Mimi nmeota mwanangu katoka shule afukafikia Kwa jiran wanaanza kucheza ala akaanguka akaumia akaanza kulia na mm nkaanakumchapa ila wakat namchapa nkamuona akuwa amenenepa pana
@mtengwadj93906 ай бұрын
Ahsante kwa Elimu
@user-hh1jd2gs1j6 ай бұрын
Mnajitia kutoa namba za simu, mkipigiwa mnakata, sms wasap hamjibu .....😢
@suzanne9517 Жыл бұрын
Asante sana
@aminamtikaonlinetv73052 жыл бұрын
Ukiota unaletewa watoto wawili WA jinsia tofauti na unaambiwa kuwa ni wa mume wako,
@VickKulekana-si1ib9 ай бұрын
Nimeota nipo na mama na kuna kaka yetu ambaye kachanganyikiwa anatukimbiza tukiwa na mdogo wangu wa mwisho ambaye sasa ni mkubwa nimeota yupo mdogo nimembeba
@fathrish32162 ай бұрын
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh,mm nimeota nimepatiwa mtoto mchanga nikambeba kifuani kama vile mtu akijifungua anaekewa mtoto wake kifuani ....je ni nn maana yake
@mayaiddy61192 жыл бұрын
Nini maana ya kumuota kiogozi wa ichi yako ambae ameshakufa unamuona ndotoni na ukimfata anapotea na mbele unaona tembo wakubwa wanakufukuza
@AnnitaShishi8 ай бұрын
Nje kuota ndoto mtoto wangu amejifungia
@jolie276811 ай бұрын
Niota mdogo wangu amemupa shangazi mtoto wangu ila shangazi hakuonesha upendo kwa mtoto uyo Aka rudisha mtoto kwa mdogo wangu wa kiume
@VickKulekana-si1ib9 ай бұрын
Mama kaota mdigo wangu kaludi mdogo
@kavirachantal2374 Жыл бұрын
Asante sana kwasomo nzuri 🙏Mimi niliota nachapa mtoto wangu viboko paka nikamuumiza vidonda
@rehemasalim1440 Жыл бұрын
Ukiota umelala chini n dogoro jipya n umelala n n mtt mchanga usiemjua
@sidikatoi13342 жыл бұрын
Mm nimeota utupu wa mtoto wangu wa kiume
@tamimamtumwa-sw8xy10 ай бұрын
A,alaykum mimi nimeota mtoto wangu anakufa nikiwa nimembeba ubavuni mana baada yakuingia kijani kwenye skio lake maana yake nini
@rosemwanarusi88192 жыл бұрын
Ukiota una mtoto na haujawahi kuzaaa hii vip
@rennishmellaney100611 ай бұрын
Sallam alleikum vipi kuhusu ukiwa unamlisha mtoto wako
@kilimanjarotv7422 жыл бұрын
ukiota mkeo mlioachana anakuficha mtoto na kumuingiza ndani akiwa amelala.ishara gani
@fatmaduru93072 жыл бұрын
Je nikiota Mimi mwenyewe nazaa mtoto inamaana gani
@marywairimu76122 жыл бұрын
Nikulize miliota nikikimbizwa na mtu nikiwa nimebemba mtoto mkononi kukaja mtu akanisaindia nikiwa na mtoto wangu tena yule alikuwa ananikimbiza alikuwa baba yangu mdogo ambaye alikufa kitambo na alikuwa mwenda wazimu
@rosemarymutugi5570 Жыл бұрын
Baraka unazo tele lakn zinawindwa
@djyondergigi102710 ай бұрын
Jee una ota Mtoto hata si wako njee unataka ku m adabt
@khairatabdulkhalid45912 жыл бұрын
Je ukimwota mtoto wako ametumbukia baharini....kisha ukamwokoa?
@husnahalobogast45272 жыл бұрын
hata mm nmeota hivyo cjui ni nin
@mercypeter162 Жыл бұрын
Kuota mtoto wangu Ni mdogo wakati ni mkubwa maana yake nini??
@cecile27737 ай бұрын
Mimi pia napata hiyo ndoto 😢 sijapata mana yake
@slavymwenda6401 Жыл бұрын
Mimi nimeota mwanangu nimemzaa mnene na anamwili baraa
@tamimasaloon85472 жыл бұрын
Mimi nimeota mwanangu nimempeleka kwa dada angu akae nae akawa ananilili na ananingangania hataki kukaa pale maana yake nini
@justinaninga56282 жыл бұрын
Niliota mwanangu pamoja na mdogo wako ambao wanasoma darasa moja wamehamishwa shule na wamepelekwa mkoa mwingine in
@lilianrichard9065 Жыл бұрын
Nimeota namtoa mtoto mgongon nampa mtu anambeba uku nikimkimbiza mtu amenibia pesa zangu nn maana yake
@aminamtikaonlinetv73052 жыл бұрын
Ukiota wanawake wawili wamekuja kwako alafu wanakuambia kuwa wameleta watoto wawili jinsia tofauti tena umeota na majina eti wamekuletea nyumbani kuwa ni wa mume wako. Mini maana take?
@ryankruz5899 Жыл бұрын
Na kama nimeota mtoto wangu wa kiume amekufa n sielewi venye alikifa inamanisha nini
@elizabethmalamso82952 жыл бұрын
Naomba namba ya sm tafadharini
@VickKulekana-si1ib9 ай бұрын
Ukiota mdogo yupo mdogo na umembeba wakat ni mkubwa
@djyondergigi102710 ай бұрын
Ma ukiota Mtoto Wa njee haumjuyi
@marypaul24622 жыл бұрын
Na ukimuota mwanao Kwa mkubwa na anakukinga yaaaani anasilaha
@awadhbasheikh63852 жыл бұрын
jee ukiota watoto umewaona watoka Madrasa usiku.ila wakati ulipowaona wanacheza na kuimba.Jee ni nn maana yake
@muddyboy6765 ай бұрын
Na ukiota unafanya mapnz na mtoto mdog je
@aishandwata22072 жыл бұрын
Nje ukiota uacheza na watoto tu.nn mqana yake
@taiba1784 Жыл бұрын
Je ukiota unakabidhiwa mtoto aliekufa na unamkataa inamaanisha nini??
@ahlanshindano84332 жыл бұрын
Kuna kipindi Cha ndoto kilichopita km kuhusu kujifungua comment zilifungiwa cjapata kuuliza swali
@djyondergigi102710 ай бұрын
Jee na mtoto ambaye siyo wako ??
@ahlanshindano84332 жыл бұрын
Ivi ukiota umezaa mtoto wa kike na wakiume huku ukiwa mjamzito ndoto hiyo Ina maana gani
@G.r.e.a.t.I.Q Жыл бұрын
KwnmKama wewe ni mtu w
@adelinamartine35572 жыл бұрын
Ukiota mvua nn maana yake
@prosmacharius7074 Жыл бұрын
Ukiota binti yako anapata hedhi ya kwanza
@marywairimu76122 жыл бұрын
Tena nikaota nikifanya mapenzi na mtu mwenye sikuwahi muona uso mpaka sasa naota naye tukifanya mapenzi lakini sijawahi kuona uso
@doricepallangyo59812 жыл бұрын
Tafuta maombi ya kipinga roho ya jini mahaba yako mengi KZbin
@rosemarymutugi5570 Жыл бұрын
ill or evil spirit' na hutawahi kuwa na' haja' na your partner kaa uko naye bcoz you have a spiritual partner.
@rosemarymutugi5570 Жыл бұрын
Be delivered from that spirit I Jesus name.
@jumahagai90132 жыл бұрын
Ukiota mtoto wako anatoa msahada kwa mzee na mtoto bado mdogo
@rosemarymutugi5570 Жыл бұрын
'Prosperity' pray for it dear
@joynatasha24562 жыл бұрын
Ukiota majina ya watoto wako
@winfridayesaya1994 Жыл бұрын
Ukiota mtoto wako anatembea mwenyewe na bado mchanga inamaanisha nini
@rosemarymutugi5570 Жыл бұрын
Prosperity, blessings
@Annalisejg2urАй бұрын
@@rosemarymutugi5570ukiota mtoto mchanga anazungumza nini maana yake. Hata kuzungumza hawezi bado
@paulmisago7129 Жыл бұрын
Ukiota unapiga mtoto wako
@nchamangenda98622 жыл бұрын
je ukiota mtoto wako amefariki akiwa mikononi wako ni nini maana yake?