Part 2:Tafakari Nzito ya Maisha ya Padre Pio, Pd. Patris Aelezea kwa Uchungu Kusudi la Mungu Kwetu

  Рет қаралды 35,268

Jugo Media

Jugo Media

Күн бұрын

𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp....
Tumsifu Yesu Kristo, Napenda Kukushukuru kwa Kuwa Mdau Mpendwa wa Jugo Media. Tunapenda kukutaarifu kuwa Tumeandaa Group Maalum kwa Ajili ya Kupokea Taarifa Mbalimbali za Kanisa, Misa Live, Vipindi vya Kanisa nk kutoka Jugo Media. Kama ungependa Kuungana Nasi Tunaomba Ujiunge kwa Hiari Kupitia Link Hiyo Juu. Mungu Akubariki Daima
KAMA UNGEPENDA KUPATA TAARIFA KUHUSU KANISA KWA NJIA YA WHATSAPP TAFADHARI TUMA UJUMBE KWA WHATSAPP UKISEMA NIUNGE KISHA JINA LAKO KWENDA NAMBA +255757560764 au BONYEZA LINK HII wa.me/+2557575...) (SAVE HII NAMBA KWANZA, ANDIKA JUGO MEDIA) UBARIKIWE SAMA
KAMA UNA HABARI NA UNGEPENDA KUSHIRIKI PAMOJA NASI TAFADHARI WASILISHA KUPITIA WHATSAPP NO +255757560764 AU BONYEZA wa.me/+2557575...)
Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

Пікірлер: 85
@yesunimwema4497
@yesunimwema4497 2 жыл бұрын
Asiye choka kumsikiriza huyu baba kiloho kama mimi,agonge like 👍hapa.
@rozkiwale912
@rozkiwale912 2 жыл бұрын
Asante sana Padre nimejifunza mengi mno mafundisho ya dhambi ya kurithi inaathiri mno Mungu tunaomba utuokoe pamoja na vizazi vyetu na mababu wetu Padre Pio utuombee
@juliusmichael6191
@juliusmichael6191 2 жыл бұрын
Amina
@juliusmichael6191
@juliusmichael6191 2 жыл бұрын
Mtakatifu Padre Pio Utuombee 🙏
@getrudleonce8875
@getrudleonce8875 2 жыл бұрын
Fr ni mara ya kwanza kusikia mahubiri yako lakini nimebarikiwa sana Mungu akutie nguvu.
@mumyhendry2919
@mumyhendry2919 2 жыл бұрын
Asante Mungu kwa ajili ya Mtumishi wako!!! Ee Yesu ninakuomba nkuone leo kwa namna ambayo sjawahi kukuona🙏🙏🙏
@annamosha968
@annamosha968 2 жыл бұрын
Oh! Umeomba VIZURI mno! Nami naomba kama wewe pia🙏
@lugembesimon7035
@lugembesimon7035 Ай бұрын
Amina sana
@PascalinaMusungu-tt2wx
@PascalinaMusungu-tt2wx Жыл бұрын
Hongera baba kwa kutulisha neno
@KelvinJoseph-u9x
@KelvinJoseph-u9x 5 ай бұрын
Asante fr.tumeangamia kwa kukosa maarifa so nimebarikiwa sana
@josephinekessy1994
@josephinekessy1994 Жыл бұрын
Hakika nimebarikiwa sana na haya mahubiri...Mungu azidi kukubariki baba padre
@cspsecurity7002
@cspsecurity7002 2 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana Father, naamini mahubiri haya yatatuacha kwrnye imani yetu ya asili. waumini wengi wanakwenda kwenye makanisa mengine pengine kufuata mafundisho na mahubiri kama haya. Nakuombea kwa Mungu aendlee kukupa nafasi yakutufungua na kuamini katika imani zetu
@filmanchimbi1190
@filmanchimbi1190 Жыл бұрын
Padre Mungu akulinde Sana nimependa mahubiri yako sanaa
@dionisiabaynit2916
@dionisiabaynit2916 2 жыл бұрын
Tumsifu Yesu Kristu wapendwa katika Kristu,baombeni no za Padre patrice, Mungu akutunze milele
@afrikanshayo5903
@afrikanshayo5903 2 жыл бұрын
Asante sana father,god may be with you.
@mariaregulla5215
@mariaregulla5215 Жыл бұрын
Asante baba ,,nimeoenda sana mafundisho yako
@RufinaTairo-ph4iu
@RufinaTairo-ph4iu Жыл бұрын
Asante fr kwa mahubiri mazuri tumejifunza mengi
@winjoymakena2864
@winjoymakena2864 2 жыл бұрын
Fr u are a blessing to me. Watching from Kenya
@fredybwaifrednand4888
@fredybwaifrednand4888 Жыл бұрын
Nimeguswa sana .. Ubarikiwe Fr
@judykwoba9024
@judykwoba9024 2 жыл бұрын
Asante fr Kwa mahubiri,imenijenga sana
@lilianmnabwiru7074
@lilianmnabwiru7074 Жыл бұрын
Powerful homily thanks Father Patrice.God Bless you
@benedictampery3275
@benedictampery3275 Жыл бұрын
Asante sana mtumishi wa Mungu, nimejifunza na kufarijika sana kusikia mfano wa familia yangu unafanana na huo wako sioni aibu tena kumshuhudia Kristo
@verdianamtalo7739
@verdianamtalo7739 2 жыл бұрын
Ukweli Padri Pio nimemtumia sana katika maisha yangu na mengi nimebarikiwa sana. Ubarikiwe sana Padre kwa maubiri mazuri.
@DorcasMueni-sv1nh
@DorcasMueni-sv1nh Жыл бұрын
Mafundisho mazuri, Asante
@astridahkatalyeba4611
@astridahkatalyeba4611 2 жыл бұрын
Fr,ahsante kwa ujumbe huu....vita ya kiroho inatuangamiza...tunahitaji tumurudie Mungu ...hakika una kitu ndani yako Mungu akubariki sana... Nimebarikiwa mno ...
@benezethlukubah8569
@benezethlukubah8569 2 жыл бұрын
Àsante sana Baba umekuwa Baraka kwangu ubarikiwe Sana
@charlesmangombo684
@charlesmangombo684 Ай бұрын
Huyu Padri ni kati ya mapadri napenda kufuatilia sana mahubiri yake.Be blessed Father
@enockkomba2295
@enockkomba2295 2 жыл бұрын
Barikiwa father Mungu akukuze zaidi na huo utukufu wa Mungu isiondoke kwako
@fratelltutiilaudatosi4153
@fratelltutiilaudatosi4153 2 жыл бұрын
Baba ubarikiwe sana kwa mahuburi yako yamenifanya kuikomaza imani yangu
@beziarwongezibwa7980
@beziarwongezibwa7980 2 жыл бұрын
Fr. Mungu akubariki sana. Nimejifunza sana juu ya maisha yangu. Nahitaji kutafakari zaidi na kumwomba Mungu sana kufunuliwa katika hili
@ellumziray2952
@ellumziray2952 Жыл бұрын
Father ubarikiwe sana
@jenipherkyando4822
@jenipherkyando4822 2 жыл бұрын
Asante mungu kwa kumleta mtumishi wako. Baba patirs unakusudi na kanisa lako nina uhakika.
@kiraeugene2920
@kiraeugene2920 Жыл бұрын
Asànte sana baba uko vizuri
@rozkiwale912
@rozkiwale912 2 жыл бұрын
Fr hongera sana kweli una kitu cha ziada Mungu akubariki sana umtume wako uzidi kutuombea na kutufundisha daima
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 2 жыл бұрын
Asante sana BABA umenifundisha vitu vingi sana Mungu akubariki
@paulmichael5811
@paulmichael5811 2 жыл бұрын
Mungu akubariki Fr kwa mafundisho yako mazuri
@yolandaliyoya1839
@yolandaliyoya1839 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Fr.
@jenipherkyando4822
@jenipherkyando4822 2 жыл бұрын
Asante sana fr ni mengi jimejifunza
@remijilasana3383
@remijilasana3383 2 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na mahubiri haya kuhusu sala.
@getrudemassawe3400
@getrudemassawe3400 Жыл бұрын
Asante sana Baba. Ni kweli kabisa.
@tmasingida2392
@tmasingida2392 2 жыл бұрын
Hakika nimeguswa na kuhisi kupata upako Mtakatifu. Mungu abariki utume wako Baba Padre...!
@emmanuelshayo4703
@emmanuelshayo4703 2 жыл бұрын
asante fr. tunakupata vizuri kutoka nchi ya Pwani ya pembe
@josephinegravasiano8860
@josephinegravasiano8860 2 жыл бұрын
Amen be blessed padre
@bryanmuoki6250
@bryanmuoki6250 2 жыл бұрын
Full of wisdom
@generosakinemo5490
@generosakinemo5490 2 жыл бұрын
Nafarijika sana kwa mafundisho haya. Natamani kuona mapadre wengi wakifundisha mafundisho ya kina na pia huduma za kututoa ktk asili zetu Fr Mungu akubariki na kukuongezea siku. Machungu ya kuondokewa na marehemu padre Saba yanapungua.
@marierobert42
@marierobert42 Жыл бұрын
Hongera Baba Kwa mafundisho mazuri
@juliusmmbaga82
@juliusmmbaga82 Жыл бұрын
Hii ni changamoto kubwa ndani ya watu wengi wanateseka, watu wengi wanahitaji msaada wa kiroho sana,nimeyaona yote hayo katika huduma.ongera sana, Mungu hazidi kukutumia sana
@alfredshirimaatatztunaunga4000
@alfredshirimaatatztunaunga4000 Жыл бұрын
Amina baba Mungu akuongezea kila mbinu za aina zote ili uwasaidie watu wengi.
@christinasamwel8691
@christinasamwel8691 2 жыл бұрын
M/Mungu akuweke injili yake ienee Duniani kote🙏
@upendoeliudi5196
@upendoeliudi5196 2 жыл бұрын
Thank you, God bless you father ,umekua mbaraka mkubwa sana kwangu
@JasperDavidMugambi
@JasperDavidMugambi 7 ай бұрын
kweli maisha ni vita bila kisubaa/ kulala,,,nakubali
@rockyndiribango1627
@rockyndiribango1627 2 жыл бұрын
Mungu azidi kumbariki Fr Patris
@myalanity5207
@myalanity5207 2 жыл бұрын
AAAMINA KUBWA FR.
@RichardBwire-z1j
@RichardBwire-z1j 3 ай бұрын
Father niombee mimi niko hivo na hizo roho za asili
@PeterLubala
@PeterLubala 2 ай бұрын
Naomba uniombee baba. Yangu aache ulevi
@japhetpeter6123
@japhetpeter6123 2 жыл бұрын
Asante sana
@maniratungageorge6797
@maniratungageorge6797 Жыл бұрын
Asant sana Mutume wa Yezu
@japhetmnyeta1076
@japhetmnyeta1076 Жыл бұрын
Yes,maisha MENGI hayana kusudi na mwovu anaiba kusudi hizi akitudanganya na asili zetu.Asante MUNGU Kwa huyu mtumishi wa mungu
@paulmuli1768
@paulmuli1768 2 жыл бұрын
How can reach you father, tunabarikiwa sana na maubiri yake
@dionisiabaynit2916
@dionisiabaynit2916 2 жыл бұрын
Amina
@harounclaude2263
@harounclaude2263 Жыл бұрын
Mafundisho mazuri sana
@namkundamkumbwa8370
@namkundamkumbwa8370 2 жыл бұрын
Mim n kkt ila nmebatikiwa mno na baba padr...safi hata wewe mungu unaye
@fellytemba9064
@fellytemba9064 2 жыл бұрын
Ama kwa hakika umetuinjilisha vema sana.Zidi kutuombea tupate kumjua Kristu aliye hai.
@beatricekavenuke5591
@beatricekavenuke5591 2 жыл бұрын
Asante sana Mungu
@ellumziray2952
@ellumziray2952 Жыл бұрын
Naomba no ya Father Patris plse
@pancrasiafelisian5389
@pancrasiafelisian5389 Жыл бұрын
Naomba no ya huyu Padre
@aloycemchuo7687
@aloycemchuo7687 Жыл бұрын
PADRE PATRISI,AKSANTE,NINACHO KUOMBA.MAHUBIRI YAKO KWENYE MTANDAO USITOKE
@epifanassenga8595
@epifanassenga8595 2 жыл бұрын
fr you tube account please
@jeremiakalumbete1131
@jeremiakalumbete1131 2 жыл бұрын
ni somo zuri sana father analitoa naomba kujua anapatikana parokia gani father Patris
@csato9415
@csato9415 2 жыл бұрын
Anahudumu katika parokia ya Yohane mtume, na mwinjili - Tegeta
@enockkomba2295
@enockkomba2295 2 жыл бұрын
Tegeta
@lilianmutimba8245
@lilianmutimba8245 2 жыл бұрын
How can we reach there
@paulmuli1768
@paulmuli1768 2 жыл бұрын
Amina fr naomba namba yako father
@mozesjoseph7630
@mozesjoseph7630 2 жыл бұрын
Asante.tatizo. Waumini. Wengi. Hawajasoma. Uerewa. Ni. Mdogo. Erimu Tanzania. Mbovu. Hubirini. Kwanza. Erimu. Ya nchi hii. Iwe. Nzuri.iri. Mpate. Waumini. Waerewa. Shida. Nchi. Yetu. Shure. Hazina. Ubora. Ndoo. Maana. Waumini. Munahubiri. Sana. Rakini. Hawaerewi. Kwasababu. Hawajaenda. Shure. Hubirini. Kanza erimu
@josephanthon8037
@josephanthon8037 Жыл бұрын
hubiri wewe elimu kila mtu amepewa karama take umeelewa,Mozes Joseph?Mwache mtawa apige Neno
@protasrubaba2772
@protasrubaba2772 Жыл бұрын
Kwani Bwana Yesu alipokuja ulimwenguni alianza kuhubiri elimu kwanza? Huu ndio utume wa huyu Baba, waache wafu wawazike wafu wao.
@marymghanga4817
@marymghanga4817 Жыл бұрын
Mungu akubariki Baba tuombee tumshinde shetani
@annasanga733
@annasanga733 2 жыл бұрын
Ee Mungu Baba tuokoe na dhambi za urithi
@marymusembi9266
@marymusembi9266 2 жыл бұрын
Naomba namba na huyu padri please...how can I get it?
@bryanmuoki6250
@bryanmuoki6250 2 жыл бұрын
How can I reach that priest?
@greenlife7189
@greenlife7189 2 жыл бұрын
Nawezaje kupata mawasiliano ya huyu Padre Patris?
@JugoMedia
@JugoMedia 2 жыл бұрын
Tafadhali tutafute kupitia namba iliyopo kwenye bio tutakutumia
@aristidestarimo5543
@aristidestarimo5543 2 жыл бұрын
@@JugoMedia Nahitaji hicho kitabu kinachozungumzia maisha ya mtatifu pia, lakin pia kina Sala nyingi Sana
@theresialudovick5614
@theresialudovick5614 2 жыл бұрын
Baba padre Mungu akulinde akupe afya njema, uendelee kutulisha neno la Mungu tuweze kuokoa familia zetu kwenye mikono ya adui , karibu roho mtakatifu utufumbue mioyo yetu tuweze kilisikia neno lako sikuzote zamaisha yetu............
@paulmuli1768
@paulmuli1768 2 жыл бұрын
Mimi ni mkenya
OYUNCAK MİKROFON İLE TRAFİK LAMBASINI DEĞİŞTİRDİ 😱
00:17
Melih Taşçı
Рет қаралды 13 МЛН
Players vs Corner Flags 🤯
00:28
LE FOOT EN VIDÉO
Рет қаралды 93 МЛН
MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:  YESU NI MEZA YA BWANA INAYOTEMBEA ILIYOBEBA UPONYAJI KAMA CHAKULA. [ 1 ]
16:42
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 18 М.
FAIDA ZA IMANI UNAYOITUMIA KATIKA KUTOA SADAKA
1:00:32
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 149 М.
1. EPUKA MAKOSA HAYA KATIKA MAHUSIANO SEH 1 (PR DAVID MMBAGA)
29:22