Nay nakupa big UP 🆙 ukombozi unakuja salute sana kwako mama ni kiongozi aliyeachiwa familia na ninaimani hatokubali kubagua watoto
@AmeldaKavishe-ry9ow Жыл бұрын
Mungu akulinde akuna kitacho kupata kwani ujatukana mtu nchi niyako nawalioko niwako ipende nchi yako ❤
@johnambrose72233 жыл бұрын
Yaani Mimi kama ningelikuwa msanii ningeenda kufanyia muziki wangu kenya au uganda
@rukiasalum7628 Жыл бұрын
Wewe ni jembe mwanangu hongera❤.usikate tamaa jipe moyo
@uwimanacitegetse99263 жыл бұрын
Nikweli wimbowako niwamafunzu 🔥🔥💕sijaona kosa
@bilalamani482 Жыл бұрын
A'm a Kenyan citizen bt a'm a very big fan of Ney. I say big up my brother let's develop our talents. Mungu akueke sana bro
@mr_kajomba_og433 жыл бұрын
Mr Ney nakuelewa brother sijui BASATA wanataka muimbe mapenzi wote
@alphoncelondo6586 Жыл бұрын
God bless you my young bro. Ney ... Hakuna kukimbia hapa Tz NI kwetu... Pigania Haki si muda tutafika ... Naiona Tz MPYA soon.... Ukoloni na mateso haya vinakalibia mwisho. Naiona KANANI MPYA hii hapa... NCHI ya asali na maziwa tunafika kalibuni kesho
@deogratiasbav Жыл бұрын
Bro nazikubari kazi zako.ututungie nyimbo kwa ajili ya viongozi wa East African ususani Burundi.Revolution sound
@winstonkaizilege24623 жыл бұрын
Ney you have a big brain bro..
@auntiwakazi61522 жыл бұрын
Atakama wauzuie ila ujumbe umefika wanaachia nyimbo za nyegezi za tetema alafu hizi zenye poenti ndo hawataki kuziachia wapuuzi sana
@deosixkawishe60623 жыл бұрын
Hongera sana kaka nay.nipo pamoja na ww milele..na ww usikate tamaa licha ya kututetea ss
@wence153 жыл бұрын
Dogo ney kwa hili basata wamekukosea sana sijui nini kuna wakereketa nadhani bado wimbi la hofu walizokua nazo huko nyuma bado hawaamini kama wanatakiwa waache kuishi kwa hofu na mazoea. bado wanaamini matumizi ya nguvu kuliko akili kama alivosema mama. ila sikumoja tu kama ulivosema wataaanguka kama majani maana hawana tena pa kuegemea na mi nafikiri mama akisikia huu wimbo atawakemea waache payo za kufunga funga nyimbo bilakujali gharama na muda wa wasanii uliopotea
@wamburamwita12633 жыл бұрын
Mbona wimbo wake unaujumbe mzuri sana kwa jamii mbona hamzui diamondi anechesesha dada zetu uchi na nidhamu hana fungia diamondi
@Kwelihukuwekahuru Жыл бұрын
Kweli kabisa muziki wa Diamond haunaga maudhui zaidi ya kuchochea uzinzi LAKINI anapeta akina mama nao wanafurahia kudhalilishwa wanaume wamevaa dada wako uchi
@sammycharomwalili67282 жыл бұрын
Mimi nakupogeza braza big up wewe ni mwana jeshi huna uoga wakusikize na waelewe
@godlistenshayo7113 Жыл бұрын
BASATA wenda wanataka nyimbo za mapenzi, za kuikubali serikali ya mama n upuuzi mkubwa ila bro BIG UP may God bless you
@happykimomo16443 жыл бұрын
Me nazikubari nyimbo zako ney wa mitego,zinamafunzo alaf unatumia akili sana
@BARBERJAY0012 жыл бұрын
Bigwa ,jembe,mkombozi uko sahihi much love from Mombasa kaka 💯💯💯🙏🙏🙏🙏🙏
@HemediAhmedi Жыл бұрын
Hongera sana nay munguakubariki bora wangefungianyimbozamatusi yanihawa kwelimashetani wakubwasanaaa tena jahannam inawahusu yani nyimbozauchi zamatusi wanaziacha
@vitusjackson1354 Жыл бұрын
The measure of a human being is not where he stands during times of hardship and comfort, but where he stands during times of challenges and conflicts
@bableejy15773 жыл бұрын
Kamanda✌️✌️🔥
@MwigaSizani-mi1mt Жыл бұрын
Kaka Mimi nakubali sana wanaonufaika katika serekali hii ni wachache tu tusemee ili wanyooke
@alphoncewilliam4325 Жыл бұрын
Ney hongera nyimbo nzuri
@gaudencekapelembe94372 жыл бұрын
Nay mungu anàkuongoza sana
@sylvergate96533 жыл бұрын
Unaeleweka sana. Kwanza unajua kuzungumza,,, tafuta nafasi kwenye mihimili ili upate nafasi ya kuwasemea wanyonge
@westonyjob17473 жыл бұрын
True boy
@StephenMtei-mw3kz11 ай бұрын
Sema brother nay
@collinsmakanta68983 жыл бұрын
Kwani Shangazi Halima Wenyewe Wanamjua, Na Baba Kuwa Mkali Labda ni Baba Yako
@pilichumu93313 жыл бұрын
Big nay tunakupend sema unakaa sana sana sana bila kukaaa kimya
@CalvinGiggs-ed8ht Жыл бұрын
pamoja blood we are together wanyonge tunateseka ila kwa kua na mtu kama wewe our life will be better soon throuh you bro
@alikimera15833 жыл бұрын
You are a very creative MC. Lots of love from ug.
@tumainialbati60433 жыл бұрын
Uko watajua wenyewe si nyimbo tushachukua tutaisikiliza popote pale, lamda basata watufatilie mitaani tusisikilize
@michaelvicent88913 жыл бұрын
duh naitafuta hiyo nyimbo we Tumaini Albati unayo??
@newtonmwewa6220 Жыл бұрын
We are together brother
@omaryhamisi620 Жыл бұрын
big up San brow ww sema ili yawaume
@halimadavid57423 жыл бұрын
naitwa iddy sonyo bnafsi nashangazwa na hawa basata wimbo wa baikoko ukiuchunguza unamatusi yawazi kabisa lakini haukufungiwa ila huu wa ney niwimbo bora kabisa ila umefungiwa sijui kwann tunamasikio na macho ila tunalazimishwa kuwa vipofu na viziwi binafsi huu niwimbo bora kabisa ukiachana na siasa hata kwenye family zetu hayo alioyaimba ney yapo kiukweli wamemuonea sana ivi wameusikiliza vizuri jeje kuna wimbo wa linah na dogo janja wausikilize vizuri halafu wafafanue waliupitisha vipi
@georgedimoso7272 жыл бұрын
Baseta wajinga mnoo
@GelewaEmmanuel2 күн бұрын
❤ok
@DaudiZakayo-fn5bp Жыл бұрын
Nimekielewa wewe nimsanii mwenye upendo na watanzania wote
@ruwamafu41923 жыл бұрын
Ney namkubalii sana yy anachokisema kwa utungo wake husema ukwel
@iremerimanaemery64073 жыл бұрын
Umeongea point
@jumasaidi81573 жыл бұрын
Ney nakuelewa
@renatusialex7949 Жыл бұрын
Usiogope kaka nay wewe mwanaume maana wanasema mwanaume atakula kwa jasho lake usikate tamaa kaka bigapu sana wasikutishe
@HamadAbubakary9 ай бұрын
Nakubali
@espoirmalekanimutuyakweli69702 жыл бұрын
$mutu ya kweli$
@renatusialex7949 Жыл бұрын
Na mungu atakulinda tunakuombea duwa uku kaka.
@KhadijaChonanga-h4x Жыл бұрын
Nakukubali kak mung hakupe nguv na hakuepushie kil lililo bay
@kelvindastan768215 сағат бұрын
na kukubali sana mwamba
@irenemsumba67763 жыл бұрын
Ukweli unauma
@princemajinge22062 жыл бұрын
ney jina lako pekee ndio linafaa tukutambue vema ney asili yake ni mbishi.safi bro
@gaudencekapelembe94372 жыл бұрын
Nay mungu you nawe
@stevenbenard6603 Жыл бұрын
Ok
@bernicetunda90513 жыл бұрын
Nymb Kal ujumbe umefika wakubal wakatae baba Alikua.mkal🔥🔥
@amaryabdallah34363 жыл бұрын
Upo sawa ney
@godlistenshayo7113 Жыл бұрын
bro ndo kawaida ya wabongo ndio maana ha2endelei mbele
@leahvenas41402 жыл бұрын
Nakukubali sana ney unajua na hayo ni mapito tu yatapita
@omanomana39583 жыл бұрын
Fungieni Wachafu Sio Haki Kabisa Ny Big Up
@getrudalufega97703 жыл бұрын
Ney mungu anawaona
@omanqqwe4061 Жыл бұрын
❤❤❤❤
@jonasjackson7838 Жыл бұрын
The story book
@greatiq78353 жыл бұрын
Nay, jifunze kusimama ki-muziki bila kuwatumia (kwa staili ya kuwazodoa) wengine!
@BenardSambilo Жыл бұрын
Ney wewe ni mwanaume na mungu atakupambania
@isayasoingeilukumay8122 Жыл бұрын
👍
@elizabethmsemo68613 жыл бұрын
Huyo mbwiga hata nchi ange hama tu asihalalishe mibange yake tuikuibali ,vya kuimba vipo Ving una msema vip marehemu mweshimiwa wetu ,pengine bila yeye kuingia tusinge kuwa na fly over leo
@alexfikiri52003 жыл бұрын
Wimbo tumeupokea vizuri kwanza uko na heshima nyingi kuliko zote wapeni Uhuru wasanii kwa lolote lenye linaukweli kwa nini wanasiasa wakifanya makosa hamtaki waambiwe mm ningekua naeza kuimba mm ndiye ningekua Nay wa Kenya au ningekua Roma juu hku Kenya htuna wasaanii wa kuwachambua wanasiasa basi wana Fanya dhulma nyingi
@franktemu17743 жыл бұрын
Ney siku nyingine ukitaka kutoa mwarobaini we kuja kenya
@pauljobmasue65623 жыл бұрын
Ney hongera kwa kile unachopania Na unauharakati wako
@solalazaro7343 жыл бұрын
Unatisha sana tuko pamoja sana kamanda
@renatusialex7949 Жыл бұрын
Mwisho wa mnafiki ni (ahibu) sasa haibu yawadia sisi wanyonge watuona atuna haki yeyote sasa ngoja kaka nay awaumbuwe sasa
Ney usikate Tama hata sisi masikini tupo nawewe endereya kutuwakilisha ichi nayetu sisi wote hakuna litakalo gukuta kwasababu unasema kweri usihogipe
@jadewynedwards4603 Жыл бұрын
homie umechemsha mama anazingua ana huruma na watu bro
@richgambi6694 Жыл бұрын
Ney umeokoa wanachi walio lala kama hukumpenda baba utampendaje mm mm naona baster ikae chini tafsiri wimbo kwaza
@mustafaramadhan62463 жыл бұрын
Mmhh basata uonevu unazidi
@fadhilinzano5840 Жыл бұрын
Ukweli unauma wapigaji wote wamerudishwa kazini nazani hiyo line yamoto kwao hip hop
@jazzcellc65633 жыл бұрын
Ney ulipo tupo tu nakukubali sana umeonga hukweli mtupu ww komando wa ukweli ulichokiimba niukweli mtupu
@cknoerazalo43623 жыл бұрын
Tume kuelewa Kaka ume fikishaa ujumbe kwa mama ye 2
@aminaramadhani46303 жыл бұрын
Nakubar Sana nay .
@JosephJohn-uv3dx Жыл бұрын
We ndo raisi wetu anaebisha na abishe ila we ndo mtanzania mwenye upendo na mashabiki zako
@philemonmkumbo96952 жыл бұрын
Wamechelewa tushaipataa ccm mtahangaika sana hamtatutawala milele manina zenu tupo tayari kufa hakika time will tell
@abisoluvanda27603 жыл бұрын
Ingekua kwangaru rimix ingepigiwa makofi
@hamisibaharia-bl9og Жыл бұрын
Mziki wake zaidi ya siasa
@renatusialex7949 Жыл бұрын
Umenena kaka nakukubali saaaana!
@peteruzia83132 жыл бұрын
Kwani yanayotendeka hatuyaoni wakati tunaona.mungu atafanya kitu.
@mrsinia30643 жыл бұрын
Huo uonevu sasa! Nay kaimba vzr
@EmanuelMwangindo Жыл бұрын
Mngu akutie nguvu
@shawaljuma5581 Жыл бұрын
ccm awo na mambo yao
@fettyprecious34722 жыл бұрын
kwer kaka
@SalumuMadra-u2n Жыл бұрын
Kaka Ney chapakazi kaka Usirudinyuma kk
@fredreckmwakalinga34753 жыл бұрын
Ney nakukubali kinyama mdogo
@kulwajohn-dl3oe Жыл бұрын
Ney achia ngoma nyingine tuone sasa na iwe kama iyoo tuko pamoja
@bonifacembilinyi55763 жыл бұрын
Mtangazaji hapo mwanzo umekosea , hebu kuwa makini unapohoji watu usitumie baadhi ya maneno yasiofaa
@bilikhamis89632 жыл бұрын
Wanatak uimbe mapenz au uwasifie nchi yet wakat hakuna chakusifia labd Aman tulio nao lakn kweny kutetea Wana inchi
@Vivan47 Жыл бұрын
Usichoke brother waambie Tanzanian sio nchi ya kuishi na njaa au umasikini aaaaaah serekali mnazinguwa also wabunge mnakula bure aaaaaah
@lemamoleli43202 жыл бұрын
ney ukogd sana ukosaii
@farajingonyani483 жыл бұрын
Ney usijitoe bhana nyimbo zako zinafundisha
@leonardroya6299 Жыл бұрын
Tucheni sisi tunaopenda muziki tusikirize mziki nyinyi basata mnaopenda kuangaria uchi endereeni nyimbo ambazo atuwezi kuangalia na watoto wetu na mama zeti na baba zeta azifungiwi nyimbo ambazo zinatetea maisha yetu mnazifungia
@BenardSambilo Жыл бұрын
Ila mungu anamuona mm na ccm binafsi 2025 tumemaliza ikiwa mkataba wa bandari utaenda kufanya kazi.
@historie3096 Жыл бұрын
Huyu Mwandishi anasema "Kimavi"? Ndio lugha ya Waandishi wa Habari? Bure kabisa.
@philemonmkumbo96952 жыл бұрын
Ukombozi halisi unakuja hamtawexa zuiaaa
@neemakamgisha2951 Жыл бұрын
Huwa nasikia msanii ni kioo cha jamii sasa ndio hiyo
@davidsaanane79393 жыл бұрын
SHERIA ZINATUNGWA BUNGENI, BUGENI KUNAWAWAKILISHI WA WANANCHI WAKITUNGA SHERIA HIZO, SHERIA HIZO HUKUTANA UPINZANI KUTOKA KWA WATU WANAOWAWAKILISHA. WHERE IS THE DISCONNECT?
@BenardSambilo Жыл бұрын
Mama alichobakiza ni kutuuwa tu mana kitendo cha kuwakabidhi bandari warabu hakina afya kabisa.