”NAIBU WAZIRI BASHE NA SIMU ZA USIKU ZA HAYATI RAIS MAGUFULI/ KIKAO NA DKT. MPANGO"

  Рет қаралды 149,647

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

3 жыл бұрын

Tukiwa bado kwenye maombolezo, CloudsMedia imefanya mazungumzo maalum na Naibu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ambaye amezungumzia msiba wa Hayati Rais Dkt John Magufuli na hali nzima ya kufanya kazi chini ya uongozi wa Hayati Rais Magufuli.

Пікірлер: 269
@meena-ol6fo
@meena-ol6fo 3 жыл бұрын
Bashe umemuelezea vizuri sana shujaa wetu
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 3 жыл бұрын
Interview nzuri sana. Big up sana. RIP THE SON OF AFRIKA JPM
@hadijaalpha7547
@hadijaalpha7547 3 жыл бұрын
Nimeipenda interview hii!Bashe siku zote ni mkweli umemtendea haki my President ❤ apumzike kwa amani 🤲🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@simonthomas7969
@simonthomas7969 3 жыл бұрын
Hussein Bashe uko vizuri kazi ya mbunge ni kuishauri serikali na siyo kwenda kulala bungeni keep it up
@queenpiscator6117
@queenpiscator6117 3 жыл бұрын
Safiii sana ubarikiwe umeongea point
@pendael02
@pendael02 3 жыл бұрын
Mh Rais alikuwa halali kwa ajili ya Watanzania na Tanzania.
@margarethorgenes4874
@margarethorgenes4874 3 жыл бұрын
Uko vizuri Sana kijana Bashe kwa usikilizaji na kujibu maswali kwa ufasaha. Kuna wengine wamekuwa na majibu ya AJABU katika kujieleza kuhusu marehemu Dr. Magufuli, wanaweka challenge kana kwamba baada ya kifo chake kumenoga, Tanzania mpya na hata kubeza kazi zake.
@godfreykacholi4886
@godfreykacholi4886 3 жыл бұрын
The journalist has done a good job. Congratulations
@annapeter4994
@annapeter4994 3 жыл бұрын
Bashe alikuwa akisema ukweli... Mungu akubariki maana hukuficha ukweli kama wachumia tumbo wengine walikuwa waoga..
@innoboy6768
@innoboy6768 3 жыл бұрын
Msema kweli ni mpenzi Wa mungu , Tunataka Viongozi wa kweli Kama Bashe ... MUNGU Akubaliki Sana
@tanzaniaoman6423
@tanzaniaoman6423 3 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania ,Buriani JPM
@iddykivu1336
@iddykivu1336 3 жыл бұрын
Moja kati ya Intervew Bora kabisa kwakweli Nimeifuraia sana sana Bashe Namuelewa sana
@mwana4599
@mwana4599 3 жыл бұрын
Excellent. Keep it up Hussein.
@happynesskibona2679
@happynesskibona2679 3 жыл бұрын
Upo makini na kazi yako nenda mbele my broo jipe moyo upo Okey 🙏🙏🙏🙏🙏
@mbantu5704
@mbantu5704 3 жыл бұрын
Haven't changed since school..... MashaAllah. Stay on the truth my brother. May Allah protect you and the legacy of JPM
@yussuphsultan1400
@yussuphsultan1400 3 жыл бұрын
Bashe uwezo uko juu, endelea kuwa mtulivu na mvumilivu utafika mbali!!Allah sw akuweke!
@bercahot152
@bercahot152 3 жыл бұрын
Nice interview!! Interview zangu ambazo nimeziangalia Mwanz mpaka mwisho
@sameermilo4907
@sameermilo4907 3 жыл бұрын
Tunakukubali brother Hussein bashe , One day Huenda ukawa Rais wetu 🇹🇿 kwa miaka ya mbele, Mungu akipenda . Rest in Peace Hayaty Magufuli 🇹🇿💔
@maximilliankassimmakarabek7401
@maximilliankassimmakarabek7401 3 жыл бұрын
Nakukubali sana bashe huna makuu na unachapa kazi kwelikwel
@jabarmalid5393
@jabarmalid5393 3 жыл бұрын
Ilo ulilosema apo juu ata likitokea sitakuja Shangaa. Safi sanaa
@franciscomasungulwa3575
@franciscomasungulwa3575 3 жыл бұрын
Journalist umejitahidi kufanya mahojiano mazuri....Hongera
@bustani-inn7328
@bustani-inn7328 3 жыл бұрын
Kabisa, maswali yake yameenda shule...amefanya maandalizi ya kutosha
@salustinavicter4649
@salustinavicter4649 3 жыл бұрын
Bashe pambana. Mbele yako kuna mazuri zaidi yanakuja mbele yako unachapa kazi kijana
@issakawaya8315
@issakawaya8315 3 жыл бұрын
Hongera ww ni uso wa taifa
@mmwaupete6265
@mmwaupete6265 3 жыл бұрын
Well done Mheshimiwa Bashe, hii ni baadhi ya interview chache ambazo zina contents za maana kwa Taifa. Mungu akubariki sana Bashe na hasa kwa kuwa mkweli na muwazi katika mambo unayoyafahamu na hasa yanayohusu Taifa. RIP Rais Dr John Pombe Magufuli, mzalendo wa kweli.
@omadal1
@omadal1 3 жыл бұрын
From Kenya but so impressed by this Leader haki Tanzanians you are lucky to be a Tanzania.
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 Жыл бұрын
Namkubali tena saana watching from kenya😊
@rahmaramadhan9773
@rahmaramadhan9773 3 жыл бұрын
Mashallah upo vizuri Sana speech imenivutia najiona sipo mnyonge hayati magufuli kafunza wengi ninaimani tutafika alipo pataka in shaa Allah mungu awasimamie kila sektar zote mungu ailaze pema Rais wetu mpendwa Rais wetu magufuli
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du 3 жыл бұрын
Bashe una kipaji. Taifa linakuhitaji. Allah akuhifadhi. By the way, jogoo wako kabambe!
@samsonkasebwa7013
@samsonkasebwa7013 3 жыл бұрын
Bonge la moja ya interview, hongera mtangazaji,hongera sana mh Bashe nakuona mbali sana kama itakua sio figisu za Ccm, be blessed 🙏
@happynesskibona2679
@happynesskibona2679 3 жыл бұрын
Broo nakukubali sana upo Okey jipe moyo chapa kazii
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 3 жыл бұрын
Interview moja nzuri yenye contents mujarabu kabisa,,, hizi smart talks twazitaka nyingi hapa TANZANIA kwa ajili ya ku-shape mindset za watanzania wengi
@fatumafatuma1459
@fatumafatuma1459 3 жыл бұрын
Allah akubari uje uwe Rais brother nakukubali
@gloriamichael7935
@gloriamichael7935 3 жыл бұрын
Bashe pole na msiba pole sana Mungu akupe nguvu pole
@salmaluhombero8466
@salmaluhombero8466 3 жыл бұрын
Kumbe baba alikuwa apumziki kwa ajili yetu hakuwa na vacation ndio maana kaondoka mapema hakuwa na muda wa kupumzika dah kapumzike baba umetuumiza Baba yetu jamani
@ruqayaruqaya4283
@ruqayaruqaya4283 3 жыл бұрын
@anna John tunaumia.sote ndg 😭😭😭😭cnta msahau apumzike.kwa Amani.
@ruqayaruqaya4283
@ruqayaruqaya4283 3 жыл бұрын
Sn 😭😭😭😭
@arthurmwabulambo1201
@arthurmwabulambo1201 3 жыл бұрын
Well done Bashe. Keep it up iko siku itajibu.
@mohamedalirachidi380
@mohamedalirachidi380 3 жыл бұрын
bashe safi sana wewe ni mbunge unaye jua kujieleza na unapenda nchi yako hangera kaka nina imani na wewe ipo siku utakuwa kiongozi mkubwa inshaa allah
@ignassalmon0608
@ignassalmon0608 3 жыл бұрын
Moja kati ya mahojiano mazuri mwaka huu wa 2021. Hongera sana Mheshimiwa naibu waziri wa kilimo ndg. Hussein Bashe kwa namna ambavyo umejibu maswali yote kwa ufasaha. Tunaona uongozo imara na wenye mwelekeo chanya ndani yako. Kama kijana ambaye kila wakati ulipopata nafasi ya kusimama bungeni ulikuwa unatoa hoja zenye mashiko zenye kuleta changamoto kwa serikali na kuifanya kwenda mbele zaidi katika utendaji wake. Maana ya kiongozi ni kuweza kusimamia kile unachokiamini. Ndani yako kuna hazina kubwa sana na tunauona uzalendo wa kweli kwa nchi yako. Tunakutakia utumishi mwema na Bwana Mungu azidi kukutunza na ulinzi wa kimbingu uwe juu yako kwa ajili ya mama Tanzania
@yahyamkone5601
@yahyamkone5601 3 жыл бұрын
Kweli bashe imeongelea vizuri Sana kuhusu malehemu magufuli
@minmaxc485
@minmaxc485 3 жыл бұрын
huyu mwandishi anaelewa kuuliza na kumpa mtu muda wa kujieleza na maswali adimu siyo yaleeee tuliyozoea 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
@georgewilliam6001
@georgewilliam6001 3 жыл бұрын
Sometime inategemea na mtu unaye muhoji...Bashe anajua kuzungumza na ni mzungumzaji
@nyumbanituthegendaheka7222
@nyumbanituthegendaheka7222 3 жыл бұрын
Bashe unae Akili na uelewa mzuri jùu ya kazi za Ankoo Magufuli.✊🏿
@faisalikassim3837
@faisalikassim3837 3 жыл бұрын
Asante kumbe umempta vzr jamaa yuk vzr so masihara
@bimaphd8301
@bimaphd8301 3 жыл бұрын
Huyu Dada anakipaji kikubwa sana. Kwa hii interview anapaswa apandishwe juu 360
@kautharjadid4287
@kautharjadid4287 3 жыл бұрын
HUSSEN Nakupenda ww ni mkweli halafu upovizuri ww ni kichwa mchapa kazi
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 3 жыл бұрын
Hakika
@ramadhaniamiri8003
@ramadhaniamiri8003 3 жыл бұрын
Kama unaamini bashe anauchamungu ndani yake gonga like
@vallerinejesse2299
@vallerinejesse2299 3 жыл бұрын
Bashe umesema ukweli lv you.na hata wewe ktk masuala ya kazi usicheke na wazembe! Na ninakumbuka miezi kama miwili kwenye mkutano wake kuna kitu ulimweleza akasema hadharani amefurahia mawazo yako.ww kijana Bashe chapa kz nakutabiria makubwa mbele na kamwe usivutwe na wale 2014 kaa nao mbali kama ukoma !! Ili watanzania tuje tumuone MAGUFULI ndani yako.💪💪
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 3 жыл бұрын
Uko sawa Bw.Bashe,ni mawazo yako jinsi mlivyofanya naye kazi. Wakati ukuta,mengi yatasemwa, mabaya na mazuri yake, binadamu lazima apakwe mafuta upande,na upande matope,lkn yote ktk yote nilipenda sana misimamo yako ya ukweli, Mungu akuinue Bashe ushike nafasi kubwa zaidi kwa manufaa ya Taifa zima. R I P JPM
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 3 жыл бұрын
Husein Bashe nakutabilia siku moja utakuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania maana una hekima sana
@saidseleman6004
@saidseleman6004 3 жыл бұрын
Yuko vizuri tumuombee
@annayakobo7686
@annayakobo7686 3 жыл бұрын
Unaweza kuwa raisi kaka Mungu akuongoze
@musason1680
@musason1680 2 жыл бұрын
Hata mm nitafrah sana
@franciscomasungulwa3575
@franciscomasungulwa3575 3 жыл бұрын
Safi sana Bashe kwa uwazi wako!
@gabrielomondi4630
@gabrielomondi4630 3 жыл бұрын
Interview nzuri...hongera
@zaidihussein4311
@zaidihussein4311 3 жыл бұрын
Bashi mdogo wangu nakukubali Sana raisi wangu wa baadae
@renathamartin6272
@renathamartin6272 3 жыл бұрын
Bashe ana utulivu mkubwa sana wa akili, mstaarabu, muelewa, mkweli, mzalendo. Bashe for presidency 2035. Like if you wish the same
@saidabdalla8996
@saidabdalla8996 3 жыл бұрын
Jamaani tuwe wakeli ivi yule lissu ataweza kweli kuongea na watu hawa kweli maaana huyu jaamaa anaonekana anawexa kuwa ata rais wa nchi
@mishengoma2495
@mishengoma2495 3 жыл бұрын
Bashe hongera sana. Ni Waziri makini, anayejiamini na msema ukweli Nachukia watu vigeugeu kama akina Kigwangala
@abdulatifmoxamed8047
@abdulatifmoxamed8047 3 жыл бұрын
Upo vizuri dada lakini lugha yetu kiswahili tuitunze unasikilizwa au unasikika mbali maneno kama hakunaga au nakwambiaga tujitahidi tuyaache iwe hakuna au nakwambia ushauri tu
@eliakomba1603
@eliakomba1603 3 жыл бұрын
🌙
@sylvesterchristopher8308
@sylvesterchristopher8308 3 жыл бұрын
Waandishi wa habari wengine wajifunze kwa huyu dada. Kweli ameitendea haki taaluma yake. Well done dada
@mtesigwalulale2942
@mtesigwalulale2942 3 жыл бұрын
Uko vizuri bashe
@7191cany
@7191cany 3 жыл бұрын
Nimekuelewa Bashe
@DottRoBroc
@DottRoBroc 3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty
@samedward4211
@samedward4211 2 жыл бұрын
If you don't mind, come and visit our beautiful Country.. will be your Host
@ivankakooza1765
@ivankakooza1765 2 жыл бұрын
Exactly bro
@mohamedalirachidi380
@mohamedalirachidi380 3 жыл бұрын
kwa mazungumzo ya mbunge bashe mama samia suluhu ana kazi kubwa. kuna viongozi ndani ya ccm hawapendi ukweli mfano nape ridhuwani kikwete janauari makamba na sisi wanchi tuna taka nchi yetu iyende mbele isiwe nchi ya ccm wezi
@davidmosi3464
@davidmosi3464 3 жыл бұрын
Rais wa 2030 bashe
@malulufrank7871
@malulufrank7871 3 жыл бұрын
Clouds huyu dada akae pale 360 mtanikumbuka
@gracethomas683
@gracethomas683 3 жыл бұрын
Ulivyomalizia kusema sasa imebidi nicheke😁
@jameskahasa2247
@jameskahasa2247 3 жыл бұрын
Malulu
@FIFO28
@FIFO28 3 жыл бұрын
Bashe uko vizuri sana... nakukubali. Natumai one day utashika nchi yetu ili uboreshe maisha ya mtanzania hasa upande wa kilimo...
@junioryasin5306
@junioryasin5306 3 жыл бұрын
Sahau
@stewartstephen5067
@stewartstephen5067 3 жыл бұрын
To my opinion, i think this gentleman deserves a docket of ministry of industry and trade as a full minister should the country wish to see real reforms in that area. Huyu tulietangaziwa bado namuona ni mwanasiasa zaidi kuliko uelewa na utendaji.
@kambamazig02024
@kambamazig02024 Жыл бұрын
This is one of the best interviews of the 21st century in Tanzania. Mh. Bashe you just said it all, I wish all Africans will watch this interview. I shed a lot of tears of joy to hear Bashe articulating this! RIP Magufuli and Bashe thanks a lot for humanizing him at a level a lot of people could not articulate it. Kudos to Dr. Samia for carrying forward the vision of our nation. Aluta Continua!
@peninasnyamhanga4860
@peninasnyamhanga4860 3 жыл бұрын
Safi sana mh Bashe umeongea ukweli wako kuliko wanafiki wanaongea ubaya wa mpendwa wetu
@dinahawouragai2701
@dinahawouragai2701 3 жыл бұрын
Wow!A promising young leader.So impressed.I wish we had the same in Kenya.
@FIFO28
@FIFO28 3 жыл бұрын
Back your people came to Tanzania 🇹🇿 to learn leadership skills. They don't come anymore, so you can't get this products as used to be back then
@titusmachumu8487
@titusmachumu8487 2 жыл бұрын
NAOMBA AND I HAVE TO BE AT HOME AND I
@mazukasimon8618
@mazukasimon8618 2 жыл бұрын
​@@FIFO28 m.v.b
@nestor384
@nestor384 3 жыл бұрын
Well said brother Bashe, Unaeleza halisi ambacho hata mwananchi wa kawaida atakueleza. Siyo ya kina Nape kuanza kujenga vijihoja vyenye dhihaka ndani yake Nape anasema mama kaja kutufuta macho like if before tulikuwa tunalia!.
@abdulrahimmohamed7066
@abdulrahimmohamed7066 3 жыл бұрын
Bashe my somali brother, uko vizuri kaka . Jamaa anaongea point tu
@mussamwamoto8231
@mussamwamoto8231 3 жыл бұрын
HONGERA SANA MH BASHE,NIA AINA YA KIONGOZI NIVIGUMU KUMUELEWA KTK USO WAKE ILA NI KWA VITENDO ANAVYOFITAFSRI KTK HISIA ZAKE ZA DHATI A KIMAAMUZI NA NDOMA JMP ALIKUELEWA BAADADA YA KUKUTAFAKARI NA KUKUELEWA.JPM HE WAS HERO,REFORMER,PAN AFRICANIST,NATIONALIST AND AFRICAN IDIOLOGIST-HUSEIN BASHE
@happynesskibona2679
@happynesskibona2679 3 жыл бұрын
Pole kwa kufiwa na Mama yako jamani lkn jipe moyo fanya kazi songa mbele chapa kaziii
@francisrukeisa6299
@francisrukeisa6299 3 жыл бұрын
Ahsante sana Bashe kwa kuongea ukweli na uwazi.Napenda sana hoja zako zenye proper mind-set bila unafiki,Mungu akulinde na baadae utakuja kuwa kiongozi mkubwa.
@gracemima5234
@gracemima5234 3 жыл бұрын
Ulikuwa sawa kabisa. Serikali ya nne ilikuwa haifanyi vizuri kabisa. Kuna wengine walikuwa wananong’ona. Na ndiyo maana Rais Hayati Magufuli aliweza kukuchaguwa.
@ellyswai1801
@ellyswai1801 3 жыл бұрын
Basheeee
@nyandwiziyada6451
@nyandwiziyada6451 3 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima Jemedari wetu
@br.samwelmparange4986
@br.samwelmparange4986 2 жыл бұрын
Big up Mh. Hussein Bashe. Kati ya watu waliomjua Mwenda zake R.I.P Dr. Magufuli . Mungu akuzidishie Miaka mingi ya kuishi ili utuhudumie kwa kadri ya vipaji ulivyojaliwa na Mwenyezi Mungu kuwahudumia binadamu wenzako hususa Waafrika kwa ujumla.
@mwikwabezablon8593
@mwikwabezablon8593 2 жыл бұрын
6
@ibrahimm9301
@ibrahimm9301 3 жыл бұрын
Tanzanian are so patriotic. I wish Kenyans wangefuata mfano wa Tanzania. This guy is so smart and well spoken. Not to forget good looking too.
@tanzaniatouristsattraction1622
@tanzaniatouristsattraction1622 3 жыл бұрын
Hahaha..Good looking too
@farikkaqueen2367
@farikkaqueen2367 2 жыл бұрын
thank you his my cousin 💯👏🏿
@tahiraabdul1701
@tahiraabdul1701 Жыл бұрын
​@@farikkaqueen2367from degodia or Ogaden? Masha Allah
@fatumafatuma1459
@fatumafatuma1459 3 жыл бұрын
Mashalla Mh Bashe unajibuu vizuri ninakukubali🥰🥰🤲Allah akbar
@masungamashauri4070
@masungamashauri4070 3 жыл бұрын
Nakuaminia sana Mr Bashe kwa sisi tunaopenda Tanzania business tunajali sana mchango kwa Taifa Tanzania kama kijana .Na nimategemeo na mapenzi yangu kuwa unatakiwa kuwa Waziri kamili na hatimaye kiongozi mkuu zaidi ,it's my overview honestly
@c-4839
@c-4839 3 жыл бұрын
Eloquent, intelligent and humble. Keep on training brother, acquiring more wisdom not abandoning empathy on the common citizen. And perhaps someday you will be the shining beacon for Tanzania and Africa as well.
@thomaskaungo11
@thomaskaungo11 3 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana bashe
@husseinabdiaziz9674
@husseinabdiaziz9674 3 жыл бұрын
Dada mtalamu kweli shukran kwako dada na basha
@ApostleGodwin
@ApostleGodwin Жыл бұрын
Thanks Mheshimiwa Naibu Waziri Wa Kilimo nimejifunza mengi kupitia mahojiano haya nikiwa chuo cha Paradigms institute of health science Barikiwa Sanaa na Mwenyezi Mungu.
@dalmasmzalendo727
@dalmasmzalendo727 3 жыл бұрын
Smart talks in the right time big up bashe
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 3 жыл бұрын
Mmmmmm
@francisrobert9652
@francisrobert9652 3 жыл бұрын
mh bashe upo vizuri sana big up
@wilfredgeorge3181
@wilfredgeorge3181 3 жыл бұрын
Clouds huyu mtangazaji ni 🔥🔥🔥🔥
@musason1680
@musason1680 2 жыл бұрын
Yupo vizr mno
@peterkalii5939
@peterkalii5939 3 жыл бұрын
Big up Bashe I like your presentation in Parliament
@hendrycomonsiwenga1128
@hendrycomonsiwenga1128 2 жыл бұрын
Interview hii imenifanya nitoe tena machozi nikimkumbula Baba aliye jitoa Sadaka kwa ajili ya Nchi yake ya Tz. Pumzika Kwa Amani Hayati Dk. JPM uliye kuwa Rais wetu. Daima utaishi Moyoni mwangu. 😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
@zuhurakassu1427
@zuhurakassu1427 3 жыл бұрын
Unaheshima na hekma lazima kuongea unachojua
@marysule5303
@marysule5303 3 жыл бұрын
Mi nakukubali sana bashe wewe ni mzalendo wa kweli
@eliakomba1603
@eliakomba1603 3 жыл бұрын
ahaa wapii
@frans_dede
@frans_dede 3 жыл бұрын
Tumempotez J.P.M kipenz Cha weng, sasa tumempat Samia ambaye namuona waz anaend kutupotez yaan hawa wazung ni kama wamemnunua. R.I.P Mr. JPM😭
@bahatihaerter5651
@bahatihaerter5651 3 жыл бұрын
Nimejisikia machozi yananitoka Mungu amlaze mahala pema peponi
@hawaabdallah4782
@hawaabdallah4782 3 жыл бұрын
Hussein Bashe mim nakuelewa sana nakuomba kwa mungu uje upata wasifu mkubwa kabisa wanchi
@zuhurakassu1427
@zuhurakassu1427 3 жыл бұрын
Ata mi naona utakuja kua rais
@yuathmtenzi2114
@yuathmtenzi2114 3 жыл бұрын
Good
@keijoodehustla3259
@keijoodehustla3259 3 жыл бұрын
wee jamaa mtoto wa kishua.... lkn uko vizuri sana kichwani big up Bro I really appreciate you
@tanzaniatouristsattraction1622
@tanzaniatouristsattraction1622 3 жыл бұрын
Kwaio ukiwa wa kishua huwez kuwa na akili
@saidipara4134
@saidipara4134 2 жыл бұрын
Nimeshika hapo tu ulipo sema mjomba alikuwa akfanya jambo alikuwa na dhamira njema.,🙏🙏👍👍
@philipmbunda3610
@philipmbunda3610 3 жыл бұрын
Hongera sana Mh. Bashe
@frenkreuben5650
@frenkreuben5650 3 жыл бұрын
Waziri Bashe umeelezea vizuri sana. Mwenyezi Mungu akubariki sana
@faisalikassim3837
@faisalikassim3837 3 жыл бұрын
Masha Allah kaka yetu bashe you are good at all
@emanuelmlowe6854
@emanuelmlowe6854 3 жыл бұрын
Asante bashe maana huo ndio ukweli alivyokuwa jpm
@shukranisilungwe1986
@shukranisilungwe1986 5 ай бұрын
Hata mimi bashe nimekupenda kwa ukweli ulionao juu ya rais Magufuli. Amina sana mungu akubariki
@sera.8bomani502
@sera.8bomani502 3 жыл бұрын
Smart guy!
@shafiqmohd1491
@shafiqmohd1491 3 жыл бұрын
Yni ww bashe upo vzri sna bali mapungufu niyakibnadmu lkn hilo nila kila mtu upo makini na nimuelewa sna nakupongeza sna sna unajuwa ubinadamu mkubwa
@hassanmasoud2113
@hassanmasoud2113 3 жыл бұрын
🍒🙏bashe we ni mzalendo kama alvokua mh magufuli,allah akulinde katka utendaj wako
@mustafageorge2982
@mustafageorge2982 2 жыл бұрын
Interview nzuri sana, hongereni sana
@vunu_dunia3190
@vunu_dunia3190 3 жыл бұрын
Good interview
@muhundaramadhani5057
@muhundaramadhani5057 2 жыл бұрын
Mwenyez Mungu akutangulie Mh Bashe Thanks
@misschagga8042
@misschagga8042 3 жыл бұрын
Namkubali sana bashe
@zuhurakassu1427
@zuhurakassu1427 3 жыл бұрын
Poleee
@MacD5662
@MacD5662 3 жыл бұрын
Miaka mia namkubali sana Bashe
@humphreyvidonyi253
@humphreyvidonyi253 3 жыл бұрын
Bashe nimekuelewa kumbe walikua wanakuchukia kwa ukweli wako
@eliakomba1603
@eliakomba1603 3 жыл бұрын
hee
“Kiongozi ni kusikiliza watu, Serikali mnaficha nini?” - Bashe
16:39
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 9 МЛН
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 13 МЛН
路飞太过分了,自己游泳。#海贼王#路飞
00:28
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 21 МЛН
'Sikutoroka' - Dereva wa Lissu aiambia DW
16:33
DW Kiswahili
Рет қаралды 759 М.
MUSUKUMA MBELE YA WANAHABARI, ACHUKIZWA KUMDHIHAKI HAYATI MAGUFULI
14:50
UTACHEKA vituko vya kiongozi  magufuli / Bashe Toa darasa Mbele ya JPM
5:16
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 9 МЛН