Akutwa na Mazito baada ya kumpokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wake
Пікірлер: 70
@borntochange53333 ай бұрын
Dada huyu mtangazaji nimempenda na kumkubali, anajua kuhoji maswali na kumwongoza msemaji. Kwanza yeye ana ramani ya anachotaka msemaji aseme, anahoji maswali key. Mch Katekela ameongea sana mambo haya hasa PROMOVER TV si rahisi kusimulia story ndefu kama kwa kurudiarudia, anajitahidi sana. Mungu awabariki sana, mnawasaidia sana watu kutafakari ukweli kuhusu Mungu na shetani. Jina la Bwana Yesu lizidi kuinuliwa
@rosajacquessimbenga8 сағат бұрын
Bwana yesu asifiwe mchungaji katekela! Naomba kwa huruma za Mungu uje kututembelea hapa Mozambique baba🙏🏾
@rerisamba3 ай бұрын
Tunao tokea promover TV hey👋👋👋
@MariaKunogaАй бұрын
Hi
@MuyaHappy-j8y3 күн бұрын
Mungu azidi kukuinua mtumishi wa Mungu amen
@user-eq9hl9vg2x3 ай бұрын
Mungu akutunze jmn mtumishi wa mungu Amieli katekela tunajivunia wew mm nakufatilia sanaa na mambo mengi navuka na kujipa guvu kupitia mahubiri yako binafs Nakupenda sanaa sanaa na ninakuombea sanaa maan nabarikiwa sanaa na huduma yako❤❤
@plujoncylugano46117 күн бұрын
Hakika mafundisho yake yana nguvu yanaponya na yanafanya mabadiliko halisi,hakika MUNGU ni mkuu kwa kupitia Mtumishi wake Katekela kwani tunapata ujasiri wa kujua siri zote za Nuru na Giza. Sasa kusikia tumesikia chagua Giza ama Nuru....
@EricMaingi-f8b20 күн бұрын
Amina, mchungaji Amiel Mungu akubariki
@JeannineNzabanita17 күн бұрын
Mungu akubariki mchungaji, umenipa furaha tena ya wokovu, endeleya mbele mpaka mwisho
@tabithajeremiah45893 ай бұрын
Amen mtumishi,umekuwa wa Baraka kwangu na Huwa sichoki kukusikiliza Ubarikiwe na MUNGU akutunze ulitimize kusudi la Bwana kwenye kizazi hiki
@catherinekitonde274529 күн бұрын
Wewe mtumishi, haukua mbaya, mbali ni roho chafu walikuweka. Nashukuru Yesu Christo Mnasareti alikuona kama mtoto wake na mtumishi wake na akakuokoa kupitia maombi na mafunzo ya neno la Mungu. Mungu akulinde Kwa kiwango ambacho sisi binadamu hatuwezi kuelewa. Bwana Yesu Christo atembee na wewe siku zote na akirudi kuchukuwa kanisa lake asikuwache. Nina kuombea Kila siku Kwa maombi yangu. Much love in Jesus Christ. Watching from Nairobi, Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@charleskuyeko16603 ай бұрын
Hongera sana Mchungaji kwa kazi nzuri ya Mungu. Ushuhuda wako umenibariki sana. Namtukuza Mungu kwa ajili yako.
@desderykarugaba18263 ай бұрын
Mungu amekutoa mbali sana Mchungaji endelea kumtumika bila kuchoka, kuwa tayari wakati wote unaofaa na usiofaa.
@yalalaambobe95283 ай бұрын
Amen amen Mtumishi wa Mungu mimi mwenyewe napendelee sana maombi na neno la Mungu lidumu milele
@USHINDIMANENO3 ай бұрын
Amen baba namshukuru YESU Kwaajili yako sasa vita kwaasilimia kubwa kupitia wewe naifahamu
@gracekaniki69543 ай бұрын
Mungu wa Mbinguni atukuzwe Sana Sana mtumishi endelea mbele kumtumikia Mungu aliye hai usichoke simama imara umhubiri Kristo Yesu ili watu waokolewe Mungu akulinde akupe nguvun Roho mtakatifu aendelee kujaa ndani yako ili kila utakapohubiri watu waokolewe, waponywe na kueekwa huru.Furaha yangu ni kubwa Sana Sana barikiwa Sana mtumishi wa Mungu aliye Amen
@mazulacelestine30383 ай бұрын
Mungu ana michoro mingi sana,hata hiyo huyo mchungaji kukukataa ilikuwa ni mipango ya Mungu ili watu wengi waokolewe,ndio maana mtoto akafufuka
@bennygwasa45632 ай бұрын
Gloreeeeeeeeey to God, Mungu azidi kumtia nguvu Pastor Katekela azidi kuhuburi inji kwa usajili ❤
@JaneKuyokwa-ng2qf3 ай бұрын
Mungu yesu roho mutakatifu wakulinde tenanatena
@VeronicaNyambu3 ай бұрын
Hongera kwa ushindi karibu Kenya ,ueneze neno la Mungu
@bennygwasa45632 ай бұрын
Woow Asante sana Asante sana mtumishi na Ny tv I'm so blessed nimejifunza mbinu za kiroho
@user-ii7yw9ng5dАй бұрын
Bwana yesu asifiwe,kwa kutuletea mtumishi huyu!,amiel ubarikiwe,Amina.
@user-hg7np4ig9o3 ай бұрын
Mungu akubariki sana uwe na mwisho mwema
@user-kk9zw5lc1g3 ай бұрын
Amen mi pia ni kama wewe mi pia nlipitia stor ka yko ijapo sikufika kama kwako,lakn tusife moyo tuendelee mbele na yesu kristo,mbele mbele na yesu daima milele
@user-fu6fx8if6w3 ай бұрын
God bless you mtumishi,umekuwa wa baraka kwetu kweli, Mwenyezi Mungu Azidi kukulinda na familia yako.🙏
@MatildaMakawia3 ай бұрын
Asante sama kwa ushuhuda wako mchungaji barikiwa sana umenitia moyo
@myself41282 ай бұрын
Mungu amemuheshimisha Mtumishi wake,Walikukataa bila kujua kuwa Wanatimiza unabii wa utukufu wa Mungu kuonekana katika maisha ya wengi,Hakika Mungu ni Mwema! ulidhalilika mwanzoni lakini Mungu akakuinua ukaheshimiwa na Mungu akatukuzwa zaidi
@naomicharles54443 ай бұрын
Imani ya kiwango cha juu kabisa
@musakasingo5943 ай бұрын
Barikiwa kwa Ushuhudaaa
@MatildaMakawia3 ай бұрын
Hakika Yesu anaweza
@elishamafulu10620 күн бұрын
AMEN
@skeetergodwins25763 ай бұрын
Ninafurahi kumuona Mchungaji akiwa na afya nzuri. Mungu aendelee kukutunza
@jovinmwesige85203 ай бұрын
Very powerful testimony
@rosterfarijala2979Ай бұрын
Barikiwa mtumishi wa MUNGU
@KellyNishimwe3 ай бұрын
Amen amen pastor
@user-iw1yq3op8f3 ай бұрын
Amina mtumishi mungu aliye mbinguni akubariki sana
@faithe40633 ай бұрын
Amen and Amen huyu mtumishi ni mtumishi wa Mungu aliye hai maubiri yake inaniinua kiwango kingine abarikiwe kweli
@annaombay94173 ай бұрын
Mchungaji Katekela wewe ni mtumishi mzuri wa Mungu embu nyoa kawaida kuepusha maswali. Unakwama wapi wewe??
@FlorenceAkinyi-rq3hx3 ай бұрын
Alikwisha kufafanua Kwa nn Ananyoa hivo. Usikwazike.
@wilsonkombeyeri46233 ай бұрын
Bendera chuma, mulingoti chuma...mtumishi Mungu akubariki lakini pia usikae sana uje Mombasa tena ..karibu sana
@user-pq6kr5gg3f3 ай бұрын
Hongera mtumishi Bwana akutetee
@HannahNjoroge-dd8fg3 ай бұрын
Halleluya Yesu Kristo ni Bwana wa mabwana
@nehemiahmguluka19963 ай бұрын
Powerful
@jillianyohana21663 ай бұрын
Hongera sana kwa ushindi
@neemakamgisha2951Ай бұрын
Unanibariki sana
@aminakyungu84143 ай бұрын
MUNGU akubaliki mtumishi wa Mungu
@SelestinaHamis-dw1gsАй бұрын
Nimecheka Sana Kama mazuri
@BahatiMadata-vk6tg3 ай бұрын
Bwana Yesu akutunze mtumishi.
@vickysteven11723 ай бұрын
Ameen Ameen
@FlorenceAkinyi-rq3hx3 ай бұрын
Nimecheka hadi machozi yakanitoka, ila huyu Mungu ananishangaza sana.hadi mtumishi apigwe fimbo nyingi ndio mtoto apone na pia watu kuokoka. Huwa nafurahia sana huyu Mtumishi wa Mungu akisimulia shuhuda zake. Siku nyingine hakuwa na chakula kwenda kibarua cha shambani, jembe likavunjika tena likapiga mbuzi akafa, kisha akatoroka hadi nyumbani, nyumbani wakala samaki bure bila sima, ndio baadaye mtu akamletea unga mwingi, huku washamaliza kula samaki bure. 😂😂😂😂
@HannahRichard-ru3rj3 ай бұрын
Nadhan angefanya interviews na Erica angefunguka sana
@re.emmanuelmdoe33452 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏
@EliasHerman-qy4gtАй бұрын
Asant san
@FredyMkeny3 ай бұрын
Najifunza mengi kupitia kwako mtumishi wa Mungu
@barakanatus56762 ай бұрын
Huduma ya kweli inaambatana na kujitoa
@EvelyneRwejumul3 ай бұрын
Sababu unayo ni Yesu yy ni dhahabu ya roho
@user-by5dh2wx1e3 ай бұрын
Kwakweli katekela mimi sijapendezwa na kunyoa kidunia sijui kama biblia inakubali au sisi
@saidabdalla89963 ай бұрын
Kwani mtu akizaliwa huwa anazaliwa na nywele Mbona hayupo jibaya mkato wa kawaida du ndugu
@SelestinaHamis-dw1gsАй бұрын
Mfwatilie Saiv ananyoa vizuri
@veronicahkhaikwa49293 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe, huyu mchungaji alifanya aokoke jamani naomba atutajie ama alisha teleza
@elbaricktv16323 ай бұрын
Naomba namba ya mchungaj katekela
@goodluckjoseph35403 ай бұрын
Nipo geita hapa nalitafuta hilo kanisa unalolichunga nije niabuduu hata Ibaada moja
@user-eu7xq1sg6b3 ай бұрын
Kipindi icho simu kubwa kulikuwa hamn ili tuangalie ulivyo kuwa kipindi umekimbilia chooni
@user-pl9fp1ul2m3 ай бұрын
Unapokuja Duniani kwenye makanisa ulikuwa unakuwa ktk hali ya mwili au?
@leonidasbzzojoyhatung31183 ай бұрын
Kuingia kanisani Dunia alikuwa anaingi kwa Hali ya kipepo ndani ya mtu.dark angel.
@rerisamba3 ай бұрын
Mfatilie promover TV utamuelewa sana
@stellamwapinga69443 ай бұрын
Wasaidie na wengine wanaotamani kutoka huko, ila mambo ya shetani ni uchafu mtupu kula mavi