Jamaa mkweli sana. Hapo K9 kiumeni ni noma. Gari za tia maji tia maji usipeleke huko zinakula mzinga sana. Big up legendaryary.
@kuriaeric307322 күн бұрын
toka kenya hapa. nimepatana na video zake kule facebook. ikabidi nimemsaka huyu mzee. yeye ni true comedian
@abrahammichael642Ай бұрын
Huyu jamaa angepata nafasi CHEKA TU ingekuwa poa sana
@rehemakanyere418827 күн бұрын
Hahaha
@solomondanny-150726 күн бұрын
Duuuh
@salimmalaka25625 күн бұрын
BABA LEVO ALIMPELEKA KUANGALIA HIVI MAJUZI NDARO NA LEONRALDO
@nancyg866425 күн бұрын
@@salimmalaka256nadhani ni Leonardo sio Ronaldo
@salimmalaka25625 күн бұрын
@@nancyg8664 YES NDIE HUYO LEONARDO
@thetas0824 күн бұрын
Mpeni deal mzee mkongwe comedy mzuri bila kufikiria anajibu hapo kwa hapo mpeni matangazo anapendwa sana na pia anaburudisha sana Kilubwa kwake code zake kuziielewa big up mkongwe bondei in air
@Heyumjunior119Ай бұрын
Dah unyamaaa sana
@EmmanuelMachupa-st4zhАй бұрын
Nimekubali sana hiyo ya mahimahu ya nairobi na hiyo ya Nakuru kweli nihatari sanaaa
@patrickkarugu719929 күн бұрын
It's called Mai mahiu.
@asawoasawo51727 күн бұрын
Kweli
@eleven-in5qw25 күн бұрын
@@patrickkarugu7199😊
@dubabaxakatv299317 күн бұрын
Na mazeras balaa pia
@theresialumato2281Ай бұрын
Daah uyu mzee kiboko yaan nilikuwa nime vurugwa lakin nimejikuta nacheka
@harunichambo4658Ай бұрын
KO Mzee kakutoa mvurugo😂
@emmanuelalfred14029 күн бұрын
Baba levo mtafutie kipindi huyo ana faida katika fani ya uchekezaji na atatoa elimu katika udereva kwa njia ya comedy 😎😎😎😎🙏🏿🙏🏿🙏🏿👍
@aminathaabubakarmasoud56528 күн бұрын
Sure ❤
@bensonpaul367221 күн бұрын
Huyu jamaa kanikumbusha mbali sana,TULIKUWA STAFF 11, KUFIKA RUSUMO TUKASHTULIWA NA WATU WALIOKUWA WAKIPIGA KELELE WAKISEMA GARI INAUNGUA,kumbe ni Landcruiser yakwetu,wakati wa kushuka huo mlima ilishika break mpaka taili ikaanza kuwaka moto...
@raymondswed7358Ай бұрын
Huyu mzee fala san😂😂😂 Namkubali sana ana kipaji kikubwa sana😂😂😂
@Mu_ALI25423 күн бұрын
Wow, I love the conversation. Huyu Mzee is So experienced. Why not Make him an Officer In Truckers association. He will do a Good Job
@Kevworx29 күн бұрын
K9 balaa sana mzee hiyo unaelekea Kabanga sio mchezo ukishafika shuleni tu pale unaanza kuishuka ni hatari sana na hiyo ya rusumo inaitwa machinjioni nayo hailali na njaa mpaka gari ndogo zinakomaga hapo
@fabianmainchanyangachika501728 күн бұрын
Huyu jamaa ni comedy anafaa sana udereva alivamia
@ukhutfatumah115421 күн бұрын
😂😂😂Mb zangu zimeenda kihalali wallah nimejikuta nipo happy mwanzo wa interview mbk mwisho
@roseurio503Ай бұрын
Haki huyu mzee mpeeni kazi yaani kuchangamsha kipindi😂😂😂😂
@khamisomary7428Ай бұрын
Hio K9 asee nikweli ngara hio nibalaa asee😂😂 nilikutana na lori speed yake nisawa na mtoto anavyo tambaa
@HamidaHamisi-ej8kzАй бұрын
Rusumo machinjioni kiboko sana
@ramadhanurassa2410Ай бұрын
Mzee anaongea kwa code balaa eti ushuke na kaseja kama huna D 2 huwezi elewa
@kenrailzdutchman6359Күн бұрын
Bana hata sijaelewa . Kama kushuka na kaseja
@alisaadmohammed28 күн бұрын
Kongole sana dreva mkongwe
@sportskijiwe781Ай бұрын
Ebwaaaaa mzee epewe matangazo jaman apige mpunga kidogooo
@allahisone6386Ай бұрын
NDIOOOOOOO ALLAH AMRAHISISHIE ❤🎉
@octavianbaragwiha383628 күн бұрын
Huyuu dereva kweriii . . . K9 hatariiii Sana pia Kuna pale panaitwa machinjioniii
@ukuvukiland238728 күн бұрын
Huyo mzee kanivunja mbavu zangu na story za nyani wa kitonga.
@nakundwamkubwe7823Ай бұрын
Nimecheka 😅😅
@wycliffatambo36148 күн бұрын
Share dereva Mkongwe’s number we appreciate his mastery in storytelling aisee.
@user-ju3nm8oc1c27 күн бұрын
Daah! Huyu dereva mcheshi sana.
@georgehajji9790Ай бұрын
Duh!
@EddyRajab7 күн бұрын
He is a good story teller...though exaggerating at some point ...😂😂😂
@ngayaimkwe5175Ай бұрын
Daa mzee tunamkubali sasa sana
@mrpullover399117 күн бұрын
#Ngarayiwachu #homesweethome #Ngara Kagera tz dah mzeee katembea aseee mteremko unaanzia sehemu inaitwa #lukole Kuna high school hapo shule yangu...
@law93kingАй бұрын
daaaah aisee
@hamisindaro33023 күн бұрын
Hio salgaa ukweli huo mlima mwamba
@ScopionScopion-zj9cd29 күн бұрын
dereva nakubali sana
@emmanuelalfred14029 күн бұрын
Huyo mpeni kipindi cha usafiri na pia ni comedian 🎉❤😂
@user-zb9mf3us2wАй бұрын
madereva tujitokeze midia zitasaidia kupeleka changamoto za rod
@user-qo6qv6mc5pАй бұрын
Ule mlima wa tznia kuingia Burundi siopowa😊
@feliudmasimba625Ай бұрын
K NINE NOMA MZEE
@aminielimushi870928 күн бұрын
Aina mpya ya usanii TZ
@rajabhassan6966Ай бұрын
Mzee mpeni kipindi coz kipindi kimenoga mwanzo meisho
Lakin pia mteremko mkar upo burundi huo wenyewe ukianza kushuka ni unashuka km zaid ya 30 bugarama hiyo
@muhinabakali737727 күн бұрын
Nakubali dachi udevu
@maigajohn582822 күн бұрын
Huyu Mzee uwa namkubali sana inabidi aandike kitabu cha historia ili Sisi madereva chipukizi tuendelee kupata muendelezo
@mbaruksaid5775Ай бұрын
Namkubali sana huyu mzeee
@allahisone6386Ай бұрын
Me too 🎉❤
@kwizeralajoie361928 күн бұрын
Mkogwe umenikumbusha k9❤❤
@stevewanga957Күн бұрын
Achana na mugokaaa huo 😂😂 mzee anasema ukweli
@jumapiliissa4835Ай бұрын
😂😂 simchezo aisee
@HamidaHamisi-ej8kzАй бұрын
K9 kiumeeni kabisa tena kabisa
@hassanmatata9335Ай бұрын
Baba Levo leo umekutana na chizi kuliko wewe
@omarylugojo9970Ай бұрын
K9 naijua babu
@Khalidniya380Ай бұрын
Hiyo K9 naijua saana ni balaaa
@lukasjelamisanana6770Ай бұрын
Sawa lakin hiyo k9siyo Kama anavosema huyu mzee km 38 kweli labda kutoka Kona ya benako had ngara hapo sawa
@mwanaidimussa29 күн бұрын
@@lukasjelamisanana677038 ni nyingiiii sanaaa !!! Ila panaogopeshaaa jmb
@mwanaidimussa29 күн бұрын
Ken9 na loriiii😳 mbn hatariiiii !!!! Nimteremkooo mkal hatariiii
@kendwahamisi4903Ай бұрын
Lala nayo babu
@youseph-tz26 күн бұрын
Duuh nilichogundu kuwa madereva wengi wa gali ndogo hawazifahamu alama nyingi za barabaran mfano hapo baba leo swali alilo liuliza nimegundua kuwa angekutana na hiko kibango cha toxicna gia box asijejuwa nini kimemaanishwa
@innocentkimisha499325 күн бұрын
Ni kweli wengi hawafahamu. Lakini hapo kwenye kipindi lazima mtangazaji aulize kwa faida ya wasikilizaji na watazamaji wake. So ilikua lazima aulize fuvu na gearbox na 1 low vinamaanisha nini ili hata ambaye si dereva aelewe.
@kelvinmuuwo673320 күн бұрын
Any other Kenyan who saw his reel on facebook and came here looking for him Kwanza niko hiyo taxin anasema😂😂😂😂
@salomewandya7257Ай бұрын
Kumbe mjomba wa Muheza Hahaha
@user-wu9zh1hc3iАй бұрын
K9 nimepita jana balaa kwel
@mariamhamissi4428Ай бұрын
Noomaa sanaa😅
@dannymoses1882Ай бұрын
K9
@ashahussen553812 күн бұрын
Mwambie congo imebadilika saizi mkongwe kanyaka unaijua! Kwa mjeshi unapajuaa😢
@user-tk4tc6bv5g27 күн бұрын
K9 ni hatari sana
@user-ju3nm8oc1c27 күн бұрын
Hahaha, dah ! Anachekesha.
@steramwanakira7183Ай бұрын
Is soo funny
@mwitajoseph8315Ай бұрын
Ngara ata gari dogo kama halina nguvu utakesha
@celinaernst96528 күн бұрын
Yaani sijawahi kucomment .ila napenda kusema watu tunacheka tu huyu jamaa anavyotuchekesha ila watu wenye shule za driving wangemtumia huyu jamaa private kumfanyia mtu driving exam hawa madereva wa maroli hakuna kupita exam ya kuendesha maroli bila kufaulu mtihani huo watu wengi Tz wanatumia kufundisha tu utingo kesho anapewa roli . Hii ingesaidia madereva kuepuka pia ajali za barabarani. Nchi za wenzetu hakuna driving licence bila kupita exams kwa shule zilizodajiliwa siku ya exam kosa 1 tu la barabarani ukifanya na wasimamizi wa exam wakaliona utarudia Hakuna kupita hivi hivi. NA Maroli hayaruhusiwi kuovertake hovyo hovyo kisheria
@AllyMngoya-ov8fs28 күн бұрын
apewe nafasi uyo ataokoa jazz madereva awana bb wala mama mtz ana saman katika kazi yake
@zedekiahmagwega8044Ай бұрын
Mwanamke huyo yeye ANAWAZA HELA TU, kila muda yeye ni hela tu
@ntegamaherezovenuste3 күн бұрын
Jina nivenuste mimini munyarwanda nime ku frow na tiktok namimi ni oparet wamashin focke rifut nakupend san mung akubarikiwe
@starjay3052Ай бұрын
😁😁🤣🤣 burundu inaiona ile lakini upo tanzania 🇹🇿 bado dah 😁😁🤣🤣
@Kevworx29 күн бұрын
Kobero hapo hatari
@ernestmillinga711627 күн бұрын
Mate ya chumviii noma sana...usiombee aisee..
@Johansenjoshua1271Ай бұрын
😂😂 Ila mandevu
@husseinmwedi7125Ай бұрын
Baba nakubal San mkongwe
@patrickkilongo321429 күн бұрын
Kwan uyu mzee ni cimedian au 😅
@itanzaniaAS24 күн бұрын
LIFE EXPERIENCE
@user-um5uw9yo5qАй бұрын
Hapo kwenye k9 umetupiga inakilomita 9 tu Ila ni mporomoko mkali sana
@samidquiz6316Ай бұрын
Hiyo ni sifa ya fasihi simulizi inakuwa na chuku nyingi
@MarckyChollaАй бұрын
Kakosea wapi mbona hapo tunapajua wengi
@user-ul9df5ko2rАй бұрын
Si ndy k9 ww mbege
@Bruno4cusАй бұрын
K9 siyo kilometer 9 ni Kona 9 mzee
@namaraalexmbeikya149128 күн бұрын
Hata mm nimeshangaa Kutoka Benaco mpaka mjini Ngara ni 36Km halafu yeye anasema K9 ni 38Km 😂
@steramwanakira7183Ай бұрын
I laughed so much
@user-bl3rq8fj9u21 күн бұрын
Jamaa anakubalika sana ache udele anachekesha sana 😂😂
@charlesmwaipasi2884Ай бұрын
Mwamba namuona sana Morogoro
@EzekielKamanda20 күн бұрын
Anachekesha sana
@haridimnimbo737727 күн бұрын
Hapo kwenye kucha kutoka jasho! Kubababake😂
@youngweezy3846Ай бұрын
Nimecheka kifala😅😅😅😂
@MtessaAlly-rd4hf27 күн бұрын
Hayo makampuni matatu yaliyo tajwa halo na mzee dereva mkongwe wamuite wamlipe maana kawatangazia biashara.
@feliudmasimba625Ай бұрын
MKOKAA
@adenmohamed-ew8xw25 күн бұрын
Astaghfurulaah; mitume hawasaidii na Bilal hasaaidii bali Mungu husaidia; ni Mungu tu si binadam
@salomewandya7257Ай бұрын
Dah hatari
@davidchege32528 күн бұрын
😂😂😂lakini ndugu iyo kitu hailiwi na farasi Nairobi
@salimjumaa818025 күн бұрын
Ndio maana mombasa umepigwa marufuku huo mgukaa, unalemaza wa2 kwl kwl
@HamadiBwakame28 күн бұрын
Nisawa anasema Mongok a ukila unasema pekeyako unajikuna kichwa
@maulidiadamu6618Ай бұрын
Mkongwe
@nicolasaugustino844929 күн бұрын
Aisee 🤣
@HauleshabbyАй бұрын
Ha ha ha mzee namkubali sanaa
@josephmpunta266228 күн бұрын
Mzee wa hovyo
@fabianmainchanyangachika501728 күн бұрын
Mzee Sasa staafu
@VeredianaKalembi-gs4vs28 күн бұрын
K9 sio km 38 bwana tumepita huko acha uongo nimesomea ngara huo mlima naujua vizuri
@Kolongojr27 күн бұрын
Muongo Sana huyu mzee 😂😂
@abbassalum682410 күн бұрын
Huyu Jamaa ni mkongwe kama mim
@hassanshaban-cb1ebАй бұрын
Hapo mahimahu ni noma upande bonde Haina Ata mwisho
@jei_maimu695729 күн бұрын
Madereva malori wengi akili zao waanzijua wenyewe hasa maroli ya Mbao..careless kbs