo alivunja sheria na kusema uongo bungeni. Mmembeba tu kwa heshima ya samia.
@sylivanusbernard33253 ай бұрын
Angeomba kustaafu
@jackmabirangacharles93983 ай бұрын
Nakuunga Mkono Akili yake ni sawa na Ruto tu huyu Mwanasheria wetu
@illomowerner76903 ай бұрын
Kweli kabisa, bunge kipofu, bunge kiziwi
@floraflora57172 ай бұрын
😅. Aliye takiwa ajibu maswli akiwa na pingu mikononi mynacheka naye yiyi
@aishaalbalushaishabalush82913 ай бұрын
sasa kizungu cha nini na wakati bunge lakitanzania na kiswahili na wanao sikiliza wengi was watu wavijijini hawajui kiswahili si muongee lugha ya taifa kwenye mambo muhimu kama haya yanayohusu raiya wote waliosoma na wasio soma
@petermasanilo7323 ай бұрын
Kumbee mpina Yuko sahihi hata ninyi mmegundua makosa ya Bashe
@anosiata82423 ай бұрын
Mbona mnazimia spika maiki vipi tena
@AlHamra-k4u3 ай бұрын
Mwana sheria mkuu Kuna Madudu anaficha
@abdallahhuseinkabale75343 ай бұрын
Bonge la spika ..mola akulinde watu wanafundishwa mpka waelewe
@mrimaniyamtu3 ай бұрын
Mbona maneno mengine munayabana inamaana munatuongopea au
Si ndio huyo aliyewalaumu watu kujisomba Kwa Makonda,,,
@paulmteki81963 ай бұрын
Mheshimiwa spika shida ya Mpina ninani anayeaagiza na anauwezo gani hapo ndio rushwa imetembea Bashe atujibu kwa hilo. Numegundua kumbe mnaelewa ila mnatufanya mapumbavu sisi wananchi
@illomowerner76903 ай бұрын
Sahizi hata wale Mburula walioongozwa na mihemuko kumshambulia na kumpa adhabu Mpina ndio wanaiba umuhimu wake ...shame on our parliament
@esuthoby78653 ай бұрын
Hivi hili bunge haliwezi kuona kuwa ni ujinga mkubwa kutunga sheria za nchi kwa kizungu? Nchi gani itakuheshimu kama hutmii identity yako wewe mwenyewe.yaani bado mko colonised?hadi leo hamuwatendei haki watanzania walio wengi na lugha yao.mnachekwa sana na wakoloni wenu,bado hamjajitawala.poleni sana.
@MonicaBeni3 ай бұрын
Hili ni Bunge LA wa Bunge. Cyo Bunge LA Watanzania
@MmbagaMmbaga3 ай бұрын
Wasome kwa kiswahili au kisukuma
@mnoor200513 ай бұрын
HIYO SUKARI YA BUFFER STOCK, ITANUNULIWA WAPI, KWA NANI, NA KWA BEI GANI. JEE IWAPO ITANUNULIWA KWENYE VIWANDA VYA NCHINI ITAKUWA SUKARI YA ZIADA AMABYO HAITA LETA UPUNGUFU SOKONI. JEE HAPA HAPATAKUWA NA UFISADI NA UPENDEDELEO, NA UNUNUZI UTAKUWA WA USHIBDANI KATI YA VIWANDA
@richardkayuguyugumasalu25943 ай бұрын
Hawa nao cku moja tuwatimuwe na ubwabwa wao tuupige
@ring-tone2783 ай бұрын
. Ruto has lost control and is not serving Kenyans anymore but foreign Interests and himself. A failed Presidency.
@hajikhamis-od1no3 ай бұрын
Yani always namkubali sanaaa halima mdee
@Stevenmwanisawa-dt5vb3 ай бұрын
Mapoyoyo ni wengi mbona wamemlinda Fulani.
@JOSEPHPETERMACHOTA3 ай бұрын
Ukweli mnaomsifia tulia mmechanganyikiwa ni mtu anaongoza bungee kinafiki sana amekalia upande wa serikali so bunge la wananchi
@Abdiallihassan3 ай бұрын
Ruto must. Stay
@fadhiliabasi65853 ай бұрын
Akifa atasifiwa wala Asijali
@sadikidaudi4603 ай бұрын
Halima mdee 👊
@africaone43063 ай бұрын
Kuna wabunge wao wamejiandaa kupiga makofi tu.. hata hawajisumbui kusoma na kuchangia.
@MmbagaMmbaga3 ай бұрын
Tatizo ni elimu wote hapo mmesoma baba na mama,wanakula ugali,na maharage mkikutana na fundi gereju tu,wote ni zero
@fadhilmbulugwa73223 ай бұрын
Mwanasheria mkuu wa serikal mh!
@illomowerner76903 ай бұрын
Kilaza balaaaaa
@NtuzuNtuzu3 ай бұрын
kiswahili nichakuombea kulatu nja
@illomowerner76903 ай бұрын
Waje watumie kiingereza kwenye uchaguzi ✍️
@alisalum67333 ай бұрын
Mama Tanzania❤
@josephineseruhere-cv4wc3 ай бұрын
Yu tubu mnapotosha huo siyo mzozo Language kingerzawni kigumu na kila mmja ana uelewa na ufafahamu wake so they was jus difining it was in form of indigestion 😂😂❤
@salumgharib76873 ай бұрын
Mh : tunaomba tuongelee kwa lugha yetu ya kiswshili ni mzuri sana tujivunie lunga. yetu. 5:55
@JumaAbdalla-xm9pb3 ай бұрын
Mzimu wa mpina unawaumbua hawa sasa wanatapatapa tu vilaza hawa
@bakarimahenge3 ай бұрын
mpina hongera wanafichiana madudu yawo hamna chochote hapo
@HaryPoter-zw7vr3 ай бұрын
SASA mmemfungia Mpina Kwa Nini??? Nyinyi wenyewe wabunge amjiridhika😮😮😮😮
@GodfreyMkolokoti3 ай бұрын
Hatareeeee
@MmbagaMmbaga3 ай бұрын
Mnago,mbna tu kila siku eternet hakuna
@zuwenaenock20733 ай бұрын
Spika wa bunge mh tulia dada yangu kazi unaifanya vzr sana ila kwanini unakuwa na kaupole furani unapogundua kuna kosa hulichukuliii mamzi
@Optionxll_Playz13 ай бұрын
Ni kwa nini sheria zetu haziandikwi kwa Kiswahili?
@zobakazizi76373 ай бұрын
Hahahaaa mwana sheria mkuu. Pole.
@ahmedissa78823 ай бұрын
Nice one muheshimiwa Spika
@adow9musictz9313 ай бұрын
Forever tz i love u tutafika tu
@Lundege_Hips3 ай бұрын
Leo mitambo yenu imekua ya kipuuzi sauti
@farajiharuna59453 ай бұрын
Mbona mnakata kata jamaani
@EmanuelAndrew-nq5oc3 ай бұрын
Mm nime notice nyakara😂😂
@dassustephen7313 ай бұрын
Boring Bunge session focussing very boring issues
@barakamussa3 ай бұрын
Surely,, keep on DR TULIA Mungu akutangulie katika kulijenga taifa letu
@ibrahimtesha27333 ай бұрын
Tulia si ndiye anamlinda Bashe? Na si ndiye alisimsmia wastaafu wapunguziwe mafao ya kustaafu kupitia kikokotoo 1/580 badala ya 1/540, kadirio la umri baada ya kustaafu kuwa 12.5 badala ya 15.5, mkupuo kiduchu 40% badala ya 50% akatunyongelea mbali?
@rkcomercialenterprises32093 ай бұрын
Wanawake kuvaa mitandio bungeni ni sahihi kweli?Spika angalia hili swala la kuvaa kiholela.
@binseif22163 ай бұрын
Unamaanisha nini
@jeremiahmagau86233 ай бұрын
Duuuuh! AG khaaaa!
@KiriaKipara3 ай бұрын
Mbona mkatakata
@GodfreyMkolokoti3 ай бұрын
Mwacheria
@johnkitwima69633 ай бұрын
sauti zinakatakata 😢😢
@tanzaniacarschannel69753 ай бұрын
Context matters
@GodfreyMkolokoti3 ай бұрын
Jamaa huyuuu
@Mapenzi26353 ай бұрын
Hivi kusoma kunafaidia nini mtu akikosa maarifa? Naona aibu sana kuwa tuna vyuo vikuu.
@KelvinConorard3 ай бұрын
Sisi tunaona aibu kuwa na watu wanaoendekeza mapenzi
@zuwenaenock20733 ай бұрын
Na Aida
@josephineseruhere-cv4wc3 ай бұрын
Hongera Spika wa Bunge Big up❤
@NdageKitahama3 ай бұрын
Mpina yupo sahihi kaonewa kwasababu kasema ukweli
@Lundege_Hips3 ай бұрын
Me Wananikera sana Bunge kutumia kiingereza Luga iliokuja na ndege
@kassimukipingu79173 ай бұрын
Hivi hii shida ya kukoment hoja you tobe mnaipata kama mimi unatach mpaka unataka kughairi au ni simu yangu au Ila nimpongeze speaker wetu anajua sheria ndani nje
@ambokileasheengai11403 ай бұрын
KWANI NI MSITUMIE MNATUMIA LUGHA KWA WIZI WENU WENGINE WASIELEWE