NDOTO UNAONA MIGUU YAKO AU YA MWINGINE INA MAANISHA NINI?

  Рет қаралды 5,868

REV PETER NJIHIA

REV PETER NJIHIA

Күн бұрын

Katika channel hii, huwa ninakusaidia kujua nini maana ya ndoto zako nikitumia misingi ya Bibilia Takatifu. Subscribe na ubonyeze Kengele ya Notification ili uzipate video zangu pindi ninapoenda live. Pia ukitaka kuwa wa msaada kwa huduma hii kupitia matoleo unaweza nipigia simu kupitia/Whatsapp 0706945821

Пікірлер: 55
@dorothymoshy1920
@dorothymoshy1920 Жыл бұрын
Kweli inasikitisha, Yesu hujawahi kushindwa,Yesu tenda muujizaaaaa.
@gracengairo6214
@gracengairo6214 2 ай бұрын
Amina ubalikiwe nakufatilia sana baba
@EMMAHMOKAYA
@EMMAHMOKAYA 2 ай бұрын
Amen
@KeruboIrene1333
@KeruboIrene1333 7 ай бұрын
Long time mtumishi 👋 peace be upon you 🙏 Nimeota mguu ila sio wangu Aunt yangu ana kidonda kwa mguu,,amefuliza 1k aende hos, amefika hos wanaitaji 4 k.so hakutibiwa
@esthernzisa877
@esthernzisa877 Жыл бұрын
Asante mtumishi umenisaidia, mi nilikua naosha kichwa na minguu
@suzanne9517
@suzanne9517 9 ай бұрын
Asante mtumishi wa Mungu
@lilylekulelilylekule5242
@lilylekulelilylekule5242 Жыл бұрын
Amen Father .Mungu akatende🙏nimeota namsugua mtu miiguu.
@revpeternjihia
@revpeternjihia Жыл бұрын
kzbin.infomS387K8O5Wo?feature=share
@LucyMalingumu-xb2vp
@LucyMalingumu-xb2vp Жыл бұрын
Asante mtumishi nimeota naosha uso,mikono,na miguu nikapaka mafuta nikabadili na nguo
@sharifahairstyles602
@sharifahairstyles602 11 ай бұрын
Ubarikiwe sanaa
@irenemwanri3023
@irenemwanri3023 Жыл бұрын
Asante Mungu nashukuru kuwa tuko na afya ni kwa neema tu
@veronicanaaly2441
@veronicanaaly2441 Жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe mtumishi mimi nimeota mguu wangu umepigwa shoti na mwanaume ambae sijui baadae akakimbia nini maana yake
@saidimafu9524
@saidimafu9524 Жыл бұрын
AMINA
@priscillahsirya6544
@priscillahsirya6544 Жыл бұрын
Amina
@filomenaemmanuel14
@filomenaemmanuel14 16 күн бұрын
Mimi nimeota mguu wangu moja umevunjika natembelea bandia
@EsterEmanueljelly
@EsterEmanueljelly Ай бұрын
Nilitoa visigino vyangu vime0asuka sehemu tatu kila Mguu inamaa Gani mtumishi
@SulymanAbdul-ko1wu
@SulymanAbdul-ko1wu 4 ай бұрын
Unatusaidi
@euniceorao2732
@euniceorao2732 Ай бұрын
Niliota sister yangu ameketi kati kati ya miguu ya mtu mwingine
@jacklinibrahim8805
@jacklinibrahim8805 Жыл бұрын
bwana yesu asifiwe Mimi nimeota niguu yangu haina nguvu kusimama hadi mtuanishike mkono ndo nitembee
@revpeternjihia
@revpeternjihia Жыл бұрын
Omba sana utakuwa na wakati mgumu kusimama kiuchumi
@jacklinibrahim8805
@jacklinibrahim8805 Жыл бұрын
Asante mtumishi
@NeemaMwedadi-s8j
@NeemaMwedadi-s8j 6 ай бұрын
ukiota umesimama afu unageuka unaona kama mtu anaucora unyayo wako ina maana gani pastor
@AnneNdabila-uv2qh
@AnneNdabila-uv2qh 3 ай бұрын
Asante sana mtumishi wa Mungu, ubarikiwe sanaaa
@Fidelanna
@Fidelanna 4 күн бұрын
Ukiota unakatwa magamba na kisu
@elitrudakashuku7404
@elitrudakashuku7404 Жыл бұрын
pia nimeona katika ndoto, nazima gari letu ila baba mkwe akanicheka na kuondoka nalo
@revpeternjihia
@revpeternjihia Жыл бұрын
Omba sana kuna jambo una onyeshwa litatokea baya sana na ukataye maisha ya shida na kejeli maishani
@bintimbuto5740
@bintimbuto5740 Жыл бұрын
Je ukiona kumbi kumbi wengi iyo inamahana ngani?
@tinaagnes2301
@tinaagnes2301 10 ай бұрын
Leo nimeota natangezwa miguu yani natengezwa kucha kusafishwa
@idayagicheha
@idayagicheha 8 ай бұрын
Mimi nimeona miguu lakini sijaona mwili nasiyangu
@sophiajacksonjacksonmeshac1468
@sophiajacksonjacksonmeshac1468 3 ай бұрын
Nimeota naona nyayo za mtu yaan alipopita nn maana yake
@VeronikaNchingu
@VeronikaNchingu 8 ай бұрын
Mchungaji mimi nimeota mguu wangu wa Kalia umevunjika na nimefungwa bandeji
@magrethpanga2062
@magrethpanga2062 Жыл бұрын
BWANA yesu asifiwe mtumishi wa MUNGU,nimeota nimekuwa mrefu pia ni mevaa viatu virefu nilikuwa naongea na mtu lakini alikuwa mfupi maana yake Nini?
@graceanthony-nk1xf
@graceanthony-nk1xf 6 ай бұрын
Niliota miguu yangu imeshindwa kutembea kwa kasi baada yabinti mmoja kunishika mkono ili aniongoze twende sehemu nyingine haikuweza ata kupiga hatua😢nilijiforce lalkn sikuweza kusogeza kabsa miguu yangu maana nigafura tu ilikuwa mizito haimove maana ake nini
@bintimbuto5740
@bintimbuto5740 Жыл бұрын
Je ukiota umemwangiwa damu munguuni Alafu mtu mwengine akakuosha na mate yake na iyo mate ikawa kama sabuni namaji iyo inamahanisha nini?
@revpeternjihia
@revpeternjihia Жыл бұрын
Kuna mtu mungu atamleta akusaidie maishani hila usidharau namna atatumia kuwa wa baraka kwako
@lydiamajura8503
@lydiamajura8503 10 ай бұрын
Yohana 13:1
@elitrudakashuku7404
@elitrudakashuku7404 Жыл бұрын
pastor, nimeota naenda kuteka maji na mama yangu
@revpeternjihia
@revpeternjihia Жыл бұрын
Maji ni baraka
@zaifatynyangarika8287
@zaifatynyangarika8287 11 ай бұрын
Aposto mimi nimeota nimepigana na mwanamke kisha nikampiga hadi alishidwa kuamka nika chukua nguo yake nikaikatakata na mkasi but na yeye alinichanja kwenye kisikuno cha unyayo nini maana yakee please
@hellenmwenda4971
@hellenmwenda4971 Жыл бұрын
Niliota sio mara moja naosha miguu yangu
@revpeternjihia
@revpeternjihia Жыл бұрын
Hiyo ni mamlaka na utawala maishani, unaenda kubarikiwa
@marthaadammakatobemwakatob4246
@marthaadammakatobemwakatob4246 4 ай бұрын
Kuota miguu imekanyaga damu
@tiiiiiiiii
@tiiiiiiiii Жыл бұрын
Dady naomba nitafute NAHITAJI unisaidie
@revpeternjihia
@revpeternjihia 4 ай бұрын
+254706945821
@wardaomary2997
@wardaomary2997 Жыл бұрын
Nimeota nasuuza miguu bombani
@perisndiritu4841
@perisndiritu4841 Жыл бұрын
NA UKIOTA UKIONA MTU AMEFUJIKIA MGUU KWA SHAMBA LAKO
@revpeternjihia
@revpeternjihia Жыл бұрын
Hawezi fanikiwa adui amelemaza mafanikio yake
@mareh18
@mareh18 10 ай бұрын
Na ukiota miguu yako iko na crakes
@besty8152
@besty8152 Жыл бұрын
Niliota miguu yangu ikiwa na mawhite
@revpeternjihia
@revpeternjihia Жыл бұрын
Kuna hatua utachukwa maishani na kile utafanya kitabarikiwa
@akbaslismh9874
@akbaslismh9874 Жыл бұрын
Niliota nanawa miguu na maji bombani
@cecychaaz1434
@cecychaaz1434 10 ай бұрын
@@revpeternjihia baba nimeota mguu wa mwanangu amevaa kobe yan mguu wake umebadillika umekua kobe pia anavidole vingi lakin haogop ila mm nahofu sn hapo hapo natoka njee naona kuna msiba jiran ila wanalazimisha walete kwetu bas police wakawa wanawarudisha wakae sehem husika nimekua nikiota misiba mfurulizo kwa jiran zangu ila sion jenez naogopa
@Agnesmkenda
@Agnesmkenda 15 күн бұрын
𝑀𝑚 𝑛𝑖𝑚𝑒𝑜𝑡𝑎 𝑦𝑎 𝑚𝑤𝑒𝑛𝑔𝑛𝑒 ℎ𝑎𝑤𝑎 𝑤𝑒𝑧𝑖 𝑘𝑢𝑡𝑒𝑚𝑏𝑒𝑎 𝑤𝑒𝑛𝑔 𝑠𝑎𝑎𝑎𝑛𝑎 𝑙𝑎𝑘𝑖𝑛 𝑚𝑚 𝑛𝑎 𝑟𝑎𝑓𝑖𝑘𝑖 𝑦𝑎𝑛𝑔𝑢 𝑡𝑢𝑘𝑎𝑤𝑎 𝑡𝑢𝑛𝑎 𝑡𝑒𝑚𝑏𝑒𝑎 𝑖𝑙𝑎𝑎 𝑤𝑎𝑛𝑎𝑓𝑢𝑛𝑧𝑖 𝑤𝑒𝑛𝑔𝑖 𝑤𝑎𝑛𝑎 𝑡𝑎𝑚𝑏𝑎𝑎 ℎ𝑎𝑤𝑎𝑤𝑒𝑧 𝑘𝑢𝑡𝑒𝑚𝑏𝑒𝑎 𝑚𝑎𝑎𝑛𝑎 𝑦𝑎𝑘𝑒 𝑛𝑛
@margaretnyakio7498
@margaretnyakio7498 11 ай бұрын
Amen amen
@ChristinaMayanga
@ChristinaMayanga Жыл бұрын
Amina
KUOTA UNA TEMBEA BILA VIATU !!
1:06:56
REV PETER NJIHIA
Рет қаралды 10 М.
EE BWANA BADILISHA KUWAZA KWANGU.
1:13:54
REV PETER NJIHIA
Рет қаралды 253
POV: Your kids ask to play the claw machine
00:20
Hungry FAM
Рет қаралды 16 МЛН
An Unknown Ending💪
00:49
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 48 МЛН
Je peux le faire
00:13
Daniil le Russe
Рет қаралды 21 МЛН
KUOTA UNAPIGWA PICHA INA HATARI GANI?
1:46:49
REV PETER NJIHIA
Рет қаралды 4,9 М.
LIVE_:KAMA HUJAROGWA DALILI HIZI HUNA
36:48
ZINJIBAR TV
Рет қаралды 946
MAAJABU YA ULIMWENGU WA ROHO - S1EP1
18:06
ULIMWENGU WA ROHO
Рет қаралды 244
NDOTO 4 INA KUZUNGUMZIA UTAPATA UGUMU WA MAOMBI AU SALA.
9:56
REV PETER NJIHIA
Рет қаралды 438
UMEOTA NA VIATU,NINI MAANA YAKE?
17:37
REV PETER NJIHIA
Рет қаралды 16 М.
JINSI YA KUJINASUA KUTOKA KATIKA LAANA YA FAMILIA (PART 2) || PASTOR GEORGE MUKABWA || 16-10-2022
1:36:41
If Nobody's told You how Powerful Your Words Are, then I Will
29:35
David Diga Hernandez
Рет қаралды 35 М.
POV: Your kids ask to play the claw machine
00:20
Hungry FAM
Рет қаралды 16 МЛН