Njia Ya Kufika HOLLYWOOD SIGN Huku USA | How To Get The Best View Of The Hollywood Sign- Huku Yues

  Рет қаралды 53,036

Jack Wa USA

Jack Wa USA

Күн бұрын

Пікірлер: 288
@jackwausa
@jackwausa Жыл бұрын
Please Subscribe pia kwenye hii channel yangu nyingine ili ujionee zaidi ⬇️ ⬇️ youtube.com/@Jackchalz
@theopistamluge4487
@theopistamluge4487 Жыл бұрын
Big up Brother 💪 tunapenda Sana hii kazi unafanya
@jrochuboy5802
@jrochuboy5802 Жыл бұрын
Tupe habari kaka japo wengine tufike marekani kwa macho
@bobstar2737
@bobstar2737 Жыл бұрын
Naomba unuambie kuusu maswali ma5 utakayoulizwa siku ukikanyaga airport ya marekani
@mohamadjaziry2247
@mohamadjaziry2247 Жыл бұрын
Mzee tupereke new youk tukapaonevzuri harafu itapendeza zaid kama ukiwa unatepereka hata maeneo ya wanayoish wasanii ata wanapopenda kutemberea ili tuinjoy zaid nakukubali mzee salute kwako god blss u
@robatenamacoma-326
@robatenamacoma-326 Жыл бұрын
Thanks a lot for showing us.sometimes we think negativitily, being in USA is everything solved
@medrickchris2653
@medrickchris2653 Жыл бұрын
Hongera sana ninapenda unavyojiamin utafikri uko chalize ...bigup HOMEBOY
@jackwausa
@jackwausa Жыл бұрын
Pamoja sana!
@calvinqatar4321
@calvinqatar4321 Жыл бұрын
TAking Tanzania to the international level, big up young
@eliakitungo8642
@eliakitungo8642 Жыл бұрын
Hongera sana kwa kazi nzuri kaka! Umenitoa tongotongo sana. My hope nitakanyaga USA kabla sijaonja mauti. Big up sana.
@AndreaPesambili
@AndreaPesambili Жыл бұрын
Big up upo vizuri kiongozi ILa nilitamani uelezee kuhusu apo
@misheckmisheck6350
@misheckmisheck6350 Жыл бұрын
Kazi nzuri,tembelea sokoni utuonyeshe wamachinga wakizungu
@jackwausa
@jackwausa Жыл бұрын
Next video coming soon!
@immanuelkamau1614
@immanuelkamau1614 Жыл бұрын
Kazi bomba Jack. Hapa kenya twafurahia video zako.
@all-africdesings5634
@all-africdesings5634 Жыл бұрын
Hio machine yako inasonga kweli kweli kazi safi ....niko Nairobi..hongera ....nafika huko hivi karibuni
@jackwausa
@jackwausa Жыл бұрын
Karibu sana
@AhmadMsafiri
@AhmadMsafiri Жыл бұрын
appreciate you buddy cause we feel like we are there
@ChoroTesla
@ChoroTesla Жыл бұрын
am glad kuona mtz ana Vlog yake mezoea wakenya tu lets goooooopp homie
@jackwausa
@jackwausa Жыл бұрын
Thanks and welcome to my channel!
@bryanmussa2508
@bryanmussa2508 Жыл бұрын
Uko vizuri very creativity we need more about UsA
@Vees12
@Vees12 Жыл бұрын
Content safi kabisaa....endelea kutusanua na maeneo ya huko....huku wengine tukiendelea kuomba Mungu tushinde green card lottery tufike huko
@jackwausa
@jackwausa Жыл бұрын
Mungu akufungulie milango ili upate ushindi. Hopefully utafika marekani pia!
@Vees12
@Vees12 Жыл бұрын
@@jackwausa Amen
@ibrackibrahim6909
@ibrackibrahim6909 Жыл бұрын
@@jackwausa bro je Wewe ahuji husishi n'a maswala yakusafirisha Watu ? Kama una uwakika Nitumiye Namba Kwenye email yangu
@francisnjuguna5168
@francisnjuguna5168 Жыл бұрын
Kudos Jack. Watching from Kenya .You are doing a good job. May God bless you
@dennismuna3681
@dennismuna3681 Жыл бұрын
I always watch your post, unatuonyesha jinsi ya kutembelea US kwenye maeneo muhimu ya kihistoria...big up bro!
@JeremiahJohn-p2w
@JeremiahJohn-p2w Жыл бұрын
Jack uko vizuri kutoonyeha marekani na Mitaa yake hongera sana
@amosmahona433
@amosmahona433 Жыл бұрын
Uko vizuri sana.tena sana aiseee kwa contents
@mbashaaston4278
@mbashaaston4278 Жыл бұрын
Habari kaka KAZI nzuri sana Nilikua na ushauli kidogo ningependa utuoneshe kazi zinazopatikana huko Kwa ulaisi ili kama unakuja unaweza piga ela za chap chap sana sana zile ambazo aziitaji elimu sana mfano ufundi mishe za mjini usafi . super market navitu kama hivyo unatengeneza bei Gani Kwa saa nazani ingewapa amasa watu wengi sana kufocre kuja kutafuta maisha uko ushauli wangu tuu
@kizomontana5918
@kizomontana5918 Жыл бұрын
Sure
@richardvalson4313
@richardvalson4313 Жыл бұрын
Kabisa
@voa5484
@voa5484 Жыл бұрын
Thanks for all things you show us, I'm from DRC
@princehancesam9892
@princehancesam9892 Жыл бұрын
Aliyesikia nyimbo ya DIAMONDI PLATNUMZ like tujuane
@pangrasitairo6029
@pangrasitairo6029 Жыл бұрын
Hongera sana well done i do enjoy ur videos. Tz one
@faridakinyaga8179
@faridakinyaga8179 Жыл бұрын
Aisee unaupiga mwingi well done brother
@chindemasoftware
@chindemasoftware Жыл бұрын
du! tulocheza GTA 5, ndo tunapata live zote, maaana humo mote ni mule mnamoonekana kwa GTA 5 love it
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 Жыл бұрын
Shukran unatupa uwelewa wa mambo ya nchi za wenzetu shukran
@tumainimchwa2773
@tumainimchwa2773 Жыл бұрын
Mmm!! Umechoka sana ila kuzuri kweli, japo umerudia njiani sababu huo umbali
@RobinJoas-kn3fz
@RobinJoas-kn3fz Жыл бұрын
Unyama mwingi kakaa tunakubali sana
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 Жыл бұрын
We jamaa ni noma sana
@adammartin4139
@adammartin4139 Жыл бұрын
Babu wewe ni noma,big up sana,keep up the good work mzee baba
@daktariwakienyeji
@daktariwakienyeji Жыл бұрын
Much love from Kenya
@samsonowalo
@samsonowalo Жыл бұрын
Jack namaindi pamba zako kwa sanaa
@winniemliwa9908
@winniemliwa9908 Жыл бұрын
You can be a good reporter..hongera aise.
@jackwausa
@jackwausa Жыл бұрын
Asante!
@johnkimulu4158
@johnkimulu4158 Жыл бұрын
Content safi sana. Watching from mombasa kenya.
@charlesmakelele4268
@charlesmakelele4268 Жыл бұрын
Ubarikiwe broo.
@katangaculturetravel680
@katangaculturetravel680 Жыл бұрын
Bro nakubali moto umewasha amerika
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 Жыл бұрын
Upo vizuri sana tumia na kiingerezam uuze kazi yako zaidi
@jeanbaek7607
@jeanbaek7607 Жыл бұрын
Acha uchawi kwenye lugha yetu, usimpotoshe kijana uenda anamtazamo na lugha yake kuliko wew, piga kazi jack noo mara waaaa, amekuwa barozi mzuri kwetu siku moja taifa litaitambua kazi yako na utapata kazi nzuri na hakika utalipwa sawa sawa na kazi kubwa unayoifanya
@georgembise7234
@georgembise7234 Жыл бұрын
Ok nimekupenda sana sana unabidii mungu akubariki
@jackwausa
@jackwausa Жыл бұрын
Amina!🙏🏾
@Elimishatv
@Elimishatv 5 ай бұрын
ok sawa kaka
@sintohayuma7281
@sintohayuma7281 Жыл бұрын
Very supper
@JonathanAlex-wr3ef
@JonathanAlex-wr3ef Жыл бұрын
umetish jak
@imranvaalvlogs2060
@imranvaalvlogs2060 Жыл бұрын
Vipi kaka kazi nzuri nakufuatilia toka Nairobi
@tplatnumz
@tplatnumz Жыл бұрын
Nakubali Nakubali Saaaana
@ayoubomary9336
@ayoubomary9336 Жыл бұрын
Salute baharia
@hamisitza5698
@hamisitza5698 Жыл бұрын
Talented
@ramadhanothman462
@ramadhanothman462 4 ай бұрын
uko vizuri na kazi yako
@fernandinyopogbafmj
@fernandinyopogbafmj Жыл бұрын
Jack wewe ni mtu bora kbs
@SwahiliTheTraveller
@SwahiliTheTraveller Жыл бұрын
Hongera sana Home boy 🇹🇿
@williammashinji2944
@williammashinji2944 Жыл бұрын
Nice
@Brendaa5438
@Brendaa5438 Жыл бұрын
This content has made me feel like looking for a visa to US.. Wow beautiful places
@jackwausa
@jackwausa Жыл бұрын
Welcome to the US!
@mgenikisinzah1564
@mgenikisinzah1564 Жыл бұрын
Kabisa kabisa yaaani lol @jack
@jonathansirkintungi3440
@jonathansirkintungi3440 Жыл бұрын
Well-done keep educating guy. God bless you
@Clecadkingtz12
@Clecadkingtz12 Жыл бұрын
​@@jackwausa what I can do to come there?
@jacobsadock3530
@jacobsadock3530 Жыл бұрын
I'm history teacher huku bongo, so unanipa content,madini yakutosha km nshafika kipande hicho
@exaverymwandabale6667
@exaverymwandabale6667 Жыл бұрын
Umetisha mkali
@kassimhashi49
@kassimhashi49 Жыл бұрын
Gud man
@mambomabula3545
@mambomabula3545 Жыл бұрын
Ok nimependa, but jaribu kuelezea kiundani background ya eneo husika na ni eneo maarufu kwa nn ili kuweza kumuelewesha mtu ambaye hajui au ni mara yake ya kwanza kusikia kwa mfano hapo Hollywood background yake ni nn ni maarufu kwann na kwann watu wanapenda kutembelea hapo, mi Mambo Mabula kutoka Tz asante sana nimependa sana video zako hasa ile ya homeless people wanaoishi marekani nilikuwa silijui hilo, good job.
@noahmgaya6687
@noahmgaya6687 Жыл бұрын
we noma hiv sahiz sangap brother
@richardscofeld9136
@richardscofeld9136 Жыл бұрын
Hapo nimeona kitu ambacho niliomba nionyeshwe,Hy nataka nione sas na show room za magari na bei yake pia Kwa sisi tunaotaka kuja huko tusisumbuke jinsi ya kununua gari,alaf kama unayajua hata maswala ya green card,uwe unatengeneza video zake uta grow sana
@Goalscorer12
@Goalscorer12 Жыл бұрын
Lit sana
@JonathanAlex-wr3ef
@JonathanAlex-wr3ef Жыл бұрын
Noma Sana kaka wemtu mmbayaa Sana kak nakuku bali😅😅😅😅😅
@abduliraimmushi2224
@abduliraimmushi2224 Жыл бұрын
Brother Watanzania Wote Tunakupa bigp uko vizuriy
@jackwausa
@jackwausa Жыл бұрын
🙏🏾
@franklukazula
@franklukazula Жыл бұрын
Love ❤️ from MALAWI 🇲🇼
@thehustlerafrica4368
@thehustlerafrica4368 Жыл бұрын
Safi sana
@nassorowaziri3076
@nassorowaziri3076 Жыл бұрын
Ebwana Hongera Sana Kwa kazi kubwa unayofanya Big up Sana kwani uko muwazi na bila kinyongo
@jackwausa
@jackwausa Жыл бұрын
Pamoja sana!
@RamadhanHashimu-qq1xy
@RamadhanHashimu-qq1xy Жыл бұрын
Nimeipenda sana life style yako mwamba
@malkavoice2570
@malkavoice2570 Жыл бұрын
Naisikia My babe kwa mbaali
@alainndindimaamuri8459
@alainndindimaamuri8459 Жыл бұрын
Shukrani Sana ndugu
@chemchemstation4754
@chemchemstation4754 Жыл бұрын
Namskia mond hapoo daah anawakilisha
@Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
@Dj_anaetumia_kanda_AloyceG Жыл бұрын
Good sanaaaaa me nilijua uko Hollywood ni Movie to 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@emanuelicalvinkipokola6640
@emanuelicalvinkipokola6640 Жыл бұрын
I all most love you video soo much but my driming to be they
@collinskhaemba7525
@collinskhaemba7525 Жыл бұрын
Good job broh. Keep going.
@dismotv7176
@dismotv7176 Жыл бұрын
Naisikia nyimbo ya mond
@officialaftab8760
@officialaftab8760 Жыл бұрын
Ok bro tutawasiliana
@deveralymgaya978
@deveralymgaya978 Жыл бұрын
Uko vzr
@ibrashani8012
@ibrashani8012 Жыл бұрын
Much respect bro
@kasalaraphael4029
@kasalaraphael4029 Жыл бұрын
Kaka nimependa sana kitu unachofanya endelea kutupatia mwendelezo wa Halisi wa life style ya marekani
@FreeGod368
@FreeGod368 Жыл бұрын
We jamaa una create content kwa ubunifu na swags nyingi af zinapata quick response sjui akunt ikikolea itakuaje
@jackwausa
@jackwausa Жыл бұрын
Asante sana. Hopefully watu wataendelea kusupport zaidi!
@FreeGod368
@FreeGod368 Жыл бұрын
@@jackwausa sure🙏
@lirastanley390
@lirastanley390 Жыл бұрын
Already told him kwamba atafika mbali sana yani ngoja tu apate matukio mawil matatu makubwa yan atapiga viewers million +
@Goalscorer12
@Goalscorer12 Жыл бұрын
Noma yan juz tu nmesabscribe tulikua 400 leo 4k aisee😂🙌👏👏👏👏kazi nzuri inaonekana aisee😀
@FreeGod368
@FreeGod368 Жыл бұрын
@@Goalscorer12 🤣🤣🤣jamaa ana nyota ya chips mayai
@halima23862
@halima23862 Жыл бұрын
Your video so clear
@jackwausa
@jackwausa Жыл бұрын
Thanks!
@ernestmasanja4641
@ernestmasanja4641 Жыл бұрын
From tz..kazi nzuri sana
@ElikanaKiheka
@ElikanaKiheka 4 ай бұрын
Hongera sana @mwanza
@magretmoraa3468
@magretmoraa3468 Жыл бұрын
Love your work bro
@hemedisafari4599
@hemedisafari4599 Жыл бұрын
Nakubali mwana naisi Kama nipo uko
@oscaroscar2555
@oscaroscar2555 Жыл бұрын
Big up kaka nakuelewa mungu akulinde tu our reporter🙏🙏🙏🙏
@mgenikisinzah1564
@mgenikisinzah1564 Жыл бұрын
Milard Ayo wa USA
@zawadisisto8188
@zawadisisto8188 Жыл бұрын
Tunashukuru sana
@officialkalengotalent2014
@officialkalengotalent2014 Жыл бұрын
Endelea kutusanua kaka kaz nzuri
@Bachubazonlinetv
@Bachubazonlinetv Жыл бұрын
Safi sana kaka contents zako ziko powa sana
@japharykigoda5895
@japharykigoda5895 Жыл бұрын
Twende SASA tukajifunze .... Kuna vingi nimevijua baada ya kufuatilia mtiririko WA video zako Jack
@jackwausa
@jackwausa Жыл бұрын
Nimefurahi kusikia hivo
@nolanraphael8502
@nolanraphael8502 Жыл бұрын
Ata,mm aiseee kumbe nasi tupo tupoo tu
@mochamabrian7
@mochamabrian7 Жыл бұрын
KAZI nzuri bro.... Alafu unatumia camera Gani?
@jackwausa
@jackwausa Жыл бұрын
Natumia GoPro Hero10
@novatinive3448
@novatinive3448 Жыл бұрын
Duuuuu Yani umefika 7k hajabu Dana nilianza na hii KZbin tangy mwanzo sikutegemea congratulations bro. Tz Moja.
@jackwausa
@jackwausa Жыл бұрын
Asante sana kwa support! Mungu azidi kuwabariki!🙏🏾
@joleal7941
@joleal7941 Жыл бұрын
Napenda video zako kaka
@tophitske2181
@tophitske2181 Жыл бұрын
CANT WAIT TO COME THERE
@jackwausa
@jackwausa Жыл бұрын
Welcome to LA
@neemareuben311
@neemareuben311 Жыл бұрын
Waooooooo
@KilengaJoseph
@KilengaJoseph Жыл бұрын
Mwamba we vloga mkali nipeipenda hii vidio❤
@lidyakisota10
@lidyakisota10 Жыл бұрын
Natumaini sijachelewa kujiunga ni hii chanel😊 ....natarajia kujifunza vingi Asante😅🇹🇿
@standardtv3494
@standardtv3494 Жыл бұрын
Jack nimependa hapo kwenye Hollywood sign baba sio mchezo
@kelvinramson2164
@kelvinramson2164 Жыл бұрын
Safi sana kiongozi ufike mbali
@Brendaa5438
@Brendaa5438 Жыл бұрын
I love Hollywood sign
@officiallugano8991
@officiallugano8991 Жыл бұрын
Thank you bro I appreciate your job
@jackwausa
@jackwausa Жыл бұрын
It's my pleasure!
@heryymlelwa7224
@heryymlelwa7224 Жыл бұрын
@@jackwausa màmbo vpi kàka
@heryymlelwa7224
@heryymlelwa7224 Жыл бұрын
@@jackwausa naitwa heryy
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 Жыл бұрын
Hongera jack kwa kutufundisha maisha ya u.s.a
@husseinlatifa1443
@husseinlatifa1443 Жыл бұрын
Bro, Am your number 1 fan
@jackwausa
@jackwausa Жыл бұрын
Thank you and welcome to my channel!
@gayanimwansasu
@gayanimwansasu Жыл бұрын
Vizuri sana
@vandeesup7942
@vandeesup7942 Жыл бұрын
Umenitembeza Los angels nikiwa zangu kitandani
@sayozmediatv6021
@sayozmediatv6021 Жыл бұрын
We jamaa ni Mbunifu sana napenda unachokifanya
Mtaa wa Matajiri na Watu Maarufu Tu- BEL-AIR, Los Angeles
16:17
Jack Wa USA
Рет қаралды 54 М.
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
火影忍者一家
Рет қаралды 127 МЛН
MY HEIGHT vs MrBEAST CREW 🙈📏
00:22
Celine Dept
Рет қаралды 46 МЛН
怎么能插队呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:12
火影忍者一家
Рет қаралды 16 МЛН
Viral Video of a Man's Crazy Job Interview
16:02
Darryl Vega TV
Рет қаралды 1,4 МЛН
50 Best Places to Visit in the USA - Travel Video
56:50
touropia
Рет қаралды 6 МЛН
Maisha ya Marekani: Kukaa ndani, Upweke, Nyumba, Magari nk
12:22
EBM SWAHILI
Рет қаралды 408 М.
MISSION IMPOSSIBLE [55]
23:58
CHADO MASTA FILMS
Рет қаралды 111 М.