Congratulation my sister good inspiration for other dadaz in town instead ov depending for men
@zainabual_tz56235 жыл бұрын
Wema ana roho nzuri sana jaman 😍😍👌🏽
@abubakaryalmas76735 жыл бұрын
Kabisa bint wawatu
@ahmedothman87655 жыл бұрын
Roho zuru kwenye vya watu mbona yeye ajafanya vyake
@zainabual_tz56235 жыл бұрын
@@ahmedothman8765 we fala kwel una taka afanye dunia nzima??
@shanimwakipesile33415 жыл бұрын
Waoooo wanawake tunaweza congratulations aunt
@azzamahamdu70394 жыл бұрын
Duh hii fire kulko ya irene uwoya.hongera aunt
@angelsylvester47955 жыл бұрын
Aunt umetisha mbaya many hongera sana💪💪
@aminahasan35645 жыл бұрын
Nimependa sana hiyo kitu...ni hatua kubwa sana....In Shaa Allah nitafanya na mimi ipo siku
@tabithanjeri4935 жыл бұрын
Congratulations Auntie Ezekiel Wema nakupenda sana
@evelynmon94235 жыл бұрын
Yaan wasanii wetu hakika wamekua sasa hivi yaan wanashindana vitu vya maendeleo sasa hivi vinavyoonekana sio zamani walikuwa wanashindana kubadilisha wanaume big up kwenu nawapenda wote mliofungua miradi mikubwa @uwoya @shilole @wolper @auntezekiel 😘😘😘
@azzaalsalty48065 жыл бұрын
Kweni wewe unahisi kuendelea ndo kufungua biashara za ulevi...mnazidi kupoteza watu
@priscaandrew5545 жыл бұрын
Safii sana, ndio maendeleo yanayotakiwa hayo
@aminaomary55672 жыл бұрын
Ongera sana Aunt,nimeiona juzi.
@binthawa29735 жыл бұрын
Wema na aunt ni marafiki zaidi ya ndugu
@hellenkalambo7375 жыл бұрын
Safi sana aunt uko juu wanawake hatushindwi bado tupo juuu
@fatimaemma8335 жыл бұрын
Wooow congrats Aunty 😍😍😍😍😍😍
@elienezarumisha99965 жыл бұрын
Vijana msijisahau sana, Yesu anawapenda!!
@saidmtb30134 жыл бұрын
Welldone
@deborahsabimbonna82795 жыл бұрын
Hongera sana ma chrie
@lilianngowo80145 жыл бұрын
Hongera aunt umefanya LA maana ifike wkt wasani muige wenzenu Kwa mazuri yao
@anjelinakasembe8455 жыл бұрын
Ongera sana Anty pazuri sana hapo dont hiev ap
@dianarobert56405 жыл бұрын
Wanawake mnaotaka kuwezeshwa mnakeama wapii,,,jiwezeshe mwenyewe àta ukianza kuuza mandazi we uza tyuuu,,,hongera sana mama cookie
@mwanaishambili2415 жыл бұрын
Mashaallah wanawake mnaweza tupambane kujenga taifa
@ashamniga85155 жыл бұрын
ongela sana ushoga wenu uwendelee vizuli mudhidi kupendana wenye wivu wajinyonge nawapenda sana
@childofgodthroughjesuschri33265 жыл бұрын
Like kama,still bado,better vizuri anarudia maneno ongeeni kiswahili bwana unaambiwa hongera thank you very much. Basi bwana umefanya vizuri sana hongera zako
@gloryjulius11085 жыл бұрын
Hongera sana Anti sasa wema na yy ajitahidi
@mbokachawe96575 жыл бұрын
This is lit....
@monicaalute17775 жыл бұрын
Km umemsikia aunt akisema still bado gonga like yko hapa. Otherwise nampongeza sana
@awatiffhassan59835 жыл бұрын
Monica Alute hahaaa ni furaha tu muelewe
@advocatekarama49175 жыл бұрын
Monica Alute 🤣🤣
@tinnashemetili85965 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂Monika
@aishakidotigakii61575 жыл бұрын
Pazuri kweli Mashaallah
@catenzeki6785 жыл бұрын
Napenda wanawake wanaojituma na kuekeza katika kujenga nchi.Big up Aunty
@linnetakoth85475 жыл бұрын
Kazi nzuri auntie we love you from Kenya
@familywatende51115 жыл бұрын
Wanawake wengi tunatamani Sana maendeleo ila hyo mitaji inakuwa ni shida, mtu anakwambia wanawake tupambane lakini unajikuta hata ukipambana hupati maendeleo kama hv, ila hawa wengi wanawatu wanawapush ila wakiulizwa wanaficha
anti nimekupenda bureeee umenifanya namm nijione kumbe naweza simama mwenyewe bila saport ya side b, hongeraaa xaaaana,
@imaniamani76715 жыл бұрын
Hongera sana na Mungu akutangulie
@naimasaid77635 жыл бұрын
Hongera sana Ant
@KulthumSaleh-r3d Жыл бұрын
Nice
@petermwantole94335 жыл бұрын
Auntie ni mpambanaji ,, mil 70 na zaidi nadhani iko ndani ya uwezo wako ,good inipireration...
@fatumasalmini22415 жыл бұрын
Good
@albertoarcangel58595 жыл бұрын
Duu umetisha mamii, bonge la bar,
@daliamtanganaki66875 жыл бұрын
Congrats aunt
@rashidbusanya71665 жыл бұрын
ONE DAY NAMIMI NAWEZA SAIZ SINA HATA BUKU LAKIN ONE DAY INSHAA ALLAH MTANIONA NIMEWEZA hongera sana ndio bongo yenye maendeleo
@hamadharerimana81875 жыл бұрын
INSHALLAH
@dainesskisinda75315 жыл бұрын
Rashid Busanya
@abubakaryalmas76735 жыл бұрын
Penye nia pana njia Rashidi
@awatiffhassan59835 жыл бұрын
Zingatia sana bidii na swala
@vanessawilbert50165 жыл бұрын
Ipo mikochen ipi jomon walev tukalewe leo
@ladymashaallahilikeuaadvis9975 жыл бұрын
Hongera daa Aunty Ezekiel
@alineryzor16635 жыл бұрын
hongera Aunty
@baltazaryleticia44515 жыл бұрын
Congratulations my
@dsouzamaguno70065 жыл бұрын
Hongera sana
@chikubijoumaulidi58975 жыл бұрын
Ongera sana Da Anty nakupenda sana nanitazidi kuku penda
@agnesmkanga50095 жыл бұрын
Nimeipenda,ni kweli uwapo na kitu ni rahisi kuongezwa,kuliko huna kabsaa,ht aliyekuwa akivua Samaki alihuishwa kuweka kuvua watu!!!Aunt kapewa ndoano hakupewa Samaki!!
@zaituniamoki60925 жыл бұрын
Hongera ant umenifanya nisikate tamaa
@lorineprince41705 жыл бұрын
Hongera mama, me naomba kaz ata ya kufanya usafi
@leanahbusanga1175 жыл бұрын
Hongera kabissaa😘😘😘
@gracedelence91635 жыл бұрын
Uyo do kasara majibu kama yalipagwa... eti.. utamu wachai sio ragi...ni ...sukari 🤷♀️ big up gal congrats
@naominyamoya76155 жыл бұрын
Nine Nice aunt Mungu azid kktunza
@alijuma65025 жыл бұрын
Kawema sepetu kamezeeka sana
@beatricemapembe89415 жыл бұрын
Nakushauri vitu viwili vikubwa vya kuweka ngumu. 1. Hakikisha chakula ni kizuri na bei zinawezekana kwa kila MTU. Pia wahudumu wajitambue siyo wahudumie ma-star tu watu wengine wawaone takataka. 2. Hakikisha vyoo vinaeleweka siyo kunuka mikojo. Maeneo mengi ya kinywaji vyoo uwa ni shida kwa kweli
@Kifyasi5 жыл бұрын
Mh nduguyanguuu
@saudorsaugold66435 жыл бұрын
Haya
@annamvamila17365 жыл бұрын
hongera
@سعادالشمري-ز9ز5 жыл бұрын
Hongera sana mwanamke kupambana
@maryamtanzania9743 Жыл бұрын
Jamani wanawake kumbe tunaweza
@Moses-Kuria5 жыл бұрын
Mozeee iyoboo hongera
@أمينهالحبسي4 жыл бұрын
Jaman wema du
@dianamkuna28985 жыл бұрын
Good job
@awatiffhassan59835 жыл бұрын
Wanaume mnafeli wapi jaman ..wanawake wanarun dunia na mambo makubwa makubwa bila support....wanaume pliiiiiiiiz
@maryamtanzania9743 Жыл бұрын
Jabani anti nampenda hamuongeleagi vibaya mzazi mwenzake
@abrahamhassan3515 жыл бұрын
Beautiful pub kwa kweli
@bupeadam37315 жыл бұрын
Hongera mamy
@veronicadaniel11225 жыл бұрын
Umefanya kitu kikubwa dada hongera
@sumayionesmo35545 жыл бұрын
Da!hongera sana
@mariamkaaya86395 жыл бұрын
Vodo vidox.safi kwa taarifa nzuri
@halisiaisaya78325 жыл бұрын
Hongera sana mami
@beatricekingsley50625 жыл бұрын
hongera mama
@khadijakhadija62125 жыл бұрын
Hongera bb wew
@najma32685 жыл бұрын
Hongera sana Aunt
@iabysaroeymar92435 жыл бұрын
Najma 3
@lucaswilliams57615 жыл бұрын
Kitu poa sanaaaa! Japo huendi mbinguni
@zainabomar55125 жыл бұрын
Kweli mbunguni haendi anafanya kazi aliokataza mung
@@hainesurasa1503 sishangai hata kidogo wachaga kwenu kawaida #bar
@petercley62305 жыл бұрын
Great one Aunt, keep it up
@robertmolila75455 жыл бұрын
Vido anajua sana kuuliza maswali
@nyamburawacoast3055 жыл бұрын
Kama unajua pombe si nzuri kumuita mtoto MUNGU anakubali pombeeee mmh pole kwako
@youngmummy10875 жыл бұрын
Jus wow
@neemadamian79705 жыл бұрын
Keep it up Cookie's mam
@erickputto34905 жыл бұрын
Neema Damian
@ifgodsayyes.nobodycansayno17965 жыл бұрын
NIMEIPENDA SANA HAKI KEEP IT UP
@azzaalsalty48065 жыл бұрын
Umesema kuwa huwezi kufingua biashara ya kuuza ulevi ukaandika jina la mwanao kwakua si vizuri. ..sasa mbona anapoteza watoto wa wenzako kutumia huo ulevi kweni hivo sawa
@sizmaggymaggy56775 жыл бұрын
Hongera Ezekiel
@umarsaid99125 жыл бұрын
Mashallah
@biusimohamed10495 жыл бұрын
Hongera dada
@judithcosmas46395 жыл бұрын
Hongera sana anti
@bebycandkim16315 жыл бұрын
oyooo ongela aunty
@sulejiTv5 жыл бұрын
Mimi nilikuepo na nili tamani kuingia ndani laki parking sija pata nika hona sombaya niki kahaa ndani ya gari langu watoto wa tauni wasije kunilia juga.
@susanahyera71105 жыл бұрын
Iko wap
@pinahoscar67355 жыл бұрын
Suleji Official 😂😂😂😂 iko sehemu gani
@shanijafary1275 жыл бұрын
Hongera
@johngburuna72335 жыл бұрын
WEMA SHE IS ......... ONGEENI KISWAHILI JMN KAAAA!!!!!!
@mercynaava3515 жыл бұрын
Hahaha
@veronicadaniel11225 жыл бұрын
Irene akasome kwanza ni bonge la bar
@ab3ab3135 жыл бұрын
mung akutanguriy mumipang yako mami
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
🙄Hii ya, muda kabla hajawa na baba lao baba nono?
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Yaani ni Kubwa hila ya lrene nayo nilisikia inabeba watu Mia tatu. Tulisoma naye lren wengi tuliosoma nawo now mastar abubakar mzur wote
@lykamlaki12185 жыл бұрын
Jamani mtangazaji wa millard ayo anauliza maswali mazuri
@nonenone49545 жыл бұрын
#Fantastic✅✅✅
@shafiibrown56095 жыл бұрын
Mwanamke maendelea safi dada
@hidayaking33835 жыл бұрын
Wema 💞
@wardamwarami47895 жыл бұрын
Yaan you dada anakwaza dah, millad eeh bora ungemcrop uyo dada apo
@martinekallimbu6615 жыл бұрын
kweli anabore sana,interview gani sasa mpaka unamshika nywele interviewee...
@billylovebilly94185 жыл бұрын
Ongera mamy
@neymarsuleyman86025 жыл бұрын
Pesa yakuhongwa ndo hesabu yake haijulikani. #uwezi kutuambia hujui umeweka shingapi wakati yaonyesha kwenye hiyo biashara it means haufanyi documentation na hilo nijambo lisiloingia akilini kwammliki wabiashara
@childofgod44125 жыл бұрын
Like kama,still bado si muongee tu kiswahili
@nadyahassan79245 жыл бұрын
hongera zako dd
@redemptarkanini9665 жыл бұрын
Aunt Ezekiel nipe kazi nko Nairobi. Drop your email please.
@babrakashindye15485 жыл бұрын
Huyu mtangazaji wa Global hajui maswalii.... Msio muelewa gonga like.
@mohdmohdnurudin87005 жыл бұрын
Wema umezeeka
@deustutu11625 жыл бұрын
big up sana
@elirehemaismael61335 жыл бұрын
Kesho utasikia siyo ya kwake ila alikuwa akipigia promo tu
@sekelamwangosi32895 жыл бұрын
😀😀😀umeona eee tusubir kitu kama icho
@saphinayona63595 жыл бұрын
Hongera jamn ant nawema zaidi ya ndugu mbarikiwe san
@davisbravo21305 жыл бұрын
duu!! wema kazeeka
@zainabkizenga81185 жыл бұрын
Jamani
@ussikhamisussi48825 жыл бұрын
"Beverage" ni biashara kubwa sana na ikiwa inazidi kupanuka lazima watumiaji wawe na vibali maalumu kuleta restriction kwa under aged people, hilo suala Serikali walitazame otherwise raia wote watakuwa ni zao la "Liquid" no man power no doer.