Naomba namba ya huyu mfugaji ili anielimeshe zaidi hata mimi ni mfugaji wa nyuki
@charlestafsiri9846 Жыл бұрын
namba
@nkubhagana-nafco5477 Жыл бұрын
Nimevutiwa sana na manzuki yenu, hongereni sana, ila swali yangu ni kutaka kujua hiyo pumba ni chakula ya nyuki au malighafi ya kutengeneza chakula ya nyuki, halafu unamzuia nyuki asitoke kwenye mzinga au asihame, pia kwa uelewa wangu mdogo nyuki huchakata asali kwa kutokana na nekta, je pumba hizo pia humuwezesha nyuki kuchakata asali?
@albeez18445 жыл бұрын
bg up
@johnmsalluka75303 жыл бұрын
Habari napenda kujifunza ufugaji wa nyuki elimu naipata wapi?
@ndetitave4662 ай бұрын
Tunaomba namba yake
@4theloveofbees5 жыл бұрын
Chakula gani hio mnalisha?
@MrSidi19704 жыл бұрын
Pumba
@martinmayende18973 жыл бұрын
@@MrSidi1970 Pumba hutoka kwa kitu gani? Naulizia kutoka Kenya
@mangichomola6033 жыл бұрын
@@martinmayende1897 nafaka(cereals) ikitolewa maganda, sasa ile dust yake ndiyo pumba. Na hiyo hapo ni ya mahindi