No video

Nyimbo za Jeshini - Full | Chenja za Jeshi

  Рет қаралды 723,603

Andrew Mugaya

Andrew Mugaya

6 жыл бұрын

Chenja Kali za Ma Bio I Nyimbo Nzuri za Kuimba wakati wa Kukimbia Mchakamchaka, Nyimbo Hizi zinatia Morali kukimbia umbali Mrefu bila kuchoka Mapema.
Subscribe in our KZbin Channel / andrewmgaya for More Videos Like This
Also Don't Forget to follow us on:-
Instagram: / andymgaya
KZbin Channel: / andrewmgaya
Facebook:
/ andrew.mgaya0
Contact: amgaya3@gmail.com

Пікірлер: 1 100
@AndrewMugaya
@AndrewMugaya 5 жыл бұрын
Tafadhali SUBSCRIBE kupata videos Zingine Nyingi. Pia Share videos hizi za Chenja na wengine wazipate na wa enjoy, wakongwe wakumbushie Enzi zao. SUBSCRIBE kupata chenja kali zaidi. Kwa group WhatsApp chat.whatsapp.com/JhFHLiG7OOvHYEdg35ranQ
@frankditrick3109
@frankditrick3109 5 жыл бұрын
Poa
@benjaminpeter5560
@benjaminpeter5560 4 жыл бұрын
Niungeni na mm kwenye group la wasap
@jumamussa2439
@jumamussa2439 4 жыл бұрын
Mzee karume
@jumamussa2439
@jumamussa2439 4 жыл бұрын
Pw
@AndrewMugaya
@AndrewMugaya 4 жыл бұрын
Group whatsApp +255 752 08 96 51
@tyivbra
@tyivbra 3 ай бұрын
Oya wanangu wa 841kj mafinga gongeni like zenu hapa
@davidbandajr3444
@davidbandajr3444 2 ай бұрын
Mwaka gani
@DenisMahundi-jf6oq
@DenisMahundi-jf6oq 2 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊​@@davidbandajr3444
@johnsonmolla
@johnsonmolla 14 күн бұрын
Miaka 50 ya muungano ​@@davidbandajr3444
@raheemjafari3728
@raheemjafari3728 5 жыл бұрын
daaa...821kj bulombora ..op mereran ..ukumbi wa mikutano huooo...nakumbukaa mbali sanaaa...2018...gonga like km umepitia 821kj..
@fidelischarles1811
@fidelischarles1811 3 жыл бұрын
Nakmbuka 822kj
@fidelischarles1811
@fidelischarles1811 3 жыл бұрын
Nakmbuka 822kj
@fredyjuliusayoma7791
@fredyjuliusayoma7791 3 жыл бұрын
Wewe hao miaka 50 jkt
@bensoncleophace8500
@bensoncleophace8500 3 жыл бұрын
Hapo ni RWAMKOMA JKT KJ 822 MUSOMA MARA. UKUMBI UNAITWA NDOMBA HALL. NILIKUWEPO HAPO OP TANZANIA YA VIWANDA 2017 MUJIBU WA SHERIA
@fredyjuliusayoma7791
@fredyjuliusayoma7791 3 жыл бұрын
@@bensoncleophace8500 wewe dogo acha uongo hao wote mimi nmepiga nao kozi 2013 bulombora au unataka nikutajie majina yao wote hao kuazia huyo kwaya master jakline kenedy hapo mbele
@justinefelis8772
@justinefelis8772 3 жыл бұрын
Naomba like watu wa 842kj (mlale),,2014 op muungano,,,,sir major wangu venue mzee wa red bull.
@awadhsalloum5690
@awadhsalloum5690 5 жыл бұрын
Wanangu wa 8 2 1 Nahitaji like za kutosha apaaaaa Op Muungano
@gulacktechnologies1807
@gulacktechnologies1807 Жыл бұрын
ML mm mk
@FrankShadrack
@FrankShadrack Жыл бұрын
1
@marcojonline7847
@marcojonline7847 10 ай бұрын
B. Coy moja
@sadamsellem3037
@sadamsellem3037 4 жыл бұрын
Morali morali Oyo Oyo oyooooo km umesikiya ndio Basi ndiooo basi Tena wakat mzigo ND hnz unanza unaimbiwa ety ndio bc tenaa 😁😁😁dondosha like za kutosha hpo chin ili tuendeeeee sawa......
@sadalanyumbu258
@sadalanyumbu258 3 жыл бұрын
Daah!!!kitambo sana nikiwa 842kj mwk 2011 op miaka 50 ya Uhuru.
@lowasameliyo4027
@lowasameliyo4027 Жыл бұрын
Duuuu amenikumbusha op mererani kj 841 mafinga iringaaa fib Kam lote nakupendaa jeshi aiseee sidhan Kam Kuna maisha mazuri Kam ya jeshi
@davidotingo409
@davidotingo409 4 жыл бұрын
Bravo coy ya demo
@bennysanga2873
@bennysanga2873 Жыл бұрын
Hizi nyimbo zinznihamasisha kufanya mazoezi kila siku. Safi Sana huyu mwamba anajua sana
@gabrielpeter5378
@gabrielpeter5378 5 жыл бұрын
Apumzike kwa amani, co wangu meja singu, Mr RSM akonay,, 835kj mgambo skills mlizotupa ndio zimetufikisha hapa tulipo, akumbukwe pia oc kajiru kombania c, op kilimo kwanza 2009,meja kombania c, Sgt mihembo.
@mathiasmhoja6303
@mathiasmhoja6303 5 жыл бұрын
Sawa
@michaelkambili9694
@michaelkambili9694 4 жыл бұрын
Dah hatari Sana asee 835kj op sensa 2012
@najmam2399
@najmam2399 4 жыл бұрын
Niko marecan nakumbuka mazoez ya ngazimia wallah namiss kwetu sana. Love you TZ sn✌🇹🇿
@ramadhansururu8988
@ramadhansururu8988 3 жыл бұрын
pole na karibu zenj ngazi mia zipo tu
@ramadanjabir1664
@ramadanjabir1664 5 жыл бұрын
Daaah wanangu we 832kj kama tuko pamoja gonga like ya nguvu
@marthaephata3361
@marthaephata3361 5 жыл бұрын
Afande chae noma sana😅 op tz ya viwanda 2017 @ chali coy
@kilwaboysmatteacher3167
@kilwaboysmatteacher3167 5 жыл бұрын
832 kj op miaka 50 ya JKT -2013
@mtaalammwijuma5394
@mtaalammwijuma5394 5 жыл бұрын
Ramadan Jabir Hahahahaha
@hajishauri6510
@hajishauri6510 5 жыл бұрын
832 kj op miaka 50 ya jkt B-coy 2013,,,
@rajabumohamedy2539
@rajabumohamedy2539 5 жыл бұрын
Op mereran c koy mpoooo chini ya marey na mmole
@williammsemo9716
@williammsemo9716 2 жыл бұрын
Daah now nipo USA but nimekumbuka OP maguful 832 Kj hakuna maishaa mazur kama ya Jeshn happy life ... Shout out to all our soldiers ..
@greysonmwaki9532
@greysonmwaki9532 Жыл бұрын
Wa op wewe,, mm nilikua coy ya afande best,,832KJ kushoto private Marley kulia Mzee wa kwata Adam liganja😂😂
@yonafedrick-ny7nc
@yonafedrick-ny7nc Жыл бұрын
Daaa umenkumbusha kweli afande Marley,liganja,Kerobuku,Masangula at 832KJ
@theraptor_ed
@theraptor_ed 28 күн бұрын
Eagle coy Tz ya viwanda Afande masangula, Marley, Kerobuku
@nathansolomoni9734
@nathansolomoni9734 5 жыл бұрын
Daaah nimekumbuka mbali sana wadau wa 832jk ruvu 2017 A-coy sauti ya simba(Nathan),devi (diamond), baba yanga miss sana makamanda wangu
@paulmshanga4177
@paulmshanga4177 5 жыл бұрын
Iyanga Mashauri popote ulipo! Salamu zako mkuu, David Nindi, ST Zungu heshima yenu wakuuu
@emmanuelmasima9951
@emmanuelmasima9951 3 жыл бұрын
Afande almas , gaspar, mtan salut kwenu
@hillaryemmanuel119
@hillaryemmanuel119 Жыл бұрын
Na hizi chenja ni kama vile 832kj hapo bila shaka, shamba la bibi moja
@geofreykupenda2147
@geofreykupenda2147 5 жыл бұрын
daaah nimemkubali sana muimbaji 😀😀😀 eti ananishangaza yero masasi yani yy ndio anaweka mizuka yote adi mm huku nacheza ndomboro ya soro yani hadi raha mm sio mjeshi ila nimevutiwa sna mungu awarinde makanda wetu na awape nguvu mlilinde taifa letu la TZ
@juliusjohn3794
@juliusjohn3794 5 жыл бұрын
duh show qalii
@aloycemkumbwa894
@aloycemkumbwa894 5 жыл бұрын
Duh hizi ngoma zina leta morali htr dadeki I like it
@frankditrick3109
@frankditrick3109 5 жыл бұрын
Waliopita mgambo kwenye mashamba ya dunia gonga like twende sawa!
@kanonigenge4627
@kanonigenge4627 3 жыл бұрын
Kwa msanga
@mchingamaally1606
@mchingamaally1606 2 жыл бұрын
Jamaa wana mashamba km ugomvi aisee, kwa msanga moja hyo
@hassanmugire1497
@hassanmugire1497 5 жыл бұрын
Nakumbuka maramba 838 kj op kikwete mamaeeee
@felicianjoseph1284
@felicianjoseph1284 5 жыл бұрын
Wanang wa 832kj OP Makao makuu Dodoma mujibu ....Danger coy ..conga like apa
@angelandohelo1322
@angelandohelo1322 5 жыл бұрын
Mafinga 841kj 😁😁😁.... Hatari sana jmn
@sennybrown8588
@sennybrown8588 Жыл бұрын
D coy nlkua hapo, ntumie namba yako kamanda
@selemanbrt
@selemanbrt 4 жыл бұрын
I remember those days. Muimbishaji mapafu ya mbwa akikufata ulipo nyuma na morali hyo lazima nguvu iongezeke
@makangeomary8052
@makangeomary8052 5 жыл бұрын
Huwezi kuchoka hta mkimbie kilometres ngapi.. 824 KJ gonga like OP kikwete 2015
@emmanueljackson2143
@emmanueljackson2143 5 жыл бұрын
Daaaah... Nlikiwa hapo op maguful 2016.. Noma sana..
@midopestmtumakini2189
@midopestmtumakini2189 5 жыл бұрын
nakubalii]i
@jonathanjohn5143
@jonathanjohn5143 5 жыл бұрын
yala kido changu ,,,,wap t maloda
@jamesmakali6196
@jamesmakali6196 5 жыл бұрын
Kamanda kamwenje Fundi
@johnjackson5660
@johnjackson5660 5 жыл бұрын
832kj G coy
@frankditrick3109
@frankditrick3109 5 жыл бұрын
2014/2015 mgambo JKt gonga like twende sawa!!! Kwamsanga
@jumakinana1198
@jumakinana1198 4 жыл бұрын
Hahaha sio pw huko
@augustinhomaguha4527
@augustinhomaguha4527 3 жыл бұрын
@@jumakinana1198 gendagenda vp
@samsonbalige1627
@samsonbalige1627 3 жыл бұрын
Dirt songa nlitaka fia kule
@Taito-brand
@Taito-brand 3 ай бұрын
Oya dert songa balaaa😂😂😂😂
@allymohamed7832
@allymohamed7832 5 жыл бұрын
Aisee mzee baba umekimbusha mbali sana chenja ya kutosha hata kama ulikua umechoka lazima umalize luti chenja
@johnmakeja
@johnmakeja Жыл бұрын
Hahahaha noma xanaaa mwamba.
@lydiasonckatunguti3508
@lydiasonckatunguti3508 5 жыл бұрын
Nakumbuka mbali sanaaa 835kj mambo yalikuwa fire na babu wa roliondo na afande lukosi eagle coy mgambo ya tanga kabuku vilee na rekuti elisantee mpenda chenja ukumbukwe sana napamc jeshin mnooo
@akleymassawe3684
@akleymassawe3684 5 жыл бұрын
Lydiaso nc Katunguti daaaaah babu wa roliondo lina matusi lile
@mchingamaally1606
@mchingamaally1606 2 жыл бұрын
Weee huyu tulikuw na elsante roli na lukosi F coy, Op kikwete 2015 hapohapo mgambo.
@pcmtv8033
@pcmtv8033 5 жыл бұрын
838kj maramba jkt op tz ya vwanda @ bravo coy
@mashajohanes7727
@mashajohanes7727 3 жыл бұрын
Pamoja sana enzi izo....nlkua eagle coy kwa afande mwita 😅😅😅😅😅😅😅😅
@bizoojoh9145
@bizoojoh9145 3 жыл бұрын
Hamna danger coy Afande Mtweve op ya tz ya viwanda
@adaking2786
@adaking2786 Ай бұрын
Deo Machenja 834kj Makutu tos like mnayekumbuka shughuli yake
@user-kk7wd1sm3x
@user-kk7wd1sm3x 17 күн бұрын
😅😅😅🙌Oya weeeeeh Mwanang wa Mkuza
@josephnjulai5167
@josephnjulai5167 5 жыл бұрын
841 kj 2014. , bt uyo mwamba Ni Bugalama ndani ya CCP 2015/2016 J 1 , Kama wa Op na wa d gonga like
@danielkikoko8289
@danielkikoko8289 5 жыл бұрын
841kj mwendo wa kutoloka kwenda kwenye kangalaaaaaaa😁😁😁😁
@philemonleonard1532
@philemonleonard1532 5 жыл бұрын
841
@corethamsemwa5052
@corethamsemwa5052 5 жыл бұрын
Ya mtoto hyooo haina maji😁😁 841kj likes zenu
@sennybrown8588
@sennybrown8588 Жыл бұрын
2018 , nlkua hpo
@tyivbra
@tyivbra 2 ай бұрын
841kj Mafinga Kunabarid ka uturuki haise😂😂 Nlikua Eagle coy
@guzohmnyama516
@guzohmnyama516 5 жыл бұрын
BULOMBORA JKT 821 KJ OP Tanzania ya viwanda 2017 pamoja Sana 💪💪💪💪💪
@salumramadhan8950
@salumramadhan8950 5 жыл бұрын
Nakubal sana mkal wangu, WAP st ezra
@rojadetamwadri434
@rojadetamwadri434 5 жыл бұрын
Pamoja port 821KJ 2018. Port Ambali, Kadurege wa ukweli
@hajimasoud9069
@hajimasoud9069 5 жыл бұрын
Rojadeta Mwanri manina kadurege
@danielmsayeth9655
@danielmsayeth9655 3 жыл бұрын
Pamoja sana mwamba! Wapi Afande KADULEGE,AMBARI na MZEE WA KITENGO MAGOGO NGUTANI?
@Adrext
@Adrext 7 ай бұрын
Ulikua coy gani Mzee wangu😂😂
@alhajiomary2294
@alhajiomary2294 5 жыл бұрын
Dah! Inanikumbusha mbali,kanembwa Kama umepitia kurutu Kama Mimi nipe like zang jama.
@aminayusuphu8023
@aminayusuphu8023 3 жыл бұрын
Dah!!atal sana
@fadhilyussuf322
@fadhilyussuf322 3 жыл бұрын
Dah we acha tu
@godwinegacharo9001
@godwinegacharo9001 3 жыл бұрын
Hii ni Bravo coy Mgambo jkt
@agnesmbise6625
@agnesmbise6625 2 жыл бұрын
Ulikuwepo mwaka gan
@mofiretv2010
@mofiretv2010 3 жыл бұрын
843 kj nachingwea..OP makao makuu dodoma daaahhh mnanikumbusha mbali sanaaa
@faithmangaka6090
@faithmangaka6090 3 жыл бұрын
Dah wananikumbuksha 843 kj
@danielwilliam3348
@danielwilliam3348 5 жыл бұрын
Wazee C.U pale kwa RUTA kijana alikuwa a coy Huyu kwa mlezi wetu Wa koy matiku big up sana kijana wangu Wa op
@emmanuelmweruka815
@emmanuelmweruka815 5 жыл бұрын
Enzi hizo aisee 2014, 832KJ ilikuwa hatari Sana, A coy aka Bulombora coy ilikuwa hatari, bogi likiongozwa na Afande mshono, na omary daah, bila kumsahau chae, na msila aisee daah ilikuwa hatari Sana, Afande best jamanii nimemmiss Sana kwny kitengo cha karate
@amosboni9387
@amosboni9387 5 жыл бұрын
mwenzangu uko wp mbona tulikua kikosi kimoja
@omarylugusha
@omarylugusha 5 жыл бұрын
EMMANUEL MWERUKA da mwanangu umenikumbusha mbali afande best , musira, boko, alafu kuna huyo wa kuitwa afande magumashi hatari sanaa kiungo cha kati unamkuta RSM ISSA MGIMBE 832KJ hatupoiiii
@priscamlaki9652
@priscamlaki9652 5 жыл бұрын
pamoja
@daudireuben9898
@daudireuben9898 5 жыл бұрын
Dah bro umenikumbukusha sana afande chae na best
@daudireuben9898
@daudireuben9898 5 жыл бұрын
832kj 2018
@rasheedyahmady6867
@rasheedyahmady6867 4 жыл бұрын
Wanangu wa 838Kj Tanga,,,,,,BRAVO COY.....👊
@zakariadouglas6275
@zakariadouglas6275 Жыл бұрын
Mwaka gan kjn
@aliveplusmedia
@aliveplusmedia Жыл бұрын
Mwaka gan
@georgemaweta8790
@georgemaweta8790 5 жыл бұрын
841 kj op mererani daaah ni nomaah 💣
@furahagabriel4053
@furahagabriel4053 3 жыл бұрын
Mafinga yetu
@yusuphkisoma7669
@yusuphkisoma7669 3 жыл бұрын
Mafinga moja A coy ya demo.
@samsongisiri8913
@samsongisiri8913 5 жыл бұрын
Dah! Mwanangu nyimbo tamu sana.
@buka7682
@buka7682 5 жыл бұрын
hahahahahaaa daah raha sana ''Tatzo unapamic ila ndo uwezi kwenda kutembea kama shule uliyo maliza''...... ''NDOOO BAAAS NDOOO BAAAS TENA''
@AndrewMugaya
@AndrewMugaya 5 жыл бұрын
😂😅😆😆😃😉 unaenda tu sifa .Mikazo. na unywe maji mengi
@denismakweba3870
@denismakweba3870 3 жыл бұрын
832 JK 2013 'Danger Coy ya molali'🔥🔥🔥 raia ni ngumu kuelewa kwanza wapite hivi🤣😂🤸kama umemkubali mwana twende sawa! 👇
@papaamanmira6960
@papaamanmira6960 3 жыл бұрын
Msira Meja
@lizamakala
@lizamakala 3 жыл бұрын
Aisee mbona sikukumbuki mie pia nilikuwa danger coy kwa bi bhoke
@aliveplusmedia
@aliveplusmedia Жыл бұрын
@@lizamakala heeh kwelihh
@martinkawishe5305
@martinkawishe5305 4 жыл бұрын
825kj..chenja kilaa mabio..full molali.palee kazaul..adi magofu.bila chenja utoboi.mkuu wa mafunzo capt EP LeMa.RIP kamanda.
@silyivanusselialis9032
@silyivanusselialis9032 2 жыл бұрын
Tukutane manguluwe
@reginajeremiah7943
@reginajeremiah7943 5 жыл бұрын
mnanikumbusha mbali Sana jaman 2016 op Magufuli
@robertpeter4283
@robertpeter4283 5 жыл бұрын
Ok ulienda wapi wewe saivi
@angelkitinya9525
@angelkitinya9525 3 жыл бұрын
So poa
@gerardmalyos3928
@gerardmalyos3928 2 жыл бұрын
Nimeipenda
@kelvinbenedicto574
@kelvinbenedicto574 4 жыл бұрын
838kj maramba op magufuli c coy ya demo salute afande msuya, afande george na madoja wenzangu man abel salute
@jameskabwijage3025
@jameskabwijage3025 3 жыл бұрын
Tulikuwa hatar kipindi kile
@jacklinewiseman5434
@jacklinewiseman5434 3 жыл бұрын
Aiiiii C coy ya demooooo
@aliveplusmedia
@aliveplusmedia Жыл бұрын
@@jacklinewiseman5434 acha2 yaan naomba namba ako jack
@omaryrajabu2970
@omaryrajabu2970 5 жыл бұрын
Nakumbuka kj825 mtabila kigoma 2016,,daaah jesh mwanzo mgum ila fulu morali ukiyakubali hayo maisha na kunywa maji mengi moyo uelee,,,respect kwako afande wangu Mpuche,Ngasa,Mapunda,na jembe,,,,kurutiii wenzangu devie,,kasimu,baraka,mahira ,devi,dani,zai,daaah heahima kwenu
@alexjohn2314
@alexjohn2314 5 жыл бұрын
napenda sana jeshi ila sijapata tu nafas
@felixdavid132
@felixdavid132 5 жыл бұрын
Bugalamaaaaaaaaaaaa....wauweeeeehhh!!
@felixdavid132
@felixdavid132 5 жыл бұрын
Bugalamaaaaaaaaaaaa mzee wamasongi wapi pachawako zakayoooo aliyesoma elimu ya mbele rashiaaaaaaaa!!!
@ayoubchapita6070
@ayoubchapita6070 5 жыл бұрын
838KJ--OP KIKWETE 2015 EAGLE COY
@mwajabujuma4496
@mwajabujuma4496 5 жыл бұрын
825kj daaaaah inanikumbusha mbali
@georgeeliudi3785
@georgeeliudi3785 5 жыл бұрын
Kama unamkubali Bugalama gonga like twende pamoja
@johnhezronmkwizu3173
@johnhezronmkwizu3173 5 жыл бұрын
nakumba ruvuu 832 kj kilima nyege atar. ...
@rashiedmtulia5883
@rashiedmtulia5883 5 жыл бұрын
Namkumbuka huyu jamaa alikuwa akiimbisha tunamkimbilia aseee
@ellyminja5707
@ellyminja5707 5 жыл бұрын
George Eliudi buga the done
@thehunter5920
@thehunter5920 5 жыл бұрын
A coy maramba op muungano 838kj. 2014
@andrewkipesha1194
@andrewkipesha1194 5 жыл бұрын
Buga noma
@justineombela1727
@justineombela1727 4 жыл бұрын
832kj op Tanzania ya viwanda😓😓😓😓 natamani ijirudie tena
@edwinjoseph7034
@edwinjoseph7034 4 жыл бұрын
Ndo bac tenaaa mwambaaa.....
@edwinjoseph7034
@edwinjoseph7034 4 жыл бұрын
Watoto wa Charles mbugee
@nassoro6590
@nassoro6590 28 күн бұрын
Hahaha hatari sana
@theosaimon6933
@theosaimon6933 5 жыл бұрын
Oljoro moja hiyo balaa nakumbuka mbali sana asubuhi asubuhiiiiii
@EmmyJerutich
@EmmyJerutich 3 ай бұрын
Waoo I like this songs
@user-yo1wu1je4e
@user-yo1wu1je4e 11 ай бұрын
❤❤❤ Dah! Nikiwa mabio huwa natamani Sana kuwekewa chenjaaa ka hizi ila basi tuuu....mujibu wa sheria shkamoo
@kimvevo255
@kimvevo255 10 ай бұрын
kikosi gan weww
@josiahlameck1319
@josiahlameck1319 5 жыл бұрын
Wazee wanzangu nakumbuka 2009 OP Kilimo kwanza kosi 821 kj Bulombora kikosi kikiongozwa na afande Thomasi mungu ampumzishe mahali pema pepon CI afande Musira comb C coy chini ya s/sgt Mwanja ni nooma saana uku wakisaidiwa na babu omary, bwana pepsi private Idrisa na Tarimo uku msengi ni nooma saaana mabio kama gote adi Ilagara, kaseke, miyobozi hatareee
@frankmweta5865
@frankmweta5865 5 жыл бұрын
Wote watoto,gonga like kama unaijua Op Jajiri,2005-2006
@iqrammafumo7235
@iqrammafumo7235 5 жыл бұрын
821 kj ni kikosi cha makomando aise acha kabisa kile kikosi.ukienda men get ukikutana na mp tasi ni shida.kama umepitia 821 gonga like hapo
@philemonsavutu1543
@philemonsavutu1543 5 жыл бұрын
Mp nick mtabila ni mwisho
@paulmshanga4177
@paulmshanga4177 5 жыл бұрын
832kj op tz Ya viwanda, Hizo chenja za kuendea Shamba La vitunguu ( Kwa Trump)
@rashleymwanyokx3470
@rashleymwanyokx3470 5 жыл бұрын
hhhhhh dah
@chagenyakamoti3197
@chagenyakamoti3197 5 жыл бұрын
824kj Kanembwa 2013 mujibu wa sheria & volunteers noma Sana R.I.P dakanyama na magesa
@jescajosiah3242
@jescajosiah3242 5 жыл бұрын
Chage Nyakamoti
@melkizedekibugemwe4851
@melkizedekibugemwe4851 3 жыл бұрын
Kwani Magesa naye alishafariki?
@nsikanyigwinshimpinga9132
@nsikanyigwinshimpinga9132 2 жыл бұрын
Those day in the 2015 in 841 kj mafinga with my fan kadeghe, ismail And Nshikanyi aka selina hahahahaha. Nimekumbuka mbali
@leahuisso7332
@leahuisso7332 Жыл бұрын
11
@leahuisso7332
@leahuisso7332 Жыл бұрын
11
@leahuisso7332
@leahuisso7332 Жыл бұрын
11
@mohamedmoremi9796
@mohamedmoremi9796 4 ай бұрын
Op Kikwete sir meja pilato
@benjaminjulius8021
@benjaminjulius8021 5 жыл бұрын
Hatari sana... Hii ni zaidi ya konki fire....
@salumubulugu4043
@salumubulugu4043 6 жыл бұрын
Nomaaa!!! sana babu kapata wapi wakucheza nae
@abdallahmkonge6257
@abdallahmkonge6257 4 жыл бұрын
845kj op makao makuu dodoma ikumbukwe hyooooo
@fikirieliah1815
@fikirieliah1815 5 жыл бұрын
Wanangu wa 842kj - Mlale Jkt...Op MAGUFULI 2016....C COY huwez kumsahau afande George, Mahamud, baba Mnyilamba, matron, Zuena,,,
@williamcharles9264
@williamcharles9264 5 жыл бұрын
Mahamud mzee wa Lile trekta la mlale
@fikirieliah1815
@fikirieliah1815 5 жыл бұрын
@@williamcharles9264 eeeeh mzee
@teejoee993
@teejoee993 3 жыл бұрын
Matron zuena alikuepo tu 😂😂mm 2016 shakira je alikuepo na kopakopa??
@fikirieliah1815
@fikirieliah1815 3 жыл бұрын
@@teejoee993 Matron zuena hawezi sahaulika yule dada😂😂
@deogratiaskatabwa5230
@deogratiaskatabwa5230 3 жыл бұрын
825 KJ kikosi mtabila operation miaka 50 ya muungano C- Coy ya demo chenja Kali sanaaa jeshi tamu sanaaaa
@davidtynah5661
@davidtynah5661 Жыл бұрын
Kwenye ndizi😁
@sanyamwita1853
@sanyamwita1853 5 жыл бұрын
R.I.I ALEX 822kj op kikwete nmekukumbuka baada ya kusikiliza chenja za mabio
@daudrulla1337
@daudrulla1337 3 жыл бұрын
Maktopolajkt 332 amshaamsha sana
@danieldaudiyaghambe1379
@danieldaudiyaghambe1379 5 жыл бұрын
824Kj kamembwa gonga like hapa tuende sawa
@lucienassantha9575
@lucienassantha9575 4 жыл бұрын
Nyote kama hamkuepo kanembwa enzi za wakimbizi basi hamku enjoy vyakutosha 😅😅😅😅 Mimi sio askari bali ni Mumarecani asili ya Congo mwana kin nime enjoy sana kukaa Na Na J. K.T enzi hizo 2008 up to 2010 bila ku sahau Afande Emanuel Mtumbili... Na Cople Mabenga jomba jomba 😅😅😅😅😅
@danieldaudiyaghambe1379
@danieldaudiyaghambe1379 4 жыл бұрын
Mabenga nimemkuta
@edwinfweni
@edwinfweni 4 жыл бұрын
Aq3551
@mabubakitambi6599
@mabubakitambi6599 3 жыл бұрын
@@lucienassantha9575 za tt
@joramfrancis8805
@joramfrancis8805 3 жыл бұрын
Kama kawa
@edwardalick5616
@edwardalick5616 5 жыл бұрын
822kj op kikwete 2015,,like hapa
@rajabumohamed556
@rajabumohamed556 3 жыл бұрын
Oyoooo ulikuwa coy ip mwambaaa
@user-ej6jm2cb4x
@user-ej6jm2cb4x 4 ай бұрын
dah Nilikua A-Coy
@allytwahir6265
@allytwahir6265 5 жыл бұрын
Bravo coy pltn no.04 mikono juu kwa chum boooy.....afande side mzee wa mitusi hahahaa....meli ya mgiriki bugalama.
@huzzyhussein9840
@huzzyhussein9840 5 жыл бұрын
Hahahah daah apa ndo nakumbukaa op merelan awam ya kwanza @834 kj Dodoma Bila morali unakufaa ila kwa chenja ata kilometa 40 huchoki RAIA haelew apo tunaelewa makamanda tu
@georgegodfrey8875
@georgegodfrey8875 5 жыл бұрын
huzzy hussein makutupora jkt
@huzzyhussein9840
@huzzyhussein9840 5 жыл бұрын
@@georgegodfrey8875 mujibuu kk
@georgegodfrey8875
@georgegodfrey8875 5 жыл бұрын
huzzy hussein hata mm nilikuwa mujibu 2015 now nimemaliza degree nataka nirud jeshinu
@hamisslondeee8470
@hamisslondeee8470 5 жыл бұрын
huzzy hussein @haha 😄😄 hatari maku tu 834 tunahesabu tupooo makutupora
@huzzyhussein9840
@huzzyhussein9840 5 жыл бұрын
@@hamisslondeee8470 daaahhh kitamboo San kk
@deusjitesa1101
@deusjitesa1101 3 жыл бұрын
These Songs thou 😊😊
@reendaisy7761
@reendaisy7761 5 жыл бұрын
Jeshi was the best experience ever.. 🙌😅 #mgambojkt
@AndrewMugaya
@AndrewMugaya 5 жыл бұрын
Sure 😊
@hassankawawa2921
@hassankawawa2921 3 жыл бұрын
Reen
@christianpeter7689
@christianpeter7689 2 жыл бұрын
Mabio ya Gendagenda,
@christianpeter7689
@christianpeter7689 2 жыл бұрын
Mabio ya Gendagenda
@mchingamaally1606
@mchingamaally1606 2 жыл бұрын
@@christianpeter7689 hahahahaa kwa bojo, kwa msanga. Zile ruti za rest house usipime kaka. #mgambokj Op. Kikwete, mujibu. F coy ya demo😂😂😂
@mbishiwakitaa2590
@mbishiwakitaa2590 5 жыл бұрын
Hapa makamanda ndo mahari petu raia pita kushotooo, kama nakuona Bugalama CCP no J Uwiiiiii!!!!
@israelmwakapala2913
@israelmwakapala2913 5 жыл бұрын
Pamoja sana kamanda
@josephnjulai5167
@josephnjulai5167 5 жыл бұрын
Bugalama uyo J one ndani ya Mr Price CCP
@rashidyussufsaid6575
@rashidyussufsaid6575 5 жыл бұрын
No j kidole juuu
@blackmamba7553
@blackmamba7553 5 жыл бұрын
AF mbona kama sauti ya bugalama mamae hatari sana daaaaaaaah
@jofreyrobert2440
@jofreyrobert2440 5 жыл бұрын
2017 ecoy na afande meshack hatari sana 832 kj
@tomnobill4689
@tomnobill4689 2 жыл бұрын
Wao I love it
@ezraozem6221
@ezraozem6221 5 жыл бұрын
Nakumbuka sana 821kj danger coy bulombora chenja hatar nikiwa Kama St .maafande wakina ngwasho,shingishi,kaswaili,matron msiba,seba,mweta......OP TANZANIA YA VIWANDA GONGA LIKE 2017
@darlphonesosthenes6721
@darlphonesosthenes6721 5 жыл бұрын
821 danger coy ya demo 😁😁😁
@ezraozem6221
@ezraozem6221 5 жыл бұрын
@@darlphonesosthenes6721 unaikumbuka eeeh
@fideliswarioba1469
@fideliswarioba1469 5 жыл бұрын
Dah! Naikumbka xana Denja coy ya demo a.k.a wa kujtolea op TV 2017,821 kj bulombora sir meja kaswahili
@justinbeaver733
@justinbeaver733 5 жыл бұрын
Nn
@richardmachage505
@richardmachage505 5 жыл бұрын
821kj danger ya demo Now inakamatwa na koplo ambari
@khamisiluhaga1716
@khamisiluhaga1716 5 жыл бұрын
Hakuna kazi nzuri duniani kama ya jeshi
@zizzouhamidu2455
@zizzouhamidu2455 3 жыл бұрын
Wale warwamkoma tupia likes za kutosha
@joxiahmendez1325
@joxiahmendez1325 3 жыл бұрын
Op Mererani..!! B-Coy Afande Assam Jeneza
@humphrymbilla1635
@humphrymbilla1635 5 жыл бұрын
835Kj Op miaka 50 ya JKT Afande Ndolile mkali wa machenja full morali adi kwa msange.
@elinawingachao6309
@elinawingachao6309 5 жыл бұрын
Humphry Mbilla bila kumsahau laizer MZEE wa tobo
@mrasimussa82
@mrasimussa82 5 жыл бұрын
@@elinawingachao6309 hahaha hiya my alikuwa hatari...
@mrasimussa82
@mrasimussa82 5 жыл бұрын
@@elinawingachao6309 kina kaliata
@elinawingachao6309
@elinawingachao6309 5 жыл бұрын
Meja kanole jaman yupo?
@husseinkawamba308
@husseinkawamba308 5 жыл бұрын
Bagdad mojaaaaa
@amossemela1008
@amossemela1008 5 жыл бұрын
Daaah!!,, noma xaana unikumbusha 838kj maramba-tanga Prospa mgaya aka chenja boy!!!,, Halaf wew nae ety somebody mgaya hayo majina ya mgaya veeeep!!!!
@AndrewMugaya
@AndrewMugaya 5 жыл бұрын
😊😊 yamefanana tu.
@gregorykarabwe7951
@gregorykarabwe7951 5 жыл бұрын
Nimekumbuka 821jk miaka ya 2013-2014 op miaka 50 ya jkt
@kadengedeus2888
@kadengedeus2888 5 жыл бұрын
mbali sana long sana
@Ebendentalclinic
@Ebendentalclinic 5 жыл бұрын
daah huyu mwana ni nomaa sana
@mohamedsalehe5623
@mohamedsalehe5623 5 жыл бұрын
Dah.....Nimekumbuka mbali sana yanii unasota alafu mtu anakuja kukuletea zakwake kinachofata ni kumnyakua tu wanangu wa inteki ya 16 Like hapa
@georgeelias9439
@georgeelias9439 5 жыл бұрын
Dah nakumbuka mbali sana832kj raha sana jeshi tamu sana hasa ukiwa na morali
@isayakasamala136
@isayakasamala136 5 жыл бұрын
Wow iyoo song nimeikumbuka
@frankkisanga7307
@frankkisanga7307 3 жыл бұрын
842 KJ MLALE one love🤟🤟
@mwinyimadk.longwa6327
@mwinyimadk.longwa6327 3 жыл бұрын
Nilikuwa apo op uzalendo
@priscachristopher8191
@priscachristopher8191 3 жыл бұрын
Uadilifu m here
@suleimanimg9696
@suleimanimg9696 2 жыл бұрын
👍👍👍👍
@salehalisaleh7685
@salehalisaleh7685 5 жыл бұрын
Daaaah,umenikumbusha maeneo flani wkt bigula la mchaka mchaka saa nane usiku,Mungu ni mwema tumemaliza na tunalisongesha mikoani
@bahatisalumu4973
@bahatisalumu4973 5 жыл бұрын
dah ndo bas tena A coy ya demo 822 kj Rwamkoma op magufuli 2016
@rhodanzella1873
@rhodanzella1873 5 жыл бұрын
maafande sisi
@lotridahenjewele8431
@lotridahenjewele8431 4 жыл бұрын
Daaaaaa 2013 rwamkoma, afande Hassan, makange
@abuumuunguja1507
@abuumuunguja1507 4 жыл бұрын
@@lotridahenjewele8431 so poa
@charlzysaul3257
@charlzysaul3257 3 жыл бұрын
Pamoja mkuu
@joxiahmendez1325
@joxiahmendez1325 3 жыл бұрын
Op Mererani 2018..!! Afande Assam Jeneza
@muharas0059
@muharas0059 3 жыл бұрын
Kawaida ya course ukimaliza ndo unaona raha kama irudiwe wale wa 838 kj like
@aliveplusmedia
@aliveplusmedia Жыл бұрын
Mwaka gan
@maduhujoel7460
@maduhujoel7460 5 жыл бұрын
nimekumbuka 822kj Rwamkoma...2016.,, safi sana ..tudumishe uzalendo.
@hajimhesi7914
@hajimhesi7914 5 жыл бұрын
Maduhu Joel acha tu rwamkoma moja
@rhodanzella1873
@rhodanzella1873 5 жыл бұрын
rwamkoma!!!!!!!!!!! mimi bado na liaaa tu !!1 shebunge!!!
@joxiahmendez1325
@joxiahmendez1325 3 жыл бұрын
Afande Assam Jeneza
@godluvmtegajr.6154
@godluvmtegajr.6154 5 жыл бұрын
daaaahhh noma sana mzeee.... 838 kj maramba, ett... A coy ya demo... umenkumbusha mbal sana mzeee
@saidomar6806
@saidomar6806 4 жыл бұрын
Unamkumba solider mzee wa Congo alikuwa service pale 838kj maramba
@comfortanderson8544
@comfortanderson8544 3 жыл бұрын
A coy ya demo
@comfortanderson8544
@comfortanderson8544 3 жыл бұрын
Daah kuna service man anaitwa Razack mkal wa chenja tumeenjoy San watu wa A coy 2020 OP uchumi wa kati
@comfortanderson8544
@comfortanderson8544 3 жыл бұрын
Kj 838 maramba jkt tanga
@mrsuccess5057
@mrsuccess5057 3 жыл бұрын
C coy afande X 2015 ST wao npo hapa🤣
@lowasameliyo4027
@lowasameliyo4027 Жыл бұрын
Bravo 2018 kj 841 mafinga kampi tajiri kuliko yote tz
@tyivbra
@tyivbra 2 ай бұрын
Tatizo ni barid haise
@danielkikoko8289
@danielkikoko8289 5 жыл бұрын
kuoga siog mpaka nimalize ruti daaaaah kitambo xana
@florenceshangwe7558
@florenceshangwe7558 4 жыл бұрын
Gone are the days 🤣🤣🤣🤣Wonderful moments I do miss #834kj Makutupora #OpMiaka50YaMuungano2014
@mkandaabushiri5481
@mkandaabushiri5481 5 жыл бұрын
Nakumbuka 841 maisha Bora 2007 mafinga iyo chenja namkumbuka s/m mandepo balaa .bigap pte tuma .pte ngozi.pte nzali.pte tuma ndani D_coy
@rockmakunda5120
@rockmakunda5120 2 ай бұрын
846 KJ sumbawanga OP uchumi daaaaah natamani ata kurudi jeshi❤❤❤
@pelinaelizeus3570
@pelinaelizeus3570 5 жыл бұрын
daah nakumbuka mbali sana 2012 duuh 842 kj ni noma sifa morali tuu
@beckajunior1388
@beckajunior1388 4 жыл бұрын
Enzi za embakasy
@marcodavid4183
@marcodavid4183 3 жыл бұрын
INANIKUMBUSHA MBALI SANA.... OPERATION MIAKA 50 YA MUUNGANO 2014 834 KJ.......DENJA COY YA MORALI....CHINI YA AFANDE SIMBA......WAZEE WA DEMO KWENYE KWATA.....HAKUNA NANGA HATA MMOJA.
@raphaelfadga9639
@raphaelfadga9639 5 жыл бұрын
Duuuuuh nakumbuka 838 kj maramba op magufuliii bnaaaa
@jamalmageser9390
@jamalmageser9390 5 жыл бұрын
Ulikuwa maramba intake ipi?
@georgekiangi1327
@georgekiangi1327 5 жыл бұрын
Aaaah Danger coy afande manyama + Duba ilikua hatari
@godluvmtegajr.6154
@godluvmtegajr.6154 5 жыл бұрын
hahahahaha noma sana
@farajanyaulingo7588
@farajanyaulingo7588 5 жыл бұрын
Daaaaa nakumbuk san op magufur 2016
@giftlugome9538
@giftlugome9538 5 жыл бұрын
Coy gan kaka?
@stephensaid5965
@stephensaid5965 5 жыл бұрын
nakubali sna hata mm najua ningekimbia mita kama zote
@husenimshana8873
@husenimshana8873 5 жыл бұрын
hahah
@samsonyamat1405
@samsonyamat1405 5 жыл бұрын
Waooo,,,morali moraliii,,,,Mafinga ntakukumbka daimaaa
@emanuelhumay2709
@emanuelhumay2709 3 жыл бұрын
Op makao makuu 834kj mamae zao
@ujasusinaupeleleziduniani7252
@ujasusinaupeleleziduniani7252 5 жыл бұрын
Daah man bugalama huyoo op muungano 2014 maramba jkt hzo nymbo tupo ccp 2015-2016 asee siku zrud nyuma
@saidomar6806
@saidomar6806 5 жыл бұрын
838 moja iyo
@jowsetz1815
@jowsetz1815 5 жыл бұрын
Aiseeee unaweza tamani ziludi nyuma pale b coy
@josephnjulai5167
@josephnjulai5167 5 жыл бұрын
Acha kabisa man app kwenye kale kamtelemko tunaitafuta keep left ya kwanza
@midopestmtumakini2189
@midopestmtumakini2189 5 жыл бұрын
sahihiii mzee bab ndan ya c.u
@saidomar6806
@saidomar6806 4 жыл бұрын
Uyu dogo alikuwa anatisha anaemfahamu afande wenu mzee wa Congo Yule wa 838 Maramba nilowafundisha Muungano anichek apo...
@trueexplorer894
@trueexplorer894 3 жыл бұрын
Hizi nyimbo zinanikumbusha machungu tu
@rogermbogo2423
@rogermbogo2423 5 жыл бұрын
Dah nakubaliii xaana wazeee wa kazii
@nancymmanga7578
@nancymmanga7578 2 ай бұрын
Hongelen
@leonardmagesa7129
@leonardmagesa7129 5 жыл бұрын
Nakumbuka mbali sana ndani ya 835KJ MGAMBO KABUKU,OP MIAKA50yajkt2013,WAP Afande kalyata.....
@husseinkawamba308
@husseinkawamba308 5 жыл бұрын
Afande ndunguruuuu
@crecenciamashauri298
@crecenciamashauri298 5 жыл бұрын
oyoooo myk, matron nakusalimu hapa..c coy moja
@saidomar6806
@saidomar6806 4 жыл бұрын
Nakumbuka kabuku tuliwapitia wakat tumechakuliwa kwenda Msata walifurah sn ilikuwa 2015 int 34 tuliingia na simba mtoto kabuku Toka Maramba
@jumabakili1994
@jumabakili1994 3 жыл бұрын
Hongoli mmoja
@mkumbosamson7981
@mkumbosamson7981 3 жыл бұрын
Tujuane intake ya 2014 kanembwa,walimu mliimba nyimbo mkatengeneza Cd
@gilbertkasikila5294
@gilbertkasikila5294 Жыл бұрын
Mimi nilikuwa 833kj jkt oljioro same year. Natamani sana ningepata hizo nyimbo
@ernesticrispin5064
@ernesticrispin5064 5 жыл бұрын
Daaaah nakumbuka Mbaribsana enzi izo lugaro iyo daaaaah sio pw vumbitu apo unalona
NYIMBO KALI ZA JESHINI- CHENJA ZA JEAHINI. FULL MORALI
16:38
Laurence Jm
Рет қаралды 63 М.
TANZANIA NITAKUNDA MPAKA KUFAA Original
9:40
DJ STEVE B
Рет қаралды 319 М.
Fortunately, Ultraman protects me  #shorts #ultraman #ultramantiga #liveaction
00:10
Бутылка Air Up обмани мозг вкусом
01:00
Костя Павлов
Рет қаралды 2,1 МЛН
OMUNENE NABBI DAUDI ATINGIDDE.
1:01
For God and my Friends.
Рет қаралды 21
MTOTO ANALILIA JESHI [HARD DRILL REMIX]
1:06
Beat Kidd
Рет қаралды 36 М.
Nyimbo za Jeshini   Chenja Kali za Mabio
16:06
Andrew Mugaya
Рет қаралды 138 М.
TOP 100 YA CHENJA ZA PANYA MSELA NI BALAA
8:24
CHENJA ZA PANYA 'Mtoto Wa Pekee'
Рет қаралды 41 М.
Fortunately, Ultraman protects me  #shorts #ultraman #ultramantiga #liveaction
00:10