Mungu awabariki katika huduma ya kumtumikia...Njozi inahitaji uvumilivu....Bado ninakungoja Yesu..
@emmanuelmungatta79284 жыл бұрын
Amen...
@happymwambungu23414 жыл бұрын
Nawakubari Sana mnanibariki
@rechosteven92442 жыл бұрын
Mungu awabariki sn kwa kazi nzuri msirudi nyuma Mungu azidi kuwainua utukufu hadi utukufu
@josephmgalula83322 жыл бұрын
Wimbo mzuri saana
@Dmsiris5 Жыл бұрын
Wale wa 2023 listening to this Powerful Song Hands Up🙌🇹🇿
@soplisjoachim58843 жыл бұрын
Mungu awabariki kwa kazi nzuri ya kristo
@thadeosadock51123 жыл бұрын
Mungu wa mbingu na nchi azidi kuwakweza hatua kwa hatua Utukufu hadi utukufu Nawapenda namuona na mwalimu wa chadulu dodoma
@sophiarodgers78454 жыл бұрын
Nipe uvumilivu moyoni, Hakika bado ninakungoja Yesu, wimbo mzuri sana mbarikiwe watu wa Mungu nawapenda sana
@estermwandiga17434 жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏 byimbo nzuri sana 🙏🙏😀😀
@rehemaissae3 ай бұрын
Ninakungoja Yesu bado, NINAKUAMINI bado
@catherine98782 жыл бұрын
2022 bado tunaendelea kubarikiwa
@noelmani6853 жыл бұрын
Management ya kwaya bado ipo vizuri
@obadiambilinyi27 Жыл бұрын
Kwaya Bora, endeleeni kufanya kazi ya MUNGU, malipo yenu ni makubwa kuliko mnavyofikiri, Endeleeni kuvaa kwa stara ndipo heshima itabaki milele
@mutambukimusayohana37063 жыл бұрын
Upako juu ya Upako, ❤️❤️❤️
@benardmwakisunga74644 жыл бұрын
Hiyo nyimbo mumenifanya niisikilize muda wote ofisini. Kwaya bado iko vizuri sana, mwenyezi Mungu awabariki sana.
@sarahyateri579910 күн бұрын
Mungu. awabaariki wimbo mzuri sana
@emanuelmoshi74144 жыл бұрын
Tumaini kwaya...sijui kama mnaelewa upako mliobeba... Mungu afungue macho yenu.. The song is so glorious...full upako.. Hamna mbwembwe za kurukaruka mpaka jasho lakini upako unatoa machozi wasikilizaji
@emanuelmoshi74144 жыл бұрын
Amina Mungu awape unyenyekevu sana na kuzidi pia...
@josephmwazonga82754 ай бұрын
Hii nayo...🙆🙆 M barikiwe tu.. maono yangu hata yakikawia yatatimia tu.... Mwapatikana wapi?
@georgedinda74003 жыл бұрын
M'BARIKIWE SANA WANA TUMAINI KWAYA.
@kyandokinyoka1471 Жыл бұрын
SHabiki wenu namba MOJA love you guys❤️❤️❤️
@ErickJames-e9sАй бұрын
Tumaini shangilieni the proud of Anglican church Mungu awabariki sana
@rosemranja11234 жыл бұрын
Mungu aibariki huduma yenu 🙏
@sabunichristy88774 жыл бұрын
Mungu awabariki huwa nabarikiwa na tungo za nyimbo zenu maaana nimekuwa mdau nyimbo zenu tangu nilipo wafahamu mwaka 1999 nilipo kuwa Moshi na nilipokuwa chuoni Arusha nilikuwa sikosi kila mlipokuwa mkiimba kanisani hata matamsha ya ukwata Mungu awabariki,Mtumishi Samwel kusamba na familia ya akina John wapigaji vyombo kinanda,bass gita 🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤
@agnessanga9228 Жыл бұрын
Nawapenda mno mno ,Bado nakungoja YESU ❤️❤️💯💯💯💯
@lilianathanasius97742 жыл бұрын
Baaadooooo ninakungoja Yesu Nipe uvumilivu moyoniiiii Ijapokawia itatimiaaaa tuuuu
@issakasanguti2727 Жыл бұрын
Mbarikiwe Wapendwa Mungu Awatie Nguvu,uwa nanunua bando Kwa ajir ya huu wimbo
@braitonmaiko90942 жыл бұрын
me naitwa maiko kutoka dodom tanzania nimeaza kuwafatilia mda sana napenda sana nyimbo zenu na pia nawapenda na nyie pia MUNGU awabariki sana tumain kwaya ya arusha MUNGU awajaze ubunifu mwingine tena
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Tunashukuru sana kwa maombi yako Maiko; Nasi tunakuombea Mungu aendelee kukubariki sana.
@flanomambo85394 жыл бұрын
Ninyi ni kwaya bora katika kumwabudu Mungu na kupeleka injili kwa njia ya uimbaji. Siku zote nimeona mkidhabiti ubora wa uimbaji wenu tangu album ya Duniani shangilieni 94 jama sijakosea. Mnastaajabisha kuona wanawake wote mnasolo,wanaume wengi wanasolo, wacheza vyombo wengi mno yaani mmeondokana na kiburi cha utegemezi kwa mtu mmoja. Hakika mmebarikiwa na Kwaya hii itafikisha hata karne kadhaa
@emanuelndembeka69593 жыл бұрын
Dunia shangilieni ilikuwa kabla ya mwaka 1994
@iamlujo8984 жыл бұрын
Mungu awabariki nyimbo zenu muimbe kutukuza mungu tumaini shagilieni choir
@StephanoMwakalinga Жыл бұрын
Ninajambolangu kwa Mungu bado nangaoja asanteni watumish kunitia moyo
@victoriasanga16474 жыл бұрын
Nmefarijika kuwaona tena wote nami nasema bado nakungoja yesu nawapenda Sana tumaini kwaya
@sarahyateri579910 күн бұрын
Nawapenda sana wapendwa wa mungu nitakuja kuwasabahi hapo Arusha mungu akkipenda
@hawamsabaha53564 жыл бұрын
Toka nikiwa Mdogo sana nawasikia mnaimba katika utukufu uliotukuka sana mbarikiwe
@daudimhoha50504 жыл бұрын
Mbarikiwe. Kwawimbo. Huu.mzuri
@neemasarwatt1030 Жыл бұрын
Naupenda sana huu wimbo, karibuni tena KKKT Kimara
@rehemaissae3 ай бұрын
Yaani nimewamiss kama waje tena Kimara
@HellenKaaya-mk6yd5 ай бұрын
Me Ata muimbee kilugha sisahau nyimbonza Hii kwaya
@HellenKaaya-mk6yd5 ай бұрын
Nawapenda Mungu awatunze 🙏🏽❤️🙌🏽
@TumainiShangilieniChoir5 ай бұрын
Amen Amen
@obadiambilinyi27 Жыл бұрын
Wimbo mzuri sanaaaa, mavazi ya stara. Hii ndio kuilinda Imani.
@rozymichael76093 жыл бұрын
Nawapenda sana
@mdubashella29133 жыл бұрын
Nimekuwa mateka wa Tumaini shangilieni, nawapenda sana Mungu mwenyewe anajua. Muendelee kubarikiwa maana moyo wangu unabarikiwa sana na nyimbo zenu
@TumainiShangilieniChoir3 жыл бұрын
Mungu akutunze na kukuonekania sana ndugu na rafiki yetu.
@josephinemagadula19204 жыл бұрын
Hakika Mungu awabariki sana na ninabarikiwa sana na nyimbo zenu
@noellema91444 жыл бұрын
Jina lenu linasadifu mnayoimba hakika...since end of 90's.....TUMAINI SHANGILIENI... Nyimbo zenu zinatukumbusha Tumaini letu ni Kristo Yesu kila wakati hata tupitiapo magumu. Mungu aendelea kuwainulia vipawa na karama utunzi wenu uwe bora zaidi.
@samwelferdinand59584 жыл бұрын
huu wimbo unanihudumia sana
@daudimhoha8943 жыл бұрын
Mbarikiwe.watumishi.wa.Bwana.yesu.kazi.ni.nzuri♥️
@TumainiShangilieniChoir3 жыл бұрын
Amen Amen, Mungu akubariki pia.
@favouropande10654 жыл бұрын
My song for the week. Nimeona mama soloist kwa row ya pili. I love this timely song basi tuisukumee na kuisikiza hii nyimbo kabisa wapendwa.....Mungu awazidishie marudufu. Bado nakungoja Yesu...Huchelewi wala hubahatishi...Nakungoja Yesu wangu
@favouropande10654 жыл бұрын
who is still listening to this on 11th May 2020? Bado nikungoja Yesu... wala sita choka
@lukindohiza64564 жыл бұрын
Ni raha sana kuwa na njozi na hasa Bwana Mungu anapoifanya real katika ulimwengu wa Nyama na damu. No words that can qualify the beauty of this song. Habakuki 2:2-3
@aiyasageo25724 жыл бұрын
MMMM wana Tumaini Shinyanga Mungu awabariki kwa wimbo huu mtamu ulio pangwa ukapangika.
@eliazephania76334 жыл бұрын
Watumishi ikimpendeza mungu nitakuja kusali nanyi Apo kanisani kwenu mwezi wa 9 Mara ya mwisho kuona kazi yenu mwaka 1999 Niko mwanza
@jessicamasepo8320 Жыл бұрын
Ninawapenda sana,Tumaini choir nyimbo zenu ni baraka kwangu,mbarikiwe
@kasangagregory57474 жыл бұрын
nidhamu, unyenyekevu, upendo, kiu na hamu ya kumtumikia Mungu kwa hakika naione kwenu tumaini kwaya ( Mungu aendelee kuwainua zaidi na zaidi na kuwafungulia milango iliyo mbele ) nawapenda sana.
@liberatasimon3 жыл бұрын
Leo nmeanza na huu wimbo ase since morning nmeusikiliza kama mara 4 hiv asubuhi hiii tu ..Mungu awabariki sana kwa kuimba nyimbo zenye nguvu. BADO NINAKUNGOJA BWANA njozi yangu lazima itimie..Mungu si mwanadamu aseme uongo ahadi zake ni za kweli ...
@TumainiShangilieniChoir3 жыл бұрын
Mungu aemdelee kukugusa na kukusogeza zaidi rafiki na moendwa wetu. Blessings
@GilesJacksonNyavula3 ай бұрын
uSHUHUDA NI MENGI KUHUSU NJONZI... MBARIKIWE
@allanaugustine3034 жыл бұрын
Mbarikiwe sana Tumaini Choir.... Nimekuwa nikikua na kuishi Kiimani tangu Enzi za Shangilieni. MUNGU awabariki...
@neemamabele84514 жыл бұрын
Ahadi zake ni kweli na amini kwa kweli neno lake halirudi bure mpaka litimizwe
@gracephilemon7472 Жыл бұрын
Wow❤ nmefurah kuwaona na wale waimbaj wa shangilieni ya zaman kuna mama ana dimpos kwny maiki apo doooh 😊you guys made my day❤❤❤❤❤
@emmanuelsamson47494 жыл бұрын
Moja ya Kwaya bora Afrika Mashariki na kati... hamjawahi kuniangusha ktk nyimbo zenu toka album ya Mwana Mpotevu, Unishike,
@floramalosha29254 жыл бұрын
Mungu awabariki sana uimbaji wenu ni mzuri na msg mnayoitoa inasikika vizuri
@JanethElifurahaАй бұрын
Napenda sana nyimbo zenubarikiwe
@dorcaslor21663 жыл бұрын
Hallelujah amen amen
@mwambantwa1874 жыл бұрын
sasa naona amani kuendelea kumngoja YESU KRISTO kwa kutokuchoka kuomba, mmenipa haja ya moyo wapendwa wana wa JEHOVA. Nawapenda bureeeeeee, mbarikiwe na familia zenu
@jacklineogoye83054 жыл бұрын
Mungu nimwema unatiya faraja sana akika niujumbe mzur sana
@mwambantwa1874 жыл бұрын
@@TumainiShangilieniChoir amen
@walawioutreach40554 жыл бұрын
big up.
@jeddyaudio73584 жыл бұрын
Kwaya festival hhaha kumbe mliunga safi
@blandinachitallah63114 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana,vyombo vimetulia na mmpendeza sana..Mungu awabariki sana.
@sarahyateri67944 жыл бұрын
Mmependeza Sana Na muziki uko vizuri pia sauti zimetulia vizuri mbarikiwe sana
@nicholouskuyava8440 Жыл бұрын
Aaaah! Sio mchezo songi hili linakonga moyo. Ninaenda Church huku naamini BWANA ANA AHADI ZA KWELI NA AMIN. ATANISAIDIA. YEYE SI MWANADAMU. HONGERENI WAIMBAJI
@SwebeMwanyilu3 ай бұрын
Wazeee wakutokupoa ahahahaaà ongereni Sana miamba ya uimbaji mko vzr Sana ongggereni
@EDDAKALUWA-dd2nl Жыл бұрын
Ninabarikiwa ninaposikiliza nyimbo za Tumani-Shangilieni Choir. Mungu azidi kuwabariki mnapoendelea kubariki watu wake na kuokoa wengine kwa nyimbo.
@faithmbise93882 жыл бұрын
Nipe uvumilie moyoni Mungu wangu ninapokungojea nisikukose Mungu Wangu
@patrickmwangi474 жыл бұрын
Nyimbo zeno wana Shangilia zatubariki kweli. Naskiza nikiwa Nairobi, Kenya.
@TumainiShangilieniChoir3 жыл бұрын
Much love to you brethren
@agneshassan47122 жыл бұрын
Mungu awabariki sana
@gracejulius50004 жыл бұрын
Ahadi za MUNGU ni kweli na Amin,mbarikiwe
@ombeninassary74284 жыл бұрын
Sauti za kuvutia ninakungoja Yesu
@davidmoyo35933 жыл бұрын
Tunangoja hizo nyimbo zingine
@ipyanakabuje94293 жыл бұрын
Amina,,!bado namgoja YESU
@lilianlaizer90674 жыл бұрын
Sijawai kuacha kuwapenda 😘😘😘😘
@agnesmwangama25534 жыл бұрын
Uimbaji wenu unanibariki mno.
@ecabelmwai34744 жыл бұрын
Sauti zinasikika vzr yaani best live recording ever nasikia ya 1 mpka ya4 vyomba maridhawa sio kama madebe endeleeni kumtumikia Jehova me shabiki yenu toka nikiwa mdg naomba mrudie zile nyimbo kwa vyombo hvi zitabamba mnooooooooooo🔥🔥🔥
@benardkisangi14964 жыл бұрын
@@TumainiShangilieniChoir Jesus is Lord
@اهلاوسهلا-ص3ف4 жыл бұрын
Annet
@اهلاوسهلا-ص3ف4 жыл бұрын
@@TumainiShangilieniChoir annet
@اهلاوسهلا-ص3ف4 жыл бұрын
@@TumainiShangilieniChoir rehema
@hmphrymz23564 жыл бұрын
N Cs
@justinleveran61373 жыл бұрын
Wonderful song ....natamani kumtumikia Mungu nanyi katika uimbaji
@fredrickmtangoo50713 жыл бұрын
Karibu sana
@vickymgonja17923 жыл бұрын
Mmebarikiwa sansana ..nabarikiwa na nyimbo zenuu
@neemamabele84514 жыл бұрын
Hatimaye yaani duh nahisi kuwepo hapo karibu 🤣🤣🤣🤣Hallelulay
@faithmbise93882 жыл бұрын
Bado ninakungoja Yesu
@salamafuraha78214 жыл бұрын
Hakikaaa nabarikiwa Sana na pia ninainuliwa Sana kiimani kila ninapousikiliza huu wimbo Barikiweni mnooo waimbaji, Mungu wa mbinguni asiwaache Amina
@veronicascottmollel78974 жыл бұрын
Bado ninakungoja Yesu !!!!!
@neemasarwatt10304 жыл бұрын
Hongerani sana,mmetubariki mno KKKT Kimara, asantee sana kwa ujio wenu,baraka za Mungu ziwe juu ya maisha yenu,mwimbo mzuri sana.
@abrahammatahayo59174 жыл бұрын
Ndugu zangu kweli mnajua kuimba nawafuatilia toka mwaka 1992 album ya shangilieni kazeni buti Yesu Yu karibu
@BerthaSambwe Жыл бұрын
Bado ninakungoja yesu asante sana
@doctorzero-dj5xg4 жыл бұрын
Bwana awape neema tele ,na barikiwa nanyi
@imanijoshua52772 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana sana.. Sjui ntapataje huu wimbo jamani
@ephraimwaiton11644 жыл бұрын
My best choir of all time you are the best Endeleeni kumtumikia Kristo Yesu kwa huduma yenu mnawavuta wengi kwa mwokozi wetu Yesu Kristo
@happycharles31534 жыл бұрын
Wimbo wang wa kunipa nguvu kipindi majaribu ninayopitia baaadooo ninakusubiri yesu amen
@kiangoneema29794 жыл бұрын
AMEN!!! Haleluya bado ninakungoja YESU
@Nyamubi614 жыл бұрын
Naisubiri kwa hamu USB flash yangu!!!!!! Mbarikiwe sana Shangilieni Tumaini Choir.
@Nyamubi614 жыл бұрын
Mimi na familia yangu tunawaombea Tumaini Shangilieni Choir safari njema. Mwenyezi Mungu awatangulie na awe ndiye Kiongozi wa safari.
@patriciahussein22913 жыл бұрын
Mungu awabariki sana kwa ujumbe huu mnaoutoa kwa nyimbo
@queenalex50694 жыл бұрын
Old is Gold..Mungu awabariki zaidi
@petersugilo16454 жыл бұрын
Baraka za Mungu ziwe pamoja nanyi katika huduma ya Bwana popote mliko mbarikiwe.
Aisee mnajuwa kuimba ,mpo wengi mmependeza ,mnaonyesha ushirikiano wa kiuimbaji ,mnanibariki sanaa Tumaini nina miaka 55sijaona kwaya kama hiii.tupeni siri ya mafanikio
@pettymgabo62344 жыл бұрын
Yesu wa mbingun awabark
@joycebaraka71324 жыл бұрын
Yaan amna mbwembwe hadi rahaaa barikiwa sanaaaaa
@faithchibululu18924 жыл бұрын
Hatari wimbo mzuri saaana,bado nakungoja Yesu,Mungu awabariki
@brightngoyi1282 жыл бұрын
Merci avec ce chason
@solomonkibona30453 жыл бұрын
Amina. Nawaombea Mungu azidi kuwaweka pamoja na kuwainua kwenye huduma hii njema sana.
@sarahsamwely1084 жыл бұрын
Bado nakungoja Yesu nice song
@maranathaanglicanchoirkoro22714 жыл бұрын
Hata sisi kwaya ya Maranatha- Korogwe TTC- TANGA(Anglikana), tunamngoja bwana, Pokeeni salamu zetu za upendo kutoka kwa Marafiki zenu, Tunawapenda sana
@samilandoo4 жыл бұрын
Asanteni sana
@maranathaanglicanchoirkoro22714 жыл бұрын
@@samilandoo Amen, karibu utembele ukurasa wetu usisahau kusubscribe
@soomoche4 жыл бұрын
Tumaini kwaya, wimbo wenu huu toka kitabu cha nabii Habakuki 2:3 huwa unanipa tumaini kila mara niusikilizapo. Mbarikiwe sana na atukuzwe Mungu kwa ajili ya utume huo aliouweka ndani yenu.
@lucylesilwa51364 жыл бұрын
Nymbo nzr jmn
@robertmodestmushema12974 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana. Vyombo vimepangiliwa vizuri vinapeana nafasi na waimbaji wamejaa vilivyo. uchezaji wa kistaarabu na sare zimewakaa vizuri. Hongereni sana kwa kazi hii kubwa.
@montekilamlya23474 жыл бұрын
Nipe uvumilivu ninapoingojea njozi hii!!sichoki kurudia nyimbo hii Mbarikiwe watumishi Mzee wangu anaishi Mufindi alipokuja Arusha alitafuta kanisa mpk akaabu awaone tu Mbarikiwe Gari yake audio n za Tumaini tu🔥🔥🔥
@aicdaressalaamchoir4 жыл бұрын
Mbarikiwe sana watumishi..kazi njema Jehova azidi kutukuzwa..
@aicdaressalaamchoir4 жыл бұрын
Amen..Asifiwe Yesu
@manjekaboniphace72934 жыл бұрын
My favorite choir hamjawai kukosea . Mzidi kubarikiwa . This one is lit 🔥