NDOTO ZA WATOTO NA FAIDA ZAKE

  Рет қаралды 88,745

Utabiri Wa Nyota

Utabiri Wa Nyota

Күн бұрын

NDOTO ZA WATOTO NA FAIDA ZAKE

Пікірлер: 75
@mtengwadj9390
@mtengwadj9390 Жыл бұрын
Ahsante kwa Elimu
@AmosiThomasi-no5sd
@AmosiThomasi-no5sd 3 ай бұрын
Asante mama Mimi niliota mtoto wangu amekuwa mkubwa
@LucyLucy-z6z
@LucyLucy-z6z 20 күн бұрын
Niliota mtoto wangu akibeba ujauzito
@KeflenElias
@KeflenElias Ай бұрын
Mm nimeota mwanangu anaolewa na nimeenda mm na mama angu.kumpa zawadi tena nakumuasa maneno ya kukaa na mmewe vizuri lakini mwangu.bado mwanafunzi inamana gani ndoto hiyo
@HidaryHidder
@HidaryHidder Жыл бұрын
Mnajitia kutoa namba za simu, mkipigiwa mnakata, sms wasap hamjibu .....😢
@AnnitaShishi
@AnnitaShishi Жыл бұрын
Nje kuota ndoto mtoto wangu amejifungia
@InnocentChanceNakMobutu
@InnocentChanceNakMobutu Ай бұрын
Asante Mtabibu. Ila mimi nimeota mwanangu ananenepa saana na anahamu ya kula na mwisho wa ndoto hiyo nikaona najifunguwa mtoto pia wakati mimi ni mwanamme kwani maana yake ninini?
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib Жыл бұрын
Nimeota nipo na mama na kuna kaka yetu ambaye kachanganyikiwa anatukimbiza tukiwa na mdogo wangu wa mwisho ambaye sasa ni mkubwa nimeota yupo mdogo nimembeba
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib Жыл бұрын
Mama kaota mdigo wangu kaludi mdogo
@djyondergigi1027
@djyondergigi1027 Жыл бұрын
Jee una ota Mtoto hata si wako njee unataka ku m adabt
@jolie2768
@jolie2768 Жыл бұрын
Niota mdogo wangu amemupa shangazi mtoto wangu ila shangazi hakuonesha upendo kwa mtoto uyo Aka rudisha mtoto kwa mdogo wangu wa kiume
@fathrish3216
@fathrish3216 10 ай бұрын
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh,mm nimeota nimepatiwa mtoto mchanga nikambeba kifuani kama vile mtu akijifungua anaekewa mtoto wake kifuani ....je ni nn maana yake
@AhmadAli32589
@AhmadAli32589 6 ай бұрын
Mii nimeota mtoto wangu kafarikii
@aminamtikaonlinetv7305
@aminamtikaonlinetv7305 3 жыл бұрын
Ukiota unaletewa watoto wawili WA jinsia tofauti na unaambiwa kuwa ni wa mume wako,
@suzanne9517
@suzanne9517 Жыл бұрын
Asante sana
@rehemasalim1440
@rehemasalim1440 Жыл бұрын
Ukiota umelala chini n dogoro jipya n umelala n n mtt mchanga usiemjua
@ShuwehaNassor
@ShuwehaNassor 6 ай бұрын
Nmeota mwanangu anaanguka kinyumenyume maan yke nni
@tamimamtumwa-sw8xy
@tamimamtumwa-sw8xy Жыл бұрын
A,alaykum mimi nimeota mtoto wangu anakufa nikiwa nimembeba ubavuni mana baada yakuingia kijani kwenye skio lake maana yake nini
@kavirachantal2374
@kavirachantal2374 Жыл бұрын
Asante sana kwasomo nzuri 🙏Mimi niliota nachapa mtoto wangu viboko paka nikamuumiza vidonda
@KatosymphorianMaichal
@KatosymphorianMaichal 6 ай бұрын
Je ukiota unaretewa hera kwako na watu wengi wanatokea mbere na nyuma ya nyumba yako ukawa unapokea unapereka ndan manayake nin
@fatmaduru9307
@fatmaduru9307 3 жыл бұрын
Je nikiota Mimi mwenyewe nazaa mtoto inamaana gani
@mayaiddy6119
@mayaiddy6119 3 жыл бұрын
Nini maana ya kumuota kiogozi wa ichi yako ambae ameshakufa unamuona ndotoni na ukimfata anapotea na mbele unaona tembo wakubwa wanakufukuza
@slavymwenda6401
@slavymwenda6401 2 жыл бұрын
Mimi nimeota mwanangu nimemzaa mnene na anamwili baraa
@javerymsangi2856
@javerymsangi2856 7 ай бұрын
Mimi nmeota mwanangu katoka shule afukafikia Kwa jiran wanaanza kucheza ala akaanguka akaumia akaanza kulia na mm nkaanakumchapa ila wakat namchapa nkamuona akuwa amenenepa pana
@rosemwanarusi8819
@rosemwanarusi8819 2 жыл бұрын
Ukiota una mtoto na haujawahi kuzaaa hii vip
@rennishmellaney1006
@rennishmellaney1006 Жыл бұрын
Sallam alleikum vipi kuhusu ukiwa unamlisha mtoto wako
@KatosymphorianMaichal
@KatosymphorianMaichal 6 ай бұрын
Ukiota unapewa hera nawatu wanareta kwako unapokea unapereka ndan inamaana gan
@sidikatoi1334
@sidikatoi1334 2 жыл бұрын
Mm nimeota utupu wa mtoto wangu wa kiume
@jacklineomwega2771
@jacklineomwega2771 6 ай бұрын
Mimi nimeota mtoto wangu amelazwa hospitali
@djyondergigi1027
@djyondergigi1027 Жыл бұрын
Ma ukiota Mtoto Wa njee haumjuyi
@kilimanjarotv742
@kilimanjarotv742 3 жыл бұрын
ukiota mkeo mlioachana anakuficha mtoto na kumuingiza ndani akiwa amelala.ishara gani
@elizabethmalamso8295
@elizabethmalamso8295 3 жыл бұрын
Naomba namba ya sm tafadharini
@djyondergigi1027
@djyondergigi1027 Жыл бұрын
Jee na mtoto ambaye siyo wako ??
@tamimasaloon8547
@tamimasaloon8547 2 жыл бұрын
Mimi nimeota mwanangu nimempeleka kwa dada angu akae nae akawa ananilili na ananingangania hataki kukaa pale maana yake nini
@marywairimu7612
@marywairimu7612 2 жыл бұрын
Nikulize miliota nikikimbizwa na mtu nikiwa nimebemba mtoto mkononi kukaja mtu akanisaindia nikiwa na mtoto wangu tena yule alikuwa ananikimbiza alikuwa baba yangu mdogo ambaye alikufa kitambo na alikuwa mwenda wazimu
@rosemarymutugi5570
@rosemarymutugi5570 Жыл бұрын
Baraka unazo tele lakn zinawindwa
@Nury1784
@Nury1784 2 жыл бұрын
Je ukiota unakabidhiwa mtoto aliekufa na unamkataa inamaanisha nini??
@lilianrichard9065
@lilianrichard9065 Жыл бұрын
Nimeota namtoa mtoto mgongon nampa mtu anambeba uku nikimkimbiza mtu amenibia pesa zangu nn maana yake
@justinaninga5628
@justinaninga5628 3 жыл бұрын
Niliota mwanangu pamoja na mdogo wako ambao wanasoma darasa moja wamehamishwa shule na wamepelekwa mkoa mwingine in
@AllyMwatete
@AllyMwatete 6 ай бұрын
Na ukiota ntoto ndogo ametumbukia kisimani na kafariki
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib Жыл бұрын
Ukiota mdogo yupo mdogo na umembeba wakat ni mkubwa
@aminamtikaonlinetv7305
@aminamtikaonlinetv7305 3 жыл бұрын
Ukiota wanawake wawili wamekuja kwako alafu wanakuambia kuwa wameleta watoto wawili jinsia tofauti tena umeota na majina eti wamekuletea nyumbani kuwa ni wa mume wako. Mini maana take?
@NkathaRisper
@NkathaRisper 3 ай бұрын
Yamaanisha nini ukiota uko na watoto wandogo wanakusaidia kufanya usafi
@mercypeter162
@mercypeter162 2 жыл бұрын
Kuota mtoto wangu Ni mdogo wakati ni mkubwa maana yake nini??
@cecile2773
@cecile2773 Жыл бұрын
Mimi pia napata hiyo ndoto 😢 sijapata mana yake
@sophiajacksonjacksonmeshac1468
@sophiajacksonjacksonmeshac1468 4 ай бұрын
Nimeota mtoto ananikimbilia kwa nyuma
@ryankruz5899
@ryankruz5899 2 жыл бұрын
Na kama nimeota mtoto wangu wa kiume amekufa n sielewi venye alikifa inamanisha nini
@MamyCallins
@MamyCallins 6 ай бұрын
Mim niliota nmemkata mwanang wakiume kidudu
@marypaul2462
@marypaul2462 3 жыл бұрын
Na ukimuota mwanao Kwa mkubwa na anakukinga yaaaani anasilaha
@awadhbasheikh6385
@awadhbasheikh6385 3 жыл бұрын
jee ukiota watoto umewaona watoka Madrasa usiku.ila wakati ulipowaona wanacheza na kuimba.Jee ni nn maana yake
@khairatabdulkhalid4591
@khairatabdulkhalid4591 2 жыл бұрын
Je ukimwota mtoto wako ametumbukia baharini....kisha ukamwokoa?
@husnahalobogast4527
@husnahalobogast4527 2 жыл бұрын
hata mm nmeota hivyo cjui ni nin
@marywairimu7612
@marywairimu7612 2 жыл бұрын
Tena nikaota nikifanya mapenzi na mtu mwenye sikuwahi muona uso mpaka sasa naota naye tukifanya mapenzi lakini sijawahi kuona uso
@doricepallangyo5981
@doricepallangyo5981 2 жыл бұрын
Tafuta maombi ya kipinga roho ya jini mahaba yako mengi KZbin
@rosemarymutugi5570
@rosemarymutugi5570 Жыл бұрын
ill or evil spirit' na hutawahi kuwa na' haja' na your partner kaa uko naye bcoz you have a spiritual partner.
@rosemarymutugi5570
@rosemarymutugi5570 Жыл бұрын
Be delivered from that spirit I Jesus name.
@aishandwata2207
@aishandwata2207 3 жыл бұрын
Nje ukiota uacheza na watoto tu.nn mqana yake
@adelinamartine3557
@adelinamartine3557 3 жыл бұрын
Ukiota mvua nn maana yake
@prosmacharius7074
@prosmacharius7074 2 жыл бұрын
Ukiota binti yako anapata hedhi ya kwanza
@ahlanshindano8433
@ahlanshindano8433 3 жыл бұрын
Ivi ukiota umezaa mtoto wa kike na wakiume huku ukiwa mjamzito ndoto hiyo Ina maana gani
@G.r.e.a.t.I.Q
@G.r.e.a.t.I.Q 2 жыл бұрын
KwnmKama wewe ni mtu w
@joynatasha2456
@joynatasha2456 2 жыл бұрын
Ukiota majina ya watoto wako
@winfridayesaya1994
@winfridayesaya1994 2 жыл бұрын
Ukiota mtoto wako anatembea mwenyewe na bado mchanga inamaanisha nini
@rosemarymutugi5570
@rosemarymutugi5570 Жыл бұрын
Prosperity, blessings
@Annalisejg2ur
@Annalisejg2ur 8 ай бұрын
​@@rosemarymutugi5570ukiota mtoto mchanga anazungumza nini maana yake. Hata kuzungumza hawezi bado
@muddyboy676
@muddyboy676 Жыл бұрын
Na ukiota unafanya mapnz na mtoto mdog je
@ahlanshindano8433
@ahlanshindano8433 3 жыл бұрын
Kuna kipindi Cha ndoto kilichopita km kuhusu kujifungua comment zilifungiwa cjapata kuuliza swali
@jumahagai9013
@jumahagai9013 3 жыл бұрын
Ukiota mtoto wako anatoa msahada kwa mzee na mtoto bado mdogo
@rosemarymutugi5570
@rosemarymutugi5570 Жыл бұрын
'Prosperity' pray for it dear
@paulmisago7129
@paulmisago7129 Жыл бұрын
Ukiota unapiga mtoto wako
@nchamangenda9862
@nchamangenda9862 3 жыл бұрын
je ukiota mtoto wako amefariki akiwa mikononi wako ni nini maana yake?
@fadhilirajabu9354
@fadhilirajabu9354 2 жыл бұрын
Mm nimeota hivyo sijui nn maana yake we ushajua
@mwendazakemparo5540
@mwendazakemparo5540 2 жыл бұрын
Niliota.mke wangu kazaa na mtu mwingine
@InnocentChanceNakMobutu
@InnocentChanceNakMobutu Ай бұрын
Asante Mtabibu. Ila mimi nimeota mwanangu ananenepa saana na anahamu ya kula na mwisho wa ndoto hiyo nikaona najifunguwa mtoto pia wakati mimi ni mwanamme kwani maana yake ninini?
Леон киллер и Оля Полякова 😹
00:42
Канал Смеха
Рет қаралды 4,7 МЛН
UKIONA NDOTO TU MTOTO WAKO AU WA MWINGINE KAFARIKI. MUNGU ANAKUJULISHA HAYA 4 USIYAPUUZE
6:23
WAKWE WAACHE KUINGILIA MAHUSIANO YA WATOTO WAO
33:05
SHEIKH KATOTO TV
Рет қаралды 22
TAFSIRI ZA NDOTO ZA PESA - S01EP32 - Utabiri wa Nyota na Mnajimu Kuluthum
7:28
THE MOST POWERFUL RUQYAH REMOVES Djinn IN THE HUMAN BODY AND BLOODSTREAM
1:40:25
NDOTO | UKIOTA KISIMA HIZI NDIO TAFSIRI ZAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN
34:00
MASJID MTORO ONLINE TV
Рет қаралды 37 М.
NDOTO ZINAZOHUSIANA NA SAFARI KINYOTA
8:39
Utabiri Wa Nyota
Рет қаралды 57 М.