Рет қаралды 356,100
Mbunge wa Nzega Mjini Hussein Bashe ameingia tena kwenye headlines za Bunge Dodoma leo November 9, 2017 alipopata nafasi ya kuchangia mapendekezo yake katika mpango wa maendeleo wa Taifa kwa mwaka wa fedha 2018/19 ambapo alihoji ni kwanini Serikali inaficha taarifa za kuporomoka kwa pato la taifa?