824 kj (KANEMBWA) OPRESHENI UCHUMI WA KATI 2020/2021
@tabitharosaliabitson482 жыл бұрын
Int 40
@sethmartin65552 жыл бұрын
841 KJ MAFINGA, OPERESHENI MIEZI SITA,1993.
@DavidJohn-bh6fc8 ай бұрын
Nikiwa kwenye mapambani ya maisha,this is my comfort song
@farajagordon47242 жыл бұрын
Najivunia kuzaliwa Tanzania
@rosemambo24152 жыл бұрын
I like the song because i am group scout leader
@JosephJuma-st3cu Жыл бұрын
Mi ni kijana wa Tanzania naipenda sana nchi yangu mungu ibariki Tanzania pia naipenda sana hii kazi
@rooftoprestaurantcafe3633 Жыл бұрын
May God bless and protect our soldier Of Tanzania I love my country
@matthewjohn51082 жыл бұрын
Naapa naahidi mbele za Mungu Tanzania nitakulinda mpaka kufa. Maneno matamu sana. Naipenda Tanzania ✨ yangu. 🔥🔥🔥
@emmanuelkuni14882 жыл бұрын
Hakika
@jacksongwanchele3174 ай бұрын
Mwl Gwanchele napenda sana kusikiliza na kuimba nyimbo za kizalendo
@omaryissagau5859 Жыл бұрын
Najivunia kuwa mtanzania amen
@edsonrobert1714 Жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿🇹🇿
@nassorissa600810 ай бұрын
832kj forever in blood
@user-sn5cl1io3u Жыл бұрын
I ❤ my National Mungu aibariki nchi yangu
@mgeni8272 Жыл бұрын
Naipenda sana Tanzania ndani ya moyo wangu
@bonifassimon7909 Жыл бұрын
Hakika nchi yangu TANZANIA nakupenda mnooo
@mussakhamis57 Жыл бұрын
Tanzania ni nchi yng🇹🇿🇹🇿🇹🇿…
@hadijachambuso2390 Жыл бұрын
My favorite song😘😘😘
@gabrielnjiapanda37104 ай бұрын
Nikisikiliza wimbo huu,natamani wanajeshi ndio waongoze hii,nadhani Hao ndio wanauzalendo wa kweli na nchi yetu,sio hawa wengine wapigaji tu.
@elishangomele9937 Жыл бұрын
Naipenda nchi yangu
@fredyfrancis68102 жыл бұрын
fantastic changers
@user-bg1vu8vq7m3 ай бұрын
Nakupenda inchi yangu na nitailinda mpaka kufa kwangu❤
@mcharomtungulu34598 ай бұрын
Makuyuni JKT Operation Kambarage 1990/1991. Mungu ibariki Tanzania.
@hoseakato168 Жыл бұрын
Naipenda san nchi yangu tanzania mungu ibarki tanzania
@stephenjohn47332 жыл бұрын
Kwasababumeni skout nmeipendasana
@BlackMoon-ur2sq10 ай бұрын
For ma county I will lay down ma life, from my blood and bones I will fight to the very end 839 KJ OPERATION SAMIA
@oswinmkinga96292 ай бұрын
Huu ni wimbo embat unanitoa machos, ni ishara kuu ya uzalendo wangu
@JanethMushi-pr2bm7 ай бұрын
Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿🇹🇿♥️
@uchebezaidu15332 жыл бұрын
Nakubali sana
@user-eq8sz4xl8q5 ай бұрын
825KJ OP Samia 💝
@clemencemarcelli336515 күн бұрын
Wanasiasa ndiyo wanaoiharibu nchi yetu linginisha uzalendo enzi za Mwalimu na sasa
@prosperousmageni9979 Жыл бұрын
Kwa hakika Tanzania ni nchi yangu sina mahali pengine pa kukimbilia ila ni Tanzania hakuna atakaenishawishi kwa gharama yeyote kuisaliti Tanzania yangu nzuri.
@ligambaonetv21622 жыл бұрын
Ni wimbo mtamu sana ungeimbwa mashuleni watoto wapende nchi yao penda sana Tanzania
@hadijachambuso2390 Жыл бұрын
Kabisa
@user-iw2mc1ri1r8 күн бұрын
Makuyun op samia
@kanjiboe_tz7 ай бұрын
I LOVE U TANZANIA YANGU ❤️❤️❤️
@isackjoseph67412 жыл бұрын
Napenda sana
@salomegody69649 ай бұрын
My favorite song❤❤❤
@user-gy1lb9fo2b8 ай бұрын
I love Tanzania my contry
@allanmedi133311 ай бұрын
Tanzania the Brain of Africa
@roselameck51242 жыл бұрын
nyimbo safi
@ZakayoReuben-ow9tz3 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@isayamlimbila1522 Жыл бұрын
Tanzania nitakudhimini
@IDRISSAMSUMARI3 ай бұрын
Nyimboo nzr sana nakumbuk kpnd nkoo jkt 838kj
@user-hw1fp6mb4sАй бұрын
833 kj mtabila kasuru iyo tuko pamoja wenzangu
@innocent20042 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿💚
@ayubufadhili2915 Жыл бұрын
Nimekumbuka enzi hizoooo,,,,,,nikiwa 833kj,,,,,,,Kuna namna tu jeshi lina vibe kwakwel👍👍👍👍👍👍
@askwarysiay635 Жыл бұрын
Mwaka gani HUO? Mimi nilikuwa huko mwaka 1983 nakumbuka embakasi, mizabibuni, mirongo minne🇹🇿
@paulosulle7896 Жыл бұрын
Mimi832 kj
@godlovetemba39302 жыл бұрын
Safi sana
@BarakaNyambele-cz6ew Жыл бұрын
Waooooo, wimbo mzuri
@user-nt8dt3md2z6 ай бұрын
Capten komba 🤜
@mwanaidibakari7622 жыл бұрын
Love You Tz🔐♥️
@tabitharosaliabitson482 жыл бұрын
Acha kabisa hii ki2
@allymohammed10742 жыл бұрын
Patriac song
@athumanimfinanga18182 жыл бұрын
Hakika namaliza bando kwa ajili ya hii nyimbo Safi kabisa
@user-dd9gh2do8o4 ай бұрын
Hakika naipenda nchi yangu.
@victorkizito7779 Жыл бұрын
Heko Tanzania my father n mother Land
@mbunistar47802 ай бұрын
Mungu ni mwema
@dr.kevinotienordn19802 жыл бұрын
Mimi ni Mkenya lakini Tanzania ni moja ya zile nchi ningependa kuzuru.
@protaskomba27072 жыл бұрын
Karibu sana. Ujionee tanzania yenyewe
@innocent20042 жыл бұрын
Karibu sana ndugu yetu
@raymondmlay78272 жыл бұрын
Karibu sana jirani
@mariej6962 Жыл бұрын
Karibu. Unapanda basi tu uko ndani ya tz
@GeradinaJohn5 ай бұрын
Karibu sana
@zumrammari21202 жыл бұрын
Raha sana jmn jeshi letu
@yles2220 Жыл бұрын
🇹🇿naipenda nchi yangu🇹🇿🇹🇿
@user-hw1fp6mb4sАй бұрын
Capten comba mwalimu wetu kambini
@agripinasule66742 жыл бұрын
Naipenda Tanzania
@malkioripantaleo52932 жыл бұрын
Tanzania nchi yangu nakupenda sana ninaahidi kukulinda
@MarselyMichael-bw1ff Жыл бұрын
I won't forget this,
@allymtz43482 жыл бұрын
Safi
@nassibu-hy5ny Жыл бұрын
Asante sana mtunzi wa wimbo huu mzuri
@user-ij2xw3om2t10 ай бұрын
Mungu ibaliki Tanzania
@paulshibhiti9584 Жыл бұрын
That day I was like not me mp kavurugwa tunaimba huku tope linaingia mdomoni
@mugishagalibona9859 Жыл бұрын
Wimbo was kizalendo natamani kuusikia muda wote. Uzalendo oyeeeeeere!*
@gwibe15 Жыл бұрын
oyeeeeeeee
@elishangomele9937 Жыл бұрын
🫡
@stephenjohn47332 жыл бұрын
Niwimbounaotufundisha Kuala sale does inch yetu wenyewe
@mustafahassan18372 жыл бұрын
Dah JKT MSANGI IYO
@user-jz8sj5us1h Жыл бұрын
❤❤❤🇹🇿🇹🇿🤗😘
@lambosalum62998 ай бұрын
Nakumbuka JKT mlale 2014
@matumizbinafsi40942 жыл бұрын
❤👌
@user-dk3sw7dz7h3 ай бұрын
napenda sana jeshi
@tegemeantenga1026 ай бұрын
822 kj operation kikwete,,,hapo tumetoka uwanja wa mazoezi tunarejea kikosini ,,i miss those days nikiwa depo
@ramadhanisalum389810 күн бұрын
Unatoka shamba la Dunia au😂😂
@jacksongwanchele3174 ай бұрын
Karibu sana
@kiondorajab Жыл бұрын
Viva
@SifaMAdal-xq1dg Жыл бұрын
Naipnda Tanzania tunamani yakutosh
@user-hk7cp1iw6f3 ай бұрын
Nikisikia chenja hizo huwa najikuta ninawajibu wa kufanya jambo kwaajiri ya nchi yangu pendwa TANZANIA
@oscarkasalile39665 ай бұрын
Hakika nakupenda Tanzania kuliko hata nafsi yangu ninavyoipenda , naumia Sana nikiona watanzania wananyanyaswa na viongozi walioapa kuwalinda Watanzania na Mali zao lakini hawafanyi hivyo nawachukia Sana.
@shamruni5938 Жыл бұрын
Wazii
@amedeusmodestikimey98882 жыл бұрын
Hinyimbo ya uzalendo Sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@personaldevelopment98744 ай бұрын
Tanzania 🇹🇿 ❤️
@balkeesfatah88982 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪💪💪💪💪💪
@Stoniepro27 күн бұрын
Op magu
@NasreySheby2 ай бұрын
Nitumie
@mnyiratv94008 ай бұрын
Waooh
@jumannemaringo43426 ай бұрын
❤❤❤
@user-hw1fp6mb4sАй бұрын
Hatuna la kusema makamanda tuko pamoja
@thisisadonisj Жыл бұрын
822 KJ 2017🔥
@user-hw1fp6mb4sАй бұрын
Tupo msangi jkt tunawanoa vijana
@magrethkileo56033 ай бұрын
😮😅😮😢nzuri 0:56
@JescaChrisostom-bh6mi5 ай бұрын
Naipenda mpaka nalia😑😢
@clemencemarcelli336515 күн бұрын
Cheo chochote ni Kwa ajili ya umma na siyo kitu binafsi
@khalidikmuhija53972 жыл бұрын
Tunaikosea hii nyimbo na ikitakiwa inavyo imbwa original ni nyimbo ya Uzalendo hasa. Nipo tayari kuchomwa singe mpaka nione Angola imekombolewaaaa
@gregoryalfred87482 жыл бұрын
ntaipata wapi original?
@jokasihaba599 Жыл бұрын
Nzuri sana
@jokasihaba599 Жыл бұрын
Nzuri sana
@noelaludovick4120 Жыл бұрын
Mungu zidi kutupa amani wimbo mzur sana kwakweli nausikiliza kila siku
@mus2sandege Жыл бұрын
Nakumbuka 825:KJ Op Miaka 50 ya Muungano,nakupenda sana nchi yangu