Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye amekutana na wazee wa jimbo la mtama na kuzungumza nao.
Пікірлер: 135
@mkude2 жыл бұрын
Lamsingi tuombe dua na uhai,asante kaka nape na Leo hii tena unerudi nafasi yako ya uwaziri.mungu akubariki
@leverimlaki56675 жыл бұрын
Lipo jambo jema mbele! Ahsante kwa maneno ya Imani.
@ibrahimshilinde61296 жыл бұрын
lowassa mgonjwa ana jinyea ,mara ooh oil chafuu,matokeo ya kauli zako chafu,mungu alikujibu.tafakari.
@bahatigwivaha96966 жыл бұрын
Naomba tofauti ya MFA maji na Mwanaharakati
@samsonnzisabira7686 жыл бұрын
nimefurahia sana hotuba yako Nape,inatia moyo sana ,niko napitia hali ya kutolewa pahala pazuri na kupelekwa pahala kijijini kama wewe,ila sinashaka kwamba naandaliwa kitu kizito hapo mbele.
@muhsinibinfaridi16855 жыл бұрын
Huyu jamaa nimemchukia saana mambo yanamgeukia mungu analipa hapa hapa dunia yaani unadhani bila wewe ccm itakufa
@CamusatTanzania5 жыл бұрын
Namwomba sana mheshimiwa JPM atupe mrith sahihi sana wa nchi hii na sio watu kama hawa.
@nasororamary65667 жыл бұрын
very nice nappe
@Purity4937 жыл бұрын
very nice
@allyalijai71436 жыл бұрын
matusi makubwa haya tena Sana kwa sisi wa daraja la chini
@muhsinikoki40602 жыл бұрын
Yani nape unachekesha hapo nskamanda mwenzie mbowe yupondan awyndomlipanga ili mlebata kuwafunga nakuwafukuza nchin mmbaki wenyewr
@thomasrabare21237 жыл бұрын
Nape hakikia we jembe.Kwa kutuliza dhoruba hadi jimboni kwako!.I believe God will keep on upholding you.
@gabrielmbelwa14105 жыл бұрын
Huyu jamaa yupo vizuri.
@mugemainyas52417 жыл бұрын
unaweza siasa mungu akutie nguvu.
@rashidsuke16207 жыл бұрын
Nape 2020 gombea uraisi nitakupa kura yangu japo sijawahi ipigia ccm kura ila kwa wewe unafaa
@MylerWyson7 жыл бұрын
MI KURA YANGU NIMESHAMPA
@gonzaga85715 жыл бұрын
Jamaa yuko vizuri
@issackchalahani12355 жыл бұрын
Mmh! Sawa nimekuelewa KIONGOZI.
@nestor3844 жыл бұрын
Huyu jamaa kinachomgharimu ni kujiona mkubwa zaidi kuliko uhalisia wake. mboyoyo nyingi sana!!
@peaceisrael81582 жыл бұрын
Simpendi sijui hata kwanini
@sifasanga78667 жыл бұрын
Nape mimi nakupenda sana mambo yako.....Komaa ipo siku. Japo nawewe ni binadamu kuna vitu hauko sawa....but hiyo kawaida tu
@wahisiatv28716 жыл бұрын
sifa sanga .
@fadhilfiradhii5355 жыл бұрын
99sifa sanga
@japhetnzunda54216 жыл бұрын
Nakuerewa sana kaka nape
@aminbakari55956 жыл бұрын
umeendelea na mtazamo huo katika kipindi hiki unachopita ungeimatika sana. emitions ulizoonesha ktk kushughulikia suala la makonda inadhihirisha ulikuwa unataka deal na personality zaidi
@abuumbegu86572 жыл бұрын
Siasa za ngonjera zimerudi watu wanazungumzia historia zao za vyeo binafsi badala ya kuzungumza tutapigaje hatua!!!
@goldenshadrackmsungu36645 жыл бұрын
Very bright
@qadirisonyo28307 жыл бұрын
bado hujakomaa wala hujaiva,mm sidhani kama bastora ndio tatizo.kama ipo ipo tu kwako, ridhiki yako hachukui mtu.
@afrimexuk2 жыл бұрын
Wewe kweli Msanii. Mr Polepole ame taja wahuni wapo na wewe una fanana nao kidogo😀😀
@edwiniedwin33475 жыл бұрын
Umekomaa kk mkubwa sema upande uliopo ndo shida
@zahorokasentisenti25755 жыл бұрын
Huyu jamaa huwa cmuelewaki ni snachi tu ndoo maana magufuli alimtumbuaa
@mako3317 жыл бұрын
hivi ingekuwa mawaziri wote wanahangaika hivi wakiondolewa uwaziri basi nchi isingetulia, huyu jamaa hichi kitu chakuondolewa kinamsumbua sana, wanasaikologia wanaelewa
@spoasaule98656 жыл бұрын
ndy anafanya defense mechanism ya ku potezea msongo wk
@hamisi87 жыл бұрын
Steve Nyerere alisema Nape ni msanii mwenzetu, He was right yaani baada ya kuwanyima watanzania haki yao ya kuona na kusikiliza bunge Live leo unajifanya ni shujaa wao ajabu.
@josephgomalo417 жыл бұрын
Aliyemuondoa ili kutetea vyeti feki vya bashite .. ndiye aliyekataa kuhusu vipindi vya bunge.. kwa kubana matumizi.. isitoshe.. kuna faida gani katika kuonyeshwa matangazo ya Bunge kama yalivyo..? Kama wabunge wako serious na kazi zao.. tuone zahanati, barabara, miradi ya kilimo, masoko ya wakulima na bidhaa za viwandani na maisha bora kwa watazania.. WHETHER SEEN LIVE ON TV OR NOT..! Uwe na akili.. watanzania wangapi walio wengi wa vijijini wana Tvs za kuangalia bunge wakati hata umeme hawana..?? Wake up .. kuna vitu vya msingi zaidi kuliko matanganzo ya bunge..!! Ulikuwa unataka uangalie nini? Pumba..??
@hamisi87 жыл бұрын
ni haki yao ya kikatiba wana haki ya kujua namna gani pesa zao zinatumika, kutokuwa na TV hakuwanyimi wenye nazo haki ya kutazama, inaelekea hata katiba huijui hizo sio kazi za wabunge to u access to information is not important no wonder why u have no clue bunge's constitutional duties are !!? wake up
@josephgomalo417 жыл бұрын
Haki yao wasiyo weza kuitumia kwa sababu waliowachagua hawatafuti jinsi ya kuwaletea maendelea watu wao..? Mimi sishangai kwa uwezo wako wa kufikiri.. unafikiri malumbano ya bungeni bila mabadiliko ndio starehe ya watanzania wakati hali yao ya maisha haibadiliki.. !! Ndio maana Tanzania itabaki jinsi ilivyo.. ungekuwa na uwezo wa kufikiri ungejua kwamba.. matangazo ya bunge sio ya lazima kama maendeleo ya watu ambayo yangewawezesha kupata matangazo hayo hata kwa makampuni binafsi ambayo wangeweza lipia wenyewe kutokana na uwezo wa kifedha ambao ndio wabunge na viongozi wanatakiwa wafanyie kazi kutengeneza.. ! Na ndio maana hutakiwi kumshabikia bashite kuvamia ofisi binafsi ambazo watanzania wa Clouds au Tongwe records wamejiwezesha kuzijenga BILA msaada wa serikali.. Huo ndio uwezo binafsi unaomwezesha mmiliki wa biashara hizi na nyinginezo asitegemee KODI kupata matangazo ya bunge .. ili kodi hizo zitumike kwa zahanati na shule ambazo zinahitajika zaidi ya matangazo ya bunge.. JALI UWEZESHAJI SIO MATANGAZO YASIYO NA TIJA WE MSENGE..!!. I dont expect that from you scumbag.. Ciao!
@hamisi87 жыл бұрын
access to info is paramount in order to bring changes you have suggested friend i give u on empowerment since i own and run my own business. u sound like a nice and reasonable guy to chat with but u need to learn how to restrict and control your temper so we that we can have meaningful exchange of ideas God Bless
@josephgomalo417 жыл бұрын
Access to information can be through an Act enacted by the parliament.. by which you could summon the delivery to your address of DESIRED information to you in order to be informed of what your government has achieved in changing your life,.. the lives of people or fulfilling campaign promises as a citizen.. You dont have to cry for free parliamentary TV broadcasts of fruitless squabbles.. DEMAND EFFICIENCY FROM YOUR ELECTED MEMBERS.. which can be achieved by safeguarding freedom of press.. which Nape fought for and got punished for..!! and refrain from desiring watching parliamentary sessions as entertainment that does not yield into people's lives change.. which proves to be the trend today .. where politicians arent held responsible..!! Sheria inayo kuruhusu kupata ripoti za serikali ambazo zinajibu maswali yako kuhusu maendeleo na ahadi za viongozi ndiyo unatakiwa upiganie.. sio episodes za Halima Mdee kumwita spika wa Bunge "fala".. wakati wananchi wa Ruaha hawajui kusoma na kuandika na hawana TV wala umeme..! Sheria inayolinda uhuru wa vyombo vya habari ndio unatakiwa upoiganie sio kumtetea bashite anayevuruga jilo ILI UDAE MATANGAZO YANAYOLIPIWA NA KODI ZA WANANCHI..!!!?? Ninavyojua wantanzania wana mahitaji tofauti.. wewe unataka free TV inayolipiwa na kodi; wengine wanataka huduma za afaya na elimu. You must be stupid.. Utaniita mwenye hasira kwa sababu watu kama nyie mmekuwa wapumbavu mno.. Mmesahau kwamba Tanzania sio Dar, Arusha, Mwanza na Dodoma mjini peke yake kuona kwamba matangazo ya bunge ni muhimu kuliko ELIMU YA WATU WAZIMA au madawati na walimu na mishahara yao .. ambayo utashangaa kama ungeenda vijijini na kuongea na watanzania wa vijiji vilivyo mbali na rada..! Ungeona kuwa idadi ya wasiojua kusoma na kuandika imeongezeka lukuki.. nyie wasenge..Think of that.,.. dickheads..Ciao again for good.
@gospalflavour73047 жыл бұрын
we mwanasiasa kweli.nimekukubali.Baba
@khamissalim39347 жыл бұрын
Joel Justin Mhavile ni mwanaharakati nape cdhani kma anastaili kuwa mwanasiasa
@georgemihango716 жыл бұрын
Nape una karama ya uongozi! Mazungumzo yako yanavuta hisia za wasikilizaji!
@dennislwmi25567 жыл бұрын
mi sio ccm ila Nape mtumkubwa sana
@msafilyngeze42025 жыл бұрын
DENNIS LWMI reo.unararamika.nini.uriwambia.wanaichi.jimbo.rabusanda.kuwa.nikupe.ukawafananisha.ngombe.ikisha.chunwangozi.kupe.inagangania.reo.unaramika.nini.wewe.nimunafiki.hapa.kazi.tuu
@yusufukazamba23914 жыл бұрын
Laiti ningekuwa Nnape mmh
@kechbowcech33255 жыл бұрын
Ccm haina shukran ....imewakimbiza watu kibao ....acha wewe.. acha Nchemba.. Leo wazir wa biashara.... movie inaendelea.. sijui siku yatakapo mkuta Makonda.... naomba yasitokee... Ambebe.... wasukuma hatubaguani..
@mutakabaka54817 жыл бұрын
sasa umeiva Nape, tuna hazina nzuri..
@adinanjuma24577 жыл бұрын
Katika yote niliyofurahi ni Vibarakeshia vimetulia tuliiiiii Kanisani....Mmmmmmh watanzania tunamengi mazuuuuri sana ya kujisifia na kuyaheshimu.... Sisi ni zaidi ya ndugu
@simonsadala23866 жыл бұрын
Adinan Juma hakika wametulia mahali patakatifu
@zaidiselemani89626 жыл бұрын
Nape hajakubali matokeo.
@solomonadams63375 жыл бұрын
Tanganyika hakuna dini hapo muislam anasheherekea Xmas tena sio kwa bahati mbaya bali ni kila mwamba tena kwa makusudi.
@mohamedkimara45746 жыл бұрын
Kiongozi ananikumbusha hadith ya kuku alivokua anamcheka ng'ombe kuandaliwa kuchinjwa kwa ajili ya mgeni, bahati mbaya mgeni akaja ucku na ananjaa alafu kaja peke yake. Ikabidi kuku achinjwe ng'ombe akanusurika. Kwa uongozi huu wa doctor viongozi simamieni haki mkiwa uwanjani tutawaona waongo mkitaka kufunga magoli mkiwa bench
@gracegrace62002 жыл бұрын
Hawa ndiyo wanajifanya Tanzania ni mali yawo binafisi. Wanajuwa sana. Wanaongea na sauti kubwa. Wanajifanya ni Watanzania bora. Wanateuliwa bila ujuzi kwa kujuwana. Wana jeuri isiyokuwa na mufano. Watu wanawapigia makofi kwa kuzungumuza ujinga. Wameitafuna Tanzania na kuiacha mifupa mitupu. NONSENSE
@fidelisanthonymalley73276 жыл бұрын
sawa kabisa Adinani
@alexngao91767 жыл бұрын
respect mzz
@loner_wolf2 жыл бұрын
Na huyo aliyekijijini hajui kesho atakula nn na watoto wake NEEMA yake ipo wapi kama wwe umekuwa waziri na mbunge na bado unasubir neema duh , nchi hii ya kikosi cha watu kweli .... Alafu stori za kupiga vibibi na wajukuu zao , unawasimulia watu wenye majukumu yao na hawajui watayatatua vip wanakupigia makofi
@petermwanyondo64595 жыл бұрын
Pamoja xana mkuu
@edwinsifaeli43056 жыл бұрын
Nape kwakuchekesha upo.sema babaaa
@gideonluwongo2075 жыл бұрын
Nani amesikia nyimbo za kuabudu zinazoimbwa upande wa pili,tujuane hapa.
@falesy985 жыл бұрын
Napeeeee
@simonmagaigwa54962 жыл бұрын
Nape huwezi kuwa rais wa nchi hii.
@isayamganule17412 жыл бұрын
Nan atalikomboa taifa hili kama Jk NYERERE out,mkapa out and then wakamtoa Magufuli
@salimalamri58977 жыл бұрын
you are good more than magufuli
@maximiliannestor53587 жыл бұрын
komaa
@benedictmrisho23612 жыл бұрын
Yesu alimwambia Petro "iko siku utafungwa mikono na kutumwa usikokujua ama kutaka". Huo ndio utumishi wa umma. Sio kupangwa kuzuri kuzuri tu. Wazee wana maono ndio waliolea viongozi tulionao. Vijana jifunzeni utii na unyenyekevu.
@CamusatTanzania5 жыл бұрын
Maneno mengi sana ambayo hayatusaidii chochote, ni kujifariji wewe mwenyewe binafsi. Mi sijawahi kukubali leadership yako.
@peaceisrael81582 жыл бұрын
Haupo peke yako
@masoudkallunga1962 жыл бұрын
Huyu jamaa toka shule ya msingi bukumbi alikua mnafiki kila anachokiona anaenda kumwambia mama yake alikua mwalimu
@mamymamiza29245 жыл бұрын
Sasa kawawa hakumnunua kocha wewe mbona unamuhujumu kocha wako???
@shebbywanammurun96125 жыл бұрын
Nakumbuka ulivyozuia bunge, nakumbuka ulivyoahidi ccm kushinda hata kwa bao la mkono. Najua ulitegemea kulipwa uwaziri kwa kuwa master plan wa kuiba kura ,leo unaumia sana. nakumbuka ulivyomtolea bastola Mwambe masasi , umevuna ulichokipanda.
@aminbakari55956 жыл бұрын
nape husemi kweli kocha wako wa sasa inaonekana utamchukia
@kadaskarim50812 жыл бұрын
Wewe ni mnafiki uwez urais nape
@ntegrity2772 жыл бұрын
Kwahiyo Nape unawaza siku moja utakuja kuwa Rais ndoto nzuri komaa
@yusuphkassimu2272 жыл бұрын
Kwa tukio la juzi naona jambo Kwa nape
@chrissenciambwilo30975 жыл бұрын
Nape unataka kuwaaminisha watu kuwa shetani akizeeka anakuwa malaika huwezi kuwa hivyo watu tunaakili wewe ni kete mnatengeneza plan watu wakuamini baada ya bao lako la mkono
@josephhaule63096 жыл бұрын
njooo cdm tupige kazi huko unapoteza muda.
@teamallyracing17806 жыл бұрын
mambo mazuri kwako wewe nape, wananchi wa masasi umewape nini muda uloka hapo, vijiji ni vilevile tangu enzi za nyerere. siasa nyingi tu
@tzommyoriginali91447 жыл бұрын
ukigombania ulaisi unapata bila wasi wasi kwachama chochote kile
@saulmwakyusa10017 жыл бұрын
kwahiyo unataka kua rais karibu sana
@nasibumparomparo71665 жыл бұрын
kaka natamani sasa uje kigoma japo ufanye mkutano mmoja tu kaza buti Zahabu mpaka ipite kwenye moto
@shabanimtua84867 жыл бұрын
Nappe hapo ni kanisani au ni ukumbi gani?
@aichaabdul58445 жыл бұрын
Ni msikitini
@benisayo73705 жыл бұрын
Nape hazina iliyofichika
@ahmedshaweji26367 жыл бұрын
Wee ni mwanaharakati
@prochesytesha8040 Жыл бұрын
Hakuna kitu hapo maigizo ngonjera napita naenda rombo mkuu
@silvernusobeidy40727 жыл бұрын
Nice boss
@avetealimasi22627 жыл бұрын
watanzania wasiokuwa na mtazamo wa siku ya kesho muko hatarini kwa kuihuza nchi.
@kaijagearajabu44177 жыл бұрын
Kwema rakini na kuku bari sana
@aliyidrisa15362 жыл бұрын
Umenena haki
@lawrenceoctavian2740 Жыл бұрын
Story zako zinatusaidia Nini sisi watanzania hakuna future hapo
@willymwaka26927 жыл бұрын
Sio siri, nilikuwa sina imani sana na CCM, ingawa ndio iliyonilea mimi pamoja na wazazi wangu, lakini kama watakuwepo viongozi kama huyu Nape jinsi anavyoongea" ukweli daima fitina kwake mwiko"ninaweza anza ipenda ccm kama watapatikana kama hawa 10 ndani ya chama. SAHAU KUHUSU BAO LA MKONO.
@fidebaraka44516 жыл бұрын
Wachen aseme ukweli kwan c alikuwa mwana propaganda ..kwa kila uchaguzi...hamtak atoe siri zenu
@gracegrace62002 жыл бұрын
Masikini Watanzania nawaonea huruma. Wanapinga makofi mpaka mikono unawauwa kwa kutapikiwa na Huyu jambazi.
@rebekakyando42716 жыл бұрын
Mimi Co ccm na wala cjawahi penda ccm ila Nape namkubali sana
@chrisantgeorge36775 жыл бұрын
Mzee wa magori ya mkono Tanzania
@gracegrace62002 жыл бұрын
Wanaomba kukabidhiwa kazi wakati wengine wanapiga kiatu kutafuta kazi. Wanateuliwa hata elimu hawana, wenye elimu wanaachwa kwenye shelves.
@masukahima10237 жыл бұрын
Nape una akili yakinifu. One day yes neema yako inakuja
@lsacktibet48487 жыл бұрын
wewe umekomaa kama Mimi
@zenamilanzi14717 жыл бұрын
humeni fulaisha hayo maneno
@tanstudiotv2 жыл бұрын
Wapumbavu wala nchi hawa
@kalamuyantajajr26055 жыл бұрын
Wewe ni kati ya wanasiasa wachache waliobaki ambao nawaelewa sana tena sana.
@azizaahmed22197 жыл бұрын
good
@deomakanda53087 жыл бұрын
Aziza Ahmed hi
@deusdedithkitaly83375 жыл бұрын
ingekuwa chadema uchochezi haya bhana
@rosemarymwandu64266 жыл бұрын
Huna lolote, wananchi wa mtama huna la maana ulofanya, Jipange
@DrMBOYA-yh3mo7 жыл бұрын
Hakika Mheshimiwa Nape amekomaa sasa hamia CHADEMA
@gracegrace62002 жыл бұрын
Kwa hiyo tukutegemee wewe kuwa Rais wa Tanzania, basi nchi imekwisha. Kwa HAYO mutatupiga risasi tutasimama na mawe.
@bakariali40267 жыл бұрын
kwa iyo mzee una mpango wa kua raisi?na ukiwa raisi yule mkuu wa (,,,,,)vp si utamlipiza au
@peterjohnson1672 жыл бұрын
Mafisadi wapo mbioni kurudi kwenye serekali hahahahaha. Mwisho wa enzi za CCM 2025.
@paulmwarabu66857 жыл бұрын
MIMI NIMEKUELEWA SANA
@alhaj.simbabhananomasanaku52406 жыл бұрын
nape hajutii kutolewa uwaziri maana anamtaji mkubwa kuliko alivyopewa huo wadhifa wa uwaziri ,hii message ikufikie wewe unayesema kuwa kutolewa kwake uwaziri kunamhangaisha
@allyalijai71436 жыл бұрын
unalalamika hali duni ya kimaisha nyumba, maji, na huduma zingine za kijamii kwani watu wanaoishi huko wao ni vyuma. Ishi kulingana na mazingira bwana kwa hiyo wewe ni binadamu ila wamakuwa, wamakonde na wamwera wa masasi wao ni wanyama.
@rashidihamis62025 жыл бұрын
nyie munao coment hapa mumemuona sheikh gan hapo au kuvaa kofia na kufuga ndevu ndio usheikh jaman,
@irineinnocent52347 жыл бұрын
Nape ni ule uwaziri tu au kuna lingine?
@gitu4me7 жыл бұрын
imemuuma sana
@ahz69072 жыл бұрын
wazee wamefuraaahi kwa hizo porojo
@melisaallysa64855 жыл бұрын
mikia ishakatwa
@elishakayagwa93712 жыл бұрын
Anayemsikiliza huyu ni zuzu Kama alivyo yeye. Nape hata ujisafishe ww ni muhuni katika taifa hili.
@petermlay1047 жыл бұрын
Una ndoto za kuwa rais, kwa style hiyo sijui
@shekhekassim64026 жыл бұрын
Wewe muongo acha wivu..
@kusekwasita15765 жыл бұрын
Ahahah paniki
@zuleajuma17347 жыл бұрын
wewe mkari sana urais wako
@mahamudumgongolwa24787 жыл бұрын
Wewe ni mashine
@meesipro67996 жыл бұрын
Naona mashehe wengi alafu nyuma kabisa naona msalaba
@aichaabdul58445 жыл бұрын
Chezea penye kula wewe
@yasinimwinyi3717 жыл бұрын
BILA SHINGO UPANDE ,KWA MARA YA KWANZA NATAMKA KWA KINYWA CHANGU ....NAPE RAIS WANGU