“Kiongozi ni kusikiliza watu, Serikali mnaficha nini?” - Bashe

  Рет қаралды 356,494

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 656
@delebm543
@delebm543 7 жыл бұрын
Hongera sana bashe ww ni msomi u ayeelewa umhim wa kusoma kwako MUNGU akubariki sana
@barakaelmwanga3447
@barakaelmwanga3447 7 жыл бұрын
hongera sana Bashe unafaa kuigwa maana wengi wanaogopa kusema ukweli wanasubiria wapinzani waongee
@barakaelmwanga3447
@barakaelmwanga3447 7 жыл бұрын
pamoja sana
@lusekelomnange
@lusekelomnange 7 жыл бұрын
Huyu ni Mzalendo halali Mungu Mbariki Bashe
@tungaraza7794
@tungaraza7794 7 жыл бұрын
Hakuna comment hata moja iliyomkosoa bwana bashe inaonekana jamaa yuko vizuri congratulation bashe you are the best naomba usiame ccm ila bbaki kuwa na msimamo wako naamini mungu atakusimamia
@husseinsuleiman6240
@husseinsuleiman6240 7 жыл бұрын
Sina tabia ya ku comment but yanibid ni comment Kwasbb nafsi Yangu yanisuta, African history has never get true leader from the leading political party but Ccm has got it,(Bashe Bashee Basheee)Big up my brother from another Mother Hussen Bashe love forever for new Africa,new Tanzania 🇹🇿
@jensennashon6147
@jensennashon6147 7 жыл бұрын
Brother Hussein Bashe wewe ni Dkt. you express a vivid and real vivid.
@stevehiraly9127
@stevehiraly9127 7 жыл бұрын
Nataman japo hat nusu ya bunge zima ingekuw kama @husseinbashe nampenda san san tena san mungu ambarik anaongea point
@DJYLBVEVO
@DJYLBVEVO 7 жыл бұрын
steve hiraly please subscribe to my chanell
@stevehiraly9127
@stevehiraly9127 7 жыл бұрын
DJ YLB VEVO Is there positive things?
@henerickovincent7734
@henerickovincent7734 7 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akubariki sna kka yang H. Bashe kwa kusimamia iliyo kweli. Asante
@computerscience5247
@computerscience5247 6 жыл бұрын
Safi mbunge hunaye jitambua.. Hafu wabunge wa ccm.. mbadilike fanyeni kazi kwajili ya taifa na sii chama.. good BASHE
@anordntungwely4810
@anordntungwely4810 6 жыл бұрын
√VERY INTELLIGENT & DOCUMENTARY MEMBER OF PARLIAMENT, Big UP Bashe.√
@Msonjo
@Msonjo 7 жыл бұрын
bashe Allah akuhifadhi uje uwe raisi wetu huko mbeleni you are genius umesoma na unaelewa pia tamaa umeeka pembeni
@barakagodfrey622
@barakagodfrey622 4 жыл бұрын
Mbunge bashe mungu azid kukubaliki katika kulisaidia taifa letu uko vizuri sana
@fredyfile623
@fredyfile623 7 жыл бұрын
Hongera sana bashe tungepata kama ww 70 hivi bunge lingekuwa live na tungepata elimu nzurisana mwenyezi Mungu akubariki ktk msimamo wako na usiwe mnafiki wa kusifia kila kitu tuuu kama mazuz wengine
@audaxkachubo8070
@audaxkachubo8070 7 жыл бұрын
good leader from ccm for the 1st time in Africa history
@sk-wj9or
@sk-wj9or 7 жыл бұрын
Agness Saad very true! Salute Bashe
@nickmdalingwa8074
@nickmdalingwa8074 6 жыл бұрын
Kwann usigombee urais..... You are really generous and patient... Unanlazimisha nikuelewe.
@hassanyusuf5122
@hassanyusuf5122 7 жыл бұрын
Ni miongoni kwa hazina nzuri ilibaki ndani ya CCM.Anapozungumza nakushawishi kumsikiliza kutoka na maandalizi mazuri anayofanya....All the best brother Bashe
@fastfacts1967
@fastfacts1967 7 жыл бұрын
Huyu jamaa yuko vizuri. Wengine CCM waoga sana,wanasifia kila kitu.Time will tell,itakuwa aibu mno
@mwebraniaonline7001
@mwebraniaonline7001 7 жыл бұрын
daaa huyo ni mwanaumeeeee msomi
@rizwankiaze9264
@rizwankiaze9264 5 жыл бұрын
Yuko vizuri ila wasemaji wa Chama washaanza kumuwekea mizengwe 2020
@jamaljuma4075
@jamaljuma4075 7 жыл бұрын
This guy is very smart katika uchumi. He speaks with data and facts. He should be somewhere far katika ngazi za kiutendaji serikalini. very inspiring
@justinmnyasa9657
@justinmnyasa9657 7 жыл бұрын
Conscious MP ..STAY BLESSED BASHE
@maryndosi2280
@maryndosi2280 7 жыл бұрын
Bashe uko vizuri sana na michango yako ni muhimu kwa taifa hili .nawaombeni nyiye watu msiyojulikana msinyooshe mkono mtoto huyo wa watu muuache atuongoze tunataka watu kama hawa.
@ufahamumelekizedeki2139
@ufahamumelekizedeki2139 7 жыл бұрын
Mary Ndosi
@benimagaya7966
@benimagaya7966 6 жыл бұрын
😃😃😃😃😃
@paulthomas3448
@paulthomas3448 7 жыл бұрын
Kama we ni mpenzi wa siasa ya kisasa, siasa ya kushabikia hoja na wala si Chama au jina la mtu, basi utamwelewa mh Bashe.
@abeidhussein2699
@abeidhussein2699 7 жыл бұрын
Kwel kk
@mwambirekwamboka9525
@mwambirekwamboka9525 7 жыл бұрын
Paul Thomas true he's a very talented MP
@bahatiswago1027
@bahatiswago1027 5 жыл бұрын
Aisee huyu mheshimiwa siku zijazo tumuombee kwa mungu awe na nia ya kugombea urais sijawah kupiga kura lakini huyu nampigia
@bahatiswago1027
@bahatiswago1027 5 жыл бұрын
Kweli uongozi ni wito huyu jamaa ni kiongozi natamani angegombea urais 2020
@castorymwaipopo290
@castorymwaipopo290 4 жыл бұрын
Anatema mdini 2 uyu🤝
@alexdukes5547
@alexdukes5547 7 жыл бұрын
beshe we ni mbunge wa kitaifa big up sana
@mussashabani3345
@mussashabani3345 7 жыл бұрын
bashe mungu akuongezee umli mlefu
@yarrelaisaita303
@yarrelaisaita303 7 жыл бұрын
Watanzania 👍🏼👍🏼👍🏼👍🏼 tunakukubali bashe
@patrickwami4960
@patrickwami4960 7 жыл бұрын
Wabunge wote wa CCM wangekuwa kama Bashe ukijumlisha na upinzani, Tanzania tungefika mbali. Lakini hapo cha ajabu watamuita msaliti. Na Bashe angekuwa mpinzani hapo ungesikia akina Lusinde wakiomba miongozo mbalimbali hata kutolewa nje na Ndugai kwa muda wa wiki nzima. Shule pamoja na uzalendo vinasaidia. Congratulations Mr Bashe you are really inspiring me to inter into real ground of politics.
@michaellukas3914
@michaellukas3914 7 жыл бұрын
Safi sana kaka ongera Mungu akulinde daima
@noelabsolom2571
@noelabsolom2571 7 жыл бұрын
Wish at least quarter of the MPs would be like u Hon. Bashe
@happinessmwaipopo7426
@happinessmwaipopo7426 7 жыл бұрын
Safi Bashe Mungu akusimamie
@issamustafa4076
@issamustafa4076 7 жыл бұрын
Daa safi sana
@talazain1017
@talazain1017 7 жыл бұрын
Happiness Mwaipopo you
@apoloapolo2352
@apoloapolo2352 6 жыл бұрын
Akili nying jooh bg up
@samsonjoseph2494
@samsonjoseph2494 7 жыл бұрын
Daa nashindwa kumtafakali bashe ni kiongz aneyeniinspire sana
@joakimumshanga4379
@joakimumshanga4379 7 жыл бұрын
huyu ni mbunge huyu ni muwakilishi wawananchi sio wa chama
@mwambirekwamboka9525
@mwambirekwamboka9525 7 жыл бұрын
Mr honorable u should be in opposition big up for standing with truth
@paulduta3016
@paulduta3016 5 жыл бұрын
unasema kweli mtupu Mungu akushike mko.
@rahimmohammed9658
@rahimmohammed9658 7 жыл бұрын
Mbona ccm hawapig makofi😆😆😆if u 💚bashe Fanya ka LIKE kidg Basi.
@tracyjustice1600
@tracyjustice1600 7 жыл бұрын
CCM ina wabunge wawili tuuu ambao wako na guts to speak truth to power na ya admit, and Hn. Bashe is one of the two, bravo muheshimiwa Bashe
@geofreywadeya9972
@geofreywadeya9972 7 жыл бұрын
Big up Mh Bashe. Nchi hujengwa kwa mawazo na mashauri kama hayo, sio kelele na vigelegele.
@samiraali5505
@samiraali5505 4 жыл бұрын
Big up brother,I know n will alwaz know that u will never let us down Viva Bashe viva Somali
@Chitandaee
@Chitandaee 7 жыл бұрын
Upo vizuri mh.Bashe....hongera sana
@subramashs2236
@subramashs2236 7 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mh Bashe, wewe ni jembe hasa , nchi hii inahitaji wazalendo km wewe. Tutaijenga kwa nguvu moja na utashi ktk utendaji Wa tuliowapa Madaraka kusimamia serikali na serikali yenyewe. Tanzania kwanza
@chazjerome9999
@chazjerome9999 7 жыл бұрын
Am a CCM BLOOD but 4 this am not to say,BIG UP BASHE FULL POINT.
@loatalothi8784
@loatalothi8784 7 жыл бұрын
Uko vizuri Kaka Bashe,Mungu akutetee daima
@obadiahkisonga9193
@obadiahkisonga9193 7 жыл бұрын
Jamani Bashe Mungu amweke muda mrefu aisaidie nchi hii. Mungu wangu! Yuko wapi Filikunjombe? Yuko wapi Amina Chifupa? Yuko wapi Mama Anna Malecela wa wakati ule? Yuko wapi Kolimba? Eee Mungu iangalie Tanzania ya sasa. Ninalia machozi Mungu wangu. Tunainua macho yetu tuitazame milima, msaada wetu utatoka wapi?
@christophersimon823
@christophersimon823 7 жыл бұрын
bashe hongera kwa kuwaambia ukweri ww ni mbunge namba moja katika wabunge wa fisim endelea na kasi hiyo hiyo
@margaretmkangala7774
@margaretmkangala7774 6 жыл бұрын
kusikilizwa kupo lakini sio kila jambo likubaliwe
@doyamushi7704
@doyamushi7704 7 жыл бұрын
bashe nakukubali sana my brother. wewe ni mfano wa kuigwa endelea hvyo hvyo kuwaelewesha.
@abdallahmmenga5652
@abdallahmmenga5652 7 жыл бұрын
Keep it up brother
@agnesjosephat7863
@agnesjosephat7863 7 жыл бұрын
safi sana bashe
@michaelambroce2860
@michaelambroce2860 7 жыл бұрын
Bashe we jembe la ukweli
@moshiwilfred5188
@moshiwilfred5188 7 жыл бұрын
haya maneno anheongea mbunge wa upinzani ungesikia hapa.oo hawa wanakosoa kila kitu. Bashe upo vizuri sana unaelewa jukumu lako.
@suzanmaswatu3814
@suzanmaswatu3814 7 жыл бұрын
Hongera sana ,kijana uko vizuri saana
@azizlupembe9320
@azizlupembe9320 7 жыл бұрын
big up My brother bashe nakupenda kupitiliza unaemuabudu ni mungu tu na si hao wanaoabudu binadamu wenzao kisa uongoz
@iviejustified8109
@iviejustified8109 7 жыл бұрын
Oh God... this kid is amazing... he has respect to elders & educated one, however the elites are living shameful life! go big son! God bless you!
@issabuyu7344
@issabuyu7344 2 жыл бұрын
0
@issabuyu7344
@issabuyu7344 2 жыл бұрын
0
@issabuyu7344
@issabuyu7344 2 жыл бұрын
000
@dionizkipanya2355
@dionizkipanya2355 6 жыл бұрын
Nakupenda Sana Brother Bashe Hussein, Wewe Ni Mbunge Aiseee.Piga Kaz Brother
@marcoisaack9811
@marcoisaack9811 7 жыл бұрын
l real appreciate your argument, god be with u.
@abasibogga4798
@abasibogga4798 7 жыл бұрын
nimepitia coment zote, 100% wamemsuport bashe, basi ni kiongozi mzur.
@heavenlightemanuel5434
@heavenlightemanuel5434 7 жыл бұрын
excellent Mr Bashe
@kato_tz
@kato_tz 7 жыл бұрын
Kaka nimekuelewa, umetisha sana aisee
@severineladislaus2922
@severineladislaus2922 6 жыл бұрын
Nakukubali sana tang nikujue,mungu akulinde na uzalendo wa ktz,pia una nature ya uongozi pigna mpaka mwisho na mungu atakulipa kwa uzalendo wako!
@mwanaharakatidjguy6546
@mwanaharakatidjguy6546 7 жыл бұрын
very gud guy!! nakukubar xana bashe
@wilsonnyabagaka2265
@wilsonnyabagaka2265 6 жыл бұрын
U always talk points, unaniinspire sana, big up bashe
@salvatoryseth2217
@salvatoryseth2217 5 жыл бұрын
nakukubali sana mr bashe ww ni my future president
@didassikombe412
@didassikombe412 7 жыл бұрын
Bashe Mungu aendelee kukutunza kwa kuwa na huruma kwa wakulima
@hanceasagwile3424
@hanceasagwile3424 7 жыл бұрын
Asante Bashe
@mussaramadhani5791
@mussaramadhani5791 7 жыл бұрын
Bashe,Bashe,Basheeee sitaacha kukuckilza kamwe nakukubal sana Bro.
@hanifaharet3739
@hanifaharet3739 7 жыл бұрын
very good Bashe I like you
@fredyjonaa4053
@fredyjonaa4053 7 жыл бұрын
Safi sana Bashe
@ramadhanianderson9883
@ramadhanianderson9883 7 жыл бұрын
mibunge ya ccm ata haimpigii mwenzao makofi ni minafki balaaa Bashe ni makini sana nakubali sana 💯 ILA KWENYE ICHO CHAMA CHA MASHETANI HAMA
@geofreymwaipopo7627
@geofreymwaipopo7627 7 жыл бұрын
Bashe God bless you
@benimagaya7966
@benimagaya7966 6 жыл бұрын
Hongera Bashe Wataelewa Wana Fisiemu Wenzio
@brianbrayoo1590
@brianbrayoo1590 7 жыл бұрын
Bashe so genius...nation needs fresh and positive brain like this, rather than hypocrisy spirit of ndio mzee while economy is stagnant.
@daudikassimu4574
@daudikassimu4574 7 жыл бұрын
Mungu akusimamie# Mh Bashe kwa kusema kwako ukweli.
@joshuasamson4174
@joshuasamson4174 7 жыл бұрын
Bashe katika wa bunge ccm hakika wewe ni kichwa very good
@theresiasilayo1686
@theresiasilayo1686 7 жыл бұрын
kwa kwel
@maryndakidemi5392
@maryndakidemi5392 7 жыл бұрын
Joshua Samson
@abrahammbise834
@abrahammbise834 7 жыл бұрын
lulu
@ashrafmberwa8740
@ashrafmberwa8740 6 жыл бұрын
bashe muda mwingine uwa uko poa
@amourabdalla9789
@amourabdalla9789 6 жыл бұрын
Mbona bashe kila nikimuangalia hafanani na ccm but nice
@ignuskalongola4800
@ignuskalongola4800 7 жыл бұрын
nice analysis' from Bashe
@jumaabrahamani4801
@jumaabrahamani4801 7 жыл бұрын
you are very systematic
@SUPREMEDIGITAL
@SUPREMEDIGITAL 7 жыл бұрын
Laiti Kama Wabunge wote wa Ccm wangekua Direct speech na Ukweli kama Bashe basi Taifa lingepika hatua kuelekea Uchumi wa Kati hasa 7.0% .Lakini wengine wanapiga kelele tyu.Gonga like na Comment Kuhusu bashe
@lazarodaudi1689
@lazarodaudi1689 7 жыл бұрын
Bashe huwa nakupenda sana 😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘 we ni wa ukweli
@tatucosta3709
@tatucosta3709 7 жыл бұрын
daaaah muheshimiwa bashe mungu akusimamie unaongea point na inaeleweka
@josephnestory7164
@josephnestory7164 7 жыл бұрын
Hongera sana nmekuelewa sana
@abbashamza5174
@abbashamza5174 7 жыл бұрын
Big up mh.bashe!! God bless you!!
@wilsonkaseha2034
@wilsonkaseha2034 7 жыл бұрын
critical analyst! I love this game! KUDOS! Mp Bashe
@zuberimayowa8915
@zuberimayowa8915 7 жыл бұрын
Asante sana Mhe. Bashe
@jisamjose2184
@jisamjose2184 7 жыл бұрын
Bashe anajua sna kumbana prof mpango
@theklaschulte7339
@theklaschulte7339 7 жыл бұрын
One n a million. Najivunia kusoma uchumi kwa ajil ya huyu
@verynicemoshi2472
@verynicemoshi2472 7 жыл бұрын
Yani siachagi kukusikiliza mungu akupandishe cheo utuokoe love you
@juliuskivuyo5384
@juliuskivuyo5384 7 жыл бұрын
very nice Bashe
@annethdominic3403
@annethdominic3403 7 жыл бұрын
MUNGU Ibariki Tanzania, MUNGU mbariki mhe. Bashe
@mathiashilonga9878
@mathiashilonga9878 7 жыл бұрын
asante Bashe kwa sapoti yako
@sebastianmsoma5511
@sebastianmsoma5511 7 жыл бұрын
very good bashe
@walesjephter6399
@walesjephter6399 7 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu Bashe
@imuforbear3159
@imuforbear3159 7 жыл бұрын
Nakuelewa sanaa bro ur very bright mungu akuweke ndugu yangu
@richardyusuphmsongolomakat2049
@richardyusuphmsongolomakat2049 7 жыл бұрын
Maana harisi ya Siasa safi na yakisasaaaaa. SHIKAMOO HUSSEIN
@flaviankiria435
@flaviankiria435 7 жыл бұрын
Bashe big up sanaa Chadema tunakuhitajii.
@injiliyawokovutv
@injiliyawokovutv 7 жыл бұрын
Bashe nakuheshimu sana na ninakupenda sana,we we ni mbunge kweli.Mungu akutunze
@nicholauslohay2847
@nicholauslohay2847 7 жыл бұрын
Uko vzr sanaaa my brother, na unafaa kuwa mfano kwa mp wenginee..
@thadeipeter2592
@thadeipeter2592 7 жыл бұрын
Safi husein bashe.Umetendea haki kiapo chako.
@sangararawarioba3016
@sangararawarioba3016 7 жыл бұрын
very nice Bashe. Trueth speaking
@kayayooisaac4128
@kayayooisaac4128 7 жыл бұрын
Kama kuna watu walipatia kuchagua muwakilishi wao basi watu wa nzega walipatia, Mungu aendelee kukutunza mr Bashe
@kingdesigner7991
@kingdesigner7991 7 жыл бұрын
mungu akubaliki bashe
@josifinmwita4260
@josifinmwita4260 7 жыл бұрын
Angekuwa wa chadema miongozo milion
@shariframadhan9033
@shariframadhan9033 7 жыл бұрын
Nakuaminia sana. Ukigombea Urais Nakuwa wa kwanza kukupigia kura
@ibrahimchacha3707
@ibrahimchacha3707 6 жыл бұрын
good, very intelligent MP
@husseinkawamba308
@husseinkawamba308 7 жыл бұрын
Hussein bashe much respect ma bro
@iddkupaza1329
@iddkupaza1329 7 жыл бұрын
Big up bro bashe
@penuelmmary807
@penuelmmary807 7 жыл бұрын
bashe ur very bright broo
@erickatilyosylyavala5885
@erickatilyosylyavala5885 7 жыл бұрын
Shikamoo nyingi sana kwako Bashe.. Umenena kisomi km sio mwana ccm
@ramadhanihassani707
@ramadhanihassani707 7 жыл бұрын
hongera sana bashe
@johnsonvicent2155
@johnsonvicent2155 6 жыл бұрын
hoja ya wakulima kupangiwa pakuuza mazao hii haija kaa vizuri kama serikali inahofu na njaa ijiwekee hakiba sio jasho LA mkulima bashe pongezi sana. uko juu
@gideonimathew6491
@gideonimathew6491 7 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Africa
@richardpondo5139
@richardpondo5139 7 жыл бұрын
Bashe, mtu was facts,sio brabraaaa kamayule mwanamke,,, anaesema Heche ati anawashwa, akat dhahili yeye ndo anawashwa,,,
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 7 жыл бұрын
..mkuu malizia Mungu amlinde na Bashe!
@johnsonjonathan3688
@johnsonjonathan3688 7 жыл бұрын
upo tofauti sana bashe na wachumia tumbo
@nasibually1627
@nasibually1627 7 жыл бұрын
Bashe nakuamini upo vizuri sana
SHAMBULIO LA LISSU LAMWIBUA BASHE, SPIKA ATOA MSIMAMO
10:35
Mwananchi Digital
Рет қаралды 130 М.
버블티로 부자 구별하는법4
00:11
진영민yeongmin
Рет қаралды 20 МЛН
Flipping Robot vs Heavier And Heavier Objects
00:34
Mark Rober
Рет қаралды 59 МЛН
BUNGENI: Bashe na Sugu kuhusu ishu za kutekwa
11:41
Millard Ayo
Рет қаралды 666 М.
BASHE ALIPUKA TENA BUNGENI, ASEMA CCM KWANZA UBUNGE BAADAE
10:48
Mwananchi Digital
Рет қаралды 458 М.
UTACHEKA vituko vya kiongozi  magufuli / Bashe Toa darasa Mbele ya JPM
5:16
Alichokiongea Zitto Kabwe Bungeni kuhusu matukio ya utekaji
10:57
Millard Ayo
Рет қаралды 148 М.
버블티로 부자 구별하는법4
00:11
진영민yeongmin
Рет қаралды 20 МЛН