Рет қаралды 12,943
Msanii wa muziki wa Bongo fleva, Nay wa Mitego ametoa maoni yake katika mitandao ya kijamii kuhusu matukio ya utekaji yanayoendelea kushamiri nchini ambapo amewataka viongozi wa serikali kuchukua hatua kwani matukio hayo yanasababisha taharuki na chuki katika jamii.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.