TUMIA NAMBA 369 KUPATA UTAJIRI,PESA NA KUFUNGUA NJIA YAKO YA MAFANIKIO omba chochote unachotaka #fafanuomedia #knowledgeforyourfuture #tujengemahusiano #manifestation @FAFANUOMEDIA
Пікірлер: 86
@jbryantz5 ай бұрын
kuna siri nying za kuhus mambo ya ulimwengu ambazo ilibaki kuwa siri katika organization kubwa za kidunia zilizoanzishwa, hii ni moja wapo ya siri hizo kuhus nguvu ya udhihirisho, kile unawaza na kile umajinenea ndio kitakachokuja kuwa kwako, ni sawa na kusema manifestation maana hii inahusika na vyote, katika kuwaza, kunena na zaidi kuandika, ili kuweza kuelewa ulimwengu, inabdi uuchukulie katika hali ya energy, frequency and vibrations.................................naungana na ukwli huu pia
@albertnyabwari72535 ай бұрын
Safi sana.siku ngapi ukiwa unaandika.alafu kuna mahali unaweka zenye umeandika ama unachoma
@GaredKiragu13 күн бұрын
Wow ❤asante ulimwengu Wa roo nauwakika asante kwakunipokea nashukuru
@user-do8ew9xv2i5 ай бұрын
Asante,je maana ya namba hii 888
@SharifuMohammed-z4eКүн бұрын
Good
@alidakauki4581Ай бұрын
SHUKRAN KAKA KWA MAARIFA HAYA. HAKIKA WAZUNGU HAWATAKI KABISA TUYAFAHAMU HAYA
@simonwambugu6415 ай бұрын
Nashuru sana.. Nitajaribu.. Lisemwalo lipo👌
@MadamAsya2024England2 ай бұрын
Usijaribu kuwa na imani😂
@user-tf2uc6ur3t5 ай бұрын
Amen
@sarahfeni18665 ай бұрын
Asante sana kaka yetu❤❤❤
@JuliusShikoli-xd9ey5 ай бұрын
Nashukuru kwa ujumbe wako muhimu zana
@user-ws3vu5pl3l5 ай бұрын
🎉 asante sana kweli
@MukengereIsaac5 ай бұрын
Nikweli
@DonaldDavid-ig8yr4 ай бұрын
Asante sana Kwan mafundisho Yako mazur Kwan unavyoandika ili karatasi unaweka wapi sasa
@isackwaite-uf1zy5 ай бұрын
Asante ❤❤
@mselanukuzz87215 ай бұрын
Asante kwa mafunzo
@AloycceRukasi-fk5nmАй бұрын
Amina
@bonifacewanyonyi35555 ай бұрын
Mafundisho mazuri sana pro wewe umewai jaribu ukaona ivo umesema plz
@nancyg86645 ай бұрын
Ukifanya kwa iman inakua
@user-qm3pi7vx9u5 ай бұрын
Vya kuambiw changny na vy kwako home boy,wengi ni wasomaji tu bila experience be careful
@monirangerera71555 ай бұрын
Ukifanya Kwa imani kila kitu Iman upo kama huna Iman hata ukifanya kazi bule mbona wahindi wana abudu sanamu wanamuona na wana fanikiwa upo kama umwambini Mungu Kwa kila jambo uwezi fanikiwa Kwa lolote ndo wewe huna Iman
@worldofscience67454 ай бұрын
Nimejaribu 2021 get what i needed the most
@ChipkiziRashidАй бұрын
SAS hiyo karatasi nikimaliza naifanyaje@@nancyg8664
@KapitulaErisha4 күн бұрын
Nachukuru sana
@JofreyErnest20 күн бұрын
😂kiukwer sikubalian na mamboyako unnikeraaa
@davidnziku24925 ай бұрын
Nakuelewa sana mkuu
@gracekayandakayanda34284 ай бұрын
Amen barikiwa baba
@AmaniKarisha3 ай бұрын
Dar kweli dunia imejificha kwenye ulimwengu wa kiroho
@joelylucasmathiaslucasmath60274 ай бұрын
Mafundisho mazuri san nashukuru sana
@NyotajadaАй бұрын
Jamani ila mnao coment jamani muwe mnawaza vya kucoment sio vizuri😂
@LowasaNgai2 ай бұрын
❤❤❤ubarikiwe
@TehsHdhdh-lm3ow3 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏
@user-dd6dx9uy9p5 ай бұрын
Nauliza jekalatasihikijaa?
@JofreyErnest20 күн бұрын
😂😂 we mshenzi si ufanye kwanza wewe ndo tupate mfano kwako akuna mazaga yeyote kuliko jina la Yesu kirsto ndo kira kitu😅
@happinessjohn45813 ай бұрын
Unandika na pen ya rangi gani ?
@HarunaFundii-lw1zrАй бұрын
Maana Jana wakati wakujifunza Jaribio langu alijakamilika
@manfredmnguli85024 ай бұрын
Nataka kujua zaidi juu ya haya usemayo ili nipate utajiri
@user-kk5nf3pu1g5 ай бұрын
Asante sana kaka
@haryanyawu6404 ай бұрын
Ameen
@aboumkwepu58255 ай бұрын
Ukishamaliza karatasi unaweka wapi
@user-do3yl8zh2z5 ай бұрын
Je manifeste 100000$
@patrickfupe4 ай бұрын
Mimi napenda sana kuandika 7na8 inamtaka gani
@WinfridaDaniel-fp9rr2 ай бұрын
Nimeandik kalatas ikaish inaluhusiwa kuchukuwa nyingine nanikwamda gan ntaendelea kuandik
@SaidiRegu2555 ай бұрын
❤asante br
@brucerinka8732Ай бұрын
Itachukua siku ngap
@annewachira43175 ай бұрын
ASANTE ❤❤❤❤❤❤
@samley15 ай бұрын
Na jiona ka Boss kaleeee 🤣🫵
@nancyg86645 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@anithapol53414 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@elizabethmutinda77185 ай бұрын
Naweka wapi kalatasi
@user-dd6dx9uy9p5 ай бұрын
Nimeipeda
@aminahamza538624 күн бұрын
Tafuta kazi ya kufanya ww usidanganye watu
@user-do3yl8zh2z5 ай бұрын
Je manifeste
@JohnKipalile-bq9ecАй бұрын
Kudhihilisha jambo
@IsayaTarah2 ай бұрын
Mh hii dunia matapeli wako wengi kibao
@joyjoy29125 ай бұрын
Shikamoo! Kabla ya kuanza,unaandika hizo nambari kwanza au wewe unaanza tu kwandika
@JohnKipalile-bq9ecАй бұрын
Fanyeni kazi wazee hakuna pesa za miujiza ujiza fanyeni kazi fanyeni kazi aise tuacheni uvivu
@radjabuminani63665 ай бұрын
Uwongo uyoo
@Twahirpizza19945 ай бұрын
Wewe kaa kimya tu maana hutoelewa lolote hapo hiyo ni elimu pana waulize wataalamu wa mathematics ndio wanajuwa siri za namba hakuna uchawi mbaya kama namba na hakuna elimu yoyote isiyotumia hesabu za namba.Hivyo namba ina siri kwa mjuzi wa taaluma yoyote iwe engineer,udaktari,sayansi na mambo mbalimbali. Zingatia hilo🤔
Naomba unipe ataupeo wakufanikiwa nami nipate pesa
@AnnaKilugya2 ай бұрын
Unaniliki pesa nyingi kitumia hii video ama?
@JohnKipalile-bq9ecАй бұрын
@@AnnaKilugya😂😂
@allybago37733 ай бұрын
Naje nikimaliza siku 33 hii chupa nafanyaje
@petergacheru4305 ай бұрын
Iyo ni pepo
@anithapol53414 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@blessslight55855 ай бұрын
Ameen 🙏🙏🙏🫴
@mwanakombopopo51174 ай бұрын
369 ni sawa na 666😂 naona watu wakiingia illuminate bila kujijua😂😂 napambana kuosha choo nipate chenye amani
@emmanuelanael69343 ай бұрын
Wewe mwenyewe huko illuminati.😂😂. (illuminati) ulinzi wa asili ambao kila mwanadamu anao. Sema Elimu juu ya ( illuminati) ndio imefikishwa vibaya kwa watu. Na wao wakawa na mapokeo hasi. --.
@rukiyamohammed2945Ай бұрын
Amina
@KakuleAnicet5 ай бұрын
Amen
@NyotajadaАй бұрын
Jamani ila mnao coment jamani muwe mnawaza vya kucoment sio vizuri😂