EXCLUSIVE INTERVIEW-YALIYO MKUTA MCH. KATEKELA BAADA YA KUMPOKEA YESU KUWA BWANA NA MWOKOZI WAKE

  Рет қаралды 24,715

NY TV

NY TV

3 ай бұрын

Akutwa na Mazito baada ya kumpokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wake

Пікірлер: 70
@borntochange5333
@borntochange5333 3 ай бұрын
Dada huyu mtangazaji nimempenda na kumkubali, anajua kuhoji maswali na kumwongoza msemaji. Kwanza yeye ana ramani ya anachotaka msemaji aseme, anahoji maswali key. Mch Katekela ameongea sana mambo haya hasa PROMOVER TV si rahisi kusimulia story ndefu kama kwa kurudiarudia, anajitahidi sana. Mungu awabariki sana, mnawasaidia sana watu kutafakari ukweli kuhusu Mungu na shetani. Jina la Bwana Yesu lizidi kuinuliwa
@rosajacquessimbenga
@rosajacquessimbenga 8 сағат бұрын
Bwana yesu asifiwe mchungaji katekela! Naomba kwa huruma za Mungu uje kututembelea hapa Mozambique baba🙏🏾
@rerisamba
@rerisamba 3 ай бұрын
Tunao tokea promover TV hey👋👋👋
@MariaKunoga
@MariaKunoga Ай бұрын
Hi
@MuyaHappy-j8y
@MuyaHappy-j8y 3 күн бұрын
Mungu azidi kukuinua mtumishi wa Mungu amen
@user-eq9hl9vg2x
@user-eq9hl9vg2x 3 ай бұрын
Mungu akutunze jmn mtumishi wa mungu Amieli katekela tunajivunia wew mm nakufatilia sanaa na mambo mengi navuka na kujipa guvu kupitia mahubiri yako binafs Nakupenda sanaa sanaa na ninakuombea sanaa maan nabarikiwa sanaa na huduma yako❤❤
@plujoncylugano4611
@plujoncylugano4611 7 күн бұрын
Hakika mafundisho yake yana nguvu yanaponya na yanafanya mabadiliko halisi,hakika MUNGU ni mkuu kwa kupitia Mtumishi wake Katekela kwani tunapata ujasiri wa kujua siri zote za Nuru na Giza. Sasa kusikia tumesikia chagua Giza ama Nuru....
@EricMaingi-f8b
@EricMaingi-f8b 20 күн бұрын
Amina, mchungaji Amiel Mungu akubariki
@JeannineNzabanita
@JeannineNzabanita 17 күн бұрын
Mungu akubariki mchungaji, umenipa furaha tena ya wokovu, endeleya mbele mpaka mwisho
@tabithajeremiah4589
@tabithajeremiah4589 3 ай бұрын
Amen mtumishi,umekuwa wa Baraka kwangu na Huwa sichoki kukusikiliza Ubarikiwe na MUNGU akutunze ulitimize kusudi la Bwana kwenye kizazi hiki
@catherinekitonde2745
@catherinekitonde2745 29 күн бұрын
Wewe mtumishi, haukua mbaya, mbali ni roho chafu walikuweka. Nashukuru Yesu Christo Mnasareti alikuona kama mtoto wake na mtumishi wake na akakuokoa kupitia maombi na mafunzo ya neno la Mungu. Mungu akulinde Kwa kiwango ambacho sisi binadamu hatuwezi kuelewa. Bwana Yesu Christo atembee na wewe siku zote na akirudi kuchukuwa kanisa lake asikuwache. Nina kuombea Kila siku Kwa maombi yangu. Much love in Jesus Christ. Watching from Nairobi, Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@charleskuyeko1660
@charleskuyeko1660 3 ай бұрын
Hongera sana Mchungaji kwa kazi nzuri ya Mungu. Ushuhuda wako umenibariki sana. Namtukuza Mungu kwa ajili yako.
@desderykarugaba1826
@desderykarugaba1826 3 ай бұрын
Mungu amekutoa mbali sana Mchungaji endelea kumtumika bila kuchoka, kuwa tayari wakati wote unaofaa na usiofaa.
@yalalaambobe9528
@yalalaambobe9528 3 ай бұрын
Amen amen Mtumishi wa Mungu mimi mwenyewe napendelee sana maombi na neno la Mungu lidumu milele
@USHINDIMANENO
@USHINDIMANENO 3 ай бұрын
Amen baba namshukuru YESU Kwaajili yako sasa vita kwaasilimia kubwa kupitia wewe naifahamu
@gracekaniki6954
@gracekaniki6954 3 ай бұрын
Mungu wa Mbinguni atukuzwe Sana Sana mtumishi endelea mbele kumtumikia Mungu aliye hai usichoke simama imara umhubiri Kristo Yesu ili watu waokolewe Mungu akulinde akupe nguvun Roho mtakatifu aendelee kujaa ndani yako ili kila utakapohubiri watu waokolewe, waponywe na kueekwa huru.Furaha yangu ni kubwa Sana Sana barikiwa Sana mtumishi wa Mungu aliye Amen
@mazulacelestine3038
@mazulacelestine3038 3 ай бұрын
Mungu ana michoro mingi sana,hata hiyo huyo mchungaji kukukataa ilikuwa ni mipango ya Mungu ili watu wengi waokolewe,ndio maana mtoto akafufuka
@bennygwasa4563
@bennygwasa4563 2 ай бұрын
Gloreeeeeeeeey to God, Mungu azidi kumtia nguvu Pastor Katekela azidi kuhuburi inji kwa usajili ❤
@JaneKuyokwa-ng2qf
@JaneKuyokwa-ng2qf 3 ай бұрын
Mungu yesu roho mutakatifu wakulinde tenanatena
@VeronicaNyambu
@VeronicaNyambu 3 ай бұрын
Hongera kwa ushindi karibu Kenya ,ueneze neno la Mungu
@bennygwasa4563
@bennygwasa4563 2 ай бұрын
Woow Asante sana Asante sana mtumishi na Ny tv I'm so blessed nimejifunza mbinu za kiroho
@user-ii7yw9ng5d
@user-ii7yw9ng5d Ай бұрын
Bwana yesu asifiwe,kwa kutuletea mtumishi huyu!,amiel ubarikiwe,Amina.
@user-hg7np4ig9o
@user-hg7np4ig9o 3 ай бұрын
Mungu akubariki sana uwe na mwisho mwema
@user-kk9zw5lc1g
@user-kk9zw5lc1g 3 ай бұрын
Amen mi pia ni kama wewe mi pia nlipitia stor ka yko ijapo sikufika kama kwako,lakn tusife moyo tuendelee mbele na yesu kristo,mbele mbele na yesu daima milele
@user-fu6fx8if6w
@user-fu6fx8if6w 3 ай бұрын
God bless you mtumishi,umekuwa wa baraka kwetu kweli, Mwenyezi Mungu Azidi kukulinda na familia yako.🙏
@MatildaMakawia
@MatildaMakawia 3 ай бұрын
Asante sama kwa ushuhuda wako mchungaji barikiwa sana umenitia moyo
@myself4128
@myself4128 2 ай бұрын
Mungu amemuheshimisha Mtumishi wake,Walikukataa bila kujua kuwa Wanatimiza unabii wa utukufu wa Mungu kuonekana katika maisha ya wengi,Hakika Mungu ni Mwema! ulidhalilika mwanzoni lakini Mungu akakuinua ukaheshimiwa na Mungu akatukuzwa zaidi
@naomicharles5444
@naomicharles5444 3 ай бұрын
Imani ya kiwango cha juu kabisa
@musakasingo594
@musakasingo594 3 ай бұрын
Barikiwa kwa Ushuhudaaa
@MatildaMakawia
@MatildaMakawia 3 ай бұрын
Hakika Yesu anaweza
@elishamafulu106
@elishamafulu106 20 күн бұрын
AMEN
@skeetergodwins2576
@skeetergodwins2576 3 ай бұрын
Ninafurahi kumuona Mchungaji akiwa na afya nzuri. Mungu aendelee kukutunza
@jovinmwesige8520
@jovinmwesige8520 3 ай бұрын
Very powerful testimony
@rosterfarijala2979
@rosterfarijala2979 Ай бұрын
Barikiwa mtumishi wa MUNGU
@KellyNishimwe
@KellyNishimwe 3 ай бұрын
Amen amen pastor
@user-iw1yq3op8f
@user-iw1yq3op8f 3 ай бұрын
Amina mtumishi mungu aliye mbinguni akubariki sana
@faithe4063
@faithe4063 3 ай бұрын
Amen and Amen huyu mtumishi ni mtumishi wa Mungu aliye hai maubiri yake inaniinua kiwango kingine abarikiwe kweli
@annaombay9417
@annaombay9417 3 ай бұрын
Mchungaji Katekela wewe ni mtumishi mzuri wa Mungu embu nyoa kawaida kuepusha maswali. Unakwama wapi wewe??
@FlorenceAkinyi-rq3hx
@FlorenceAkinyi-rq3hx 3 ай бұрын
Alikwisha kufafanua Kwa nn Ananyoa hivo. Usikwazike.
@wilsonkombeyeri4623
@wilsonkombeyeri4623 3 ай бұрын
Bendera chuma, mulingoti chuma...mtumishi Mungu akubariki lakini pia usikae sana uje Mombasa tena ..karibu sana
@user-pq6kr5gg3f
@user-pq6kr5gg3f 3 ай бұрын
Hongera mtumishi Bwana akutetee
@HannahNjoroge-dd8fg
@HannahNjoroge-dd8fg 3 ай бұрын
Halleluya Yesu Kristo ni Bwana wa mabwana
@nehemiahmguluka1996
@nehemiahmguluka1996 3 ай бұрын
Powerful
@jillianyohana2166
@jillianyohana2166 3 ай бұрын
Hongera sana kwa ushindi
@neemakamgisha2951
@neemakamgisha2951 Ай бұрын
Unanibariki sana
@aminakyungu8414
@aminakyungu8414 3 ай бұрын
MUNGU akubaliki mtumishi wa Mungu
@SelestinaHamis-dw1gs
@SelestinaHamis-dw1gs Ай бұрын
Nimecheka Sana Kama mazuri
@BahatiMadata-vk6tg
@BahatiMadata-vk6tg 3 ай бұрын
Bwana Yesu akutunze mtumishi.
@vickysteven1172
@vickysteven1172 3 ай бұрын
Ameen Ameen
@FlorenceAkinyi-rq3hx
@FlorenceAkinyi-rq3hx 3 ай бұрын
Nimecheka hadi machozi yakanitoka, ila huyu Mungu ananishangaza sana.hadi mtumishi apigwe fimbo nyingi ndio mtoto apone na pia watu kuokoka. Huwa nafurahia sana huyu Mtumishi wa Mungu akisimulia shuhuda zake. Siku nyingine hakuwa na chakula kwenda kibarua cha shambani, jembe likavunjika tena likapiga mbuzi akafa, kisha akatoroka hadi nyumbani, nyumbani wakala samaki bure bila sima, ndio baadaye mtu akamletea unga mwingi, huku washamaliza kula samaki bure. 😂😂😂😂
@HannahRichard-ru3rj
@HannahRichard-ru3rj 3 ай бұрын
Nadhan angefanya interviews na Erica angefunguka sana
@re.emmanuelmdoe3345
@re.emmanuelmdoe3345 2 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏
@EliasHerman-qy4gt
@EliasHerman-qy4gt Ай бұрын
Asant san
@FredyMkeny
@FredyMkeny 3 ай бұрын
Najifunza mengi kupitia kwako mtumishi wa Mungu
@barakanatus5676
@barakanatus5676 2 ай бұрын
Huduma ya kweli inaambatana na kujitoa
@EvelyneRwejumul
@EvelyneRwejumul 3 ай бұрын
Sababu unayo ni Yesu yy ni dhahabu ya roho
@user-by5dh2wx1e
@user-by5dh2wx1e 3 ай бұрын
Kwakweli katekela mimi sijapendezwa na kunyoa kidunia sijui kama biblia inakubali au sisi
@saidabdalla8996
@saidabdalla8996 3 ай бұрын
Kwani mtu akizaliwa huwa anazaliwa na nywele Mbona hayupo jibaya mkato wa kawaida du ndugu
@SelestinaHamis-dw1gs
@SelestinaHamis-dw1gs Ай бұрын
Mfwatilie Saiv ananyoa vizuri
@veronicahkhaikwa4929
@veronicahkhaikwa4929 3 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe, huyu mchungaji alifanya aokoke jamani naomba atutajie ama alisha teleza
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 3 ай бұрын
Naomba namba ya mchungaj katekela
@goodluckjoseph3540
@goodluckjoseph3540 3 ай бұрын
Nipo geita hapa nalitafuta hilo kanisa unalolichunga nije niabuduu hata Ibaada moja
@user-eu7xq1sg6b
@user-eu7xq1sg6b 3 ай бұрын
Kipindi icho simu kubwa kulikuwa hamn ili tuangalie ulivyo kuwa kipindi umekimbilia chooni
@user-pl9fp1ul2m
@user-pl9fp1ul2m 3 ай бұрын
Unapokuja Duniani kwenye makanisa ulikuwa unakuwa ktk hali ya mwili au?
@leonidasbzzojoyhatung3118
@leonidasbzzojoyhatung3118 3 ай бұрын
Kuingia kanisani Dunia alikuwa anaingi kwa Hali ya kipepo ndani ya mtu.dark angel.
@rerisamba
@rerisamba 3 ай бұрын
Mfatilie promover TV utamuelewa sana
@stellamwapinga6944
@stellamwapinga6944 3 ай бұрын
Wasaidie na wengine wanaotamani kutoka huko, ila mambo ya shetani ni uchafu mtupu kula mavi
@stellamwapinga6944
@stellamwapinga6944 3 ай бұрын
Namba Yako Nina maswali plz
@annaezra2344
@annaezra2344 3 ай бұрын
Jamani mtumishi nakusihi sana acha kunyoa kidunia
@HannahNjoroge-dd8fg
@HannahNjoroge-dd8fg 3 ай бұрын
Halleluya Yesu Kristo ni Bwana wa mabwana
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,6 МЛН
Jumping off balcony pulls her tooth! 🫣🦷
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 13 МЛН
UTOTO UTUMWA, UJANA MASWALI, UZEE MASWALI
46:42
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 255 М.
Umugabo ariyahuye kubera umugore wamucaga inyuma
14:19
BTN TV Rwanda
Рет қаралды 2,7 М.
MCH HANANJA ATOBOA SIRI ZA MITUME NA MANABII, LEO NAONGEA UKWELI
31:52