Nay Wa Mitego Afunguka Kuhusu Utekaji: 'Kuna Taharuki Kubwa Sana, Inaleta Chuki'

  Рет қаралды 12,943

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Msanii wa muziki wa Bongo fleva, Nay wa Mitego ametoa maoni yake katika mitandao ya kijamii kuhusu matukio ya utekaji yanayoendelea kushamiri nchini ambapo amewataka viongozi wa serikali kuchukua hatua kwani matukio hayo yanasababisha taharuki na chuki katika jamii.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 67
@PaskaliCharles-pz8ds
@PaskaliCharles-pz8ds Ай бұрын
Asante sana umekuwa sauti ya wanyonge siku zote
@swamadujumanne795
@swamadujumanne795 Ай бұрын
Ww na Roma ndio wasanii tunaowategemea kutetea haki zawanyonge nawakubali sana walio baki wote machawa
@sammymdemeka7937
@sammymdemeka7937 Ай бұрын
Asante mwamba Nchi hii tunawasikiliza wazee wawili tu Butiku na Warioba
@joshuakasemelo1675
@joshuakasemelo1675 Ай бұрын
Ney na Roma,ninyi ni mkombozi wa nchi hii wasanini we takataka mazuzu tu
@MARTINKURIAN-xk5bk
@MARTINKURIAN-xk5bk Ай бұрын
Hogera ney umsema kwel
@FransiscoKaiza
@FransiscoKaiza Ай бұрын
Ney bigup Guys tz akuna kama ww umetishaaa✌️✌️✌️💪💪💪🔥🔥🤳
@FransiscoKaiza
@FransiscoKaiza Ай бұрын
Never give up✌️💪💪💪💪💪🔥🔥🔥🤛🤛🤛🤛🤛🤛
@sagandamalechampullo659
@sagandamalechampullo659 Ай бұрын
GOOD SANA RAIS WA KITAAA
@Johnhamad-bz7go
@Johnhamad-bz7go 26 күн бұрын
❤❤❤ bigap sana mwamba 966
@JohnMichael-k1y
@JohnMichael-k1y 28 күн бұрын
Nakukubali kaka ney sema ukwer kuus mamb yanayo endelea nchin na mamb yanay ihusu jamii piah tusemee wananchi wa chin na pia wasanii wengne wasiwe bendelela kufata upepo nakusifia vitu hamna
@HappyAstrolabe-pd2zv7
@HappyAstrolabe-pd2zv7 Ай бұрын
Kweli ney wasanii wengine kama amonaic daimondi hata cku moja hawakemei jambo hili
@mohamedishemoka2475
@mohamedishemoka2475 Ай бұрын
Nice mwamba
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz Ай бұрын
Ccm ndiyo wasiyo julikana na masikali
@KaleboPhanuely
@KaleboPhanuely Ай бұрын
Nakukubar ney pamoja na Roma
@RamadhaniSesige
@RamadhaniSesige Ай бұрын
Safi sana mwana halakati
@salimomar-n7s
@salimomar-n7s Ай бұрын
Hyu ndie msani anae faa kua kioo cha jamii
@husseinamar1027
@husseinamar1027 18 күн бұрын
Nipo Oman nipeni like zangu kama huu mwamba twaungana nae kwa point aliyo iongea
@yohanakateko
@yohanakateko Ай бұрын
We uko vzuri
@preygodkwayu8737
@preygodkwayu8737 Ай бұрын
Wanahakati wa kweli
@ShaidaAfati
@ShaidaAfati Ай бұрын
Watekaji wanatoka serikalini ingekuwa hawatoki serikalini ingekua tayari washakamatwa lakini watekaji wenyewe wanatoka serikalini😢
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 27 күн бұрын
Kifupi watekaji wa wananchi ni serikali yenyewe😢😢😢😢😢
@pastorbarakangata606
@pastorbarakangata606 Ай бұрын
kabisa hatutakiwi kukaa kimya kabisa
@PauloAlfayo-qi1gn
@PauloAlfayo-qi1gn Ай бұрын
Wtz,tujiulize ,kwa nini watu wanatekwa?Mimi nakoza majibu yatakayo niridhisha,je wewe umepata majibu unixaidie?ee mungu tz umeweka wewe na neno lako linasema kabla ya mwanadamu kuumbwa unamjua
@juliaskibobora7500
@juliaskibobora7500 Ай бұрын
Tz wangepata watu 10 kam uyo broo enyew tz ingejitambua bt one day watayalipa hata miaka ngapi
@ludigoludigo3010
@ludigoludigo3010 29 күн бұрын
Hatimaye muziki umekushinda
@NuruLutembeja-h1r
@NuruLutembeja-h1r 27 күн бұрын
Umemshinda je?Tubadilikeni na wewe pía chukua hatua kupinga na kukemea hii hali ya utekaji,kwani Sote binadamu nisawa na tushindane kwa hoja na si kutekana.Nadhani utakuwa umenielewa sasa.
@IrenIbrahim-d3f
@IrenIbrahim-d3f Ай бұрын
Serikari Ina maana Haina uwezo wa kuwakamata watekaji au wao wenyewe tu 😂😂😂😂
@mariozulu5743
@mariozulu5743 Ай бұрын
Kuweni kama wakenya, usiogope Amani aiji ila kwa njia ya upanga
@farajamwachiko1175
@farajamwachiko1175 29 күн бұрын
Tusemehe mwamba sisi sauti zetu ziko chini mnooo,
@NikasiMbuya
@NikasiMbuya Ай бұрын
Wewe ni jeshi kaka unatisha.
@EdwardMashauri-e7e
@EdwardMashauri-e7e 29 күн бұрын
Acha muziki nenda kwenye siasa
@MasterG-dc1tx
@MasterG-dc1tx Ай бұрын
Damu nzito kuliko maji kitaeleweka tu tukichoka
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 Ай бұрын
Mwanamke hawezi kuongoza watu kazi yake ni kupika tu kutuoa udambwi dambwi wasanii njaaa tuuu wakifa wanachungiwa tuu au wakiumwa njaaa zinawasumbua
@EdwardMashauri-e7e
@EdwardMashauri-e7e 29 күн бұрын
Una chama ndiyo maana kila wakati umekuwa ukikosoa serikali. Acha unafiki wako boya ww
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 27 күн бұрын
Ndugu ikitokea kwako utaikumbuka hii comment yako
@mastajabudekula4828
@mastajabudekula4828 Ай бұрын
NAY,DUDU BAYA NA GWAJIMA HAWA NI WAZALENDO KABISA.TANZANIA KWA SASA HALI INATISHA UTEKAJI NAMNA HII DAHHH
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz Ай бұрын
Katika wasani wanao tetea wananchi ni wewe ley wengine hewa
@davidmasawe1115
@davidmasawe1115 26 күн бұрын
Mtu wamaan kabisa
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 Ай бұрын
Wewe ni kijana shupavu sio wale machawa wapumbavu
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 Ай бұрын
Mimi niulize tu mbona mbunge wa Tanga mjini hakupewa nafasi ya kutoa salaam za rambirambi msibani kwa mzee Kibao?na kama hakuwepo kwa nini? Maana ni eneo lake la utawala huo msiba haumhusu kwa sababu hakuwa wa chama chake?tujue kuwa mambo ya siasa yanaleta ubaguzi wakati sisi sote ni Watanzania na ndugu tusigombee fito wakati tunajenga nyumba moja kuna watu hawana vyama vya siasa hawa yakiwatokea inkaaje
@johannesishengoma1232
@johannesishengoma1232 Ай бұрын
Kutoonekana kwa mbunge msibani siyo stori yenye tija hata kidogo. Je umetafuta sababu ya yeye kutokuwepo? Je alikuwa nyumbani kwake anamwangilia maua bustanini? Je mojawapo ya majukumu muhimu ya mbunge ni kuhudhuria misiba? Je akiwa anaumwa atalazimika apone kwa lazima ili aende msibani? Jiridhishe ba hoja yako kabla hujalipuka!
@msarama5406
@msarama5406 Ай бұрын
Yule anashirikiana na watu wa waovu pale anapohisi kuna mtu tishio kwenye nafasi yake ya ubunge hii ilishwahi kumkuta mmoja wa ndugu yangu alitekwa akapelekwa kwa RPC alichoelezwa huko na ni shutuma kwa nini anataka kuharibu kitumbua cha odo,mh akapiga simu hapohapo na vitisho kibao dogo akawa mpole akaunga mkono juhudi so labda wanamuona hivo
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu Ай бұрын
Hawa Ccm ndo waratibu wa haya matukio Kwahio huwezijua kwanini hakuwepo
@exprodigitaltechtv5571
@exprodigitaltechtv5571 Ай бұрын
Mbunge sio mtawala ni mwakilishi tu wa jimbo flan
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 Ай бұрын
@@exprodigitaltechtv5571 bunge ni linaunda serikali ni watunga sheria na sheria zinaongoza serikali pia binge linaisimamia serikali
@rithaurassa
@rithaurassa Ай бұрын
Unasema ukweli kijana Mungu akubariki.Watu wajue hakuna anaejua ya kesho yake .Watateka mpaka lini? Watu wamrudie Mungu ty.
@OphiryNtirniga
@OphiryNtirniga Ай бұрын
IMBEN AMAN AMAN AMAN AMAN ,NDIPO TUTAPATA NAFAS KUABUDU & KUSWALI KTK AMANI, ( nawapenda wasanii wanaoimba kukutetea aman & Haki
@PeterDaudi-z2z
@PeterDaudi-z2z Ай бұрын
Ney wewe mzalendo wa kwel hakika hii Dunia yatapta
@Jackson-xv6dn
@Jackson-xv6dn Ай бұрын
Mwamb
@SaidAlly-g2o
@SaidAlly-g2o 16 күн бұрын
ndio kaka tunawapenda san san kk ww na roma mkatoriki tunataman kuwaunga mkono raki kk ss wanyonge. hatujui tuanzie wp kk bira nyie
@josephinarobert3325
@josephinarobert3325 Ай бұрын
Wana mufumo wakizamani sana ccm ushindi niwakwao katiba bado niileile kamishina niwelewale chadema itapitawapi waacheutekaji unaletachuki namifalakano mwisho wasiku vitakuwa vita yakuviziana ww ni ccm huyu nichadema tutanza kuuwana
@sadikimgaza6777
@sadikimgaza6777 Ай бұрын
Mwehu wewe mvuta bangi
@hamiduchingi2672
@hamiduchingi2672 Ай бұрын
Sema nawewe lako tukusikie acha matusi
@khatibabdaabdallah
@khatibabdaabdallah Ай бұрын
Mhhhhh
@RamadhanKaneke
@RamadhanKaneke Ай бұрын
Wew ndo mwehu. Ushafikili familia zilizofiwa na.ndugu ama wazaz wao.kwakutekwa nikitu poa ama kwakua haijakukuta wew ktk familia yak.
@RamadhanKaneke
@RamadhanKaneke Ай бұрын
Tanzani ni inchi ya aman sana lkn asahv unaweza sema iyo aman iko.wp. kunawatu kama sita had sas haoneakani unajua familia zao.ziko ktk hali gan
@sidebadru2493
@sidebadru2493 Ай бұрын
Ww ndio mwehu kuma mako
@FransiscoKaiza
@FransiscoKaiza Ай бұрын
Ney bigup Guys tz akuna kama ww umetishaaa✌️✌️✌️💪💪💪🔥🔥🤳
@juliaskibobora7500
@juliaskibobora7500 Ай бұрын
Tz wangepata watu 10 kam uyo broo enyew tz ingejitambua bt one day watayalipa hata miaka ngapi
这到底是怎么做到的 #路飞#海贼王
00:10
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 3,5 МЛН
1 сквиш тебе или 2 другому? 😌 #шортс #виола
00:36
Mom had to stand up for the whole family!❤️😍😁
00:39
LUKAMBA AFUNGUKA KUHUSU P DIDY
29:18
CHUMBA CHA HABARI CLOUDS MEDIA GROUP
Рет қаралды 296
Nay Wa Mitego ft Mtafya - Baba (Official Video)
2:45
Teknolojia Tv
Рет қаралды 51 М.
SALIM KIKE NDIO  MMILIKI WA CROWN FM
18:28
Dizzim Online
Рет қаралды 141 М.
MWABUKUSI Amjibu TULIA AONGEA MAZITO mbele ya SALIM KIKEKE
8:26
Modesta Peter
Рет қаралды 99 М.