Mi naona yupo sawa tu sema sisi binadamu tu uwa tunakuza mambo sioni cha ajabu hapo kawaida tu yupo sawa mkuu wetu piga kazi baba 😍😍😘
@jumakondo24564 жыл бұрын
Dc huko vizuri xan piga kazi tunaelewa mungu akubariki hakutie nguvu
@braitontweve1704 жыл бұрын
Makonda nakupend sana bro kiukweli mti mzur haukos kupigw mawe mungu akubaliki san
@salmaayub614 жыл бұрын
nakupenda sana makonda sijui nikwambie nini maana unajielewa sana sana Mungu akupe maisha marefu sana maana wewe ni mkweli siku zote na wantanzania ukiwambia ukweli hawa unakuwa adui sioni kosa lako apo wewe ndie kaka mkuu wawa kuu wa mikoa yotè
@stevenkyanzi56224 жыл бұрын
Aisee muheshimiwa nabii hakubaliki nyumbani kwake leo nimeamini hongera muheshimiwa
@shollodegeorge90564 жыл бұрын
Mh.makonda wee ni msema kweli daima ndo maana wanakuatack ila mungu atakulinda bro
@shadymbuki874 жыл бұрын
Asante sana mkuu, tumekuelewa zaidi ya sana kwenye hili, CHAPA KAZI.
@kulwakunemka32864 жыл бұрын
Saafi saana Makonda,hua nakuelewa sana we jamaa,hao wanaokusumbua na maswali ya kichoko ni mashabiki wa Sacco's ya Mbowe tu,upo sahihi na umeeleweka sana
@deusdebitkowa96574 жыл бұрын
Asante sana Makonda,umeliokoa Taifa.
@ThobiasMarandu4 жыл бұрын
Millard Ayo Unatumiwa, Usijifanye Kumhoji Huko Makonda Kulikuwa ni Random, Wewe Unatumia Kihuni Na akina Wahuni Sabaya etc. Wewe Iko Siku Hao wanaokutumia Hutawaona. Je Ni Wagonjwa Wangapi Amewataja Wagonjwa! Huyu Mpumbavu Ni Wangapi Umewataja zaidi ya Mbowe? Millard Ayo Wewe Endeleza Umalaya wako tu!
@johnmligo69664 жыл бұрын
Makonda keep it up.... wanakuelewa taratibu watanzania wapogo ivyooo. Mlitaka mbowe na familia yake awaambukize wake zenu ndio muweke hadharani? Watanzania janga hili halijui wewe ni nani ndo mana hata familia za hadhi ya akina mbowe wameupata..... tuache unafiki.
@charlesbaba88204 жыл бұрын
Makonda mungu akubaliki sanaaaa
@mathiasalbert3294 жыл бұрын
Nakubali kazi yako RC
@raymondhaule69474 жыл бұрын
Makonda yuko sawa kabisa kwani kama Mr tembo anaumwa na amejificha ukasema nimemwona tembo amejifucha nadhani anaumwa kunakosa kwani makonda alijuwaje mtoto wa Fulani anaumwa kama siyo watu wakaribu na Fulani kumwambia kunatembo tumeambiwa anaumwa.na yeye akatuma watu wakachunguze wakamwambia nikweli timemwona tembo anaumwa mwisho tembo akachuliwa akatibiwa mwisho tumwombee mungu akapona unadhani nani. atashukuriwa yule aliye mficha au yule aliye towa tarifa na tembo akatibiwa mwisho we akapona waziri yuko sawa kujibu vile kulingana na kazi yake na mkuu wa mkoa alikuwa sawa kusema vile mbona wanao ficha watoto walemavu tunawasema na kuwaonesha mitandaoni jamani tuweni wawazi
@paulkisatulusana11424 жыл бұрын
Makonda upo sawaaaaa Big upo
@neemakaluwa20894 жыл бұрын
Nimeamin watu hatueleweki ni jua au mvua. Juz nimesoma coment tumemponda Leo tunamsifu. Tuzidi kumwomba Mungu atuondoshee hii mitihani peke yetu hatuwez🙏
@masakamgalla92734 жыл бұрын
Wati wanafiki tu kotekote
@mathewlive774 жыл бұрын
Kama unaamini kuwa watanzania ni wanafiki gusa like apa.
@Hasnspop4 жыл бұрын
Kama mwana f a mshamba tuu anatafuta kiki kwenye kitu siliaz
@happymboya80454 жыл бұрын
Siyo kidoga tunaweza pata tuzo kwajili ya unafki
@ThobiasMarandu4 жыл бұрын
Kama alipewa Taarifa ya Mtoto wa Mbowe Kuwa Mgojwa akiwa Kama Nani? Mkunga au Daktari? Na kama alikuwa na Nia Njema Kwanini Taarifa Hizo asimpe waziri wa Afya? Millard Ayo wewe Malaya Utakuja Kushitakiwa Utozwe Fine Uuze Vijikamera Uchwara Hivyo, Mpaka Vichupi Ndio Utajua Kutumiwa Kuna Mipaka, Acha Kutumika.
@josephizengo59124 жыл бұрын
wee fund sana makonda big up bro
@smarthacker4964 жыл бұрын
Kabisaaa
@lsayamapolu75164 жыл бұрын
Makonda juu
@filminamaga23854 жыл бұрын
Uko vzr makonda achana na wasiojielew piga kaz baba tuko pamoja na mungu akutie nguvu.
@Rashidmhedhery4 жыл бұрын
Filmina Maga : ovyooooooooooo, wewe ni mpumbavu kama Bashite, una support ujinga,🤮🤮🤮
@abdulkalimujuma24604 жыл бұрын
Madawa yameishia wapi minaona siasatu apo fala wew toa siasa ap umemuona mboetu apo we mzima? Kasome kwanza ndotutakuelewa
@augustinomwamasinga22004 жыл бұрын
Daah makonda uko sawa sanaaaaa
@mussajuma17364 жыл бұрын
makonda upo sawa kabixa bila ww kusema akafanya sili dodoma mbowe angeeneza sana ugonjwa huu mungu tulinde sanaaaa.
@bebisheni43804 жыл бұрын
uko vizuri makonda
@lameckbalekere19624 жыл бұрын
Asante Makonda Mungu akulinde nahao wabaya wako chapa kazi
@asaketom90444 жыл бұрын
Mbaya Ni yeye makonda ungekuwa unaenda kutajwa hadharani ungefurahia Bora ungetumia njia nyingine Kama una akili
@deniseliuter82884 жыл бұрын
Mi c support mwanasisa yeyote kwakua wote wanatetea masilahi yao...angalia maisha ya watoto wao wanayoishi Kama sio ya ctarehe......c ccm Wala upinzani....
@kolokokoloko92764 жыл бұрын
Safi sana mhe Makonda
@mangegervas96514 жыл бұрын
Gud saana. Kumbe ulifanya saafii
@kelvinkawea60164 жыл бұрын
Big up jembe piga kazi mti wa matunda ndo unapigwa mawe
@ErickAMinja4 жыл бұрын
Well done mheshimiwa ulikuwa ukitimiza majukumu yako ya kiusalama
Ila kiukweli ukiangalia kwa undani Makonda hana kosa
@teddykanondo57534 жыл бұрын
Makonda ni mchochezi mnawakamata kina Esther Matiko. Katika chapa kazi ni huyu Dada. Keep it up.
@faizebrahim3384 жыл бұрын
Mama waziri ...we tuachie makonda atutajie acha kuleta siasa alichofanya makonda ni kitu cha maana ...tena kwa hili mngekua mnataja majina ili watu wajue nilishakutana na huyo mgonjwa achukue tahadhari .. we unadhani unajua wangonjwa hao wa corona walikutana na watu wangapi mpk kufikia kwenu .... au mnataka huu ugonjwa uendelee kwa kasi
@faizebrahim3384 жыл бұрын
Upo sawa kaka achana na wapumbav wanaoleta siasa kwenye gonjwa kama hili ....
@charlskpc11034 жыл бұрын
Big up kwa hili
@enjoysoccer14 жыл бұрын
Good Makonda
@jacksonngwassy87154 жыл бұрын
True
@eriezarichardmbeya12334 жыл бұрын
Umefika wakati wa MTU kumkataa MTU soo kikichobaki ni kubaki mungu,,,,,,jah one love,
@jumawaziri85014 жыл бұрын
uko sawa makonda
@jactonkogoya6574 жыл бұрын
Makonda upo sahihi bro, huu sio ugonjwa ni janga
@emmanuelmoshi49384 жыл бұрын
jacton kogoya kwann ummy hataji majina ya wagonjwa
@isayamwanjisi29944 жыл бұрын
Sana mkuu wa mkoa mi nimekupata sana upo vzr sana swala la kikazi nakupongeza
@ThobiasMarandu4 жыл бұрын
Hata Marekani Watu wanafanya Self Quarantine Labda awe amezidiwa. Pumbavu Huyu Millard anauza Utu Mpaka Matako zake!
@samwelimashaka89974 жыл бұрын
Uko sawa mkuu
@mamavero40044 жыл бұрын
Sasa hapo tatizo nn jamani ukimwi mfichi na corona kwani mtu umeupata makusudi watu mnakosa uelewa hapa inavyoonekana watu wakiwaona ndugu zao na dalil za corona watawaficha mm naona bora tu kusema hakuna siri hapo huu si ukimwi jamani
@stanleyrububura40004 жыл бұрын
Hahahaaa "nimewaokoeni acheni ujanja ujanja" safi sana mkuu.
@sahiltvontheline55604 жыл бұрын
Pauli makonda nambar 1 in Dar es salaam
@shijermajebela70384 жыл бұрын
Genius
@kigogozanzibar70744 жыл бұрын
Makonda anaona mbali sanaaaaaaaa
@yolamshaban43874 жыл бұрын
Ipo siku tutaelewana.....kwamba Mungu ni wetu sote....
@stanleykishiwa91414 жыл бұрын
Sasa maswala ya kuficha mgonjwa corona ili iweje wakati ni janga la dunia nzima maana corona sio malaria au magonjwa ya zinaa acheni siasi
@twahayussuf85874 жыл бұрын
Mkuuu upo sawa kabisaaaa
@halimamasai22344 жыл бұрын
Upo sawa Makonda
@mgawerevocatus85824 жыл бұрын
Hapa ndiyo naiona logic ya kusikiliza pande mbili ili kubalance story. Kama story ingeishia kwa malalamiko kutoka kwa family ya Mbowe bila kumsikiliza Makonda tunge muhukumu bure. Kumbe kama Makonda asinge sema kijana angeendelea kusambaza kirusi mtaani, Kama kweli anawajali watanzania kwanini hakujiweka karantini kama Isabella?
@jacksontulito9694 жыл бұрын
Wewe msenge sana Makonda huna lolote
@hanifaalsalamy29354 жыл бұрын
Mh makonda upo sahihi kwani watanzania wengi angeambukia corona ni kweli watu wengi hawana uelewa wa covid 19. Tunashukuru kwa hilo mh makonda.
@gabrielmugabo92234 жыл бұрын
Hata kama mtaona Mh.MAKONDA kakosea kusema na kutaja jina hadharani sawa. Naomba pia mjiulize kwanini familia ya mgonjwa ilimficha ndani hadi aliposema Mh.MAKONDA ndipo ikakili nakuamua kujiweka kwenye Karantini?. Hivyo basi kwa upande wangu naona Mh.MAKONDA kafanya jambo jema kwetu wakazi wa Dar.
@aggreymrema31454 жыл бұрын
Mimi sio mwanasiasa ila kwa upeo wangu nilivyokusikiliza siku ile ubungo tulikuelewa vizur hukua na nia njema
@j.pproduction66154 жыл бұрын
Juz kwel watu waliponda xana lkn ni ufaham tu ndio mdogo, kwel mh mkonda some time anazinguw lkn ktk hili nampa hongera kwa huzijuw kayaokoa maisha wa watu wangap katka mzuko huo.
@abeidmayanga8094 жыл бұрын
Wel say mkuu safi sanaa
@mfaumeulenje67344 жыл бұрын
Sawa makonda anamakosa yake ni kama amefanya uzalilishaji nikosa kisheria ila pia amefanya sahihi bila ya ivyo watu wengi wangeangamia kwa kujificha wangonjwa na kama ingekua kila MTU anaficha kama mbowe tungekua wapi Tanzania kuna wakati Siasa haitajiki kabisa katika maisha ya kihsalama ..baki nyumbani okoa maisha
@bettyrugemalila91854 жыл бұрын
Jinsi ulivyofikisha ujumbe haikuwa nzuri
@sameermilo24924 жыл бұрын
Makonda nakukubali Ninja wetu wa DSM 💯🇹🇿
@omarykaita434 жыл бұрын
Kwa maoni yangu Mh: Ummy Mwalimu yuko sahihi kwa mujibu wa kanuni za wizara ya afya lakini pia Mh: makonda naye yuko sahihi, kwa Mujibu wa ulinzi na usalama wa wananchi, ni lazima tujue Mh: mbowe ni "PUBLIC FIGURe" ambaye watu wengi huweza kumfuata na kuzungumza naye hivyo ni rahisi kuwaambukiza wengine.
@kigogozanzibar70744 жыл бұрын
Makonda anaona mbali Sana
@soccertv2934 жыл бұрын
Acha ujinga ww
@hassanbakari73604 жыл бұрын
😂😂🤣kuna ni wajinga sana dah
@felixmoses98634 жыл бұрын
Hapo Brother umenena,alikaaje mtaani akati anajua anamgonjwa
@engzuberir.akilenza17644 жыл бұрын
Hapa TZ hata ukila nyama ya mtu lazima utaungwa mkono na watu kama hawa, ni bahati mbaya sana inamaana hata Mheshimiwa Waziri haumuelewi.
@gabriellck56434 жыл бұрын
Makonda kajibu vizuri sana ...big up RC
@kudraahmad60034 жыл бұрын
Makonda nakuelewaga sana ,chapa kaz mm Niko mbali na huo mkoa lakin nakukubal baraaaa
@awamiabbas2224 жыл бұрын
Me binafsi waziri sjamuelewa hapo kwakwel namuona Mh Mkuu wa mkoa yuko sahihi kwani kasemea mkoa wake na halafu huu ugonjwa siy wa kuficha wasilete mzaa kwa hiyo mtu akiumwa aogope kusema au kusemewa mwisho wa siku afie ndani na kuusambaza ugonjwa eee Mwenyezimungu tunusuru waja wako
@JBONLY4 жыл бұрын
Sasa mnaficha ugonjwa ili watu waendee kuambukizana pol makonda yupo sahihi mtu akipatikana namagonjwa awekwe waz wengine wanaeneza ugonjwa kwa maksud
@mwajumakassim66324 жыл бұрын
Alichosema wazir wa Afya ni kwamba si ruhusa kumtaja mgonjwa kwa jina kwamba anaumwa kitu Fulani si taratibu za wizara ya afya,ugonjwa ni siri ya mgonjwa na Tabibu
@rashidmalilo36574 жыл бұрын
Makonda uko sahihi sana
@muniraahmed6244 жыл бұрын
Jukumu gani hilo lakumuanika m2 aradhani hacha masifa piga kazi apunguze kiherehere😂😂😂
@machachedvd77504 жыл бұрын
Yuko sahihi makonda fahamu hilo
@mwimbajinamwalimujaphetgeo17184 жыл бұрын
Wa kwanza ku comment leo, nipeni like zenu. Makonda nimekupata km NI kweli usemayo
@saidnasir62934 жыл бұрын
Like zitakusaidia nini?
@ombenimshana91624 жыл бұрын
Sijui kama neno la ipo siku linatimiaga,likitimia ndipo tutajua ukweli watu
@paschalmakondo31634 жыл бұрын
Mbowe ni muuuaji nami siku zote na sema ni wakala wa shetani
@hassanmwakatika21294 жыл бұрын
mama ako ndo muuaji
@simonmgaya26444 жыл бұрын
Kama wewe uliondondosha komente hi kamamtotowamboe anacorona mbowekaukosa ? Nakamahajaukosa yupohospto gani mstudanganye sawa
@christophermlaponi5344 жыл бұрын
Kuna corona za aina mbalimbali, nyingine ikikupata hauumwi, ila unajikuta tu kuropoka vitu vya ajabu ajabu !!
@billionmaffia65624 жыл бұрын
😀😀😀😀 daaa bongo hii jamani daa sasa anyway lakini
@joasitz95594 жыл бұрын
Upo sahihi kaka, tusamehe wanadamu hatuishiwi maneno
@mrdeniskomba25964 жыл бұрын
Ulichemka brazaaaaa.
@enockosward58134 жыл бұрын
Makonda ulikuwa sawa, Ila ulikosea kuvuka mipaka. Ulipaswa kufikisha taarifa ngaz za juu. Maana utaratibu ulisha tolewa.
@noonelike63824 жыл бұрын
Upo sahihi muheshimiwa mkuu wa mkoa wa dsm. Upo smart Sana Kaka. Mm huwa namuelewa Sana Kaka.
@jacksontulito9694 жыл бұрын
Sawa mama wewe uko sahihi sana tunakuelewa
@kelpeacedasenior71284 жыл бұрын
Makonda yupo sawa sana sasa huyu wa mbowe alikaa ndani half akamfichua sion kam kuna tatizo ila kama angekuwa ameenda karantin half kamtj sasa hapo tungesem makonda ana shida!!!!!
@emmanuelmoshi49384 жыл бұрын
Kelpeace Da senior mbn ummy hataji majina ya wagonjwa?
@zwinsalhabsu2644 жыл бұрын
Makonda safi💪
@stephenemuya85754 жыл бұрын
Huyu jamaa ni mjinga tu sanaaa
@hauledernest6684 жыл бұрын
Makonda kama kaongea ukwel hivi
@philipojmwaipopo9494 жыл бұрын
Wabongo kwa unafiki juzi mlimponda kwenye comments zenu leo mnamwita bright man duuh aisee..viongozi endeleeni kufanya yale mnayoyaona yana faa maana cc raia wenu ni kama popo
@arafataliomar74324 жыл бұрын
Kwani walimponda wote
@yahyamkone56014 жыл бұрын
Upo sahihi mzee baba wacha wapuuzi wapigekelelee
@salmapossy8624 жыл бұрын
Upo sahihi makonda
@marygaspary1994 жыл бұрын
Waziri yupo sahihi makonda bhana sijui ana tatizo gani akaombewe ana pepo la kuropoka !
@kigogozanzibar70744 жыл бұрын
Makonda katowa Siri ili watu wafahamu
@anuaryally61774 жыл бұрын
Sasa mnaopinga kumshutumu makonda je uyo mtoto wa mbowe sio mgonjwa au kwa vile kamtaja makonda wacheni chuki binafsi mbona alikuwa anauguzwa ndani baadae ndio ametolewa baada ya kutajwa
@neemauhagile7024 жыл бұрын
Makonda uwaziri unakungoja piga kazi baba
@emmanuelmoshi49384 жыл бұрын
Mbna ummy hataji majina ya wagonjwa?
@pascopeter77874 жыл бұрын
We we ni mkuu wa mkoa wa aina gani hafai kuwa kiongozi
@abujuhaifah74614 жыл бұрын
Maongez yako na nia yako kwa sasa haikua sawa sawa mwanzo ulikua lengo lako ni jengine na saiz ndio wajiosha
@wilsonkaseha20344 жыл бұрын
Wewe umejuaje?
@ramadhanibakari94804 жыл бұрын
Mhe. RC kama mbowe alikuwa na mgonjwa nyumbani ungetumia njia nyingine kumfikishia ujumbe. Siyo kuzunguka ukimsema hadharani.
@OnlyRuky4 жыл бұрын
Eeeee MUNGU 🤲🤲🤲🤲Tafadhali jibu maombi yangu mpige kofi moja huyu jeuri mtu moja ntakuomba MUNGU ili akumbuke kuna MUNGU.
@johnwillingstone31214 жыл бұрын
Sahihi
@pilikashinje67654 жыл бұрын
Duh!
@fortunatus82934 жыл бұрын
fact...huwez sema unajikalantin mwenyew ...
@temkezatv43814 жыл бұрын
"Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
@uledihassan60654 жыл бұрын
Inshallah tujipange October katika uchaguzi huenda tukapata viongozi wenye mtazamo mpya
@ikulunimahalipatakatifu76424 жыл бұрын
Thus why ur a regional commission, that's fact bro Makonda , Hawa jamaaa sometimes wanajifanya hamnazo Kila kitu wanapinga , jamani tuuache kujifanya mavimpire., Hacha watukane mwisho wa siku mwenye macho , hata dar siku full adabu , hakuna Yale Mambo yazamani, ya Mimi nani..., Piga kazi confidence man.
@josephdogan76504 жыл бұрын
Ndugu yangu sijajua uelewa wako juu ya Sheria maadiri na utu na taratibu zinazoendesha mambo yetu ya kila sku km taifa. Km ungekuwa unajua ,hakika usingempongeza huyu mdudu. Kifupi ni kwamba hata wazuri mwenye dhamana kamshushua kusomi na kumzodoa. Kifupi huo unaoutetea sio uchapa kz. Haupo ktk vitabu vyovyote vile vya mafundisho ya uchapa kz.. Kuchapa kz kunakoshushia watu heshima utu na kutoa Siri za watu kwenye majukwaa ni ushambenga na utoto km utoto mwingine. Labda nikwambie kitu ambacho alipaswa kufanya1alipaswa kuwasiliana na wazuri au wahusika wa sfya ambao wangeweza kwenda alipo mtoto na kufanya taratibu zote za kimamlaka kumweka karantinii. Kwamfano , kulikuwa na urazima gani wa kuhusisha mtoto wa mbowe na siasa za chadema.hv huyu mtu anawezaje kuwahadaa a Kili kiasi hk
@filbertnashon71604 жыл бұрын
Nothing else
@lameckbalekere19624 жыл бұрын
Waziri acha siasa hii Corona siyo ugonjwa hili nijanga la Dunia halina kificho wafiche magonjwa ya zinaa si corona acheni
@pendoeliphas51674 жыл бұрын
Ikili ni nywele kilamtu na zake kwanza huna adabu
@mwajumakassim66324 жыл бұрын
Taratibu lazima zizingatiwe...kutaja idadi inatosha