-- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com #VIUMBEVYAAJABU #BAHARINI
Ukitaka kujuwa utukufu wa Allah angalia alivyoviumba Allah vya mbinguni, ardhini, baharini na nchi kavu. Subhanallah, Allahu Akbar. Allah ametakasika wala hana mshirika, Allah ni mjuzi wa kuumba, Allah hakuzaa wala hajazaliwa na hana mwana wala mtoto. Subhanallah, Allahu Akbar.
@jihadjiha10173 жыл бұрын
ALLAH AKBAR
@ahmadisaidi39522 жыл бұрын
Allahu akbar
@ahmadisaidi39522 жыл бұрын
Allahu akbar
@mariamunika62392 жыл бұрын
Allahu Akubar
@MaxamedNur-ct8zd2 ай бұрын
ALLAHU AKBAR
@jaklinifaustini42593 жыл бұрын
Pole sana baba asante MUNGU kwa kumuokoa baba huyu🙏
@mwanaishazain79853 жыл бұрын
Nguva ni samaki kama samako wengine wakubwa wala hana maziwa ni mapezi manene. Na nimkubwa aweza kufikia kama kiboko, anazaa kama anavyo zaa papa, taa na samaki wengine ambao ni mamalian. Samaki wengine wanataga. Juwa nguva kama mtu, anasura ya mtu ni uzushi.
@kombobomayee17453 жыл бұрын
Kwani ukuelewa alivosema ww
@makanjetemsizwa121 Жыл бұрын
Uongo
@nawalanwar55033 жыл бұрын
Lafdhwa yake inafurahisha maa shaa Allah 💖💕
@mwanaishazain79853 жыл бұрын
Lafdha or lafudhi
@sabylaby3 жыл бұрын
Asanteni sana Nimejifunza mengi Kwa kuwa mimi ni mtunzi wa hadithi nimefurahi sana kwa story hii ya ukweli na kusisimua
@mosesjackson_tz3 жыл бұрын
Mbanga mnauaa sana wazee baba ...mpo noma noma
@sudaissoud36703 жыл бұрын
Watu wanakoga masiku 7 na kwenye bahari unaweza kulala ukaelea..na samaki wakali sio sana
@nopain89313 жыл бұрын
kupika mbizi na kuogelea ni tofauti
@user-fy6ck9di1f Жыл бұрын
😊 ahsante sanaaa tuuuu MBA ga Kwa taarifa.
@wamowamo68973 жыл бұрын
Noma sana
@jumarwambo74203 жыл бұрын
Keep it up broh
@hammygwada77583 жыл бұрын
Story nzuri
@pamelakonya5453 жыл бұрын
Mimi nimelelewa Mombasani,tulikuwa twawaita hao mermaids VITU NUSU, kisha story za majini Baharini zilikuwa nyingi Sana, nashukuru nimepata kuelewa vizuri bahari leo
@alien29742 жыл бұрын
Nakumbuka nikija 'school trip' mombasa nikiwa class 4, nikachelewa nikawa mtu wa mwisho kwa kikundi chetu kutoka kwenye Beach, niliona mermaid kisha akaniangalia na kuruka majini
@pamelakonya5452 жыл бұрын
@@alien2974 🤣🤣 wacha nicheke Kwanza na usione ubaya jamani. Huwa wako kweli hao mermaids? Mimi nimelelewa karibu na Nyali beach so beach every weekend ilikuwa lazima,but kuona mermaid sijawai hata siku moja..Maybe they appear on special people that could be beautiful to watch
@alien29742 жыл бұрын
@@pamelakonya545 yes ni kweli. Sijawai sahau na hio ilikuwa around 2010...alikuwa na nywele refu nyeusi ti! Na ngozi kama mzungu..
@fatumamohamed82033 жыл бұрын
Mimi ki fikra natani Hao samaki Nguva wenye Umbo la kibinadamu ni Majini sababu Jini Aweza jigeuza kivyovyote vile, but hakuna samaki mtu.
@bonifasiemanueli27083 жыл бұрын
Hao in majini,kwani iko hivi wakati wa ghalika ya Nuhu kuna malaika walio asi mbinguni wakaja Duniani sasa ghalika ilipo kuja wakakimbilia ndani ya bahali ili kujificha baada ya ghalika Mungu akawafungia huko huko kwa kuwageuza samaki upande mmoja mwingine umbo LA mtu, ndo hao mnaosikia samaki MTU,
@millicentayangokunting37283 жыл бұрын
@@bonifasiemanueli2708 Asante sana kwa funzo lako
@Rashid-sg2mw3 жыл бұрын
ni kwel kabisaa
@sammotv6920 Жыл бұрын
@@bonifasiemanueli2708 hakuna maalaika anaeweza kuasi hata siku mojaa
@jimmyx84123 жыл бұрын
Hahaa naenjoy kumuona baharia akisikiliza story ya captain
@dijahommy48882 жыл бұрын
Maake kwanza apo ncheke
@sabrinasab29103 жыл бұрын
Wavuvi nao wanafikwa na majangwa baharin ilaMUNGU anawasaidia
@mariachinagwa28913 жыл бұрын
Hongera mchumba nimeipenda sana
@isaacsinkala38323 жыл бұрын
Waongo
@sudaissoud36703 жыл бұрын
Miamba inatoa sauti ndio ni kwabb ya upepo kutoka baharini...
@mwanaishazain79853 жыл бұрын
Na hiyo hadithi za kufikirika muongo babu, msiamimi uzushi wa kutunga. Hadithi hizi za uzushu zinasimuliwa sana Mafia.
@kombobomayee17453 жыл бұрын
We bahari unaijua ww na mafia unapajua vizur me natokea bweni unapajua na Ivo vitu vipo vishanikuta Sana vitu Kama zaruba. Tukiwa na mashua tunatoka kisiju tunaenda mafia. Au unamjua jini fatuma wa bweni ww
@thequeenhasarrived83953 жыл бұрын
Remove background music it's so loud
@fdev3 жыл бұрын
Real
@dullahsin27083 жыл бұрын
Nakubali
@harrunaally8869 Жыл бұрын
Ila broo umezingua sauti ya kinanda una umuhim gan apo
@wesleykombo40013 жыл бұрын
Uko juu brother #Mombasa kenya
@amrynondo43573 жыл бұрын
Duuuuh kali
@ibugharib3893 жыл бұрын
SADIKI UKIPENDA HII YA WAALABU ( WAARABU ) Ila story mzur
@aishaarusha8943 жыл бұрын
Inshallah Allah karim🙏
@mdbosco16403 жыл бұрын
💟💟💟💟🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@sudaissoud36703 жыл бұрын
Hakuna samaki mtu tusidanganyane...
@hanchojunior22143 жыл бұрын
Jini anaweza kujifanya ivo..
@geofreymwaijonga3 жыл бұрын
Baharia Duplin Master, nice coverage👍
@dupamdupange59183 жыл бұрын
Thanks alot babangu🙏🙏
@ismailyusuph7403 жыл бұрын
Mnakula tu SAMAKI huko Nchi kavu hamjui MABAHARIA tunavyokutana na madharuba ya BAHARI..!
@ismailyusuph7403 жыл бұрын
@Mrs Inziani ....Kuleni ‘ ila mjue misukosuko tunayokutana nayo mabaharia...!
@@ismailyusuph740 mumelazimishwa kufanya hiyo kazi😂
@halimahamad80873 жыл бұрын
duh
@sejetv68563 жыл бұрын
Good journaliste
@thelistener83573 жыл бұрын
Doh huyu jamaaa anaongea kwa experience sana
@djmtengwatz10993 жыл бұрын
Daah sio poa
@reymathomas15625 ай бұрын
Au siyo mwanangu
@bilalbaker92383 жыл бұрын
Tutumie mbongo kwenye mbanga.....
@tareqhilal67503 жыл бұрын
Ntu, Nti!!
@kombobomayee17453 жыл бұрын
Kiswahili Cha pwani iko kinazungumzwa Sana mafia
@Livewithbobo2 жыл бұрын
Mshanitisha🤒😱😰
@bakari-si1pw3 жыл бұрын
Atari sana ukweli mtupu
@sheilanyangasi70793 жыл бұрын
Bro mbona music kwenye ground tena lakini Stori zuri hongera
@jimmyx84123 жыл бұрын
Mmmh sasa unataka iwe haina back ground kama unasimuliwa ubuyu na shoo
@sheilanyangasi70793 жыл бұрын
Kitu kama hiyo bro
@Livewithbobo2 жыл бұрын
Tumueke diamond
@aneymaalim7043 жыл бұрын
Stori nzuri ila hio musiki ungetoa
@jimmyx84123 жыл бұрын
Back ground muhim sana
@fredynigga69482 жыл бұрын
Wewe mzee hunatukosea nguvu sisi tuko nusu mtu nusu samaki hunaposema manyonyo na wanaume watakuhaje mbooo au😂😂😂kamakitu hujuhi simulia hunavyo jua
@user-sk5sd7kc9g6 ай бұрын
100kilo 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@ZainabuZainabu-vv6kg Жыл бұрын
😮
@tungumazezele50793 жыл бұрын
kwakweri maisha yahawa watu nimagumu lakini nataka nyama ya huyo samaki
@ashuraumari13223 жыл бұрын
😂😂😂
@fredynigga69482 жыл бұрын
Eeee haujui kama samakiwengime tunaixhi na watu uraiani takugonga kula myama yemwanao mweu wewe
@dreamhiker11092 жыл бұрын
Bangi tupu! 😂 Eti samaki MTU Yani uongo wake haina mpaka ....kama ni kweli anacho sema Mzee si wangeonekana na watu wengine pia?
@sudaissoud36703 жыл бұрын
Hapo za waarabu ni stori zakale...
@exalttarimo50833 жыл бұрын
Samaki watamu ila balaa sanaaa
@MaphophosaMaphophosa3 жыл бұрын
Mbona maerezo mengi boi
@mgenimohd78413 жыл бұрын
Kiukwel wavuvi wanapitia mengi wakiw kwenye shuhuli zao za uvuvi ilamongu yupo nao lkn laitan tungewashuhudia mazit wanay kumban nay bc tungewaheshm
@Livewithbobo2 жыл бұрын
Wanafanya yote kwa jili sisi tupaye chakula na wao pia wapate chakula na kuendelea na maisha kama kawaida so tusiwalaumu
@gracemackenzi.17113 жыл бұрын
Niulize kama majini wako kwenye bahari, inamanisha samaki hako salama kuliwa...
@alhaddajmohammed47683 жыл бұрын
Majini wapo hata Ziwani, bwawani, mtoni, barabarani, majumbani tunamoishi nk.
@bee96453 жыл бұрын
Majini ndio ufalme wao upo Bahraini, lakini hawana muda na samaki target yao ni binadamu. Akimuingia samaki tutamchoma jini na moto.
@leonardfrancisngwizakanyel14043 жыл бұрын
the story ya samaki mtu
@afandehassan13 жыл бұрын
Nauliza Grace anakuaga kwa guest ama
@khasimgange42133 жыл бұрын
Kazi ya Allah
@kidundajuma93213 жыл бұрын
Duhu
@LOGOSNew3 жыл бұрын
Hao Waarabu walioshukia katikati ya bahari wakikuwa majini. Kwa kawaida majini hujitokeza Kama Waarabu. Kwa nini???
@ikabako24543 жыл бұрын
Kwa sababu ndio mmewazoea hivyo. Ila wapo weusi, wachina, wamasai na wa asili ambao sisi binadamu hatuwezi kuzitambua.
@ifitsnotwhynot70773 жыл бұрын
Real budger ni chakula au nini
@afandehassan13 жыл бұрын
Si chakula ni ugali
@sudaissoud36703 жыл бұрын
Huyo jamaa aliosimama hapo anaharibu muondoweni..awache umbea
@yahyamohamed48623 жыл бұрын
We bwana😂😂😂
@zammillunally44973 жыл бұрын
Ni kweli anatoa use tu
@ummyproductnatural45123 жыл бұрын
Anajiwahi ku view live Mana huenda akakosa mb za internet 😂
@King_Of_Everything3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍
@linuxlipawaga16963 жыл бұрын
Duuh
@suleimaniyasri21663 жыл бұрын
bila xhakaa nguva atakuwa jinii...mana x anawz kijibadilixhaa
@sudaissoud36703 жыл бұрын
Nguva ni samaki ila hana umbo la binadamu
@hassanmkungile60213 жыл бұрын
Hv mnao dislike hz tor mna nn nyie
@jotafungo46223 жыл бұрын
Mafia kisiwani
@saidimakame65233 жыл бұрын
Uongo huu hakuna samaki mtu hizo ni hadithi tu za paukwa pakawa hapo kale. Hakuna sehemu yoyote duniani aliopatikana hai akaonekana kikweli.
@Rashid-sg2mw3 жыл бұрын
majini huwa wanajibadilisha kuwa katika mionekano tofaut tofaut,inawezekana ni kwel lakn ni majini hao
@abufauzan94173 жыл бұрын
@@Rashid-sg2mw umepatia
@sudaissoud36703 жыл бұрын
Kweli nguva ni samaki wla sio m2
@agnessima50329 ай бұрын
Lake Chara Moshi.
@afropanorama47303 жыл бұрын
kamba tupu
@ayoubissa9773 жыл бұрын
Kamba gani tena
@LOGOSNew3 жыл бұрын
Bahari ni makao makuu Ya Shetani. Viumbe walioko huko ni watumishi was Shetani. Hawajawekwa huko na Mungu!!
@kandakabiru23413 жыл бұрын
Sasa kiumbe chochote kisichofanana na binadamu ni shetani. Si nilidhani kila kiumbe kiliumbwa na maulana ama sivyo mnavyo ambia kwenye dini zenu.
@LOGOSNew3 жыл бұрын
@@kandakabiru2341 Mungu aliumba Malaika wakakaa naye mbinguni. Malaika mkuu mmoja akamwasi Mungu na malaika wadogo chini yake wakamuunga mkono, Mungu akawafukuza akawatupa chini duniani. Huyo Malaika mkuu ndiye alikuja kujulikana kama Shetani (maana yake Mwasi/Adui wa Mungu) na hao malaika wadogo ndio walikuja kuitwa majini (yaani viumbe wanaishi ndani ya Maji, ambao pia ni Maadui wa Mungu). Unapoambiwa kuwa kuna majini wazuri ni uwongo mtupu. Ni kama kuambiwa kuwa kuna wezi au wauaji wazuri. Wote ni wahalifu! Soma Biblia. ( Type kwa Google "Uasi Mbinguni" na utaona maelezo ya Biblia.)
@ummyproductnatural45123 жыл бұрын
@@LOGOSNew tatizo biblia imeandikwa baadhi ya maneno na watu , na utayapata haya pindipo kutakuwa na muhadhara wa waislamu na wakristo , kitabu pekee cha dini kilicholindwa na mikono ya watu Qur'aan
@mamohamed12523 жыл бұрын
Kijana muuliza maswali excuses ni sababu siyo uzoefu, uzoefu ni experience yake. Usichopeke tu
@kelvinkipinge22733 жыл бұрын
P
@roshanwhite32153 жыл бұрын
Skiliza Kwa makini wew
@abufauzan94173 жыл бұрын
@@roshanwhite3215 anakimbilia kukosoa wakati hajamsikiliza vizuri