Rozari ndo nini, mafreemason wanazitumia vizuri kuliko mnavyozitumia, matumizi ni Sawa
@esterelias81894 жыл бұрын
@@herielshedrack4730 hiyo Rozari kama ya kanisani katolikl
@husenathumanimrisho27404 жыл бұрын
Dah yani ana aya uyu charii
@cindymacho52825 жыл бұрын
wanaojuwa mambo ya Rohoni gongeni like hapa watoto Wa YESU. wateule mpo karibuni. afanyiwe Maombi mama Ney endelea kumuombea mwanao siku moja Mbele za Mungu ni sawa na siku elfu.
@emmarizer60963 жыл бұрын
Mhh
@frankjeremiah16545 жыл бұрын
MUNGU YUPO NA SIKU MOJA ATAKUNYOSHA
@jubethrkinyina36115 жыл бұрын
Ney ney acha kukufuru hakuna chochote kinachomzidi mwenyezi mungu aliekuumba
@benwayneofficiall14555 жыл бұрын
Hili jamaa Kama unaamini ni lijinga linajifanya halimujui mungu gonga like twende sawa
@goldenrule70795 жыл бұрын
jamaa yuko poa sana namukubali
@jacksonlungu53785 жыл бұрын
Bwabwa
@johnmbafu28825 жыл бұрын
Ndo maana hili jamaa mm cilipend kbsa kama halijielew vile
@adamngonyani25784 жыл бұрын
Ben Wayne nakubali
@mihayontelezu79174 жыл бұрын
Jamaaa afanye vyote bt amwamin MUNGU wake daima.! Atakutana na kipindi kigumu sana
@kingkhanjunior49305 жыл бұрын
kam umesikia neno “mwenyez mungu kanijalia" gonga like tujuwane.....
@charlesbarnabas19564 жыл бұрын
Nimeipata iyooo...hahaha ..MUNGU huwezi kumtnga hata siku moja ...,kama unamuamini MUNGU YUPO ...LIKE TUSOMANE.
@josephattarimo9994 жыл бұрын
Mimi namuelewa yeye hamini katika dini, ila ana anacho kiamini pia anaweza kuamini chochote lakini anaimani yake ambayo imemfikisha alipo. Chochote kinachoweza kukuwezesha unaweza kukiamini ila Mungu huwa ana nafasiyake ipo tu Ndio maana ndani yamaneno yake Bado kuna Mungu katajwa. Pia Sisi ni binadamu hatujui Kama anakosea sababu ni swala la imani kwaiyo tusiukumu.
@joshuakimaro83764 жыл бұрын
San
@felisteredward63194 жыл бұрын
Atakuwa ni Mungu wake anayemwabudu
@felisteredward63194 жыл бұрын
@@josephattarimo999 Soma neno utajifunza jinsi ya kumkiri kriso kwa haki na kweli!
@nkwabinana63815 жыл бұрын
hyo ni njaa tu rafk yng ipo cku utamjua mungu, co lazma umjue leo
@antoinekatembo81245 жыл бұрын
Naam naam naam
@DonDallas4 жыл бұрын
Hhahaha kweli kabisa
@wahidashabaz59824 жыл бұрын
Hakika
@Burange6664 жыл бұрын
Njaa inamsumbuwa mbwa huyu ngoja yamkute ndiyo atamjuwa mungu nani
@veronikadalali72513 жыл бұрын
Wew unaemjuwa haufi kufa kupo tu achene ngeg
@husseinshabani95224 жыл бұрын
Eeee Mwenyezi Mungu Ulie Umba mbigu na Dunia na vilivyomo ndani yake ikiwepo na Miti Anayeisema Mja wako.Nakuomba Umsamehe Mja wako Uliyemuumba Anaye jiita 'Ney' Umsamehe Ajui Alitendalo.Nashukuru Amekutaja "Mwenyezi Mungu "Amejuwa Umuhimu wako. In sha Allah Allah Atufanyie Wepesi sote. Na Tuwe na Mwisho Mwema In sha Allah.
@marobamkeya23995 жыл бұрын
Kuanzia leo mimi sio fans wako tena siwez shabikia mtu anaeabudu shetani
@adamyohana57495 жыл бұрын
Maroba Mke umuache na wcb mbna wamo
@marobamkeya23995 жыл бұрын
@@adamyohana5749 SASA YEYE ANASEMA LIVE JAMANI DUUUH
@jasnafclassic85595 жыл бұрын
Maroba Mkeya acha!! Ssi bado tupo
@dikimanyeroc54675 жыл бұрын
Be
@dikimanyeroc54675 жыл бұрын
Maroba
@issasaid80585 жыл бұрын
Wanaoamin kwamba jamaa syo iluminut weka like hpa.......
@fidsimba27695 жыл бұрын
ili jamaa kumbe pimbi yani hlimjui hata mungu. minipo tayar kumshabikia mamangu mana wewe pimbi
@hafsamohd79314 жыл бұрын
Sass we huamini mungu halafu unasema m mungu akikujalia
@nadyahassan79245 жыл бұрын
subhannallah yan waropok km hujaumbwa hay subir fimbo ya mungu ww dunia mapito2 usimtaje mungu hali ya kuwa dini zake zote huzitak
@richardburengengwa69983 жыл бұрын
Neyo wamitego big up bro ukipata zaidi bro nikumbuke namimu mzee ongera sana mweshimiwa .
@mainguboy33865 жыл бұрын
Pumzi isikudanganye bwan kaka apa duniani tunapita tu ata awo unaowaabudu hawatoixh milele apa dunian muda bado unawo mludie muumba wako !!!!
@emmahbishoo73035 жыл бұрын
Kweli bro
@husseinnyomi61205 жыл бұрын
Acha bangi za choni
@happyjumanne52034 жыл бұрын
Kiburi cha uzima kinamsumbua
@shaabanramadhan67705 жыл бұрын
Dah hilijamaa ni jishetani sjui likifa litazikwaje coz halina dini chochote linaabudu duh😦
@anwaryabdallah77825 жыл бұрын
Anatofauti gani namyama
@shabankumalija19294 жыл бұрын
Pumbavu sana mjinga namba 1.pesa ni kitu gani kwa mwenyezi mungu?. Wangapi walikuwa na pesa leo zinamilikiwa na watu wengine na wake zao wanawapa raha watu wengine na watoto wao wanawaita baba watu wengine. Na kwa wewe hauwezi kumfikia umarufu maico Jackson. Lakini leo Jackson yuko wapi?. ALLAH KAMNYAMAZISHA KIMYA
@salehabdalla77734 жыл бұрын
Hyu cku yke mja tu allh atakapombna pumzi bc ndo atajua km mngu yupo au hypo au allh ni nani
@Burange6664 жыл бұрын
Hili hata likifa lichomwe moto kuanzia mkunduni kwake.
@louishodens82334 жыл бұрын
Ni heri atupwe Baharini Aliwe na samaki
@erickrakitic4114 жыл бұрын
Huyu jamaa naona anautani na Mwenyezi mungu. Mpumbavu sana
@rayanjoseck44585 жыл бұрын
Mungu akuongoze inshaAllah ...Mungu ndie Mfalme wa Mbigu na Ardhi...kitu unahitaji ni kumuamini ...inshaAllah Allahu yaa'alam
@nevelymungaya25744 жыл бұрын
Mi nimekuelewa Leo apo kuwa yy ana Imani na dini yyt Ila anamwamini Mwenyezi Mungu ...kunavitu vinafanyika kwenye baazi ya dini zetu ndo maana ney ana Imani n dini yyt Ila ana Imani na Mwenyezi Mungu
@abuubakarkichimbo99574 жыл бұрын
Hakuna kuwa unamuamin Mwenyezi mungu halafu ukamin dini sio kuwa ya Mwenyezi mungu huko ni kujidanganya katika hii dunia, wakati yeye mwenyewe Allah amesema dini ya haki ni Uislamu tuu.
Umemuelewa vizuri kama nilivyomuelewa anaweza akawa ni mteule wa mungu ambae baadae akawaokoa wengi kwa maana ata bibilia imeandikkwa bisheni nanyi mmtafunguliwa ibu siku mungu atajidhihilisha kwake na sio kumtukana zaidi nikuombea kwa mungu wako
@iddyseif76404 жыл бұрын
Duuuu neyyyy kwel abud unachoamin big up
@dfinalvillageking48644 жыл бұрын
Mwanadamu akiwa mzima kiafya hua anakiburi sana mpakakufikia hatua ya kufanya kufuru akiwa mdhaifu aidha mgomjwa ambao anajua madocta hawawezi atamtafuta mwenyenzi mungu makanisayote mimi naamini umaskini nimbaya sana mpakamtu unaamua kutafuta kiki kwa kwa kuvunja imani za mabilioni ya watu!!!!!!!??!!!!
@nfunguonfunguolesson35984 жыл бұрын
Nay nakubali sana lazima upende kile kitakusaidia, mungu akuzidishie baraka
@jasperjackson88714 жыл бұрын
Huyu jamaa kiki anazo tafuta zitamcost! Sisi yetu macho tu.
@robertmwanyama67455 жыл бұрын
Aliyeona nay kavaa rosary 😂😂😂
@lissamsalu21795 жыл бұрын
Robert Mwanyama hhahahhahaah
@magynzioka11225 жыл бұрын
😂😂😂Kasema ahabudu chochote yeye ni pangan mahan ata kwa ao wabudu mashetani uwezi ingia pale kama auna dini yeyote wao wanapeda weny misimamo ya dini mahan ni rahisi kuamini wacho kifanaya kwa freemason
@merdaniely47755 жыл бұрын
Si kila rozary ni dini ya kikristo! Inawezekana hiyo ndo ile ya anachokiamini na si rozary ya kawaida tunayoijua sisi wakatoliki.
@tumafrances5424 жыл бұрын
Huyu jamaa noma mbn anayo rozali
@nandafaraja75013 жыл бұрын
Kuvaa rodhali sio wokovu lodhari ni ushetani
@harmonymattondo40424 жыл бұрын
Nay wa mitego Sio freemason. Ili uwe freemason ni lazima uamin uwepo wa Mungu. Freemason ni wakristo na Waislam
@thumamusa6294 жыл бұрын
Alaf nay mzuri mashaAllah... Allah ammwepushe na fikra za kifreemason. Amin
@dgt63034 жыл бұрын
Hahaha eti "....mwenyezi MUNGU kanijaalia....."
@ramadhanimwanyumba29554 жыл бұрын
Hamjamuelewa Ney, amesema haamini dini si kwamba haamini Mungu. Ebu kuweni makini mnavyo judge vitu msikurupuke.
@kibwanasalim184 жыл бұрын
Sasa unaamini mungu kisha huamini dini yake..bila dini hamna mungu..maana dini ni mwelekeo wa maisha jinsi gani mungu anataka uishi..ndio maana ya dini.
@felisteredward63194 жыл бұрын
Mungu kabla sijafa naomba nishuhudie muujiza wako!!! Kuna viumbe wanakudharau Sana😭😭😭😭😭😭😭😭🤩
@chunaamina87194 жыл бұрын
Felister Edward, looh huu mtiani mkubwa jamani, ata ka sahau kama ile pumzi amepewa Na Mungu
@felisteredward63194 жыл бұрын
@@chunaamina8719 yaan !!!
@gilbertsalvatory95905 жыл бұрын
Poleni,ila ujachelewa pia Fanya toba umludie mungu... Ukiona unafanya shughuli yoyote inayokutoa katika uwepo wa mungu basi iyo kazi haikufai. Utajili wa kweli upo kwa yesu.
@aliseifkarim17055 жыл бұрын
Kasema nani ivo .utajiri upo kwa aliemuumba Yesu na sio yesu mwenyewe
@saeedmassoud2565 жыл бұрын
Kwni uyo yesu ni nani ni mungu au naomba mnielimishe
@rehemaahamadiahmadi5665 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁
@khalekichambo11315 жыл бұрын
Utajiri upo kwa Mungu pungu wewe sio yesu
@edwinmwakingwe33245 жыл бұрын
Gilbert Salvatory Kaka umefer sana
@mussahamisi11915 жыл бұрын
Duh kwaiyo ata alo kuumba kumbe humuitaji sawa amekusikia
@marwawilliam36485 жыл бұрын
mussa hamisi ana masikio?
@habibaiddy31665 жыл бұрын
Ulo nilusenge
@abbasboniphace54444 жыл бұрын
Ww umezaliwa hujaumbwa.
@jisujames48964 жыл бұрын
Du Nay nilikuwa nakukibari sana ila kwahili aaaaaah umepotea sana bloo Okopasana manenoyako Mungu yupo naipo siku utamtambuwa2 welingia hiyo pimzi ameyo kuazima
@richardngendakumana28715 жыл бұрын
Daaa kuwamakini bro Wengi wamepata pesa kupitia njia mbaya mwisho wamejutiya
@josephbubinza98225 жыл бұрын
Stupid ney
@deusmauka96265 жыл бұрын
Amini Mungu yupo, full stop.
@ekiverharuner1274 жыл бұрын
Tena🤟🤟🤟🤟🤟
@saitotilemahati25885 жыл бұрын
Pumzika kwa amani ney wa mitego tulikupenda sana ila Freemason kakupenda zaidi na ujinga wako
@samweliyohana69525 жыл бұрын
saitoti lemahati Umenifanya nimecheka ww
@nurukapoja77594 жыл бұрын
Habari sana kwa afya yako kama humjui mungu utaelewa tu siku ikifika utajua had anakopatikana
@ndayisabacynthia85464 жыл бұрын
ALLAH AKBAR kwa kweli MUNGU akusamehe unafanya usijo kijuwa ipo siku atakukamata njoo utamjuwa, Duniya na iyo pumzi visikudanganye
@franshyera89705 жыл бұрын
Uyu jamaa ni msenge sanaaaaaaa bangi zimemzidi Hadi anamkataa mungu
@josephinenduku89155 жыл бұрын
Jamani matusi yantoka wapi ninyi msimbukumu mtu pia tujue kI yakujukumu Ni ya mungu jamani daj.
@daudichilenga23205 жыл бұрын
Nay ni mwongo tu na anajua anajifanya kama hajui kumbe ajua jamani wapendwa katika inatupasa tumtudie mungu maana yeye ndo kila kitu
@hassansalimsalim94564 жыл бұрын
mungu ampe mwisho mwema mana ni zaidi ya balaa dunia sio pambo la kukuacha utengane na dini yako NY ongea kwa kufikiria
@benbellar22145 жыл бұрын
Mwenye anakuuzia bangi awache kabisa,vipi haumjui mungu....
@odonkoodo36435 жыл бұрын
Huyu Nay nshamufahamu sana,,ywajifanya kuwa hamujui mungu katika intaview .lakini kiukweli Nay ywamwamini mwenyezi mungu maishani mwake. Kulingana na mienendo yako ni jamaa mwenye busara sana hila tu utupumbaza wakati mwingine na kujifanya mjinga kuwa hamufahamu mungu
@mathewshedrack48335 жыл бұрын
Kumbe Ney noma sana yaan ww ndo haujifichj hata kidogo unachokiabudu freemason so kama wakinamondi wanajificha daaah siku zinakuja kila mtu atajib alichokifanya hp dunian
@bartholomewjackson33374 жыл бұрын
Mungu akurehem. Zichunguzeni au zitafakarini njia zenu.
@pauljackson81204 жыл бұрын
ninyi baazi yenu wasan mnamajivuno sana hamjui mungu ndie mwenye kila kitu hapa dunian wewe unasema huamin kanisa wala msikiti mungu atawa nyoosha ninyi
@r-boymnyange37435 жыл бұрын
Mwenyezi mungu huonyesha uwepo wake kwa wajinga ambao hawatambui uwepo wake mungu amekusikia japo sisi hatujui moyoni mwako ila yeye mwenyewe anajua una maana gani kwa hyo ataonyesha uwepo wake
@emilydominick31234 жыл бұрын
Kwawasanii wapumbafu nihili jamaa yani yani silipendi hata kidogo kwanza Linatumia mikologo chapili halimjui mungu NYUMBU WA SERENGETI WEE
Kumbe unajuwa Mungu yuko unatuchanya kijana pia Mungu kukujalia hatuwa Mbili tatu
@azizihaji62744 жыл бұрын
Mbona linasema halimjui mungu alafu linasema mwenye zimungu kamsaidia iko siku utajua kama mungu yuko au hamuna
@mwalimumohamedi40074 жыл бұрын
Sasa mwenyezi mungu gani kaka unaemjua apo na kumtaja wakt umesema huna dini
@mohamedothman97695 жыл бұрын
Duniani njia ni mbili tu. Kwa mungu na kwa Shetani. Huyu anababaisha tu lkn kwa mwenye akili keshaelewa
@magynzioka11225 жыл бұрын
Hata shetanai hataki wasio kua na himani kamilifu mbele za MUNGU shetani upenda alie na msingi imara kwa mungu ili amwangushe kumbuka mtume hibrahim kumbuka ayubu kumbuka daudi waote walikua thabiti na wenye imani na dio shetani aliwatumia shetani hana haja na mtu ajitambuii kwaii dunia uyu ni mpangani shetani hana haja na wapangani hata kidongo
Mambo guys nmefungua chanel ya vlogs pls nitazame unipe maon yako nawapenda😘
@benjaminfellician36764 жыл бұрын
Weka link moja kwa mojaa next time
@eugeneinsuranceagency91244 жыл бұрын
kama umeiona rosari shingoni mwake gonga like
@hamishamis99055 жыл бұрын
He!!! kaka na kesho kwa mungu akaseme maneno hayahayo kama matamanio ya kidunia yanakuzingua kaz kwako.....Ramadhani makbul......
@bakariveso70874 жыл бұрын
emu mskilizeni neyi vizuri apo anapo sema mwenyezi mungu alivyo nijalia seemu mbili tatu uyu atu fanya ss wajinga tuu aingize pesa ila mungu anamjua sana atakae skiliza na kulielewa ilo kama mm naomba usisau lik
@meksonyjoseph89095 жыл бұрын
wanao jifanya watu wadini ndo kifusi cha matendo mabaya .nakukubali ney imani sio lazima uwe Muslim ama kristo Bali ni matendo yako tuu.
@farajimbiru62675 жыл бұрын
Wew subiri tu Mungu amekusikia utakacho kutana nacho utajuta
@mussahamisi11915 жыл бұрын
Kweli kabisa kabla hujafa lazima ulipwe kwanza kwa ulichofanya afu ndo ufe ukakutane nae sasa mwenyewe alokuumba
@rajabhussein30445 жыл бұрын
Abudu baba ney
@benardivincenti91555 жыл бұрын
Daah imani yako itakuponya mbele za haki uhenda yupo xahihi na anachokixema au kukifanya xo muacheni 2 na imani yake mungu ndo ajuae nafxi zote....by Ben de classic
@basopoleismail13724 жыл бұрын
Kama unamkubali ney wamitego kama mm gonga like
@jumakapo99145 жыл бұрын
Kila binadam anamjua mungu unaweza kwenda kanisani lakini mtendo yako yaajabu unaweza kwenda msikitini utakuwa na mambo ya ajabu kusali sio tatizo tatizo moyo yako uwe na mungu baba
@mrmanenomnkai82974 жыл бұрын
Brother unafeli unasema hakuna mungu halafu unasema mungu akijalia duh huyu m2 cjui mtoto wanani🙉🙉🙉🙉☝☝☝
@iddpengo87974 жыл бұрын
Kumbe hili jamaa halina maana hivi sote tunakubli kuwa hanamaana kbxa tuweke like kumuonyosha pia sisi hatuna imani n yeye tena
@paulmohamed9355 жыл бұрын
Dah! Inaonekana humjui Mungu huku hapohapo unatamka Baraka za Mwenyez Mungu! Acha Unafiki Bro!
@pericykiko61985 жыл бұрын
Ukisikia ney anataja mungu ni lucifa ndio anayemuamini muombeeni aijue kweli
@kulwambape37414 жыл бұрын
Amjui mungu alafu Ana sema mungu aki nijaria hhh kkk bro
@Kimbururu2 жыл бұрын
"Mwenyezi Mungu amenijaalia." halafu linasema siamini chochote. Jimaku kubwa sana hili
@richardsolomoney4905 жыл бұрын
We NI fara2 ndoo mn CK izi atulielewi umebadilika broo mwamin kwnz mung Kuna maisha mngne bd ya kifo
@jojoalvin85845 жыл бұрын
mh apo unatutisha achana na unavoviabudu Mungu ni mmoja usijikute wew ndo umeshamaliza kwa vitu na pumzi anayokupatia Mwenyezi
@SamsungA-su2qj4 жыл бұрын
SubhanaAllah
@lusumwasomola42284 жыл бұрын
Nimesha futa nyimbo zako zote sitasikiliza nyimbo zako tena we chiz
@copperbee70024 жыл бұрын
nampenda sana huyu nay😍😍
@swedish_james5 жыл бұрын
Mungu kakujaliaje na humwamini kaka
@255Digitalizeit4 жыл бұрын
2:06 UnaMtaja Mungu,hahaha anajitekenya na kujamba mwenyewe ASITUPOTEZEE MUDA MZIKI WAKE UMEDODA
@chayogasperi97834 жыл бұрын
MADOGO WANAMJAMBISHA Mpaka Mzee Mzima kafika hatua ya kumtusi Mungu ??? Kweli game ngumu .
@mohammedghassany40475 жыл бұрын
Anajua vzr km mungu yupo asingalisema tunapo majaaliwa Pumbavu zake
@shaabanramadhan67705 жыл бұрын
Hajitambui
@khamisrubea50835 жыл бұрын
Mwenyezi mungu anasaidia halafu unasema huna dini sasa ukisema mungu anasaidia kwa dini ipi mbona hatukufahamu
@robertabely57945 жыл бұрын
Kaka, haya maisha tu, bado tunaishi mungu ni mungu tu hafananishw na kitu chochote na kama hupend dini ni bora usiizungumzie kbs
@dottokulwa70754 жыл бұрын
Sikulaumu wala sikuhukumu ila jua bloo mungu anakuskia kila usemalo kama umeshindwa kujua dini yeyete basi mungu anajua ukweli wako
@andrewmlamba5 жыл бұрын
Yani huyu nay anajifanya hamtambui Mungu siyo.!?!Ama Kweli masikini akipata matako huliya mbwata
@jumakapo99145 жыл бұрын
Mungu anamtambu sio makanisa wala misikiti muwe mnamsikiliza vizuri
@mwajejasson69955 жыл бұрын
Ili jama ni lijinga lijinga mungu ndie kimbilio letu njoo kwa yesu
@godymlugulu21215 жыл бұрын
Mfuasi washetani uyo
@yasirdahasra31865 жыл бұрын
Hajasema hamuamini mungu bhana kuhusu dini ndio amini na pia mungu na dini vitu viwili tofauti
@kenyafarm98914 жыл бұрын
Nay amesema si mkirito na simuisilamu mbali anaamini kuna Mungu
@safiaothman10984 жыл бұрын
Mbona umesema Mwenyezi "Mungu akinijaalia" kwa hiyo una Imaan na Dini ya Kiislamu.
@iddihassan66024 жыл бұрын
Ney mungu atakuonyesha Kama yupo yupo na ataendelea kuwepo
@danielqambadu76434 жыл бұрын
Huyo jamaa nlikuwa namkubal lkn kwa izo Iman zake simtak tena!
@omaratye21964 жыл бұрын
sasa mungu gani alie kujaalia wakt huna dini
@husseinmhuzali5844 жыл бұрын
Me namuelewa na haha imani na dini yoyote ispokua anaamin mwenyezi mungu yupo na ana muamini mungu
@biggestnasritv26013 жыл бұрын
THE BIGGEST BOSS NASRI
@MariamMariam-jj1uj4 жыл бұрын
Yaani katika mbwa ney namba moja mjinga kabisa wewe lijitu lenyewe looooh kweli wazazi tunashida na watot mama ney maombi yanahitajika kwa mwanao ukiona una mtoto kama ney mtupie choon afue mbali ni hasara kuwa nae
@winfridmsuha13034 жыл бұрын
Kama umeona kalazia karasta nyuma gonga like
@gwamakaallen51105 жыл бұрын
Sasa izo baraka unazo sema zinatoka wp. Angelia kaka hii dunia ya mungu ambae we untaki
@nazmaabdullkarim80224 жыл бұрын
Ushasema mungu alikusaidia ushajua mungu ndio mila kitu full stop
@emmatv54184 жыл бұрын
Mwenyezi mungu na wakati anasema haamin kikanisa
@chunaamina87194 жыл бұрын
Alkufuru Firauni hakuomn kma kuna Mungu adi pumzi ikata alkua tajiri wa Mali fedha dhahabu n. Leo hi yuko wapi seuze ww Huna mbele wala nyuma tamaa tu, Acha adhabu ya Mungu itakufkia if you wl not change
@muhalamiadamu98784 жыл бұрын
Ww nimjinga muimbaji chizi unaejitambua si ndowewe ulieshaa ' mungu yuko wapi, sasa mungu aliekujalia niyupi.
@verojonh25455 жыл бұрын
Mmmh unaiman yako mungu akutoe huko vichan akulete barabaran mana hulijui ulitendalo
@lubungaabakwalavoix37472 күн бұрын
Ni uho uzima ndo unakupa kiburi,ipi Siku utamjua Mungu. Sababu maandiko yanasema kama ijinga usema ndani Mwake hakuna Mungu.
@shabanramadhani21494 жыл бұрын
Ney kumbuka kuwa mungu ndo Kila kitu na hupo hapo kwa neema za mungu Alie juu yeye ndo baba wa mababa
@mshumbusideogratias95675 жыл бұрын
kiburi cha uzma kinakusumbua ipo siku utayakumbka
@adamyohana57495 жыл бұрын
Sasa ukifa tunakuzikaje rafiki wa rucifer ww
@michaelsamasta98754 жыл бұрын
Fatilia mazungumzo yake ana mtaja Mungu anasema Mungu anasaidia msimkumu sana bali kuombea maana maombi yenu yanaweza kumtoa kwenye kifo
@emilyrissling97034 жыл бұрын
Kutaja mungu haimainishi anamainisha mungu muumba mbingu na Dunia,waabudu shetani humuita shetani mungu, Kwa ivyo usishtuke mtu akimtaja mungu,amkeni !!!
@jailosmichaeljosephattv81755 жыл бұрын
sasa nay unazingua unapenda pesa kuliko mungu mwaiyo mungu hana hizo pesa unazotaka
@jacksonnduna44194 жыл бұрын
Kumjua mungu,anzia kwenye pumzi yako hapo we unadhani hiyo juu hapo kaishikilia nani na haina hata nguzo tubu kabla hujadhalilika pimbi ww mungu yupo anatisha kenge ww
@lailmeeea49085 жыл бұрын
We muogope Mwenyezi Mungu haki na uko kujicholachola mwilini kesho majuto
@ibrahimjumanne39534 жыл бұрын
Hakuna kati yetu mwenye uwezo wa kuhukumu matendo ya wengine,sisi sote ni watoto wa Mungu ,dini sio Mungu but imani iko mioyoni mwetu Hakika,ndugu zangu ninaamini Nay ana amini Mungu isipokuwa haamini dini