Mimi nmeota mwanangu katoka shule afukafikia Kwa jiran wanaanza kucheza ala akaanguka akaumia akaanza kulia na mm nkaanakumchapa ila wakat namchapa nkamuona akuwa amenenepa pana
@Ashreystar8465Ай бұрын
Mbona jumapili hujItaja mama
@user-pl4qn1ko1jАй бұрын
Uki ôta nikwa mutu mwengine anakwa mbiya kama anafanya mapenzi na wanyama
@user-gd9yc2tx7vАй бұрын
Ukiota ume chuma uyoga ume uweka kwenye mufuko ukaokota na kitabu juu ya uyoga kisha ukaweka kwenye mufuko na kwenda nyumbani mana yake nini
@ashabilali23662 ай бұрын
Mume wng aliota anaitwa na marehem dadaake na mm nikaota nimetoka kwangu sina viatu nikaenda kwa shogaang yy alifiwa na mumewe nikamuomba viatu akanipa kandambili nyeus nikavaa ndoto hizi zinaashiria nini
@Ms-zuuuh0012 ай бұрын
Mm nimeota kichanga kimekufa afu Kuna mtu kakifukua anatembea nacho katika begi kamefungwa miguu na mikono jmn😢😢😢😢😢
@Ms-zuuuh0012 ай бұрын
Afu sikafaham hata na tulikaona mtoni wakati tunaoga na watu wengi kabas
@mwanajumahamisichisuma2 ай бұрын
je m na m
@mwanajumahamisichisuma2 ай бұрын
je m na m
@JimmyloveNdikumana2 ай бұрын
Ukiota ndoto unafanya mapenzi na mme wa mtu na ni boy friend wako inamaanisha nini
@barnotiloitu67892 ай бұрын
Je ukibadilisha jina na nyota itabadilika? Na kama umeoana na mtu mwenye nyota sizizoendana wafanyeje kubadilisha mwelekeo wa nyota
@djyondergigi10272 ай бұрын
A aleikum na ukiota maiti huwajuyi ? Ni nini
@HassanYahya-rc3sz2 ай бұрын
❤🎉
@fidiamusafiri58592 ай бұрын
Asante Sana mama Mimi nakufatiliaga Sana Ila Mimi Kuna ndoto inanisumbuwaga Sana kila mara inanirudia Sana hiyo ndoto ni naotaga nikienda tembelea rafiki yangu anakuwa nimujamuzito Niki fikatu anajifunguwa napia na muona mudogoyangu nikifika kwake anae pea najifungu mtoto Yani maraningi Sana ningeomba tafsiri ya hiyo ndoto Ina maana gani kwangu
@RahmaKhamis-ir4bd2 ай бұрын
Nyota yangu Mimi ni ya maji nataka nijue maana yake🥹
@fathrish32162 ай бұрын
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh,mm nimeota nimepatiwa mtoto mchanga nikambeba kifuani kama vile mtu akijifungua anaekewa mtoto wake kifuani ....je ni nn maana yake
@EsterStephano-fo7sm2 ай бұрын
E mwanamke
@AbdillahiShelkh3 ай бұрын
Niambie ndoto marehemu shangazi ananinyowa
@user-wf9sy9ms7q3 ай бұрын
Habari dada,naomba msaada mie nnashida nnapendwa sana na wanamme tena wenye hera,lakini sina bahati ya kudumu nao yani wanapoteaga tu bila sababu youote ile,nimeamgaika sana hadi saizi nawachukia kabisa wanamme kutokana najinsi ninavyofanyiwa,naomba nisaidie dada kwani nimeamgaika sana hadi nimechoka
@hanskilongo2393 ай бұрын
Je o na m zinaendana
@user-uu3hv2uy9w3 ай бұрын
M na M zinaendano
@NYIRARUKUNDOHalimah-iy6rg3 ай бұрын
S na H vina endana
@ZuhuraFadhili3 ай бұрын
Ukiota jirani ananyonyesha
@jameswaititu4 ай бұрын
Mimi niliota tukiwa matatu nikahisi kkunywa maji tukaona mto nikaeda kukunywa maji sikuiona matatu hiyo tena
@mwanakombomwamnono1125 ай бұрын
Mimi ni herufi yangu ni M na nimeolewa na F twaendana
@pidiusDominick-qi7nl5 ай бұрын
Nahitaji pete yenye kito cha ruby ntaweza kupata
@user-ep4td7jx7e5 ай бұрын
Kama mutu anaota iko anaenda ulaya,kipindi hicho anaishi eko, inamaana gani? Tena ndoto inajirudia rudia
@veronicahowendi13665 ай бұрын
Nimeota na safiri na mtoto wangu wa kiume first born kwa pikipiki tukieiekea stage za magari nn maana yake. Niliamka kwenye ndoto kabla kufika stage.
@HarusiMwango-zb3dn5 ай бұрын
Mimi ni H je naendana na herufi M
@muddyboy6765 ай бұрын
Na ukiota unafanya mapnz na mtoto mdog je
@KurubonePascal-pe3pg6 ай бұрын
Niambie ndoto yamto
@ImaniMfugale-hy6tm6 ай бұрын
Nimeota manunua Michele kg 2 halafu nikapewa na muuza duka akanipa tena kg 2
@ImaniMfugale-hy6tm6 ай бұрын
Pole na kazi,Mimi nimeota mwanaume alishakufa amekufa tena amefufuka
@mtengwadj93906 ай бұрын
Ahsante kwa Elimu
@MichaelMichaelsamuel6 ай бұрын
Naitaj number yako
@user-hh1jd2gs1j6 ай бұрын
Mnajitia kutoa namba za simu, mkipigiwa mnakata, sms wasap hamjibu .....😢
@djyondergigi10276 ай бұрын
A aleikum. Utajuwa Vipi huyu ana hisia nyingi??
@agnes-bs4zy7 ай бұрын
Mim ninaswal naomba kuuliz ,je heruf A inaendan na heruf ipi?
@user-jx9kt9pt4g7 ай бұрын
Mm nimeota nafanya mapenzi na babu
@REBAWANYAMA-mk7ng7 ай бұрын
Je,nliota dadangu mkubwa amekuja nyumbani na binti yake,na nilkuwa inhaling saa hi nko nci za nje,nini maaana?
@user-ry2cx7fl1w7 ай бұрын
Jinsi yakutatua matatizo kamahayo nitumie njia gani
@georgenjeri85477 ай бұрын
Sasa Mimi Bi Mkubwa Niliteremka Kwa Kasi Mno Na Mbele Nikaona Mlima Nikaenda Kama Nimepanda Kama Nimefika Kileleni
@user-tq1pl2kn4o7 ай бұрын
Pia kila wki rafki yangu nipo nae alifariki2019. Ndani ya ndoto nakumbuka kama alikufa anakasirika mno nkisema hvyo
@user-tq1pl2kn4o7 ай бұрын
Pia kila wki rafki yangu nipo nae alifariki2019. Ndani ya ndoto nakumbuka kama alikufa anakasirika mno nkisema hvyo
@user-tq1pl2kn4o7 ай бұрын
Pia kila wki rafki yangu nipo nae alifariki2019. Ndani ya ndoto nakumbuka kama alikufa anakasirika mno nkisema hvyo
@user-tq1pl2kn4o7 ай бұрын
Pia kila wki rafki yangu nipo nae alifariki2019. Ndani ya ndoto nakumbuka kama alikufa anakasirika mno nkisema hvyo
@user-tq1pl2kn4o7 ай бұрын
Pia kila wki rafki yangu nipo nae alifariki2019. Ndani ya ndoto nakumbuka kama alikufa anakasirika mno nkisema hvyo
@user-tq1pl2kn4o7 ай бұрын
Pia kila wki rafki yangu nipo nae alifariki2019. Ndani ya ndoto nakumbuka kama alikufa anakasirika mno nkisema hvyo
@user-tq1pl2kn4o7 ай бұрын
Mm kila mara naota makaburini labda nafukuzwa na maiti sasa jana nimeota nimeenda makaburini nkachukua kitabu maiti ikanitokea inakitaka nikakichukua ghafka nikaona maiti nyingi zomevaa nguo nyeusi zimefufuka akaja ustadh mmoja akanambia unaotaga sana maiti basi tafuta ua la rangi flani tufungue kitabu nikufungue
@loveyou-ff4iu7 ай бұрын
Mm nimeota maiti mbili zimebebwa zaingizwa msikitini zikiwa damu zimefinikwa naona damu na miguu tu
@6ixteen998 ай бұрын
na pia ukiota mtu aliyekufa yupo sebuleni na amezungukwa na ndugu zako ila anakuangalia wewe bila kusema chochote na ukitaka kumfuata unashindwa.