Assalamualaikum wa wabarakatu nayitwa Aisha natokea Rwanda maenewoya Bugarama mbeleya mi paka Burundi na DRC samahani naombatafsiri kuwota mtoto usiyemjuwa wakati uyomtoto niwombaomba akakupa pesa unapomuuliza kwanini anakupapesa anakujibu kwamba nisipokupa.izipesa wengine wataziiba mwisho mtoto anakwitamama anakwambia nayenda kukutafutiya pesa inashirianini
@beatusgosbert-qb6sy Жыл бұрын
Aisee,mi nasafiri sana.
@sophiaraymond73462 жыл бұрын
Asante naomba kujuwa ukiota umepanda ndege na unafika ikasimama ukashuka je tafsili yake nn
@rahmanassor77932 жыл бұрын
Na mimi nimeota hivo hivo
@tinaagnes2301 Жыл бұрын
Niliota nimesafiri na mpenzi Wangu nikamwambia pale ndo kwangu na yule nitoto Wangu... Inaashiria nni a si kujua nilisafiri na ndege ama gari niliji Pata nko uko na mmi pamoja n mpenzi Wangu tuko mbali sana
@veronicahowendi13668 ай бұрын
Nimeota na safiri na mtoto wangu wa kiume first born kwa pikipiki tukieiekea stage za magari nn maana yake. Niliamka kwenye ndoto kabla kufika stage.
@BoscoNchembo-js7nh Жыл бұрын
Nimeota nimetoka ndani ya Nyumba nikasimama nje ya ile Nyumba, niliekua natakiwa kuondok nae akawa ameniacha anaondoka kwa miguu Mimi nikawa nasubilia gari , Ila nikawa Niko pia na Mtoto wangu kila nikimbeba vizuri ananiponyoka , namnyanyua nambeba TENA anakua hakai vizuri
@ayishaayisha80533 жыл бұрын
Hata mm nakufatilia sana mama yangu.
@mabiriziempiretriple952 жыл бұрын
Office yenu iko wapii??
@anastelaemmanuel7150Ай бұрын
Nimeota nasafri Ila nilisinamambele baadae watu kwskashuka upa de wakulia wadrewa.viti vikabakiwazi nikalae.ilaviti vilikua vipya kava yarangi yabluubahari
@anwarabduullahrawahi20673 жыл бұрын
Asalam aleykum
@ashabilali23665 ай бұрын
Mume wng aliota anaitwa na marehem dadaake na mm nikaota nimetoka kwangu sina viatu nikaenda kwa shogaang yy alifiwa na mumewe nikamuomba viatu akanipa kandambili nyeus nikavaa ndoto hizi zinaashiria nini
@rehemasalim1440 Жыл бұрын
Ndoto zngu hakuna hata moja. Mama mm nmeota nmesafiri n pikipiki kisha mm ndio naendesha
@jordansitadius15252 жыл бұрын
kuota unajiandaa nasafar afu meri inakuacha inamana gani
@Moussabebeto-kz8xz Жыл бұрын
Asww mim nin mistali 5 inamanisha nin?
@sofiaaoscarkenga2 ай бұрын
mimi apa sijui
@salomeraymond2051 Жыл бұрын
Nimeota nimepnd gari tupo wengi tunaend beach lakini nahisi kabisa ajali itatokea uku gari linaend nini maan yake
@AnnitaShishi Жыл бұрын
Nmeota nkisafiri na mtoto wangu akaskia haja kubwa tukashuka alafu kuenda kusaidia mtu alikua anavindoda akajitokesha kutufukinza asizijisaidie kwa shamba lake akanishika mkono huyo mtu uku nlipiga ndulu
@ally77412 жыл бұрын
Salam alaikum . Kuota kunguni manake nini
@gloryfrank7918 Жыл бұрын
Nimeota nataka kusafili lakini safari imehailishwa
@REBAWANYAMA-mk7ng10 ай бұрын
Je,nliota dadangu mkubwa amekuja nyumbani na binti yake,na nilkuwa inhaling saa hi nko nci za nje,nini maaana?
@jameswaititu7 ай бұрын
Mimi niliota tukiwa matatu nikahisi kkunywa maji tukaona mto nikaeda kukunywa maji sikuiona matatu hiyo tena
@hassanbora-ig8ei Жыл бұрын
Ukiota unasafiri na Gari ila inandakinyumenyumw
@jenifasefu1692 Жыл бұрын
Ukiota ndoto upo kwenye msiba wa ndugu yako maarufu
@LeahAmana-og1vd Жыл бұрын
Ukiota Umeenda nchi za nje
@سعودةتنزانيا-غ6ف Жыл бұрын
Ndoto yakurudi shule
@anwarabduullahrawahi20673 жыл бұрын
Hii njoz inamanisha vip
@deborahmbithe9421 Жыл бұрын
Naukita unasafiri na baisikeli
@RahmaYahaya-l2k Жыл бұрын
Weka no yako ya cm mama
@NyotaMariamu-h1y8 ай бұрын
Kama mutu anaota iko anaenda ulaya,kipindi hicho anaishi eko, inamaana gani? Tena ndoto inajirudia rudia
@AugustineImbali-h1k Жыл бұрын
Mimi Naweza elewana herufi gani kimapenzi jina langu la Kwanza ni A
@kennedysimiyu6302 Жыл бұрын
Mimi bado sijua nyota yangu
@SaidaKazuvi Жыл бұрын
Ingia Google andika tr. Yko na mwezi wa kuzaliwa watakuletea...
@mariammambo61713 жыл бұрын
Ukiota u ajiandaa na safari usafiri lakini unaishia kujiandaa tuu...lakini hufikii ule mda wa kusafiiri inakuwa unastuka...Mimi huwa napata ndoto za hvyo Sana najiandaa na safari lakini mda wa kusafiri haufiki nastuka
Je niliotaga nimevaa kiatu Kisha like kiatu kikaniponyoka nikakitafuta nikakikuta nikaona fimbo pembeni nikachukuwa na kukivuta kiatu Yangu Badaeni nikaitupa ile fimbo Mana niliposhika ilikuwa fimbo lakini nilivoitupa chini ikageuka nyoka na kuanza kuindoka pale Tulipoona vile nikashangaa basi nikaondoka lile eneo