Рет қаралды 2,634
Katika siku hii ya tatu ya Semina tulikuwa na maombezi mazuri sana kwa ajili ya mipaka iliyowekwa kwenye familia/koo tulizotoka na hakika tulimuona Mungu akiwafungua watu kwa ukubwa sana.
Hakuna umbali katika ulimwengu wa roho, kinachohitajika ni Imani yako tu..kama nawe kuna changamoto za mipaka kwenye familia/ukoo uliotoka unavyojiungamanisha na maombezi haya pia Mungu akakufungue wewe na ukoo wako!