Nimepigwa RISASI tatu Mwilini, Nilitakiwa KUFA au Kupooza, Ninaishi na risasi moja TUMBONI - PART 1

  Рет қаралды 49,805

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

3 жыл бұрын

Пікірлер: 91
@kindysuleiman5935
@kindysuleiman5935 3 жыл бұрын
Nakukubali na interview zako kwa wasailor keep it up usinikoseshe. Vitu
@vickykimaro1892
@vickykimaro1892 3 жыл бұрын
Dah mungu akusaidie uje utembee tena brother ata bajaji nivile sina uwezo brother mungu akufanyie wepesi upate mdhamini
@director_lay5760
@director_lay5760 3 жыл бұрын
Dah pole xana blood mungu akufungulie japo uwezo sina ila naamini mungu atakusaidia utapona na bajaji utapata 🙏 🙏
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
Dah! Pole sana ndugu yetu katika Imani.
@alexandrinadomaino9868
@alexandrinadomaino9868 3 жыл бұрын
Daah pole sana my dear.
@latifalatifa-tg9rm
@latifalatifa-tg9rm 3 жыл бұрын
Polee sanaaa kangu Allah atakuafu in shaa Allah
@dianazambi2447
@dianazambi2447 3 жыл бұрын
Kingereza Sasa brooo🤣🤣🤣🤣🤣
@africano98.
@africano98. 3 жыл бұрын
Mzee baba escor mm ningependekeza kipindi ukiite Life of traveller au Maisha ya wasafiri ingependeza asee SnS family
@mwanaishahussein2635
@mwanaishahussein2635 3 жыл бұрын
Pole sana kakaangu kwa mitihani, kivyenginevyo hongera kwa kujituma kimaisha 🙏🙏🙏🇰🇪
@SingoMedia
@SingoMedia 3 жыл бұрын
Usikose kutembelea Singotv kwa updates nzuri, jamaa ana stori nzuri maashallah
@geofreybarama4000
@geofreybarama4000 3 жыл бұрын
Njoo mtani kwetu one day Kuna Baharia katembea nchi nyingi ana story ya kujifunza
@ibrahimbashir4778
@ibrahimbashir4778 3 жыл бұрын
Wa Tshwana Nakubali bro 🤣🤣🤣🤣, Mara O Skaira So My Bruh 🙌🙌🙌🔥🔥🔥
@nurukwilabya2790
@nurukwilabya2790 3 жыл бұрын
Pole Sana bro
@hamzanasry8011
@hamzanasry8011 3 жыл бұрын
Sijuwi nkwanini kuskia Tu uyu kijana alikuwa sauth roho Tu nakajuwa Tu atakuwa alifanya mchomoko mana nimewaona wengi vijana walifanya iyo kazi wengine walikufa nawengine wamekufa na wangine wamebaki naulevi
@simulizinasauti6118
@simulizinasauti6118 3 жыл бұрын
⏩GUSA LINK👇👇KUFUATILIA SIMULIZI YETU MPYA kzbin.info/aero/PLmrhBCf_RTIu44yi2zr1R02qBJ-nHJHqA
@aminaolver5840
@aminaolver5840 3 жыл бұрын
Watoaji coment tafadhali naomba msiongelee icho kiinglishi anachoongea bby orede😂😂😂🏃🏃🏃
@lenoxbuhanza4926
@lenoxbuhanza4926 3 жыл бұрын
Mummy and daddy is orede pass a way
@aminaolver5840
@aminaolver5840 3 жыл бұрын
@@lenoxbuhanza4926 mbona unataka kunipa dhambi🤩🤩🏃
@meshackmussa3680
@meshackmussa3680 3 жыл бұрын
Unamaana haongei kiswahili fasaha
@bosslilyg4390
@bosslilyg4390 3 жыл бұрын
Awww Esco is back, welcome back bro 💪💪🔥🔥
@simulizinasauti6118
@simulizinasauti6118 3 жыл бұрын
⏩GUSA LINK👇👇KUFUATILIA SIMULIZI YETU MPYA kzbin.info/aero/PLmrhBCf_RTIu44yi2zr1R02qBJ-nHJHqA
@simulizinasauti6118
@simulizinasauti6118 3 жыл бұрын
⏩GUSA LINK👇👇KUFUATILIA SIMULIZI YETU MPYA kzbin.info/aero/PLmrhBCf_RTIu44yi2zr1R02qBJ-nHJHqA
@tandaleuzuri8752
@tandaleuzuri8752 3 жыл бұрын
Pole sana baria jigga
@zuberikaisi6529
@zuberikaisi6529 2 жыл бұрын
Usimalize story kwa kuifatilia, kuwa mdadisi, kuwa makini na swali lako litakupa muendelezo na utajenga episode! Kwa mfano humuulizi huyo hao marafiki wake wako? Je wana mawasiliano! Yaani unaacha gape kila swali. Ni mtazamo wangu kutokana na kupenda kusikia mengi.
@nicholausmkende7130
@nicholausmkende7130 3 жыл бұрын
Daa mungu yu mwema amuachi mja wake tuwe na Iman tutashinda majaribu
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 3 жыл бұрын
babu wew ni mtoto wa makochela aliekua sana mbowe na holiday kwenye hotel ya wajanja wa town!!!!???
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 3 жыл бұрын
daaah pole sana kaka umepambana
@hamidabaliyanga2584
@hamidabaliyanga2584 3 жыл бұрын
polesana
@dayana5513story
@dayana5513story 3 жыл бұрын
Kinge mimi hoi,anyway pole
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Жыл бұрын
Pole sana
@wildatmsellem7531
@wildatmsellem7531 3 жыл бұрын
Hahaha oredy passed away imeniacha hoi
@lenoxbuhanza4926
@lenoxbuhanza4926 3 жыл бұрын
Bora ionekane hivyo lakini ukweli utabaki palepale aache kuongea lugha asiyoijua kiswahili ni lugha pana sana na nzuri sana inaongeleka bila woga
@lenoxbuhanza4926
@lenoxbuhanza4926 3 жыл бұрын
Kingereza gani wakati hata unavyoongea sahizi hukijui ila ukiniambia cha kuombea maji sawa ila hujui lugha hiyo kabisa
@mussaseifabdullwahid341
@mussaseifabdullwahid341 3 жыл бұрын
Una chuki binafsi
@jaklinifaustini4259
@jaklinifaustini4259 3 жыл бұрын
Pole
@lenoxbuhanza4926
@lenoxbuhanza4926 3 жыл бұрын
Hapa naishi na my gland maza and na mama zangu wadogo
@dainesskipangula1699
@dainesskipangula1699 Жыл бұрын
Hakuna baya hapoo
@ibrahimbashir4778
@ibrahimbashir4778 3 жыл бұрын
Sio credit mwamba umesahau ulikua unatoa socialite grant 🙌🙌🙌 Waita Sassa Wenyewe 💪💪💪💪💪
@lenoxbuhanza4926
@lenoxbuhanza4926 3 жыл бұрын
Kweli elimu ni ufunguo wa maisha bora ukose mali lakini uwe na walau elimu kidogo
@saidilukoloma319
@saidilukoloma319 3 жыл бұрын
Kuna watu hawana elimu lkn wana pesa kinyama,
@emanuelmwanga4
@emanuelmwanga4 3 жыл бұрын
Kingereza haijawai acha MTU salama
@ibrahimrukundo3064
@ibrahimrukundo3064 3 жыл бұрын
ndoivo maisha ila sehem za uhatari nikua mbali nazooo
@kingkendrickk
@kingkendrickk 3 жыл бұрын
Tuwekee story Kama hizi
@suleymanially974
@suleymanially974 3 жыл бұрын
Tumekiss sana kaka tuletee manaharia hao kila cku tunapenda sana
@simulizinasauti6118
@simulizinasauti6118 3 жыл бұрын
⏩GUSA LINK👇👇KUFUATILIA SIMULIZI YETU MPYA kzbin.info/aero/PLmrhBCf_RTIu44yi2zr1R02qBJ-nHJHqA
@abdallahsalehstar8221
@abdallahsalehstar8221 3 жыл бұрын
ila sehemu anayo iongelea sio Mozambique ni zimbabwe sehemu inayo itwa "bed bridge" ukipita apo unaingia "mussina" mabaharia tuko apa tunaelewa iyo njiya
@evelinaluvata1471
@evelinaluvata1471 3 жыл бұрын
Sion part2
@lenoxbuhanza4926
@lenoxbuhanza4926 3 жыл бұрын
Sikutegemea jamaa anaweza kuwa na akili ndogo kama navyoweza kuiona kwenye majibu yake katika majibu yake kwenye mahojiano
@fatmakiraga4016
@fatmakiraga4016 2 жыл бұрын
Naomba tafauti ya ukabaji na ubakaji
@lm6373
@lm6373 3 жыл бұрын
Esko wewe mbona hukurudi kwa bi zainab ule ana pacha 10 vipi tuta saidiya bila wewe ebu mfatiliye na utowe No zako sawa
@samirakiango957
@samirakiango957 Жыл бұрын
Yani uyu ajui kuhadithia
@mamskiumbe4057
@mamskiumbe4057 3 жыл бұрын
Pol ana kaka
@elibaricksadock9562
@elibaricksadock9562 3 жыл бұрын
Like t story
@lydiamdenya228
@lydiamdenya228 3 жыл бұрын
Daaah coment zakukatisha tamaa kuvunja moyo yaani ukiangalia uku unasoma coment huwezi angalia ata dakika 2
@salimmohamedsalim4448
@salimmohamedsalim4448 3 жыл бұрын
Bro pole ila wa sizwa ukiwaaonesha mkwaju wao hawachelewi kukudondosha pole
@samirakiango957
@samirakiango957 Жыл бұрын
Yani baba ako alikua muuza unga
@johnjames2749
@johnjames2749 3 жыл бұрын
Bless up mzee MUNGU afanye wepesi kaka
@hassanmaukwe1590
@hassanmaukwe1590 3 жыл бұрын
Pole sana bro
@albertbunyinyiga7581
@albertbunyinyiga7581 3 жыл бұрын
Part 2 vp
@simulizinasauti6118
@simulizinasauti6118 3 жыл бұрын
⏩GUSA LINK👇👇KUFUATILIA SIMULIZI YETU MPYA kzbin.info/aero/PLmrhBCf_RTIu44yi2zr1R02qBJ-nHJHqA
@montanaprime
@montanaprime 3 жыл бұрын
Dah hizi story bongo movie sijui wako wapi?
@BigZhumbe
@BigZhumbe 3 жыл бұрын
Bongo movie story isio na kwichikwichi hawaichezi. Lazima kwenye story adungwe mtu😂🤣
@montanaprime
@montanaprime 3 жыл бұрын
Big Zhumbe 😂😂😂
@byamsfamily7688
@byamsfamily7688 3 жыл бұрын
Support account yangu ya kichekesho Lufufu mkude simba
@mariamothman7404
@mariamothman7404 3 жыл бұрын
Twaisubiri in shaa Allah
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍
@kanisiuskanisiuskigomakigo6752
@kanisiuskanisiuskigomakigo6752 3 жыл бұрын
U
@Anto_OnYT
@Anto_OnYT 3 жыл бұрын
Utarukaje senyenge na wakati Tanzania Travelling document inaingia Mocambique. Hapo unatudanga bro. Mahali haiingii tu ni South Africa na Swaziland kwa hizo side
@simulizinasauti6118
@simulizinasauti6118 3 жыл бұрын
⏩GUSA LINK👇👇KUFUATILIA SIMULIZI YETU MPYA kzbin.info/aero/PLmrhBCf_RTIu44yi2zr1R02qBJ-nHJHqA
@ashaabdallah9254
@ashaabdallah9254 3 жыл бұрын
Na wewe toa story yako tusikie
@Anto_OnYT
@Anto_OnYT 3 жыл бұрын
@@ashaabdallah9254 I don't talk to illiterate like yooo
@jangombeboys4536
@jangombeboys4536 3 жыл бұрын
J,BOYS,F,C 1999
@captendunga1392
@captendunga1392 3 жыл бұрын
kwani maana ya mtumba ni nini? mana jamaa kasema kuna mtumba gred one mtumba ambao haujawah kuvaliwa wakati tumekariri mtumba ni kitu kishatumika.... hapo BEKA kaniacha kidogo.
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 3 жыл бұрын
mitumba mengine hipo ata kuvaliwa aija valiwa kama uku uwarabuni kuna nguo za mtumba mpya kabisa yani Zina onesha kabisa azijafaliwa
@captendunga1392
@captendunga1392 3 жыл бұрын
@@safiyatheonlything7848 sasa zinaitwaje mtumba wakati hazijavaliwa? kusema MTUMBA ni sawa na kusema YUZDI ukisikia kitu chochote kinaitwa YUZDI tafsiri yake kimeshatumika iwe gari,baiskel, N.K na mtumba ni hivo hivo... hakuna mtumba mpia kinyume na hapo itoshe kusema kiswahili kinatumika vibaya... uliona wapi mtumba ukawa mpia haujawahi kutokea.
@manyotaskipper5765
@manyotaskipper5765 3 жыл бұрын
Esco
@zachariahexegesists7892
@zachariahexegesists7892 3 жыл бұрын
+
@deusntobi1450
@deusntobi1450 3 жыл бұрын
Muuliza maswali ni 0 kabsa kiufupi hajui kufanya interview kabsa.
@fardsonjaphet9105
@fardsonjaphet9105 3 жыл бұрын
Du
@simulizinasauti6118
@simulizinasauti6118 3 жыл бұрын
⏩GUSA LINK👇👇KUFUATILIA SIMULIZI YETU MPYA kzbin.info/aero/PLmrhBCf_RTIu44yi2zr1R02qBJ-nHJHqA
@abdallahmohamed5267
@abdallahmohamed5267 3 жыл бұрын
Pôle sena bro
@simulizinasauti6118
@simulizinasauti6118 3 жыл бұрын
⏩GUSA LINK👇👇KUFUATILIA SIMULIZI YETU MPYA kzbin.info/aero/PLmrhBCf_RTIu44yi2zr1R02qBJ-nHJHqA
@makitivo246
@makitivo246 3 жыл бұрын
Kwa nini tanzania mtu akiongea kingereza lazima mumtukane hata kama ni kizuli mtatukana tu ni kuwa na huna kazi ya kufanya. Jifunzeni maendeleo naheshima acheni kumaliza bando zenu
@lydiamdenya228
@lydiamdenya228 3 жыл бұрын
Afadhali umeongea
@aminamodi8927
@aminamodi8927 3 жыл бұрын
NAKUMBUKA MAKOCHELA HAKUWAI KUWA SEAMAN ILA ALIKUA AKIBEBESHWA UNGA NA WAUZA UNGA HAKUWA BAHARIA MSIHALIBU KAZI ZA WATU BAHARIA SIYO KUUZA UNGA
@alextanzania
@alextanzania 3 жыл бұрын
Funguka
@mariamothman7404
@mariamothman7404 3 жыл бұрын
Sema histori yake anavyo hadithia anachekesha😁😁😁
@pembemussa2804
@pembemussa2804 3 жыл бұрын
Kuna vitu anaficha ficha🤣🤣🤣
@LeeUfudu
@LeeUfudu 3 жыл бұрын
Hão wtu wnaoitwa mabaharia akili zao siku zote sio mzuri kwa hiyo usishangae anvyotoa story kkkk
@dainesskipangula1699
@dainesskipangula1699 Жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁
@teddykanondo5753
@teddykanondo5753 3 жыл бұрын
Watanzania tusikubali kuburuzwa hawa CCM wana njama gani wanataka kuifanya ndani na nje ya bunge hawataki viongozi wa upinzani tunaowapenda. Hata kama CCM hawataki Lissu awe Rais iweje hata Madiwani na Wabunge wa upinzani hawatakiwi na vipenzi vya watu kwenye maeneo yao. Kama Watanzania wa vyama vyote tunalipa kodi za Serekali kwa nini maendeleo yatolewe kwa upendeleo. Kuna jambo gani limejificha wanataka kutufanyia Watanzania. Tusikubali kuchaguliwa viongozi kabisa. Wanataka Tanzania liwe koloni lao alafu mbaya kabisa Magufuli anatukosanisha na Majirani makusudi wasijue tunachofanyiwa ndani ya Tanzania. (kzbin.info/www/bejne/q2bTfY2haKhnrdU). Rais wa kwanza Tanzania kuwa na ubaguzi tumuogope kama UKOMA.
3M❤️ #thankyou #shorts
00:16
ウエスP -Mr Uekusa- Wes-P
Рет қаралды 15 МЛН
Incredible magic 🤯✨
00:53
America's Got Talent
Рет қаралды 72 МЛН
HOW DID HE WIN? 😱
00:33
Topper Guild
Рет қаралды 42 МЛН
That's how money comes into our family
00:14
Mamasoboliha
Рет қаралды 10 МЛН
MAMBO YA KUZINGATIA  NDANI YA CHUMBA CHA USAILI WA KAZI/JOB INTERVIEW
12:52
3M❤️ #thankyou #shorts
00:16
ウエスP -Mr Uekusa- Wes-P
Рет қаралды 15 МЛН