Wow asanteni sana yaani Niko CHINI ya mti nikisikiliza na kuwaza nitaweza kumbembeleza Mama Maria KUPITIA nyimbo hizi ....be blessed
@PerisOpanda7 ай бұрын
Hongera wote kwa uimbaji wenu 🎉🎉🎉🎉🎉
@aumaachieng510523 күн бұрын
Nyimbo nzuri sana za Mama wetu Bikira Maria. Uchaguzi mwema. Shukrani.
@rozkiwale9125 ай бұрын
Hongera Sana dada hakuna kitu utaomba kwa Mama Bikira Maria ukose
@CalvinJames-k1sАй бұрын
Muujiza Leo baada ya kusikiliza hii nyimbo Mungu ahsante sana Mama maria❤❤
@MarieteresseKasoro6 ай бұрын
Tusali Rosario tupate Amani duniani côté.🎉🎉🎉
@MagdaleneWaMatheka8 ай бұрын
Jameni tusali rosali milele
@marymasungwa4 ай бұрын
Tumuombe Mama Bikira Maria atusaidie
@ChristineMithiarukendichristin4 ай бұрын
Asante sana mama Maria nikumbuke na familia yangu
@MawazoMamy-eu9blАй бұрын
Amina
@kasindimawazondiba80834 ай бұрын
Asante sana kwa Ku muimbiya maman yetu anatu ombeyaka Sisi wa toto wake Siku zote
@annahgodblessyouandprayfor6515Ай бұрын
Good songs God bless you 🙏🏽 thank you am blessed
@mercykerubo43384 күн бұрын
Mama Maria tuombe sisi wanao twakulilia sana
@samwelashayo75113 ай бұрын
Asante sana Mama Bikira Maria kwa maombezi yako ya daima. Yananipa faraja mimi pamoja na familia yangu na rafiki zangu. Asane mama yangu kipenzi sana!!!!!
@juliusmwololo-w3d3 күн бұрын
Amen
@sakinakamagi54522 ай бұрын
Mama Maria mama mbombezi kwa wenye shida mbali mbali usiniache mwanao bondeni huku nina shida inayoitaji huruma yako usiniache mama mama muombee kea mwanao Yesu Kristo
@Jackline-x6j2 ай бұрын
😊Eee3e33e3eee33333eé😊e
@FurahaMarandu12 күн бұрын
Asantee sana mama bikira Maria nimeona matokeo baada ya kuskiliza huu wimbo
@catherinembaluto67094 ай бұрын
Amen. Tusali Rosali daima
@catherinembaluto67094 ай бұрын
Tumsifu Mama yetu Bikira Maria kupitia nyimbo zake tamu sana. Mama tuombee katika familia zetu na watoto wetu tushinde nguvu za shetani.
@baderhajeanbaptiste99633 ай бұрын
Merci kwako kwa nyimbo izi nzuri🙏 mama azidi tuombea uponyaji kwa mwana wake yesu kristu👌🏼💪🙏
@PhilipinaAsenga2 күн бұрын
Mama Bikira Maria utuombee wanao
@HappyMushi-h7kАй бұрын
Nyimbo za mama zina nbarik sana❤❤❤❤
@MillicentAkumu-nk5lw13 күн бұрын
God bless the prayers and let them be a blessing to me and to my family during this opportunity and other families too.
@vincentmboti2 ай бұрын
Great and wonderful songs
@rosekiwale83024 күн бұрын
Mama bikira utuombee
@CalvinJames-k1sАй бұрын
Jaman nipo ofisin nasikiliza hii nyinbo nasikia furaha moyoni mwangu baada ya kutamkiwa na mchumba wangu kuwa ameniacha lakin Leo baada kuanza kusikiliza hii nyimbo amenipigia Tena ananiuliza mama mkwe hajambo nasikia kulia jaman Mama maria anatenda miujiza❤😭😭😭
@Valerie365Ай бұрын
Tumshukuru Mung.
@PatrickWambua-o8v2 ай бұрын
Wimbo tamu
@rosekiwale83024 күн бұрын
Valeriana unatisha mama akubariki sana soma wa Mama yangu
@Valerie3654 күн бұрын
@@rosekiwale8302 Amina "mwanangu" Hahaa
@annechebichiy22638 ай бұрын
Kila ninapotaka kusali Rosali uwanina amu ya kuskiza nyimbo za Mama yetu Bikira Maria Mungu akubariki sana mama Valerian Simon🙏😘
@lucylyuki48523 ай бұрын
Mwenyezi Mungu kwa njia ya mwanao Yesu kristo Asante kwa maombezi Yako mama yatu Bikira maria uniombee katika makaribu haya naamini kuvuka katika yote na pia kuheshimu jina lakeama aniombee kwa Yesu anitie utaji na utisho kwa maombi na uovu wote nisiguswe na uovu na u hadi wa Dunia hii Yesu kristo unikonge na uovu wowote na mabaya yote kuanzia sasa niwe na Amani na uhuru kamili kiroho na.mwili kati ya mabaya na maonevu na madharau yasiyo lazima. Amina mama Maria uniombee
@lucylyuki48523 ай бұрын
Mama Maria kwa maombezi Yako niombee Mimi ninayexhumiwa na ndugu Angu baadhi wao ni kuniona tu m Aya ,wewe na mwanao Yesu kristu mwajua yote kabisaa kuhusu Mimi Mungu Roho Mtakatifu nitakase naitJadike hasa mbele za watu wangu na wote wanaknizunguka
@KahindoDéborah-t7t3 ай бұрын
Asante sana mama,nikumbe mimi na familia yangu,na ma rafiki zangu ❤
@annahgodblessyouandprayfor65158 ай бұрын
Nyimbo hizo zapendesa sana na zinambariki sana God bless you 🙏
@Valerie3658 ай бұрын
Amen. Tubarikiwe sote!
@SabinaOhindi2 күн бұрын
Maria mamayangu naomba ulinzi who kwamaadui nilindie wtoto wangu wajukuu nzgu namaadui niy
@DAUDMARCO-um2nzАй бұрын
Mama mwenye huruma utuhurumie na utuombee kwa mwanao mpendwa sana
@cresensiankembo865811 ай бұрын
Mzidi kubarikiwa
@dushimimanaalex41108 ай бұрын
Nyimbo zenu ni sawa kbsa nawapenda Sana
@WalburgaMushi2 ай бұрын
Mama utuombee wanao
@enatanonga30482 ай бұрын
❤
@FlorenceMutindi-mz4nvАй бұрын
Nyimbo nzuri,twambarikiwa kabisa
@lucylyuki48523 ай бұрын
Naomba mama nisaidie kuniombea Roho ya nsMaha na Amani kwanza kwangu Binafsi Mimi ndugu zangu wote niwasamehe kwa yote Martha Simon Michael Marry Anjelina na Daud. Mwenye Enzi Mungu kwa maombezi ya mama Bikira Maria nijaliweoyo wa msamaha na Hawa ndugu zangu wajakiwe wote Roho ya msamaha amina
@PhilipoBajut2 ай бұрын
Nyimbo za bikira maria zinanibariki sana
@MariselinaMasao3 ай бұрын
Nimebarikiwa na hizi nyimbo za mama maria napenda ukatoliki wangu
@israeldanda778911 ай бұрын
Kazi nzuri ya uimbaji, imetulia na inabariki vyema. Hongera sana Valeriana, Mungu kwa maombezi ya Mama Maria akuimarishe na kuendelea kukubariki namna ambavyo ninabarikiwa hadi nasitisha ratiba nyingine nikisikilizia uimbaji uliotulia. 🙏
@Valerie36511 ай бұрын
Amina na amina!
@israeldanda778911 ай бұрын
Ninamsikiliza mpiga kinanda wako, naomba uniunganishe naye nimpe maua yake na bahasha ya khaki aiseee
@Valerie36510 ай бұрын
@@israeldanda7789 Wimbo wa kwanza kinanda amepiga PETER PERFECT.
@VailetMbina5 ай бұрын
Dada unatisha sana huwa nabarikiwabsana na nyimbo zako,naikumbuka pia ile tuwaombee wagonjwa mashairi yalijitosheleza mungu akutunze dada
@Valerie3655 ай бұрын
Amina na amina
@jacksonakwenda783810 ай бұрын
Nyimbo tamu sana zenye kuvutia.
@Maria-ic5kp2 ай бұрын
Lesson for the Day for me in T- WA US
@frankkadege-ev9wg10 ай бұрын
Hongereni sana 😂😂
@stephanombwana401711 ай бұрын
Wanaovimba kama mimi hapa tujuane... dada itabidi tukae vizuri nishiriki kwenye wimbo hata mmoja hapo baadae
@mbalamwezilinda33693 ай бұрын
Hallow my dear Vareliana TYK Mimi ndugu yako nakutafuta
@Valerie3653 ай бұрын
Karibu Linda. Tafadhali Nikumbushe zaidi.
@johnmalimi1410 ай бұрын
Hongera nabarikiwa na nyimbo za mama
@nancyjepchumbakebenei83675 ай бұрын
Moyo wa Maria utuombee
@dativamtaresi19738 ай бұрын
Kazi nzuri mamy&Team.❤Am really proud and inspired by you..❤
@Valerie3658 ай бұрын
Be blessed binti wa Yesu!
@dativamtaresi19738 ай бұрын
Amen🙏❤️
@MamwanchaWilfred11 ай бұрын
Nyimbo nzuri za kubariki.Pongezi sana.
@stephanombwana401711 ай бұрын
Hongera kwa kazi nzuri dada angu....
@deulegervas130311 ай бұрын
🔥🔥🔥
@sammynjoroge55955 ай бұрын
Nyimbo tamu 🔥 🔥
@kellengift52145 ай бұрын
Mubarikiye sana kwa nyimbo
@OlivalucasKaguo-y5p11 ай бұрын
Hongera sana🎉🎉🎉
@philipojoseph-tr2xo10 ай бұрын
Asant
@AnatolyMkude10 ай бұрын
😢mama MAMA NIMAMA YETU UTUOMBEE
@TalishaSalmashally2 ай бұрын
Daktari ako wapi lamo coz uenda joy naye amenda kwa daktari wake avuruhe
@kochulemdelvine12856 ай бұрын
Blessings 💞💞💞💞💞💞🙏🙏🙏🙏
@CalvinJames-k1sАй бұрын
Muujiza Leo baada ya kusikiliza hii nyimbo Mungu ahsante sana Mama maria❤❤