Рет қаралды 200,604
"Hela ni Zangu, Nipe Nikafe Potelea Mbali" JPM- Ikulu
"Mishahara mingi ya wafanyakazi serikalini si mizuri, anapofikia mwisho wa utumishi unampa kidogo kidogo haingii akilini si unipe tu yote nikafie mbali" Rais Magufuli Ikulu Dar es salaam
Rais Magufuli leo tarehe 28, Desemba 2018 anakutana na viongozi wa shirikisho la vyama vya wafanyakazi (TUCTA) vyama shiriki, watendaji wakuu wa mifuko ya Hifadhi ya jamii (PSSF na NSSF) na mamlaka ya usimamizi wa Hifadhi ya jamii (SSRA) kujadili masuala yahusuyo mafao ya wafanyakazi hususani Kikokotoo.
Mkutanao huo unafanyika Ikulu Jijini Dar es salaam ambapo Mawaziri na makatibu wakuu wa wizara husika wanashirki.
#RAISMAGUFULI #TUCTA #SSRA #NSSF #PSSF
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter:
GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.co....