JE! UNAWEZA KUTAMBUA MUNGU ANAPO ONGEA NA WEWE? KUPATA KITABU KINACHO ONGELEA NAMNA YA KUISIKIA SAUTI YA MUNGU PIGA SIM NUMBER +255759612430 MAREKANI NA CANADA PIGA +1515 441 4962
Пікірлер: 85
@theresiamwanamkejasiri651010 ай бұрын
Roho yangu ni toleo la zamani😢😢😢😢😢 Baada ya miaka minne nabarikiwa na hili hubiri,hadi nimeogopa,Tangu nimemjua Yesu 2007 labda bado sikumjua Mungu wangu😢😢😢😢😢,Barikiwa Pastor
@edwardmarro9785 жыл бұрын
Machozi yananitoka moyoni Pr somo hili ni kama uliandaa kwa ajiri yangu, Eehh Mungu neema yako ikawe juu yetu na utupe macho ya kiroho katika pendo la Yesu kristo Amen.
@hondenisonmagufulinyabaro39235 жыл бұрын
Mimi pia waimbaji wameguza moyo wangu,, choir gani 👆 hii!! Aliyembinguni hataniacha,,,Oh! My son
@nassorosimende89014 жыл бұрын
Kweli zambi niyakukimbia kabisa
@mamybaby98734 жыл бұрын
Amina
@asharamadhan88065 жыл бұрын
Amina Mchungaji ubarikiwe na MUNGU wa MBINGUNI katika JINA LA YESU maana tunabarikiwa sana kwa NENO LA MUNGU unalo tuletea hakika rinatubadirisha maisha yetu MUNGU akupe afia NJEMA kila siku pamoja na familiya YAKO
@catherinehenryameeen59773 жыл бұрын
Ameeen.Asante Mungu kwa ajiri ya Mchungaji Mbanga.
@pauloropian30935 жыл бұрын
Thanks Uwepo wa mungu hukaa juu ya sifa " may God bless all "
@lenahasantemchungajiauko88115 жыл бұрын
Amina mchungaji nabarikiwa sana.naomba ubarikiwe Kwanza ndo ni fwatie nami.
@mn94845 жыл бұрын
Ni katika roho!! Kila siku najifunza zaidi kumsikiliza Mungu hatua kwa hatua. Mungu akubariki Mchungaji, hapa USA Grace.
@maryosoro54974 жыл бұрын
Really mchungaji huwa unanibariki sana sana na mahubiri yako
@jaredmayaka29933 жыл бұрын
Amen 🙏🙏 Thanks for good song
@maureenjovial60834 жыл бұрын
Amina asante mchungaji nimepata kuchua Mungu n nani.naomba uongozo Wa roho mtakatifu aniwezeshe niskie sauti ya Mungu
@graceb23984 жыл бұрын
I’m blessed to hear your massages always 🙏
@petromabagala91865 жыл бұрын
Hii kwaya huwa inanivuta karibu sana na Mungu. Mungu akubariki sana Pr Mmbaga
@zipporahnyanchoka42914 жыл бұрын
Wah am blessed with your preaching,thanks pastor also b blessed
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
Blessings to you
@hellenratemo28133 жыл бұрын
Nice message keep it up,I have learned many things from ur sermon pastor, God 🙏 bless you
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Amen
@KASICHANANDARO-ud1eh Жыл бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji
@franksikombe98605 жыл бұрын
Tumebarikiwa sana huduma yenu mungu awape uvumilivu muimbe hadi mbinguni by FRANK SIKOMBE-Katavi
@roselele3415 жыл бұрын
Amina unanifungua kila siku nazidi kuwa na Imani asnt mchungaji mungu akubaliki sana
@sdawalokole94895 жыл бұрын
Amen,Mungu ni Roho na sisi ni roho pia
@teddymagori37793 жыл бұрын
Ubarikiw paster
@mossesjoseph22023 жыл бұрын
Amen.
@daudnyore46964 жыл бұрын
I hope one day I will talk, with you man of. God,may The Peace of God that passes all. Understanding keep you by the grace of God
@monniekevin93033 жыл бұрын
Amina Amina kweli mchungaji taji yako mbinguni itang'aa Sana.usife moyo chochea injili kabisa wengi wanainuliwa kiroho kupitia Yale maneno Mungu ameweka kwako.kama Mimi nashangaa nikama ndio naanza kusikia maneno ya Mungu Kwa mara ya Kwanza baada ya miaka mingi tangu kuamini.Mungu akubariki Sana.
@selfaakinyi78245 жыл бұрын
Eeeh mungu wangu , nijalie macho ya rohoni. 🙏
@Patience763 Жыл бұрын
Amen Amen mchungaji
@cutestpuppies66325 жыл бұрын
Kila mara ninapokusikiliza, ninabarikiwa na kufunuliwa ukweli mpya, Mungu akubariki sana pastor
@janetfrancis71805 жыл бұрын
Amina tunabarikiwa na somo zuri
@janehlwjn99825 жыл бұрын
Asante kwa mahubiri yako nabarikiwa Sana nkiwa Saudi Arabia napenda Sana mafundisho yako pr ubariwe sana
@hassanhussein61612 жыл бұрын
amina sana
@magdalenamassangwa-qs3ie Жыл бұрын
Naomba no zako mtumishi
@keziaranga63294 жыл бұрын
Paster ninabrikiwa sana na masomo yako umenifungua sana macho ya rohini
@aurolanyatambe2153 жыл бұрын
Amina
@kakajey68675 жыл бұрын
Pongezi kwangu wa kwanza kukoment
@MahubiriPrMmbaga5 жыл бұрын
Hongeraaaaaaa
@kakajey68675 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga asante
@lightnesslengine74994 жыл бұрын
Mungu akubariki pastor
@daviddotto3275 жыл бұрын
Mungu awabariki sana waimbaji wa kwaya hii ya sauti ya jangwani kutoka shinyanga ushirika
@hondenisonmagufulinyabaro39235 жыл бұрын
Mungu akuzaidie ulipo ufanyapo,,,,,Nimejua Choir hii imenitoa jozi kubwa !! Mungu wangu Nani atakuwa juu yangu!!!
@mathiasfrancis26144 жыл бұрын
Amina barikiwa parsto
@lenahasantemchungajiauko88115 жыл бұрын
Kwaya nzuri sana mmbarikiwe
@anchepto83145 жыл бұрын
Amina tunabarikiwa kwa neno
@felysytersonduso80645 жыл бұрын
Aminaaa wimbo mxuri
@judithcherono25954 жыл бұрын
Amen Mungu ni Roho👏👏
@royalpriestsmusic56853 жыл бұрын
AMEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEN
@maureenkemei92544 жыл бұрын
Amen
@samsonngweina50484 жыл бұрын
😂😂😂 Amina pastor
@akwiliniswai52035 жыл бұрын
Amina sana
@erastomarco80805 жыл бұрын
akwilini swai ubarikiwe sana mtmsh wa Mungu uwa nabarikiwa na mafundisho yako
@akwiliniswai52035 жыл бұрын
@@erastomarco8080 amina
@dausonmdee43035 жыл бұрын
somo halijaishaaaaaaa
@aurolanyatambe2153 жыл бұрын
Vitabu vyako kwa Zanzibar napataje
@MTUMISHI-2545 жыл бұрын
Hakika mchungaji masomo yako yananibariki nakunibadilisha Sana nami natumia fursa hii kuwambia watu ile Nuru ninayopata kupitia masomo yako
@barakachongera97053 жыл бұрын
Hakika nimejua vitu vya thamani Thana"
@waltermakori58555 жыл бұрын
How can i get the song very good song
@daviddotto3275 жыл бұрын
I have ana audio, can we communicate
@waltermakori58555 жыл бұрын
@@daviddotto327 yeah i need it but I don't know how to get it
@daviddotto3275 жыл бұрын
@@waltermakori5855 fall me in what's up
@waltermakori58555 жыл бұрын
@@daviddotto327 +254701506826 WhatsApp number
@charleskaselya77445 жыл бұрын
Habari mm sijaelewa hubiri la umiliki, nilikuwa nalisikiliza usiku baadaye nimeikuta inaniambia video hii ni private na naisearch haipo mmeifuta?
@fredmselle22273 жыл бұрын
Naomba kujua km hicho kitabu kipo moshi
@suzanaagustinookelo49533 жыл бұрын
Lakini picha ya mzungu
@rehemaisaack17282 жыл бұрын
Hili somo sehemu ya pili yake inayofata naipata wapi nimetafuta humu nimekosa
@rosepeter89964 жыл бұрын
AMEN🙏mchugaji mmbaga ninalo swali,sasa nimesikiza mahubiri yaki yakaniguza kweli,hivi ikiwa mimi nim Catholic,na sali kwa rosary,ama kwa kanisa kuna ile picha ya yesu kama amesulubuwa,je nivyema kuviinamia au kuzishududu wakati wakuomba au ni dhambi?.
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
Kutoka 20:4,5 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia. Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
@rosepeter89964 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga asante sana naona nimeanza kufunguka macho sasa.hili somo la mchungaji nalisikiza like kika siku.limenufunia akili sana.mungu na akubariki pastor 🙏🙏🙏
@laithvayinga11225 жыл бұрын
Mchungaji naomba nambaako ninashida ...nashukuru kwa masomo
@messagerkambale58302 жыл бұрын
Nina hitaji hiinyimbo ime ni jenga,
@hondenisonmagufulinyabaro39235 жыл бұрын
Hii kwaya gani 👆 please?? Niambie Naomba tu
@josephdaudy27665 жыл бұрын
Sauti ya jangwani
@mashaelieazer61205 жыл бұрын
Sauti ya jabgwani from shinyanga Tanzania
@patrickemmanuelemmanuel93544 жыл бұрын
ubarikiwe mtumishi wa mungu ninawezaje kupata kitabu chako cha namna ya kusikia sauti ya mungu mm niko sumbawanga namba zangu za simu ni 0757392906 lkn pia ninachangamoto yakufanya maamzi yakuongoka nanilisha muapia mungu kwamba sitarudi tena ktk imani yangu ya zamani yaani imani ya Rc lkn kumekuwa napambano ndani yangu nakati ya watu ambao mmechangia kufungua imani mpya ndani ya roho yangu niww pr mmbanga Lawrence odondi wa kenya mchungaji Emmanuel mwakalinga wa iringa nimewafuatilisana mafundisho yenu
@elishashillah97765 жыл бұрын
Hili somo natamani Sana, Kulipata lote, Jamani, naomba nisaidiwe kulipita! Naomba Kama unaweza nitumia ktk Email ni elishashillah139@gmail.com au WhatsApp Number 0767522247 Nisaidie sana
@roselele3415 жыл бұрын
Uku sijayajua makanisa yp ila sijui yapo wapi
@MahubiriPrMmbaga5 жыл бұрын
Uko wapi
@roselele3415 жыл бұрын
Niko Oman
@kusakabuga2825 жыл бұрын
Fatilia tu kwa mtandao kila Siku, kila sabato
@erickmahindu91984 жыл бұрын
Our father in heaven, means? He's a male
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
No! God is Spirit ( John 4:24),Spirit has no gender