Nikweli lpm unachosema nahayo mavi wanayoyatumia nihao waliowauwa 😢 ndo mavi yanatumika kutafuta misukule mingine watu wamefungwa hawaelewi
@janengaga29282 ай бұрын
Macho yafunguliwe ya rohoni . nyakati hizi ngumu.madanganyiko Mengi mno.
@florencemushi6561Ай бұрын
IPM uchawi uko ktk uislam my braza. Nakuomba ufanye kazi aliyokuitia Mungu wa kweli. Ushuhuda wako ulionyesha uliitwa direct na Bwana Yesu.
@florencemushi6561Ай бұрын
Sasa my dear IPM mpaka leo imedhaielewa Biblia vizuri sana na sababu ya Yesu Kristo kuja Duniani. Inakuwaje tena unachinja makafara ili watu wasamehewe dhambi wakati hiyo kazi alishaimaliza Yesu mwenyewe?
@johnsonmichael9452 ай бұрын
Wew ni pasta msemaj kweli MUNGU akubarik san
@CastoryKapinga-nb7ht3 ай бұрын
IMP kuna wakati Roho Mtakatifu anamtumiaa vyemaa kama.hapa anapowekaa wazi barikiwa sanaa ,ila kuna wakati anaupitiwa na ubinadamu anaharibu kidogo
@MagdalenaMatiko4 күн бұрын
Wew unasubiri nini kuleta inzi
@princenelsonsinko52372 ай бұрын
Ahsante sana mtumishi kwa kulete uelewa
@kayajaexpress83132 ай бұрын
Kweli kama kaka yangu wakwanza Ndani ya family yetu ame wa uwa wazazi na alitaka kutumaliza sote Ila ame gunduliwa na hela alizo tafuta ajapata atakidogo ju tuli shikisha waombaji
@edwinmbunda67093 ай бұрын
Kweli kabisaaa
@AishaKatembo20 күн бұрын
Leo umeongea
@michaelsamson96633 ай бұрын
😁😁wachungaji wengi wamekuwa wachawi
@KennedyNgusa3 ай бұрын
Upo sawa sana Leo kaka
@manumunemanumune-uj6jqАй бұрын
Amen
@walternaiso3 ай бұрын
Kweli mtumishi wa mungu
@tinnahagustinolyelu42473 ай бұрын
Ameen baba
@joshuaezekiel82573 ай бұрын
Amen kubwa
@mustafamsati95993 ай бұрын
Watu wanaanguka kama kuku na wiki ijayo wakiangushwa wanaangukatena mapepogan yasioisha?
@AverinaShirati3 ай бұрын
Kiboko wachaw
@erickngatunga23593 ай бұрын
Wakristo wajinga Huwa wanapigwa sana hela
@uwezawamungumkuu.amaniafrika2 ай бұрын
Wakristo nawasihi sana mwaminini Mungu mkuu nawasihi tena. Dunia ipo gizani na dunia inaporomoka na inazidi kuporomoka. Mungu wa Rehema na aturehemu. Amen.
@uwezawamungumkuu.amaniafrika2 ай бұрын
Siri za watumishi wengi mnazijua wenyewe hao mnao wahudumu wapo gizani. Mungu mkuu awasaidie watu wake. Amen.
@MfiriFulgensi2 ай бұрын
We ni mjinga unajifariji mungu hawezi kukutumia halafu uwe na waumini wawili docta mzuri akose wagonjwa wakati magonjwa mengi?
@DamasjoachimPetro3 ай бұрын
Wivu tuu unawaongoza watumishi wengi, Jambo jema likifanyika Nila shetani, baya likifanyika hawasemi, unakuwa Kanisa la kikristu na kuteseka na magonjwa na utasa inasikitisha sana, Kiboko y’a Wachawi Mungu anakutumia sana, we love you