NAMNA YA KUISIKIA SAUTI YA MUNGU (Mungu anapoongea na wewe)

  Рет қаралды 63,575

MAHUBIRI TV

MAHUBIRI TV

Күн бұрын

JE! UNAWEZA KUTAMBUA MUNGU ANAPO ONGEA NA WEWE?
KUPATA KITABU KINACHO ONGELEA NAMNA YA KUISIKIA SAUTI YA MUNGU PIGA SIM NUMBER +255759612430
MAREKANI NA CANADA PIGA +1515 441 4962

Пікірлер: 85
@theresiamwanamkejasiri6510
@theresiamwanamkejasiri6510 10 ай бұрын
Roho yangu ni toleo la zamani😢😢😢😢😢 Baada ya miaka minne nabarikiwa na hili hubiri,hadi nimeogopa,Tangu nimemjua Yesu 2007 labda bado sikumjua Mungu wangu😢😢😢😢😢,Barikiwa Pastor
@edwardmarro978
@edwardmarro978 5 жыл бұрын
Machozi yananitoka moyoni Pr somo hili ni kama uliandaa kwa ajiri yangu, Eehh Mungu neema yako ikawe juu yetu na utupe macho ya kiroho katika pendo la Yesu kristo Amen.
@hondenisonmagufulinyabaro3923
@hondenisonmagufulinyabaro3923 5 жыл бұрын
Mimi pia waimbaji wameguza moyo wangu,, choir gani 👆 hii!! Aliyembinguni hataniacha,,,Oh! My son
@nassorosimende8901
@nassorosimende8901 4 жыл бұрын
Kweli zambi niyakukimbia kabisa
@mamybaby9873
@mamybaby9873 4 жыл бұрын
Amina
@asharamadhan8806
@asharamadhan8806 5 жыл бұрын
Amina Mchungaji ubarikiwe na MUNGU wa MBINGUNI katika JINA LA YESU maana tunabarikiwa sana kwa NENO LA MUNGU unalo tuletea hakika rinatubadirisha maisha yetu MUNGU akupe afia NJEMA kila siku pamoja na familiya YAKO
@catherinehenryameeen5977
@catherinehenryameeen5977 3 жыл бұрын
Ameeen.Asante Mungu kwa ajiri ya Mchungaji Mbanga.
@pauloropian3093
@pauloropian3093 5 жыл бұрын
Thanks Uwepo wa mungu hukaa juu ya sifa " may God bless all "
@lenahasantemchungajiauko8811
@lenahasantemchungajiauko8811 5 жыл бұрын
Amina mchungaji nabarikiwa sana.naomba ubarikiwe Kwanza ndo ni fwatie nami.
@mn9484
@mn9484 5 жыл бұрын
Ni katika roho!! Kila siku najifunza zaidi kumsikiliza Mungu hatua kwa hatua. Mungu akubariki Mchungaji, hapa USA Grace.
@maryosoro5497
@maryosoro5497 4 жыл бұрын
Really mchungaji huwa unanibariki sana sana na mahubiri yako
@jaredmayaka2993
@jaredmayaka2993 3 жыл бұрын
Amen 🙏🙏 Thanks for good song
@maureenjovial6083
@maureenjovial6083 4 жыл бұрын
Amina asante mchungaji nimepata kuchua Mungu n nani.naomba uongozo Wa roho mtakatifu aniwezeshe niskie sauti ya Mungu
@graceb2398
@graceb2398 4 жыл бұрын
I’m blessed to hear your massages always 🙏
@petromabagala9186
@petromabagala9186 5 жыл бұрын
Hii kwaya huwa inanivuta karibu sana na Mungu. Mungu akubariki sana Pr Mmbaga
@zipporahnyanchoka4291
@zipporahnyanchoka4291 4 жыл бұрын
Wah am blessed with your preaching,thanks pastor also b blessed
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 4 жыл бұрын
Blessings to you
@hellenratemo2813
@hellenratemo2813 3 жыл бұрын
Nice message keep it up,I have learned many things from ur sermon pastor, God 🙏 bless you
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 3 жыл бұрын
Amen
@KASICHANANDARO-ud1eh
@KASICHANANDARO-ud1eh Жыл бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji
@franksikombe9860
@franksikombe9860 5 жыл бұрын
Tumebarikiwa sana huduma yenu mungu awape uvumilivu muimbe hadi mbinguni by FRANK SIKOMBE-Katavi
@roselele341
@roselele341 5 жыл бұрын
Amina unanifungua kila siku nazidi kuwa na Imani asnt mchungaji mungu akubaliki sana
@sdawalokole9489
@sdawalokole9489 5 жыл бұрын
Amen,Mungu ni Roho na sisi ni roho pia
@teddymagori3779
@teddymagori3779 3 жыл бұрын
Ubarikiw paster
@mossesjoseph2202
@mossesjoseph2202 3 жыл бұрын
Amen.
@daudnyore4696
@daudnyore4696 4 жыл бұрын
I hope one day I will talk, with you man of. God,may The Peace of God that passes all. Understanding keep you by the grace of God
@monniekevin9303
@monniekevin9303 3 жыл бұрын
Amina Amina kweli mchungaji taji yako mbinguni itang'aa Sana.usife moyo chochea injili kabisa wengi wanainuliwa kiroho kupitia Yale maneno Mungu ameweka kwako.kama Mimi nashangaa nikama ndio naanza kusikia maneno ya Mungu Kwa mara ya Kwanza baada ya miaka mingi tangu kuamini.Mungu akubariki Sana.
@selfaakinyi7824
@selfaakinyi7824 5 жыл бұрын
Eeeh mungu wangu , nijalie macho ya rohoni. 🙏
@Patience763
@Patience763 Жыл бұрын
Amen Amen mchungaji
@cutestpuppies6632
@cutestpuppies6632 5 жыл бұрын
Kila mara ninapokusikiliza, ninabarikiwa na kufunuliwa ukweli mpya, Mungu akubariki sana pastor
@janetfrancis7180
@janetfrancis7180 5 жыл бұрын
Amina tunabarikiwa na somo zuri
@janehlwjn9982
@janehlwjn9982 5 жыл бұрын
Asante kwa mahubiri yako nabarikiwa Sana nkiwa Saudi Arabia napenda Sana mafundisho yako pr ubariwe sana
@hassanhussein6161
@hassanhussein6161 2 жыл бұрын
amina sana
@magdalenamassangwa-qs3ie
@magdalenamassangwa-qs3ie Жыл бұрын
Naomba no zako mtumishi
@keziaranga6329
@keziaranga6329 4 жыл бұрын
Paster ninabrikiwa sana na masomo yako umenifungua sana macho ya rohini
@aurolanyatambe215
@aurolanyatambe215 3 жыл бұрын
Amina
@kakajey6867
@kakajey6867 5 жыл бұрын
Pongezi kwangu wa kwanza kukoment
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 5 жыл бұрын
Hongeraaaaaaa
@kakajey6867
@kakajey6867 5 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga asante
@lightnesslengine7499
@lightnesslengine7499 4 жыл бұрын
Mungu akubariki pastor
@daviddotto327
@daviddotto327 5 жыл бұрын
Mungu awabariki sana waimbaji wa kwaya hii ya sauti ya jangwani kutoka shinyanga ushirika
@hondenisonmagufulinyabaro3923
@hondenisonmagufulinyabaro3923 5 жыл бұрын
Mungu akuzaidie ulipo ufanyapo,,,,,Nimejua Choir hii imenitoa jozi kubwa !! Mungu wangu Nani atakuwa juu yangu!!!
@mathiasfrancis2614
@mathiasfrancis2614 4 жыл бұрын
Amina barikiwa parsto
@lenahasantemchungajiauko8811
@lenahasantemchungajiauko8811 5 жыл бұрын
Kwaya nzuri sana mmbarikiwe
@anchepto8314
@anchepto8314 5 жыл бұрын
Amina tunabarikiwa kwa neno
@felysytersonduso8064
@felysytersonduso8064 5 жыл бұрын
Aminaaa wimbo mxuri
@judithcherono2595
@judithcherono2595 4 жыл бұрын
Amen Mungu ni Roho👏👏
@royalpriestsmusic5685
@royalpriestsmusic5685 3 жыл бұрын
AMEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEN
@maureenkemei9254
@maureenkemei9254 4 жыл бұрын
Amen
@samsonngweina5048
@samsonngweina5048 4 жыл бұрын
😂😂😂 Amina pastor
@akwiliniswai5203
@akwiliniswai5203 5 жыл бұрын
Amina sana
@erastomarco8080
@erastomarco8080 5 жыл бұрын
akwilini swai ubarikiwe sana mtmsh wa Mungu uwa nabarikiwa na mafundisho yako
@akwiliniswai5203
@akwiliniswai5203 5 жыл бұрын
@@erastomarco8080 amina
@dausonmdee4303
@dausonmdee4303 5 жыл бұрын
somo halijaishaaaaaaa
@aurolanyatambe215
@aurolanyatambe215 3 жыл бұрын
Vitabu vyako kwa Zanzibar napataje
@MTUMISHI-254
@MTUMISHI-254 5 жыл бұрын
Hakika mchungaji masomo yako yananibariki nakunibadilisha Sana nami natumia fursa hii kuwambia watu ile Nuru ninayopata kupitia masomo yako
@barakachongera9705
@barakachongera9705 3 жыл бұрын
Hakika nimejua vitu vya thamani Thana"
@waltermakori5855
@waltermakori5855 5 жыл бұрын
How can i get the song very good song
@daviddotto327
@daviddotto327 5 жыл бұрын
I have ana audio, can we communicate
@waltermakori5855
@waltermakori5855 5 жыл бұрын
@@daviddotto327 yeah i need it but I don't know how to get it
@daviddotto327
@daviddotto327 5 жыл бұрын
@@waltermakori5855 fall me in what's up
@waltermakori5855
@waltermakori5855 5 жыл бұрын
@@daviddotto327 +254701506826 WhatsApp number
@charleskaselya7744
@charleskaselya7744 5 жыл бұрын
Habari mm sijaelewa hubiri la umiliki, nilikuwa nalisikiliza usiku baadaye nimeikuta inaniambia video hii ni private na naisearch haipo mmeifuta?
@fredmselle2227
@fredmselle2227 3 жыл бұрын
Naomba kujua km hicho kitabu kipo moshi
@suzanaagustinookelo4953
@suzanaagustinookelo4953 3 жыл бұрын
Lakini picha ya mzungu
@rehemaisaack1728
@rehemaisaack1728 2 жыл бұрын
Hili somo sehemu ya pili yake inayofata naipata wapi nimetafuta humu nimekosa
@rosepeter8996
@rosepeter8996 4 жыл бұрын
AMEN🙏mchugaji mmbaga ninalo swali,sasa nimesikiza mahubiri yaki yakaniguza kweli,hivi ikiwa mimi nim Catholic,na sali kwa rosary,ama kwa kanisa kuna ile picha ya yesu kama amesulubuwa,je nivyema kuviinamia au kuzishududu wakati wakuomba au ni dhambi?.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 4 жыл бұрын
Kutoka 20:4,5 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia. Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
@rosepeter8996
@rosepeter8996 4 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga asante sana naona nimeanza kufunguka macho sasa.hili somo la mchungaji nalisikiza like kika siku.limenufunia akili sana.mungu na akubariki pastor 🙏🙏🙏
@laithvayinga1122
@laithvayinga1122 5 жыл бұрын
Mchungaji naomba nambaako ninashida ...nashukuru kwa masomo
@messagerkambale5830
@messagerkambale5830 2 жыл бұрын
Nina hitaji hiinyimbo ime ni jenga,
@hondenisonmagufulinyabaro3923
@hondenisonmagufulinyabaro3923 5 жыл бұрын
Hii kwaya gani 👆 please?? Niambie Naomba tu
@josephdaudy2766
@josephdaudy2766 5 жыл бұрын
Sauti ya jangwani
@mashaelieazer6120
@mashaelieazer6120 5 жыл бұрын
Sauti ya jabgwani from shinyanga Tanzania
@patrickemmanuelemmanuel9354
@patrickemmanuelemmanuel9354 4 жыл бұрын
ubarikiwe mtumishi wa mungu ninawezaje kupata kitabu chako cha namna ya kusikia sauti ya mungu mm niko sumbawanga namba zangu za simu ni 0757392906 lkn pia ninachangamoto yakufanya maamzi yakuongoka nanilisha muapia mungu kwamba sitarudi tena ktk imani yangu ya zamani yaani imani ya Rc lkn kumekuwa napambano ndani yangu nakati ya watu ambao mmechangia kufungua imani mpya ndani ya roho yangu niww pr mmbanga Lawrence odondi wa kenya mchungaji Emmanuel mwakalinga wa iringa nimewafuatilisana mafundisho yenu
@elishashillah9776
@elishashillah9776 5 жыл бұрын
Hili somo natamani Sana, Kulipata lote, Jamani, naomba nisaidiwe kulipita! Naomba Kama unaweza nitumia ktk Email ni elishashillah139@gmail.com au WhatsApp Number 0767522247 Nisaidie sana
@roselele341
@roselele341 5 жыл бұрын
Uku sijayajua makanisa yp ila sijui yapo wapi
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 5 жыл бұрын
Uko wapi
@roselele341
@roselele341 5 жыл бұрын
Niko Oman
@kusakabuga282
@kusakabuga282 5 жыл бұрын
Fatilia tu kwa mtandao kila Siku, kila sabato
@erickmahindu9198
@erickmahindu9198 4 жыл бұрын
Our father in heaven, means? He's a male
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 4 жыл бұрын
No! God is Spirit ( John 4:24),Spirit has no gender
@EnaellaNiyongabire
@EnaellaNiyongabire 9 ай бұрын
Amina
@esthersimuli9952
@esthersimuli9952 2 жыл бұрын
Amen
@monicalaizer7596
@monicalaizer7596 Жыл бұрын
Amen
IMANI LAZIMA IWE NA SIFA HIZI
1:07:32
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 45 М.
KWANINI KUINGIA NAKUTOKA MISRI?  SIKU YA 7official
1:24:19
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 26 М.
So Cute 🥰 who is better?
00:15
dednahype
Рет қаралды 19 МЛН
Support each other🤝
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 81 МЛН
HILI SOMO LIMEPIGA IKULU YA SHETANI.
53:35
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 43 М.
NAMNA YA KUSIKIA (SAUTI YA MUNGU) - NOVEMBER, 2018
22:35
Mwalimu Huruma Gadi
Рет қаралды 10 М.
Kumrudia Mungu | Pr. Peter John ~ Campus Hope day 1
43:27
TUCASA STU
Рет қаралды 4,9 М.
CHANGAMOTO ZA WANAUME DUNIANI - PASTOR JOSHUA NJUGUNA -  NA JE YESU  NI NANI KWAKO
50:39
ALUJO PRODUCTION (ALUJO254)
Рет қаралды 20 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: UNA KITU GANI MKONONI MWAKO?
1:42:14
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 114 М.
ELEWA SIRI YA NGUVU YA ZABURI 23 (SEH. A)
56:42
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 164 М.
SEHEMU YA 1A - NAMNA YA KUISIKIA SAUTI YA MUNGU
37:02
Carlos Kirimbai
Рет қаралды 10 М.
NGUVU YA MSALABA WA KRISTO MAISHANI || PR. DAVID MBAGA
51:52
Pizzo Online TV
Рет қаралды 28 М.
MADHABAHU ZA MIZIMU YA FAMILIA NA UKOO HAZIVUNJIKI KAMA HUJAFUATA KANUNI HIZI,NA JENGA KWA KANUNI.
33:20
KANISA TAKATIFU LA YESU KRISTO-CHAMAZI
Рет қаралды 11 М.
FUNGUO ZA MAFANIKIO BINAFSI KATIKA BIBLIA
50:43
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 80 М.