MZOZO MKALI: BASHE, MDEE NA WANASHERIA WATOLEWA NJE YA BUNGE NA SPIKA, MAREKEBISHO YA KIFUNGU

  Рет қаралды 30,929

Uhondo TV

Uhondo TV

Күн бұрын

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 114
@PauloNnko-g4x
@PauloNnko-g4x 3 ай бұрын
Wanajifanya wanajadili ili tuone kama wanafanya kazi kubwa kumbe ni danganya toto hakuna mkazo wowote
@GabrielSky64
@GabrielSky64 3 ай бұрын
Mpina oyeeeeeh
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 3 ай бұрын
IPO siku na sisitutawakimbiza hapo bungeni mmeona wenzenu Kenya walivyo fanya nyie tuchezeeni
@evansdecaprio8196
@evansdecaprio8196 3 ай бұрын
Ukitaka kujua bunge letu Lina vilaza wengi hapa hutasikia meza kupigwa maana hakuna wanachokielewa zaidi ya kutoa macho tu
@sylivanusbernard3325
@sylivanusbernard3325 3 ай бұрын
Chief Umenifurahisha Sana japo nina Imani saana na kile ulichokisema
@gallusmbaga5522
@gallusmbaga5522 3 ай бұрын
Kwani kupiga makofi ni lazima hoja iwe nzuri, si Hata utumbo watu wanapiga makofi.
@julietngassa2353
@julietngassa2353 3 ай бұрын
😂😂😂
@josephmahando493
@josephmahando493 3 ай бұрын
Yani huyo mwanasheria mkuu wa serikali, ndo simwelewagi kabisa, nadhani ni vyeo vya kupeana. Spika uko vizuri kabisa ila udhaifu wako ni pale unapo gundua tatizo, unashindwa kutoa maamuzi ya uwajibishwaji kwa kosa uliloligundua.
@ErnestLutubija-wp5tq
@ErnestLutubija-wp5tq 3 ай бұрын
kwani kunaubaya gani bungeni kikitumika Kiswahili Tu kama lugha ya taifa maana kuchanganya lugha hivii mh
@mrimaniyamtu
@mrimaniyamtu 3 ай бұрын
Wanatuzonga tu
@paulmteki8196
@paulmteki8196 3 ай бұрын
Hivi shule mmeenda nyinyi tu serikali tunaomba Bashe urudishe ela yetu ya zidio la sukari tuliyonunua 6000 kwa kilo sisi wananchi. Na Mpina harudi bungeni ameonewa
@AndrewShiratu
@AndrewShiratu 3 ай бұрын
Tunaomba mpina mmuombe msamaha.maana hajawakosea bali mmemuonea tu
@jimonmwakalebela9470
@jimonmwakalebela9470 3 ай бұрын
Kosa la mpina liko wapi
@Teddy-z4i
@Teddy-z4i 3 ай бұрын
Hapo sasa
@leonardjohnson2058
@leonardjohnson2058 3 ай бұрын
Ni kuja kuwaambia wananchi
@JaphetJairos-n4l
@JaphetJairos-n4l 3 ай бұрын
Kama ni ivo mpina luhaga alikuwa sahihi sana
@samwelshepa8443
@samwelshepa8443 3 ай бұрын
Hapa ninachoona wanajaribu kuweka viraka vya kuendeleza kuficha madudu ambayo yameshatokea. Mimi ningeshauri serikali wangekuwa wanakubali kukosolewa wanapoona wamekosa wakomba msamaha badala ya kufukuza nje ya Bunge watu wanowkosoa. Yaani ndio wanakumbuka kufanya maekebisho sasa wakati walishaovertake procedure!!!
@majidimussa8678
@majidimussa8678 3 ай бұрын
mpina💪💪💪
@Dfamilysingers
@Dfamilysingers 3 ай бұрын
Ivi kwanini kistumike kiswahili kwenye kuandika vitu ya msingi kama ivyo da kweli mkoloni katuloga
@AnethRevocatus
@AnethRevocatus 3 ай бұрын
kweli kabisa
@AllyMaya-yj3xd
@AllyMaya-yj3xd 3 ай бұрын
Nenda shule
@kesterkanyala7718
@kesterkanyala7718 3 ай бұрын
NI SAHIHI KABISA ...WANAONA WAMESOMA KULIKO SISI
@haidhabushiri9558
@haidhabushiri9558 3 ай бұрын
Ni upumbavu mtupu
@illomowerner7690
@illomowerner7690 3 ай бұрын
Hivi huyu Bashe hawezi KUONGEA kiswahili mahiri mpaka aongee kiingereza? Watanzania wote wanaujua kiingereza? Kama hawezi kuongea lugha yetu basi aachishwe, lakini pia Kwa nini bajeti ziwasilishwe kwa kiingereza....? Kwa nini zisiandaliwe mbili? Ya kiswahili na kiingereza for international matters and recognition?.
@mikemutabuzi3665
@mikemutabuzi3665 3 ай бұрын
Ni bunge linazima sauti? ama ndo hii channel? mpina jitayarishe kushtaki bunge lote wakulipe mahela😅😅😅😅😅
@fadhilmbulugwa7322
@fadhilmbulugwa7322 3 ай бұрын
Mwanasheria mkuu wa serikal mbona anajibu kwa kubahatisha
@Nedjadist
@Nedjadist 3 ай бұрын
Rubbish. Watu wazima badala ya kuzungumzia lini tunaondoa umaskini wa kutisha Tanzania....
@jumamayenga7449
@jumamayenga7449 3 ай бұрын
Ccm nnyie ni mmetuzoea twende kazi
@drp3721
@drp3721 3 ай бұрын
Mh. Spika unapata kazi ya ziada, kazi ambayo Mwanasheria mkuu angekwisha kufanya.
@octiminja5260
@octiminja5260 3 ай бұрын
Kama vile ulikuwepo
@feiswalsalim2117
@feiswalsalim2117 2 ай бұрын
mdio maana badodo niko hapoa nigekuwa nikekuja huko Tz nymbaa nagojaa maombi kuwepo kwa kazi sababu compuni yetu ya sukari hawajanibu juu ilee faida wanaypleta kwetu 500000 milioni hamsini kwa mwaka sip sahiho
@SelemanMhana-ol7tk
@SelemanMhana-ol7tk 3 ай бұрын
Mbona wabunge kama mmepoa sana nahisi mmeanza kumkumbuka Mh.Mpina alikuwa yuko sahihi kufuatilia mambo ya kitaifa kwa hapo Mpina angelipika na taarifa (Mpina-Think tank ya Taifa)
@MonicaBeni
@MonicaBeni 3 ай бұрын
Me sijaelewa kwani ili ni Bunge la Ulaya au Tanzania? Sasa kizungu kingi cha nn ongeeni Kiswahili chetu Kwene kilakitu woote tuelewe mbona mkija kutudai Kodi amuongei kingeleza chenu
@jumamaganga5064
@jumamaganga5064 2 ай бұрын
Kumbe tukifikiaga kwenye mambo ya sheria ndio hakunaga taarifa au mm ndio sina D mbili😢😢
@feiswalsalim2117
@feiswalsalim2117 2 ай бұрын
mweheshimowa punguza uhabaa hukuwepo kwa sukari bei ya choni mwsnzo tu kabla yakuwepo kwa bei kuwa juu
@kitosio
@kitosio 3 ай бұрын
Mh. Spika Ni Hodari Sana Sana. Sasa ivi Bungu letu Lina Manufaa makubwa zaidi.
@paulmushi2428
@paulmushi2428 3 ай бұрын
Huyo mwanasheria ingekuwa enzi za bunge la kina Tundu Lisu, Zito, Silaa jasho lingemtoka😅
@hassanchiwambo687
@hassanchiwambo687 3 ай бұрын
Wakubali kwanza waziri wa kilimo alivunja sheria na kusema uongo bungeni. Mmembeba tu kwa heshima ya samia.
@sylivanusbernard3325
@sylivanusbernard3325 3 ай бұрын
Angeomba kustaafu
@jackmabirangacharles9398
@jackmabirangacharles9398 3 ай бұрын
Nakuunga Mkono Akili yake ni sawa na Ruto tu huyu Mwanasheria wetu
@illomowerner7690
@illomowerner7690 3 ай бұрын
Kweli kabisa, bunge kipofu, bunge kiziwi
@floraflora5717
@floraflora5717 2 ай бұрын
😅. Aliye takiwa ajibu maswli akiwa na pingu mikononi mynacheka naye yiyi
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 3 ай бұрын
sasa kizungu cha nini na wakati bunge lakitanzania na kiswahili na wanao sikiliza wengi was watu wavijijini hawajui kiswahili si muongee lugha ya taifa kwenye mambo muhimu kama haya yanayohusu raiya wote waliosoma na wasio soma
@petermasanilo732
@petermasanilo732 3 ай бұрын
Kumbee mpina Yuko sahihi hata ninyi mmegundua makosa ya Bashe
@anosiata8242
@anosiata8242 3 ай бұрын
Mbona mnazimia spika maiki vipi tena
@AlHamra-k4u
@AlHamra-k4u 3 ай бұрын
Mwana sheria mkuu Kuna Madudu anaficha
@abdallahhuseinkabale7534
@abdallahhuseinkabale7534 3 ай бұрын
Bonge la spika ..mola akulinde watu wanafundishwa mpka waelewe
@mrimaniyamtu
@mrimaniyamtu 3 ай бұрын
Mbona maneno mengine munayabana inamaana munatuongopea au
@mfwimiekayuki8692
@mfwimiekayuki8692 3 ай бұрын
Mwanasheria wetu mmmh.Hana uhakika naanacjokifanya
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 3 ай бұрын
Si ndio huyo aliyewalaumu watu kujisomba Kwa Makonda,,,
@paulmteki8196
@paulmteki8196 3 ай бұрын
Mheshimiwa spika shida ya Mpina ninani anayeaagiza na anauwezo gani hapo ndio rushwa imetembea Bashe atujibu kwa hilo. Numegundua kumbe mnaelewa ila mnatufanya mapumbavu sisi wananchi
@illomowerner7690
@illomowerner7690 3 ай бұрын
Sahizi hata wale Mburula walioongozwa na mihemuko kumshambulia na kumpa adhabu Mpina ndio wanaiba umuhimu wake ...shame on our parliament
@esuthoby7865
@esuthoby7865 3 ай бұрын
Hivi hili bunge haliwezi kuona kuwa ni ujinga mkubwa kutunga sheria za nchi kwa kizungu? Nchi gani itakuheshimu kama hutmii identity yako wewe mwenyewe.yaani bado mko colonised?hadi leo hamuwatendei haki watanzania walio wengi na lugha yao.mnachekwa sana na wakoloni wenu,bado hamjajitawala.poleni sana.
@MonicaBeni
@MonicaBeni 3 ай бұрын
Hili ni Bunge LA wa Bunge. Cyo Bunge LA Watanzania
@MmbagaMmbaga
@MmbagaMmbaga 3 ай бұрын
Wasome kwa kiswahili au kisukuma
@mnoor20051
@mnoor20051 3 ай бұрын
HIYO SUKARI YA BUFFER STOCK, ITANUNULIWA WAPI, KWA NANI, NA KWA BEI GANI. JEE IWAPO ITANUNULIWA KWENYE VIWANDA VYA NCHINI ITAKUWA SUKARI YA ZIADA AMABYO HAITA LETA UPUNGUFU SOKONI. JEE HAPA HAPATAKUWA NA UFISADI NA UPENDEDELEO, NA UNUNUZI UTAKUWA WA USHIBDANI KATI YA VIWANDA
@richardkayuguyugumasalu2594
@richardkayuguyugumasalu2594 3 ай бұрын
Hawa nao cku moja tuwatimuwe na ubwabwa wao tuupige
@ring-tone278
@ring-tone278 3 ай бұрын
. Ruto has lost control and is not serving Kenyans anymore but foreign Interests and himself. A failed Presidency.
@hajikhamis-od1no
@hajikhamis-od1no 3 ай бұрын
Yani always namkubali sanaaa halima mdee
@Stevenmwanisawa-dt5vb
@Stevenmwanisawa-dt5vb 3 ай бұрын
Mapoyoyo ni wengi mbona wamemlinda Fulani.
@JOSEPHPETERMACHOTA
@JOSEPHPETERMACHOTA 3 ай бұрын
Ukweli mnaomsifia tulia mmechanganyikiwa ni mtu anaongoza bungee kinafiki sana amekalia upande wa serikali so bunge la wananchi
@Abdiallihassan
@Abdiallihassan 3 ай бұрын
Ruto must. Stay
@fadhiliabasi6585
@fadhiliabasi6585 3 ай бұрын
Akifa atasifiwa wala Asijali
@sadikidaudi460
@sadikidaudi460 3 ай бұрын
Halima mdee 👊
@africaone4306
@africaone4306 3 ай бұрын
Kuna wabunge wao wamejiandaa kupiga makofi tu.. hata hawajisumbui kusoma na kuchangia.
@MmbagaMmbaga
@MmbagaMmbaga 3 ай бұрын
Tatizo ni elimu wote hapo mmesoma baba na mama,wanakula ugali,na maharage mkikutana na fundi gereju tu,wote ni zero
@fadhilmbulugwa7322
@fadhilmbulugwa7322 3 ай бұрын
Mwanasheria mkuu wa serikal mh!
@illomowerner7690
@illomowerner7690 3 ай бұрын
Kilaza balaaaaa
@NtuzuNtuzu
@NtuzuNtuzu 3 ай бұрын
kiswahili nichakuombea kulatu nja
@illomowerner7690
@illomowerner7690 3 ай бұрын
Waje watumie kiingereza kwenye uchaguzi ✍️
@alisalum6733
@alisalum6733 3 ай бұрын
Mama Tanzania❤
@josephineseruhere-cv4wc
@josephineseruhere-cv4wc 3 ай бұрын
Yu tubu mnapotosha huo siyo mzozo Language kingerzawni kigumu na kila mmja ana uelewa na ufafahamu wake so they was jus difining it was in form of indigestion 😂😂❤
@salumgharib7687
@salumgharib7687 3 ай бұрын
Mh : tunaomba tuongelee kwa lugha yetu ya kiswshili ni mzuri sana tujivunie lunga. yetu. 5:55
@JumaAbdalla-xm9pb
@JumaAbdalla-xm9pb 3 ай бұрын
Mzimu wa mpina unawaumbua hawa sasa wanatapatapa tu vilaza hawa
@bakarimahenge
@bakarimahenge 3 ай бұрын
mpina hongera wanafichiana madudu yawo hamna chochote hapo
@HaryPoter-zw7vr
@HaryPoter-zw7vr 3 ай бұрын
SASA mmemfungia Mpina Kwa Nini??? Nyinyi wenyewe wabunge amjiridhika😮😮😮😮
@GodfreyMkolokoti
@GodfreyMkolokoti 3 ай бұрын
Hatareeeee
@MmbagaMmbaga
@MmbagaMmbaga 3 ай бұрын
Mnago,mbna tu kila siku eternet hakuna
@zuwenaenock2073
@zuwenaenock2073 3 ай бұрын
Spika wa bunge mh tulia dada yangu kazi unaifanya vzr sana ila kwanini unakuwa na kaupole furani unapogundua kuna kosa hulichukuliii mamzi
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 3 ай бұрын
Ni kwa nini sheria zetu haziandikwi kwa Kiswahili?
@zobakazizi7637
@zobakazizi7637 3 ай бұрын
Hahahaaa mwana sheria mkuu. Pole.
@ahmedissa7882
@ahmedissa7882 3 ай бұрын
Nice one muheshimiwa Spika
@adow9musictz931
@adow9musictz931 3 ай бұрын
Forever tz i love u tutafika tu
@Lundege_Hips
@Lundege_Hips 3 ай бұрын
Leo mitambo yenu imekua ya kipuuzi sauti
@farajiharuna5945
@farajiharuna5945 3 ай бұрын
Mbona mnakata kata jamaani
@EmanuelAndrew-nq5oc
@EmanuelAndrew-nq5oc 3 ай бұрын
Mm nime notice nyakara😂😂
@dassustephen731
@dassustephen731 3 ай бұрын
Boring Bunge session focussing very boring issues
@barakamussa
@barakamussa 3 ай бұрын
Surely,, keep on DR TULIA Mungu akutangulie katika kulijenga taifa letu
@ibrahimtesha2733
@ibrahimtesha2733 3 ай бұрын
Tulia si ndiye anamlinda Bashe? Na si ndiye alisimsmia wastaafu wapunguziwe mafao ya kustaafu kupitia kikokotoo 1/580 badala ya 1/540, kadirio la umri baada ya kustaafu kuwa 12.5 badala ya 15.5, mkupuo kiduchu 40% badala ya 50% akatunyongelea mbali?
@rkcomercialenterprises3209
@rkcomercialenterprises3209 3 ай бұрын
Wanawake kuvaa mitandio bungeni ni sahihi kweli?Spika angalia hili swala la kuvaa kiholela.
@binseif2216
@binseif2216 3 ай бұрын
Unamaanisha nini
@jeremiahmagau8623
@jeremiahmagau8623 3 ай бұрын
Duuuuh! AG khaaaa!
@KiriaKipara
@KiriaKipara 3 ай бұрын
Mbona mkatakata
@GodfreyMkolokoti
@GodfreyMkolokoti 3 ай бұрын
Mwacheria
@johnkitwima6963
@johnkitwima6963 3 ай бұрын
sauti zinakatakata 😢😢
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 3 ай бұрын
Context matters
@GodfreyMkolokoti
@GodfreyMkolokoti 3 ай бұрын
Jamaa huyuuu
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 3 ай бұрын
Hivi kusoma kunafaidia nini mtu akikosa maarifa? Naona aibu sana kuwa tuna vyuo vikuu.
@KelvinConorard
@KelvinConorard 3 ай бұрын
Sisi tunaona aibu kuwa na watu wanaoendekeza mapenzi
@zuwenaenock2073
@zuwenaenock2073 3 ай бұрын
Na Aida
@josephineseruhere-cv4wc
@josephineseruhere-cv4wc 3 ай бұрын
Hongera Spika wa Bunge Big up❤
@NdageKitahama
@NdageKitahama 3 ай бұрын
Mpina yupo sahihi kaonewa kwasababu kasema ukweli
@Lundege_Hips
@Lundege_Hips 3 ай бұрын
Me Wananikera sana Bunge kutumia kiingereza Luga iliokuja na ndege
@kassimukipingu7917
@kassimukipingu7917 3 ай бұрын
Hivi hii shida ya kukoment hoja you tobe mnaipata kama mimi unatach mpaka unataka kughairi au ni simu yangu au Ila nimpongeze speaker wetu anajua sheria ndani nje
@ambokileasheengai1140
@ambokileasheengai1140 3 ай бұрын
KWANI NI MSITUMIE MNATUMIA LUGHA KWA WIZI WENU WENGINE WASIELEWE
@illomowerner7690
@illomowerner7690 3 ай бұрын
Umeona mh.Ambokile
@JosephMtaya
@JosephMtaya 3 ай бұрын
Spika bigap
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 3 ай бұрын
Spika uko vzr sana aisee
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 3 ай бұрын
Huyo mama Yuko vizuri sana
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 3 ай бұрын
Best in the world
@GerardMdui
@GerardMdui 3 ай бұрын
Ni ujinga tu kwa kuwa hamjui
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 3 ай бұрын
Aya we unayejua
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 3 ай бұрын
@@GerardMdui wewe pimbi punguza makasiriko
MCHUANO MKALI MAHAKAMANI MPINA AIBURUZA  SERIKALI
5:49
Uhondo TV
Рет қаралды 8 М.
ОТОМСТИЛ МАМЕ ЗА ЧИПСЫ🤯#shorts
00:44
INNA SERG
Рет қаралды 4,7 МЛН
Как подписать? 😂 #shorts
00:10
Денис Кукояка
Рет қаралды 8 МЛН
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 32 МЛН
ОТОМСТИЛ МАМЕ ЗА ЧИПСЫ🤯#shorts
00:44
INNA SERG
Рет қаралды 4,7 МЛН