Asante mama Mimi niliota mtoto wangu amekuwa mkubwa
@LucyLucy-z6z20 күн бұрын
Niliota mtoto wangu akibeba ujauzito
@KeflenEliasАй бұрын
Mm nimeota mwanangu anaolewa na nimeenda mm na mama angu.kumpa zawadi tena nakumuasa maneno ya kukaa na mmewe vizuri lakini mwangu.bado mwanafunzi inamana gani ndoto hiyo
@HidaryHidder Жыл бұрын
Mnajitia kutoa namba za simu, mkipigiwa mnakata, sms wasap hamjibu .....😢
@AnnitaShishi Жыл бұрын
Nje kuota ndoto mtoto wangu amejifungia
@InnocentChanceNakMobutuАй бұрын
Asante Mtabibu. Ila mimi nimeota mwanangu ananenepa saana na anahamu ya kula na mwisho wa ndoto hiyo nikaona najifunguwa mtoto pia wakati mimi ni mwanamme kwani maana yake ninini?
@VickKulekana-si1ib Жыл бұрын
Nimeota nipo na mama na kuna kaka yetu ambaye kachanganyikiwa anatukimbiza tukiwa na mdogo wangu wa mwisho ambaye sasa ni mkubwa nimeota yupo mdogo nimembeba
@VickKulekana-si1ib Жыл бұрын
Mama kaota mdigo wangu kaludi mdogo
@djyondergigi1027 Жыл бұрын
Jee una ota Mtoto hata si wako njee unataka ku m adabt
@jolie2768 Жыл бұрын
Niota mdogo wangu amemupa shangazi mtoto wangu ila shangazi hakuonesha upendo kwa mtoto uyo Aka rudisha mtoto kwa mdogo wangu wa kiume
@fathrish321610 ай бұрын
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh,mm nimeota nimepatiwa mtoto mchanga nikambeba kifuani kama vile mtu akijifungua anaekewa mtoto wake kifuani ....je ni nn maana yake
@AhmadAli325896 ай бұрын
Mii nimeota mtoto wangu kafarikii
@aminamtikaonlinetv73053 жыл бұрын
Ukiota unaletewa watoto wawili WA jinsia tofauti na unaambiwa kuwa ni wa mume wako,
@suzanne9517 Жыл бұрын
Asante sana
@rehemasalim1440 Жыл бұрын
Ukiota umelala chini n dogoro jipya n umelala n n mtt mchanga usiemjua
@ShuwehaNassor6 ай бұрын
Nmeota mwanangu anaanguka kinyumenyume maan yke nni
@tamimamtumwa-sw8xy Жыл бұрын
A,alaykum mimi nimeota mtoto wangu anakufa nikiwa nimembeba ubavuni mana baada yakuingia kijani kwenye skio lake maana yake nini
@kavirachantal2374 Жыл бұрын
Asante sana kwasomo nzuri 🙏Mimi niliota nachapa mtoto wangu viboko paka nikamuumiza vidonda
@KatosymphorianMaichal6 ай бұрын
Je ukiota unaretewa hera kwako na watu wengi wanatokea mbere na nyuma ya nyumba yako ukawa unapokea unapereka ndan manayake nin
@fatmaduru93073 жыл бұрын
Je nikiota Mimi mwenyewe nazaa mtoto inamaana gani
@mayaiddy61193 жыл бұрын
Nini maana ya kumuota kiogozi wa ichi yako ambae ameshakufa unamuona ndotoni na ukimfata anapotea na mbele unaona tembo wakubwa wanakufukuza
@slavymwenda64012 жыл бұрын
Mimi nimeota mwanangu nimemzaa mnene na anamwili baraa
@javerymsangi28567 ай бұрын
Mimi nmeota mwanangu katoka shule afukafikia Kwa jiran wanaanza kucheza ala akaanguka akaumia akaanza kulia na mm nkaanakumchapa ila wakat namchapa nkamuona akuwa amenenepa pana
@rosemwanarusi88192 жыл бұрын
Ukiota una mtoto na haujawahi kuzaaa hii vip
@rennishmellaney1006 Жыл бұрын
Sallam alleikum vipi kuhusu ukiwa unamlisha mtoto wako
ukiota mkeo mlioachana anakuficha mtoto na kumuingiza ndani akiwa amelala.ishara gani
@elizabethmalamso82953 жыл бұрын
Naomba namba ya sm tafadharini
@djyondergigi1027 Жыл бұрын
Jee na mtoto ambaye siyo wako ??
@tamimasaloon85472 жыл бұрын
Mimi nimeota mwanangu nimempeleka kwa dada angu akae nae akawa ananilili na ananingangania hataki kukaa pale maana yake nini
@marywairimu76122 жыл бұрын
Nikulize miliota nikikimbizwa na mtu nikiwa nimebemba mtoto mkononi kukaja mtu akanisaindia nikiwa na mtoto wangu tena yule alikuwa ananikimbiza alikuwa baba yangu mdogo ambaye alikufa kitambo na alikuwa mwenda wazimu
@rosemarymutugi5570 Жыл бұрын
Baraka unazo tele lakn zinawindwa
@Nury17842 жыл бұрын
Je ukiota unakabidhiwa mtoto aliekufa na unamkataa inamaanisha nini??
@lilianrichard9065 Жыл бұрын
Nimeota namtoa mtoto mgongon nampa mtu anambeba uku nikimkimbiza mtu amenibia pesa zangu nn maana yake
@justinaninga56283 жыл бұрын
Niliota mwanangu pamoja na mdogo wako ambao wanasoma darasa moja wamehamishwa shule na wamepelekwa mkoa mwingine in
@AllyMwatete6 ай бұрын
Na ukiota ntoto ndogo ametumbukia kisimani na kafariki
@VickKulekana-si1ib Жыл бұрын
Ukiota mdogo yupo mdogo na umembeba wakat ni mkubwa
@aminamtikaonlinetv73053 жыл бұрын
Ukiota wanawake wawili wamekuja kwako alafu wanakuambia kuwa wameleta watoto wawili jinsia tofauti tena umeota na majina eti wamekuletea nyumbani kuwa ni wa mume wako. Mini maana take?
@NkathaRisper3 ай бұрын
Yamaanisha nini ukiota uko na watoto wandogo wanakusaidia kufanya usafi
@mercypeter1622 жыл бұрын
Kuota mtoto wangu Ni mdogo wakati ni mkubwa maana yake nini??
@cecile2773 Жыл бұрын
Mimi pia napata hiyo ndoto 😢 sijapata mana yake
@sophiajacksonjacksonmeshac14684 ай бұрын
Nimeota mtoto ananikimbilia kwa nyuma
@ryankruz58992 жыл бұрын
Na kama nimeota mtoto wangu wa kiume amekufa n sielewi venye alikifa inamanisha nini
@MamyCallins6 ай бұрын
Mim niliota nmemkata mwanang wakiume kidudu
@marypaul24623 жыл бұрын
Na ukimuota mwanao Kwa mkubwa na anakukinga yaaaani anasilaha
@awadhbasheikh63853 жыл бұрын
jee ukiota watoto umewaona watoka Madrasa usiku.ila wakati ulipowaona wanacheza na kuimba.Jee ni nn maana yake
@khairatabdulkhalid45912 жыл бұрын
Je ukimwota mtoto wako ametumbukia baharini....kisha ukamwokoa?
@husnahalobogast45272 жыл бұрын
hata mm nmeota hivyo cjui ni nin
@marywairimu76122 жыл бұрын
Tena nikaota nikifanya mapenzi na mtu mwenye sikuwahi muona uso mpaka sasa naota naye tukifanya mapenzi lakini sijawahi kuona uso
@doricepallangyo59812 жыл бұрын
Tafuta maombi ya kipinga roho ya jini mahaba yako mengi KZbin
@rosemarymutugi5570 Жыл бұрын
ill or evil spirit' na hutawahi kuwa na' haja' na your partner kaa uko naye bcoz you have a spiritual partner.
@rosemarymutugi5570 Жыл бұрын
Be delivered from that spirit I Jesus name.
@aishandwata22073 жыл бұрын
Nje ukiota uacheza na watoto tu.nn mqana yake
@adelinamartine35573 жыл бұрын
Ukiota mvua nn maana yake
@prosmacharius70742 жыл бұрын
Ukiota binti yako anapata hedhi ya kwanza
@ahlanshindano84333 жыл бұрын
Ivi ukiota umezaa mtoto wa kike na wakiume huku ukiwa mjamzito ndoto hiyo Ina maana gani
@G.r.e.a.t.I.Q2 жыл бұрын
KwnmKama wewe ni mtu w
@joynatasha24562 жыл бұрын
Ukiota majina ya watoto wako
@winfridayesaya19942 жыл бұрын
Ukiota mtoto wako anatembea mwenyewe na bado mchanga inamaanisha nini
@rosemarymutugi5570 Жыл бұрын
Prosperity, blessings
@Annalisejg2ur8 ай бұрын
@@rosemarymutugi5570ukiota mtoto mchanga anazungumza nini maana yake. Hata kuzungumza hawezi bado
@muddyboy676 Жыл бұрын
Na ukiota unafanya mapnz na mtoto mdog je
@ahlanshindano84333 жыл бұрын
Kuna kipindi Cha ndoto kilichopita km kuhusu kujifungua comment zilifungiwa cjapata kuuliza swali
@jumahagai90133 жыл бұрын
Ukiota mtoto wako anatoa msahada kwa mzee na mtoto bado mdogo
@rosemarymutugi5570 Жыл бұрын
'Prosperity' pray for it dear
@paulmisago7129 Жыл бұрын
Ukiota unapiga mtoto wako
@nchamangenda98623 жыл бұрын
je ukiota mtoto wako amefariki akiwa mikononi wako ni nini maana yake?
@fadhilirajabu93542 жыл бұрын
Mm nimeota hivyo sijui nn maana yake we ushajua
@mwendazakemparo55402 жыл бұрын
Niliota.mke wangu kazaa na mtu mwingine
@InnocentChanceNakMobutuАй бұрын
Asante Mtabibu. Ila mimi nimeota mwanangu ananenepa saana na anahamu ya kula na mwisho wa ndoto hiyo nikaona najifunguwa mtoto pia wakati mimi ni mwanamme kwani maana yake ninini?