Рет қаралды 149,647
Tukiwa bado kwenye maombolezo, CloudsMedia imefanya mazungumzo maalum na Naibu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ambaye amezungumzia msiba wa Hayati Rais Dkt John Magufuli na hali nzima ya kufanya kazi chini ya uongozi wa Hayati Rais Magufuli.