NILIMSOMESHA MKE WANGU AKANIACHA NA KWENDA KUOLEWA NA MZUNGU, WAZIRI NISAIDIE

  Рет қаралды 54,034

Wasafi Media

Wasafi Media

5 ай бұрын

NILIMSOMESHA MKE WANGU AKANIACHA NA KWENDA KUOLEWA NA MZUNGU, WAZIRI NISAIDIE
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 408
@homeofvideos8893
@homeofvideos8893 4 ай бұрын
As a man I can feel the pain and the heat inside his chest. Kwa kumwsikiliza tu nayasikia maumivu yake kupitia sauti yake, Mungu atamlipa alichokifanya bro. Wanaume hatuna haki duniani
@halimaoman8726
@halimaoman8726 5 ай бұрын
Huyo baba ameingia sana achofanyiwa na mzazi mwenzie badae atakuja kujuta wanawake wanalia wanakosa msaada kwa wenziwao ww dada mungu wanakuona sana mlichomfanyia huyo baba kakupa elimu leo unamuona nakudai baa yngu pole kwa mitiani ww kuwa na imani na mungu kwa hayo unayopitia mungu yupo nawe ipo siku yatakwisha tu imani na subra kila kitu
@halimaoman8726
@halimaoman8726 5 ай бұрын
Sisi wanawake ni mtiani sana mungu taupe imani atukumbuki ulikotoka wapi au mtu wamekutowa wapi kuamisha bali sisi tunaangalia tunakokwena mungu taupe mawazo na ufahamu wapi tuliokuwa waalha
@johnsonkisaka9161
@johnsonkisaka9161 5 ай бұрын
Dah..😢 aisee aisee aisee...sikia kwa wengine na furahia kufanya lakini isikutokee.....brother pole sana, Mungu alikujua kabla hujazaliwa and he knows what path you should go through but all in all He IS WiTH You (God)..still trust him. Nimekuombea have faith.
@kubojajoseph3226
@kubojajoseph3226 5 ай бұрын
Nimelia Kwa uchungu sana dah! Ifike mahala Ustawi wa Jamii waangalie haki za Wanaume pia
@margarethmwampondele7858
@margarethmwampondele7858 5 ай бұрын
Zipo
@kubojajoseph3226
@kubojajoseph3226 5 ай бұрын
@@margarethmwampondele7858 lakini hazifanyiwi haki kama za Wanaume
@rogersiddy
@rogersiddy 5 ай бұрын
​@@margarethmwampondele7858Sawa je zinafanyiwa kazi?haki zinatendeka?maana wameegemea kwa wanawake tu
@BAGAMOYOMATUKIOLIVE
@BAGAMOYOMATUKIOLIVE 5 ай бұрын
Mi naloga wote wafe niki uwa kwa kujeluwi utashtakiwa nauwa kwa kuloga
@user-ei2ud7gh5h
@user-ei2ud7gh5h 3 ай бұрын
Warah hii nimependa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@christmaskasomo1231
@christmaskasomo1231 5 ай бұрын
Daah! Hii imenikumbusha mnigeria mmoja aliekuwa anaishi uingereza, akarudi africa akamchukua mke na mtoto waliokuwa wamebaki africa akawapeleka London pia kuishi nao, ila kilichotokea mwanamke akaaanza kubadilika baada ya kupata mwanaume mwngine kule, na akamsingizia mumewe kesi ya kumteka mtoto wake, mumewe akafungwa miaka 3 jela na mwanamke akasafisha pesa zote za jamaa bank na baadae jamaaa akawa deported back to africa baada ya kutoka jela, Jamaa akiwa zake nigeria anaishi kwa rafki yake baada kusafishwa pesa, Mwnaamke nae akatapeliwa ela zote huko uingereza na mwanaume wake mpya na akamtoroka kukimbilia spain, mwanamke akaamua kurudi africa kumuomba mumewe msamaha, yan mumewe alikuwa na hasira nae mpaka huruma. Duuh wanawake hawa.
@upendogreutert199
@upendogreutert199 5 ай бұрын
Alivuna alichopanda , Mungu alilipa mulemule
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi 5 ай бұрын
Ni mtihani kweli kweli!
@jovanafidelis2802
@jovanafidelis2802 5 ай бұрын
Dah
@ngowibeatrice1701
@ngowibeatrice1701 5 ай бұрын
Hao wapo wengi africa nzima
@christopherkiswaga9270
@christopherkiswaga9270 5 ай бұрын
Kwa jambo kama hili msaada pekee ni kutoka kwa Mungu ambaye hawezi kumwacha wala kumsahau mtu, akutetee na kukurejeshea amani na furaha.
@florachogo243
@florachogo243 5 ай бұрын
Huyo dada alipata mume sahihi , alichokifanya malipo duniani hapa hapa, na atakukumbuka sana, bahati hairudi ,mungu akusaidie unaupendo wa agape😢
@Zaburi-
@Zaburi- 5 ай бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@allahisone6386
@allahisone6386 5 ай бұрын
DUNIA NDIVYOO ILIVYOOO
@kyaro5945
@kyaro5945 5 ай бұрын
huyu demu amempata mzungu online. demu kamcheat mlami. demu ataenda achika pia .
@salha6596
@salha6596 5 ай бұрын
😢😢😢Inshaalla alivyo kuzalilisha ipo siku atazalilika yeye
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 5 ай бұрын
Yaaan sisi wanawake tunamoto wetu wa VIFUU WALLAH 😢😢😢 ee m/mungu naomba subra na huyu mume wangu
@allahisone6386
@allahisone6386 5 ай бұрын
ALLAH AKURAHISISHIENI
@user-ei2ud7gh5h
@user-ei2ud7gh5h 3 ай бұрын
Inshaallah ❤❤❤❤❤❤kerry ❤❤❤amin YARABBY
@jacqueli18
@jacqueli18 5 ай бұрын
Wanawake tamaa zinawaponza, mitandao inawadanganya
@upendogreutert199
@upendogreutert199 5 ай бұрын
Sanaa 😢
@noellahgervas90
@noellahgervas90 5 ай бұрын
Anaitwa nan huyu jaman nimpate maana watu tuna mtoto na baba hatak hata kumuona huyu ni baba wa wap jaman mashaAllah❤
@upendogreutert199
@upendogreutert199 5 ай бұрын
Jamani Duniani Malaika wapo sio kila mtu mkatili
@AyshaHamis-qw3gi
@AyshaHamis-qw3gi 5 ай бұрын
Hii comment 😢 ..Mashallah ni wachach sana
@cyprian497
@cyprian497 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@geofreybarama4000
@geofreybarama4000 5 ай бұрын
Kuna aja ya kufungua foundation ya kuwawezesha wanaume kuwatetea nakuwapa elimu ya uwazi coz wanaume wengi wanapitia wakati mgumu na wanakosa msada..
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 5 ай бұрын
Mambo ya Beijing hayo. Empower, empower mwisho wa siku pwaaa. Mungu atusaidie sana.. roho za jezzebel zimemwagwa kila kona.
@betetv7441
@betetv7441 4 ай бұрын
😂😂😂😂,
@Zubaiba
@Zubaiba 5 ай бұрын
Mwanamke mmoja anaweza akaharibu heshima za wanawake wote,huyu dd alimkubali.huyu kk kima silahi tu
@Neema-qm9kk
@Neema-qm9kk 5 ай бұрын
Huyu baba endapo kama anachosema ni kweli aisee Huyu mwanamke amemfanyia jambo baya sana. Pole sana
@jeaninekabano9190
@jeaninekabano9190 5 ай бұрын
Pole sana kaka lakini kuna wanawake wengi wamefanyiwa vitu vibaya saana na wanaume. Hawajatangaza wewe hapo shukuru Mungu hakukudhuru maana dunia hii umejaa ubaya Kama unamwamini Mungu omba atakupatia wa kufanana nae ❤
@denishaule6314
@denishaule6314 4 ай бұрын
Hatak mwanamke anataka mtoto
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 5 ай бұрын
Duh wanawake tuna moto wetu haki 😢😢😢 dada hii bahati uliyo ipoteza kwa tamaa zako Mungu yupo utakuja kujuta 😢 pole sana kaka Mungu atakupa aliye sahihi insha'Allah 🙏🏻
@allahisone6386
@allahisone6386 5 ай бұрын
MKIAMUA MNA MOTO KWEL KWEL KUMSHINDA IBILISI
@elizabethdamas-zp9xl
@elizabethdamas-zp9xl 5 ай бұрын
hahahahahaha 🙌
@user-uf7wk2ib1e
@user-uf7wk2ib1e 5 ай бұрын
​@@allahisone6386😢
@collincarlos7433
@collincarlos7433 5 ай бұрын
Wazr gwaijima Lako hilo kamata mzngu weka ndan..then mtume mama amfuate mtoto harak sana..akaishi na babak
@salminabuhudhaifa4273
@salminabuhudhaifa4273 5 ай бұрын
dah!😪 kiukweli umenitoa machozi nimekumbuka mapito niliyopita kiukweli inaumiza lakini inamwisho😭
@rogerioathumani9084
@rogerioathumani9084 5 ай бұрын
Daah huyu jamaa mwanaume sana pole sana bro
@sophialucasmilambo2783
@sophialucasmilambo2783 5 ай бұрын
Yaani ni wakiume kweli kweliii huyu kaka
@user-xw7ix6my6j
@user-xw7ix6my6j 5 ай бұрын
Dah,mungu atakujaa mwengine mwenye mapenzi ya kweli.sisi hatujawapata wanaume wenye mapenzi ya dhati.duh mtihani
@fredytarimo9107
@fredytarimo9107 5 ай бұрын
Pole sana bushoke. Ulikua umepigwa dawa wewe na hayo mzungu na yeye kapigwa dawa. Wanawake wa kisukuma siyo kabisa.
@Mina.15
@Mina.15 4 ай бұрын
Cousin yangu kapiqwa uku usa 🇺🇸 yeye ndio mama na mke ndie baba 😂😂😂 anaosha viombo pika chakula 😂😂😂😂 na ako na kansa
@ancelimiangelus2664
@ancelimiangelus2664 4 ай бұрын
Wanawake wa kisukuma wanann Kwan mbona tamaa zinawapeleka pabaya siku hizi
@lodvee1717
@lodvee1717 5 ай бұрын
POLE SANA BROTHER ,KEEP ON TALKING TO GOD ATAKUPA MWANAMKE SAHIHI hawa kima Yezebel na Delila sio kabisa
@user-xm7ce5jh2k
@user-xm7ce5jh2k 5 ай бұрын
Ni dunia. Nilimsomesha mume wangu nikampa urizi wote nikamlipia kufika bulaya ila alinihalibu niko kilema na kunipiga kila mala na kuniacha bila hata chochote. Sacrifice unafanya ila juwa kwamba shatani inavuluga. Nilizania ni mime wa maisha sikumulomba chochote heshima tuu nikakosa. Basi amenitendea mabaya na kuniacha . Munapenda mitandandao ila historia ni nyingi sema sisi wa mama hatusemi .
@LenatusPosiano-hi7tk
@LenatusPosiano-hi7tk 4 ай бұрын
Pole sana dada pande zote Kuna makosa ukikuta mwanaume ni mtulivu ujue mwanamke atakuwa mtu hivyo....na ukikuta mwanamke ni mpole mwanaume anakuwa mtu wa kumuumiza ...ko maisha bwana ni vita ndani ya dunia
@gjonathankamenge9528
@gjonathankamenge9528 5 ай бұрын
It is understandable also taking into account your own age, and the time it may take to heal your hear and love again and make another child, but here is experience; concentrate on healing your heart, count it a loss and move on, you entered a wrong family, you are lucky to be alive, be grateful for that.
@josephlorri431
@josephlorri431 5 ай бұрын
Wanaume tunapitia magumu, mengine hatuongea ili kulinda hadhi.. ila wanawake wakipata udhaifu wako watashikia bango.. sheria nyingi zinapendelea mwanamke..ujinga mtupu
@akwilaisseri5312
@akwilaisseri5312 5 ай бұрын
Tunapitia mazito sana wanaume nivile tu tumeumbwa na mwiyoo miguu tu Mungu atamfanyia wepesi 👏🏿👏🏿
@omanoman2044
@omanoman2044 5 ай бұрын
Ujuwe ni nin broo hata wanawake pia tuliyapitia ila sai tupo uarabun tunatafuta pesa ili yasije yakatukuta yalio pita
@neemamdami7466
@neemamdami7466 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂nyie mnapitia matatizo 😅😅😅😅labda sio wanaume hawa ninaowafahamu mimi
@bakaribakari6444
@bakaribakari6444 2 ай бұрын
Utafutaji wa mwanaume na mwanamke haufanani hata kidogo ​@@omanoman2044
@eddyeddy2907
@eddyeddy2907 5 ай бұрын
I feel your pain brother. Mimi ni muhanga wa hiyo pia, mwanamke tulyekuwa na mipango ya kufunga ndoa tulshapelekana na kutambulishana pande zote familia zikatutambua I paid everything for his university studying but still baada ya yenye kumaliza tu masomo amenkimbia. Mimi namshtakia Mwenyezi Mungu 🧎😭
@nuryatmussa9966
@nuryatmussa9966 5 ай бұрын
Pole 😢InshaAllah Mwenyez Mungu atakulipia pia likuepukalo linakheri naww
@charlesb.mwaipeta8415
@charlesb.mwaipeta8415 5 ай бұрын
kuoa mwanamke wa kibongo ni sawa na kujivika timed bomb! Ndoa nyingi za kibongo zipo hoi ni vile tu watu hawasemi, wamefanya siri na wameamua kufa kiume. Wanawake wanatamaa sana
@arafaomari1832
@arafaomari1832 5 ай бұрын
Sio wote
@MadamAli-qd4se
@MadamAli-qd4se 5 ай бұрын
90%
@betetv7441
@betetv7441 4 ай бұрын
😂😂😂😂
@farry391
@farry391 5 ай бұрын
Am here again crying with a stranger 😢😢😢😢
@jade75798
@jade75798 5 ай бұрын
Wee mpare dont cry things gonna be alright
@user-ls5sk6ni6l
@user-ls5sk6ni6l 3 ай бұрын
Yooooo 😂😂😂😂
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 5 ай бұрын
Eee Mungu ungenipa mume mstarabu km huyu ningekushukuru mno.Hilo dada halina bahati.Ningemtiii sana huyu mume.
@catherinecostantino2034
@catherinecostantino2034 3 ай бұрын
Pole Sana Kaka mungu atakulipa mwenye upendo wa kweli , huyo ungeweza kufanikiwa akakuwekea sumu , shukuru mungu ameondoka maishan mwako , alikuja kukupa somo
@alfredjohn5693
@alfredjohn5693 5 ай бұрын
Mungu atamlipa kwa fadhila zake zote alizomfanyia huyo mwanamke ,,nae ata grow zaid na zaid!
@stanastana3199
@stanastana3199 5 ай бұрын
Mimi mke wangu nilimtimua baada ya kuanza kunionyesha ujeuri,bahati nzuri ilikua hatuna mtoto,alibeba vitu vyangu vya nyumba zote,hawa viumbe bana
@RamulaKabugho-bk8vk
@RamulaKabugho-bk8vk 5 ай бұрын
Subhanallah wanawake walionekana wengi motoni ni wazito me ni mwanamke lakini nawaogopa sana me uka peke yangu kama jini 😂😂😂
@reynaaalrawahi4137
@reynaaalrawahi4137 5 ай бұрын
😂😂😂😂
@stanastana3199
@stanastana3199 5 ай бұрын
@@reynaaalrawahi4137 sio mchezo,hawa viumbe hapana
@arafakiloli749
@arafakiloli749 5 ай бұрын
Subhanallah pole sana ALLAH atamlipa
@upendogreutert199
@upendogreutert199 5 ай бұрын
Kaka Pole sana , kuwa na subira na hujamtenda mkeo ubaya, lakini Mungu atakulipia Hayo mkeo amefanya atajutaa
@dorislema2465
@dorislema2465 5 ай бұрын
mbona kaka mwenyew mzur tuu jmn wala hana tofaut na na wazungu alaf anao upendo wakweli,,uyo dada atamkumbuka sana uyu baba siku moja yaja
@user-xm7ce5jh2k
@user-xm7ce5jh2k 5 ай бұрын
Kaa na Mungu atakusaidia . Mbona tunanatajilisha kisha munaduharibiya maisha hatuwatiye mtandaoni
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 5 ай бұрын
Huyo dada ajue karma never miss address
@gloriamichael7935
@gloriamichael7935 5 ай бұрын
Asubiri mzungu mwanaume na mweusi na kama rangi yako ndivyo wote walivyo asubiri matokeo yake tu
@janetchinga695
@janetchinga695 5 ай бұрын
Usilie 😢😢 kaka angu mungu atakupa mke mwema uyo atakukumbuka muda sio mlefu , charmusingi muombe mungu mtoto atarudi kwako uyo achananae kabisa
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 5 ай бұрын
Wanawake tumieni akili ili kuepusha majanga KWENU na kwawaume zenu pia Kwa sababu huyu mwamba kama angekuwa na jaziba angechukuwa maamuzi magumu na mabaya sana ,na chanzo ni MWANAMKE ,big up bro Kwa subra na uvumilivu wako Kwa ujumla
@ayshazambia6509
@ayshazambia6509 5 ай бұрын
Pole sana njoo uniowe mm nitakuendo maana sote wahanga pole sana
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 5 ай бұрын
labda urudi shule...kuendo ndo nini😂
@josephatjordan2150
@josephatjordan2150 5 ай бұрын
Njoo huku mie nashida na ww mama
@gidiboy9081
@gidiboy9081 5 ай бұрын
Wanawake kama hawa dawa yao ni ndogo sana, Unampata shemeji mnyenyekevu kama huyu, unatuletea ushenzi, Pole sana kaka! Japo mie nimechagua kukuita shemeji yangu! Hivi hauna namba za ndugu zake? Au mtu yeyote anaye husiana na huyu mwanamke mshenzi, Ustawi wa jamii kesi hii hawawezi kuitatua, inatatuliwa ukweni kwako,
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 4 ай бұрын
Sahihi ukweni wanatatua wanampa mtoto vizuri tuuu aiseee
@saidmsafiri5237
@saidmsafiri5237 5 ай бұрын
Dah pole sana ndugu yangu mungu hamtupi mjawake
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 5 ай бұрын
Wanawake pia wanapitia maisha magumu kwa wanaume both side are the same because we are all humans we have the same habits to the both sides.
@dayana5513story
@dayana5513story 5 ай бұрын
Kweli kabisaaa
@alecbayrine7161
@alecbayrine7161 5 ай бұрын
Today its not about u, today its about the guy...and from what i see he is a man. Acha kujivictimise hao ndo wale wale!!!?
@hajihassan5433
@hajihassan5433 5 ай бұрын
​@@dayana5513story Sio kweli kwa sababu wanaume 98% wameowa wanawake wanaowapenda LAKINI 70% ya wanawake hawakuolewa na wanaume wanaowapenda (chaguo lao).
@abuarafatmkweli748
@abuarafatmkweli748 5 ай бұрын
Wanawake wengi sana, mume akitetereka kifedha au hata akishuka cheo kazini, mwanamke anakimbia na anatafuta mwanaume mwingine... Hii ni dhulma Kubwa sana... HAKIKA Kuna Mahakama ya Allah SW inakuja
@Sheba4651
@Sheba4651 5 ай бұрын
​@@hajihassan5433 Kiufupi sema tunafuga malaya tu, hata mke wangu akiona hii comment basi, atajijua mwenyewe.
@estarsaidi9110
@estarsaidi9110 4 ай бұрын
Nimeria kwa uchungu mkubwa sana😢😢😢 ila malipo niduniani
@gidiboy9081
@gidiboy9081 5 ай бұрын
Mimi naomba huyu bwana aseme ni kijiji gani cha Bariadi kamtoa huyo mwanamke? Ili ampeke kwao kwa mwanamke hii kesi ni ndogo sana, akawaeleze wazazi wa mwanamke, wala asihangaike, na inawezekana nami nihusishwe wakt amemfikisha kwao! Aisee! Pole sana bwana shemeji
@seneu.2128
@seneu.2128 5 ай бұрын
Pole kaka, ila hapo polisi ndio tatizo waliona tabia za mwanamke na mzungu dhidi yako walipaswa kuandika ripoti maalum kwenda ustawi wa jamii kuomba upatiwe HAKI za kuishi na mtoto then ustawi wangekupa mtoto maana Sheria ya mtoto Ina mpa mamlaka afisa ustawi kuamua nani akae na mtoto kw akuzingatia maslai Bora ya mtoto.
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 5 ай бұрын
POLISI walifanya vizuri kunyamazia kwasababu hiyo KESI IMEENDA KWENYE MAHAKAMA YA MUNGU NDIYEATAKAYEMHUKUMU MKOSAJI
@marthakimia4075
@marthakimia4075 5 ай бұрын
Pole sana ndugu yangu Mungu atakula mke mwema atakayekupenda kwa dhati
@hajihassan5433
@hajihassan5433 5 ай бұрын
Pole sana, napitia hayo hayo ni magumu. Kiukweli sijawahi kuchukia kusikia mwanamme kamfanyia ukatili mwanamke.
@PaulinaLwena
@PaulinaLwena 3 ай бұрын
Huyo alikuwa cyo mke sahihi Mungu alikuonyesha mapema,wako yupo Mungu anakuandalia🎉🎉
@collincarlos7433
@collincarlos7433 5 ай бұрын
Dah wanawake makatiri sana....inauma sana
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 5 ай бұрын
Full story iko wapi😢
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 5 ай бұрын
Daaaa m/mungu azid kunipa subra na Mume wangu tuvumiliane hapa na pale Pindi akikosa
@omanoman2044
@omanoman2044 5 ай бұрын
Hakika ila nikukosa ufaham tuy wakujuw anae toa ridhiki ni mungu
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 5 ай бұрын
@@omanoman2044 wallah nimechukua viatu vyake huyu baba avinitoshi hata kidogo yaaaan wanawake Siku izi tumekuwa mabiris kupita maelezo
@omanoman2044
@omanoman2044 5 ай бұрын
@@ukhutfatumah1154 siyo kidog japo siyo wote %90ndo wamegeuka kuw wakatili hata kwa watt wao inshaallah mungu atampa wakufanana nae hata sis tulipitia haya sai tupo uarabun tunakusanya maokoto
@Zaburi-
@Zaburi- 5 ай бұрын
Mwenyezi Mungu/MUNGU sio mungu
@silviaamos-pl5lk
@silviaamos-pl5lk 4 ай бұрын
Pole Sana Kaka, wanawake siowote wasaliti ,ningekupata Kaka kama ww ningefurahi Sana amekosa bahati
@manstiko5890
@manstiko5890 5 ай бұрын
Sad story mwezimungu atakulipia brother 😢😢
@Zaburi-
@Zaburi- 5 ай бұрын
Mwenyezi Mungu/MUNGU sio mungu
@user-dn5mq3fw5s
@user-dn5mq3fw5s 5 ай бұрын
pole sana kaka mungu atakulipa inshaallh malipo ni duniani kaka 😢 naona huruma duu wana wake jamani
@JamilaSaid-we7rk
@JamilaSaid-we7rk 5 ай бұрын
Aje kwangu sijasoma ila nitaish nae vzr mno hatoajutiaaa
@sophialucasmilambo2783
@sophialucasmilambo2783 5 ай бұрын
Mambo yako tofauti sana duh,, umenikumbusha yalinikuta haya unakuwa sacrifice kwa mtu ambae ana malengo mengine ni huzuni sanaaa ,,,, hakika mungu akuteteeee nakuombea najua maumivu yako nilipitia haya mungu akuvushe wacha dhambi zake zitaongea nae badaeee
@catherinefrance3642
@catherinefrance3642 5 ай бұрын
Poleee mnoo, tunashukuru kwa story upande wa kwanza tunasubir upande wa pili
@ivonasangawe7185
@ivonasangawe7185 5 ай бұрын
Pole sana brother
@frankfitiaelmbise9682
@frankfitiaelmbise9682 5 ай бұрын
It's so sad story I feel his pain . Happened to me like this😢😢😢
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 5 ай бұрын
Co wanawake tu wanateseka na mapenzi,na wanaume wanateseka haswa nivile hawasemi
@HeriMagwaza-cd4wg
@HeriMagwaza-cd4wg 5 ай бұрын
Pole xana boss
@FidasMwaiteghelesya-hw9qs
@FidasMwaiteghelesya-hw9qs 5 ай бұрын
Kabisaaaa
@ChikoMathias
@ChikoMathias 5 ай бұрын
Pole sana
@Zubaiba
@Zubaiba 5 ай бұрын
Jamani wanawake tujitambue,mungu atatulaani
@florencemeza6540
@florencemeza6540 5 ай бұрын
Sijui huwani kwa nini ukiwa na mwanaume anakupendaaaa jua mwanamke kimeo lakini mwanamke akimpendaaaa mwanaume unakuta nacho kimeo cijui kwa nini mara nyingi inakuwa vise versa
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 5 ай бұрын
Huenda hatukuomba MUNGU atupe wakufanana tukakurupuka 😂😂😂nimaumivu makali
@chingaboy1149
@chingaboy1149 5 ай бұрын
Hapa mmi nipendelee wapi kwamuhindi or kwa mdogo wangu because Tz we are ndugu or nibaki upande wamuhindi uthikute huyu ndio mkosa just angalia tu anaongea kuhusu mtoto ila mmi nabaki kwa mtz mwenzangu i don't care about religion or traibo😅😂❤
@LeviAnthony-ci4vu
@LeviAnthony-ci4vu 5 ай бұрын
Kosa kubwa alikutana Kimburu....!!KIMBURU always will be Kimburu.....
@Hajer-be2kh
@Hajer-be2kh 5 ай бұрын
Jamaa nimemuona kwenye singo mama ya jb ni boss wa shabani😊
@Youngchimodzi823
@Youngchimodzi823 5 ай бұрын
Behind almost every betrayal lies a women. Hongera Delilah kwa kumshughulikia Samson! Binadamu hawana wema Salum Abdallah aliimba. Siku nyingine tupate upande wa pili lkn hapana shaka Delila ni Delila tu
@user-nd8gg4ig7m
@user-nd8gg4ig7m 5 ай бұрын
Pole sana kaka
@HabibaHassan-ut1re
@HabibaHassan-ut1re 5 ай бұрын
Njoo unioe mie kaka nitakuzalia kama kuku😂😊
@annamussa185
@annamussa185 5 ай бұрын
Hataki kuku anataka Bloila
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 5 ай бұрын
Watu muna mambo humu
@upendogreutert199
@upendogreutert199 5 ай бұрын
Jamani acheni jtano ni maumivu sana haya
@stanastana3199
@stanastana3199 5 ай бұрын
😂😂😂​@@annamussa185
@ngowibeatrice1701
@ngowibeatrice1701 5 ай бұрын
😂😂😂​@@annamussa185
@frankmlinda1181
@frankmlinda1181 5 ай бұрын
Pole sana wanawake wa sasa wamejawa na tamaa na mali
@Nanah18
@Nanah18 5 ай бұрын
Kuna Wanaume wengi hawawezi kushtuka Mwanamke anayemfaa na asiyemfaa, Wanawake wa aina hizi wanajua sana kuigiza kwamba anakupenda sana, sometimes muwe hata mnaigiza kuwa mmepata matatizo uone reaction ya Mkeo/Mpenzi wako
@HappyBuffalo-yt7wf
@HappyBuffalo-yt7wf 4 ай бұрын
Daah jamani wengine wamepata ila hawajui nini wafanye daah Mungu msaidie huyu baba
@JudithAdonis
@JudithAdonis 4 ай бұрын
Wengine kilio mume wangu ananisumbua, wengine wanacheza na nafasi walizopata loooh !!
@HappyBuffalo-yt7wf
@HappyBuffalo-yt7wf 4 ай бұрын
@@JudithAdonis yaani umeona EE MUNGU atusaidiee kwakwelii
@Bethamwangamba-sx3og
@Bethamwangamba-sx3og 5 ай бұрын
Sorry bro,am watching from zambia
@liobamtey7079
@liobamtey7079 5 ай бұрын
Pole sana Naomba kuuliza wadau huyu si ndio yule anayeigiza kwenye tamthiliya ya lawama ya sinema zetu?
@user-wf6zn8br2z
@user-wf6zn8br2z 5 ай бұрын
ndio ni yeye
@salumally663
@salumally663 5 ай бұрын
...Gold DIGGERS..🎉🎉🎉🎉.
@kulngeleza6733
@kulngeleza6733 4 ай бұрын
Yan mungu akubaliki sana awa mambwa wote tnanoa lala nao wangukua na moyo km wako akuna mwanamke angetoa mimba au kutupa wtt 😂😂wanaume wote mbwaaaa
@user-mq9wb4ie5x
@user-mq9wb4ie5x 4 ай бұрын
Kabisa my dear
@upendogreutert199
@upendogreutert199 5 ай бұрын
Kwanza ungejua huyo mzungu ni wa Nchi gani peleka Taarifa Ubalozini kwao na taarifa nchini kwao
@maimukanabora8751
@maimukanabora8751 3 ай бұрын
Pole Sanaa
@davidkamando9630
@davidkamando9630 5 ай бұрын
Duuh! Kuna wanawake wana roho mbaya sana.. Mungu yupo
@user-cr7vi4qp9c
@user-cr7vi4qp9c 5 ай бұрын
Pole sana bro
@upendogreutert199
@upendogreutert199 5 ай бұрын
Jamani wanaopendwa hawapendeki, wasiopendwa na wanataka kupendwa, jamani haa Kaka pole Sanaa
@mbogomgoma4886
@mbogomgoma4886 5 ай бұрын
Ooh pole sana kumbe ni wanyantuzu ndo tabia zao hizo ndugu yangu ila pole sana kaka
@user-zb8mk6kt2b
@user-zb8mk6kt2b 3 ай бұрын
Pole.hao wangekutana nawatu kutoka mara au Arusha wange chinjwa
@othmanshahib1115
@othmanshahib1115 5 ай бұрын
Shida ya wanawake ukiwa naye anafilia siku moja atakuwa single sisi hata kama tuna cheat hatupotezagi kumbukumbu ya nyumbani tuwasamahe bule ndoo mama zetu 😢😢
@shabanikitula645
@shabanikitula645 5 ай бұрын
Mama Gwajima wewe ni msikivu kiongozi hodari chonde chonde tunakuomba mama yetu tunakuamini sana watanzania msaidie huyu baba apate mtoto wake Dada anataka kula raha kapeleka mtoto kijijini Mama tunaomba umsaidie
@leonardgervas7515
@leonardgervas7515 5 ай бұрын
Duhh polee!! Sana
@omanmct135
@omanmct135 5 ай бұрын
Polekaka aaalllah atakupamke bora
@Its_Goodluck
@Its_Goodluck 5 ай бұрын
Ni hatari sana,mwanamke akishaanza kutaka mahitaji makubwa zaidi ya uwezo wako hyo n hatari sanaa kwahyo kimbia
@janeflorencesajjabi1545
@janeflorencesajjabi1545 5 ай бұрын
Nimefeel kama Mwanangu wee Kaka MUNGU Akusaidie katikati ya mapito yoote na Akupe Mke Mwenye mapenzi ya dhati Nawe na Umpate Mwanao na uwe na Furaha & Amani."Nimekuhurumia mno"
@pauloropian2367
@pauloropian2367 5 ай бұрын
Mungu atakupigania hawa wanawake wa siku hizi ni nusu mashetani
@omanoman2044
@omanoman2044 5 ай бұрын
Nikweli lakin siyo wote mie binafsi sin tabia hizo
@Sheba4651
@Sheba4651 5 ай бұрын
Naam ni nusu ongeza na robo mashetani 😈 ...... Ni mwanamke tu kwenye historia ambaye waliongea na shetani, baada ya tunda lazima kuna na jengine la siri waliongea, yaani ukiwa masikini ni shida, na ukiwa tajiri ni shida, uwe handsome atasema huwa hudisi vizuri, kibamia, atahitaji mwenyewe sura ya kawaida, na ukiwa mwanaume una sura ya kawaida, atasema una dudu kubwa, linaumiza, atamhitaji huyo handsome mwenye dudu dogo. ##Shida sana la muhimu kuwahi ufalme wa mbinguni.
@talents7934
@talents7934 5 ай бұрын
😂😂😂kumbe Huyo Mwanamke Ni Msukuma wa Bariadi kumbe😂😂
@laylayl5166
@laylayl5166 4 ай бұрын
Jamani viongozi msaidieni huyo Baba WA kihindi anaonelewa
@FaisalKimath
@FaisalKimath 3 ай бұрын
Pole brother wanawake wanatumaliza maan roho zao shetani kazitawala ndo maan wanateseka
@user-nz4sn9ee8d
@user-nz4sn9ee8d 5 ай бұрын
Pole sana😮
@jade75798
@jade75798 5 ай бұрын
Jamani pole mchumba niko hapa nakusubiria njoo unioe mimi achana na huyo muhuni
@SefrozaMafuru
@SefrozaMafuru 5 ай бұрын
😂😂😂
@jade75798
@jade75798 5 ай бұрын
@@SefrozaMafuru au wasemaje ndugu yangu .niko huku Senegal nakukaribisha nletee huyo mchumba sitaki apate shida na umuambie asilie anyamaze niko hapa kwa ajili yake .
@RamulaKabugho-bk8vk
@RamulaKabugho-bk8vk 5 ай бұрын
Kuwa mpole mungu si dhwalim malipo yako njiyani yana kuja subiri kakangu 😢
@zawadimwambungu8632
@zawadimwambungu8632 5 ай бұрын
Aisee, pole sana ila mungu yu mwema atakutendea tuu na utapata mtu atakayeridhika na kipato chako, ila wanawake kuna muda anatuona kwa kweli
@Zaburi-
@Zaburi- 5 ай бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@fidelitekarigirwamuyangwa973
@fidelitekarigirwamuyangwa973 4 ай бұрын
Polesana
@Zubaiba
@Zubaiba 5 ай бұрын
Duuu inauma hii story mbona sana,kaah maskini pole sana
Gathoni Wamuchomba: Speaking Truth To Power
25:00
NTV Kenya
Рет қаралды 7 М.
لقد سرقت حلوى القطن بشكل خفي لأصنع مصاصة🤫😎
00:33
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 22 МЛН
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 35 МЛН
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 10 МЛН
MAZINGE ATAKA MAJIBU YA MASWALI HAYA KWA WAKRISTO
13:18
DHIKRI ONLINE TV
Рет қаралды 13 М.
THE STORY BOOK: JULIUS CAESAR SHUJAA WA ROMA ALIYEFIKIA KUITWA MUNGU
36:34
IQ Level: 10000
0:10
Younes Zarou
Рет қаралды 10 МЛН
Don’t Stealing 👵Moral Stories for kids #kidsvideos #goodhabits #youtubekids #cartoon
0:21
Elizabeth and Briceida Learning & Fun
Рет қаралды 13 МЛН
Лайфхаки не нужны
0:28
Miracle
Рет қаралды 1,7 МЛН