NAIBU WAZIRI KIHENZILE NDANI YA TRENI SAFARI YA KWANZA YA SGR, ATANGAZA OFA YA DKT. SAMIA KWA ABIRIA

  Рет қаралды 6,168

TRC RELI TV

TRC RELI TV

Ай бұрын

NAIBU WAZIRI KIHENZILE NDANI YA TRENI SAFARI YA KWANZA YA SGR, ATANGAZA OFA YA DKT. SAMIA KWA ABIRIA

Пікірлер: 33
@nth3512
@nth3512 Ай бұрын
Ila duniani kweli tunapita, yani ambavo hata magufuri hawamkumbuki inatufundisha hii dunia kila tukifanyacho basi iwe ni kwa ajili ya MWENYEZI MUNGU, yeye ndo wakukulipa fadhila, binadamu hana shukran, anaangalia kilichombele yake. Watu wameipambania na saivi wamelala kwenye udongo, wala hata hawana habari walichokipambania
@eddechriss2664
@eddechriss2664 Ай бұрын
😂😂😂 pengine ni mambo ya ki itifaki
@festokemibala5832
@festokemibala5832 Ай бұрын
Mbona humtaji Mkapa aliyetengeneza roadmap ya haya yote yanayofanyika kote nchini? Au historia ya ujenzi wa uchumi wa nchi hii hamuijui?
@abuukajembe-to6sd
@abuukajembe-to6sd Ай бұрын
@@festokemibala5832 mkapa aliua viwanda
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m Ай бұрын
Isingekuwa maamuzi magumu aliyoyafanya Magufuli, hii kitu isingekuwepo leo. Wakushukuriwa ni Mungu, afu na Magufuli, yaani hayati Magufuli.
@RoseMalinzi
@RoseMalinzi Ай бұрын
Sisi wa Moro tunafurahi sana unafanya kazi Dar unalala Morogoro tunaomba mtuwekee usafiri wa kutoka Kihonda kufika mjini zipo Bajaji na Bodaboda mngeweka na Magari
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 Ай бұрын
Tumepiga hatua kubwa sana Tanzania.
@IbrahimDastan-gu6wb
@IbrahimDastan-gu6wb Ай бұрын
South Africa usafiri wa treni ndo usafiri cheap ya kitanzania shilingi 7
@gmadventures23
@gmadventures23 Ай бұрын
Hongera sana, natamani kuja kupanda pia, niko Mbeya
@daudimaniseli759
@daudimaniseli759 Ай бұрын
ALLAH AILAZE PEMA ROHO YA MH.MAGUFULI,,NIKI KUMBUKA PALE PUGU SIKU YA KUWEKA JIWE LASINGI NA KUWEKA MAJINA YA WOTE WALIO HUSIKA NAKUAMBIWA ZAIDI YA MIAKA 100 IJAYO YALE MAJINA YATAKUWEPO PALE YAKIHIFADHIWA NA KUTUNZWA NA KUJITUNZA TULIAMBIWA TUNAWEZA NA TUSIWE NASHAKA TUNA WEZA ALLAH AMPE PEPO,,,PILI.HONGERA RAIS MH.SAMIA NA PILI NIMAMA HAPO UMEMTUA MAMA NA WATANZANIA WOTE MIZIGO KICHWANI KWENYE USAFILI MIMI NAJUA NIKAZ KUBWA IMEFANYWA WEWE NA TIMU YAKO,,SIMA SIWEZ KUKUFIKIA NA KUKU PONGEZA ILA MSG ITAFIKA... KADOGOSA NAKUPENDA SANA KWA KAZI KUBWA UNAYOFANYA YA KUTEKELEZA MAAGIZO....TRC nawakubali Sana,,
@nth3512
@nth3512 Ай бұрын
Dah, ALHAMDULILLAH, yani kutoka masaa3 dar moro sasa ni lisaa, wekeni safari nyingi watu waishi moro wafanyekazi dar
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 Ай бұрын
Masaa matatu kwa gari binafsi au upande bus za usiku ila mchana umewahi sana masaa 4
@OscaNdomo
@OscaNdomo Ай бұрын
Duu
@edinakiposa707
@edinakiposa707 Ай бұрын
Matusi ya nn sasa
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 Ай бұрын
Tumeona ngoma na waimbaji kwenye treni... Hii ndio utangulizi kwa kumwomba Mola ajaaliye treni hizi😢
@Masudi-pc7yp
@Masudi-pc7yp Ай бұрын
yanimngetangaza burae reo pangefurika watu ira mmefanya unjoyotu
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 Ай бұрын
Wewe masudi mbona huna L.... Reo au leo... Aibu gani hii😢
@edmundmmuniedmund1623
@edmundmmuniedmund1623 Ай бұрын
hawa jamaaa mbona mtu aliefanya kwa kiasi kikubwa hawamtaji hata kidogo,,..wamebaki mama mama tuuu, tutaelewana tu 2025
@yakobokuzenza6837
@yakobokuzenza6837 Ай бұрын
Hahahaaaa.Kwa hiyo unataka tukumbuke na maovu ya kuua watu ovyo yaliyofanywa enzi zake?
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 Ай бұрын
Mbeba maono ni Kikwete na Magufuli akiwa waziri wake was ujenzi
@ernestwegga6557
@ernestwegga6557 Ай бұрын
Matusi ya nn tena
@fidodido9578
@fidodido9578 Ай бұрын
Fanyeni mpango hapo chini ya daraja la kutokea posta muweke hata pavements sio hivyo jinsi palivo panaleta sura mbaya
@HassaniMzee
@HassaniMzee Ай бұрын
Mmetuheshimisha majirani zetu wazungu wamenuna
@fransicmushenyera9302
@fransicmushenyera9302 Ай бұрын
R.I.P. JPM
@FabianMwambenja
@FabianMwambenja Ай бұрын
Jaman hayo ni matunda ya raisi wetu john MAGUFURI lakini hata hawamkumbuki duuh amakweli dunian sote tunapita
@mohamedmbalazi748
@mohamedmbalazi748 Ай бұрын
Kwa nn hawamkumbuki, si kila mtu anajua mwanzilishi nani
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 Ай бұрын
Mmbeaba maono mpuuzi wewe maono gani
@barakarobert1029
@barakarobert1029 Ай бұрын
Na nyie mawazir mmelipa nauli maana kama majaribio mmefanya ya kutosha mlipie nauli mbuz nyie
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m Ай бұрын
Hahahahahahahahaa😂😂
@bminawandu
@bminawandu Ай бұрын
Yan nchi rais anavo tukuzwa kama anatoa ela yake mifukoni Kila mtu tushukuru Samia ovyo kabisa
@seketawaissa1129
@seketawaissa1129 Ай бұрын
Lazima apewe moyo kwa kazi anayo fanya wake your mind up brother
Raila aelezea Rais Ruto alivyotaka msaada kwake
3:29
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 55 М.
Inside Out Babies (Inside Out Animation)
00:21
FASH
Рет қаралды 23 МЛН
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 20 МЛН
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 11 МЛН
#SGR: TRENI YA UMEME TANZANIA   (Film)
23:56
WABONGO UGHAIBUNI MEDIA PRODUCTION LIMITED WU®
Рет қаралды 1,5 М.
CNN TÜRK - 🔴 Canlı Yayın ᴴᴰ - Canlı TV izle
CNN TÜRK
Рет қаралды 6 М.
JIONEE STESHENI YA TRENI YA KISASA ILIYOPO MOROGORO
7:11
Millard Ayo
Рет қаралды 91 М.
Station Tour : Station Mpya ya TRC Dar kama Airport ndogo
10:50
Ip Man 2 | The Boxing Competition
15:57
Cinewatch
Рет қаралды 6 МЛН
Tony Stark vs Two F-22 Raptor Fighters in the movie IRON MAN (2008)
5:00
FIGHTING CINEMA
Рет қаралды 15 МЛН
Inside Out Babies (Inside Out Animation)
00:21
FASH
Рет қаралды 23 МЛН