NAIBU WAZIRI KIHENZILE NDANI YA TRENI SAFARI YA KWANZA YA SGR, ATANGAZA OFA YA DKT. SAMIA KWA ABIRIA
Пікірлер: 33
@nth3512Ай бұрын
Ila duniani kweli tunapita, yani ambavo hata magufuri hawamkumbuki inatufundisha hii dunia kila tukifanyacho basi iwe ni kwa ajili ya MWENYEZI MUNGU, yeye ndo wakukulipa fadhila, binadamu hana shukran, anaangalia kilichombele yake. Watu wameipambania na saivi wamelala kwenye udongo, wala hata hawana habari walichokipambania
@eddechriss2664Ай бұрын
😂😂😂 pengine ni mambo ya ki itifaki
@festokemibala5832Ай бұрын
Mbona humtaji Mkapa aliyetengeneza roadmap ya haya yote yanayofanyika kote nchini? Au historia ya ujenzi wa uchumi wa nchi hii hamuijui?
@abuukajembe-to6sdАй бұрын
@@festokemibala5832 mkapa aliua viwanda
@user-cw8zn2dn6mАй бұрын
Isingekuwa maamuzi magumu aliyoyafanya Magufuli, hii kitu isingekuwepo leo. Wakushukuriwa ni Mungu, afu na Magufuli, yaani hayati Magufuli.
@RoseMalinziАй бұрын
Sisi wa Moro tunafurahi sana unafanya kazi Dar unalala Morogoro tunaomba mtuwekee usafiri wa kutoka Kihonda kufika mjini zipo Bajaji na Bodaboda mngeweka na Magari
@omarybakunda2554Ай бұрын
Tumepiga hatua kubwa sana Tanzania.
@IbrahimDastan-gu6wbАй бұрын
South Africa usafiri wa treni ndo usafiri cheap ya kitanzania shilingi 7
@gmadventures23Ай бұрын
Hongera sana, natamani kuja kupanda pia, niko Mbeya
@daudimaniseli759Ай бұрын
ALLAH AILAZE PEMA ROHO YA MH.MAGUFULI,,NIKI KUMBUKA PALE PUGU SIKU YA KUWEKA JIWE LASINGI NA KUWEKA MAJINA YA WOTE WALIO HUSIKA NAKUAMBIWA ZAIDI YA MIAKA 100 IJAYO YALE MAJINA YATAKUWEPO PALE YAKIHIFADHIWA NA KUTUNZWA NA KUJITUNZA TULIAMBIWA TUNAWEZA NA TUSIWE NASHAKA TUNA WEZA ALLAH AMPE PEPO,,,PILI.HONGERA RAIS MH.SAMIA NA PILI NIMAMA HAPO UMEMTUA MAMA NA WATANZANIA WOTE MIZIGO KICHWANI KWENYE USAFILI MIMI NAJUA NIKAZ KUBWA IMEFANYWA WEWE NA TIMU YAKO,,SIMA SIWEZ KUKUFIKIA NA KUKU PONGEZA ILA MSG ITAFIKA... KADOGOSA NAKUPENDA SANA KWA KAZI KUBWA UNAYOFANYA YA KUTEKELEZA MAAGIZO....TRC nawakubali Sana,,
@nth3512Ай бұрын
Dah, ALHAMDULILLAH, yani kutoka masaa3 dar moro sasa ni lisaa, wekeni safari nyingi watu waishi moro wafanyekazi dar
@nasibugunda7927Ай бұрын
Masaa matatu kwa gari binafsi au upande bus za usiku ila mchana umewahi sana masaa 4
@OscaNdomoАй бұрын
Duu
@edinakiposa707Ай бұрын
Matusi ya nn sasa
@h.alshidhani8971Ай бұрын
Tumeona ngoma na waimbaji kwenye treni... Hii ndio utangulizi kwa kumwomba Mola ajaaliye treni hizi😢
@Masudi-pc7ypАй бұрын
yanimngetangaza burae reo pangefurika watu ira mmefanya unjoyotu