Pia namshauri huyu Sule. Akasome Yohana 3: 16 Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanawe wa pekee ili mtu kila amwaminiye amwaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele. Hapo Mungu hakutaja muisrael wala mtu wa taifa fulani bali ni ulimwengu wote.Bwana Yesu atusaidie sana.
@IbrahimuKapelula2 ай бұрын
Sule unatisha sana, mungu akupe maisha marefu xaba waislam tunaamani xana
@mr_voiceeyounghustler149Ай бұрын
Dr SULLE UNATUKINGA NYOYO SISI WAISILAMU MUNGU AKUPE UHAYI MLEFU PAMOJA NAMASHEKHE WOTE WALIOKUEPO HAPO
@kobylwaho3191Ай бұрын
kipindi kizuri sana @dr sule 😂😂😂😂hicho kichwa alooo !hatari❤
@NadhiraNa-vm5hs11 сағат бұрын
Waislamu ni ni maprofes ssna daah najivunia kuwa muislam jamn
@NadiaJuma-en8sr8 ай бұрын
Docta sulle unanipaga rahasana wafunze ao Allah akuzidishie umri sheih
@user13375Ай бұрын
Ila majini ndo anatuchanganya
@Chrisblaze-beats2 ай бұрын
Wachungaji wako vzr sana Sule anahitaji elim sana inaonekana ameponza sana waislam kwa kuwapotosha ujinga wake. Tafuteni elimu Mchague.
@woah.africa992 ай бұрын
Ww mwenyewe huna elimu kila siku wachungaji wanawadanganya wanekutana na mungu kila mmoja atatoa uongo wake na ww hujamfata pesaro umemfata Paulo Paulo aisha kuambia kua atawapotosha na bee isa yesu alikua muislam wala hakuwahi kuingia kanisani la Paulo na pia yesu alisali ktk misikitinalbagsa leo lipo ktk ardhi ya palestina na pia mmungu ndio mitume wake wote uliwahi kusikia muislam anachana bible kwa kuna kuna meneno mengine ni ya injili ya kale sio ya wazungu na mzungu hana na bee na uislam ulianza kwa mitume woote na ukakamilika kwa myume wa mwisho Muhammad saw ) leo nyiyi yesu mnamsingizia uongo mwingi wachungaji na mawigi.mnachapwa mnaganyagwa na uongoooo mwingi
@user-ey9vf2xo6l2 ай бұрын
Asante sana doctor sule
@HassanJaphari-rx7jy8 ай бұрын
MashaAllah
@BBm-re6ojАй бұрын
uislam ama ukristo hautatufikisha mbinguni mhimu imani na matendo
@hafidhhemed1514Ай бұрын
Sisi wa islam tunaamini dini yetu, nyinyi msiamini dini yenu sababu hamuijui na ni wavivu wa kujifunza
@fardoshnassor78472 ай бұрын
Masha Allah
@muhammadmuaswara80878 ай бұрын
Maashallah mabruuk
@GodfreyMolelАй бұрын
Waislam najua mna🎉shindwa tu iusarenda na kujiunga na ukristo msiaibike karibuni tunawapenda
@user-ve3wu5jn1lАй бұрын
Wewe utakuwa umepagawa kwanza molel wengi hawana dini. Allah awapandishe darja mashehe wetu mzidi kuwatoa hao Gizan
@user-tr9wd5kf7i2 ай бұрын
Doctor surely kiboko
@mwambakibucheche111919 күн бұрын
Msisahau kusoma 2petro 2:23 Lakini uyakatae maswali kipumbavu....
@CrispusKadengeАй бұрын
Swala si ukali wa Dr sule..swala ni ukweli ndani ya vitabu..uislamu wapendwa ni ukafiri bila isa
@bigmanfish63464 күн бұрын
TANZANIA WAONGOZWA NA MWANAMKE 😀
@mr_voiceeyounghustler149Ай бұрын
Dr sule ana PHD
@obestone1188Ай бұрын
Mchungaji ni mtu, yesu ni mchungaji , yesu ni mungu . Ina maan mungu ni mtu . Hatar hii
@michaelkenga9150Ай бұрын
Hata Allah ni mchungaji UPO?
@mulewakatana2518Ай бұрын
Ndacha nde kiboko yao
@user-ve3wu5jn1lАй бұрын
Huyo ndacha mwenyewe hana mda mrefu anawaacha
@user-qg7el6gc5j2 ай бұрын
this is the end..... Watu wanabishania Dini Uuuuuuwih. Mungu nipe mwisho mwema
@khamisally57882 ай бұрын
Mara nyingi mtu asio na dini Moja kwa moja anakua kafiri
@hidayambarka65142 ай бұрын
Doctor sule karbu pemba nimemss raha zako na ss
@woah.africa992 ай бұрын
Nyiyi ndio mnatenda mabaya mana wachungaji wa kila aina mpaka wamawigi na maiss kupigwa viboko na kusema wamenda kwa mungu ili mradi wawadanganye kondooo kwa kua hajui kitu mpaka viuno wanakata ndio kanisani jamani muogopeni mmungu hata yesu atashangaaa
@allykhamis87518 ай бұрын
Huyoo ndio mtalam wa bibliaa hawachomokii haoo
@martinmkoba3612 ай бұрын
Alipokutana na ndacha ilikuaje?? Hahaha
@julesngama25082 ай бұрын
Uyu jama anadiri na majini , siwezi kubishana naye . Yesu Njo njia na uzima wa milele.
@khamisally57882 ай бұрын
Jibu hoja sio kuleta vioja
@yassinhamza1969Ай бұрын
Hivi majini yamejiumba yenyewe au mungu kayaumba
@hamisimwagarashi9501Ай бұрын
Mmejua fika kwamba mko kidogo na maajabu ya MUNGU mwaeza pungua zaidi
@ElberthBambaraАй бұрын
Zizi ni Jamii iliyokuwepo enzi za ufuasi wa Yesu .
@hassanjuma2772Ай бұрын
Nikuulize unisaidie jibu,yesu kabla hajaja alitabiriwa atakuja kwa njia ya mimba kwa bikra maria,Sasa ameondoka na tumeambiwa atarudi tena, jee kurudi kwake kutakuwa kwa njia gani? 1.njia ya mimba au atateremka tuu 2.atapokuja ikiwa atakuja kwa mimba jee mimba hio atabeba yule yule mariamu atamzaa tena au kutakuwa na mwanamke mwengine? 3.
@hassanjuma2772Ай бұрын
3.na ikiwa atarudi kwa njia ya mimba jee atarudi akiwa na umbule gani la uungu au mwanadamu
@godisgreat1845Ай бұрын
Swali halijakuelea vizuri sasa roho mtakatifu hajaamka kuja kuwapa majibu
@ElberthBambaraАй бұрын
Hapana maana ya mchungaji ni Yule mtu aliyenusulu kundi la watu ambao hawakuwa naufahamu juu ya uzima wa milele.hivyo mchungaji ni YESU CHRISTO .na Kondoo ni Wafuasi waliokuwa wakimsikiliza Yesu
Kondoo ni kina nani? Zaburi 100:3 - Jueni kwamba BWANA ndiye Mungu, Ndiye aliyetuumba na sisi tu watu wake, tu watu wake na kondoo wa malisho yake
@CrispusKadengeАй бұрын
Swali mboga tu..
@user-oo3kc2cj8n2 ай бұрын
Watumishi wamesikia tumenawa kazi kwao wakimbie kabla maji hayajazidi unga
@mohamedmtahiyatu91132 ай бұрын
Sule unatisha
@japhetndoro6533Ай бұрын
Dr sule Hana hoja
@whitetigerprincy58822 ай бұрын
l wish ndacha angekuwa huku
@mussakamando26782 ай бұрын
Tehetehe😂😂
@qassimislam52912 ай бұрын
Mmh ila sule kweli wewe ni shule watasoma tu halafu mchungaji kajiuwa et mchungaj ni Yesu wengine wauwongo daah na yeye kajisahau hahhh😂 hawa jamaa
@jekoniarubeni46092 ай бұрын
Hamna ustaaaraabu kuzidi mkristo nyie ni fuujo tu
@ramadhanjuma610Ай бұрын
Ukristo tobo tu
@user-qg7el6gc5j2 ай бұрын
sasa israel wa leo ni nani kama sio mimi na wewe
@abasingaruka18722 ай бұрын
Ndacha ndio kibomo wà waislamu vinginevo Ni ubishi tu wà waislamu, mm Ni mwislamu najifunza kutoka kwa Wakristo,
@mwinjumaissa44342 ай бұрын
Wewe sio muislam hakuna muislam anaejifunza dini kwa makafiri. Basi wew ni mmoja wao polee shetani
@AshaOmar-vk7kg2 ай бұрын
Hakuna muislamu anaejifunza kwa makafiri ukiona mtu kazaliwa katika uislam na nafanya Mambo kikafiri nayy kafiri kwaiyo jijue ww kafiri na kafiri mafikioyake ni moto.
@binrashid16382 ай бұрын
Huuamini uislam wako
@DuliBrillant-mr8er2 ай бұрын
Ww sio muislam ww ni mjinga tu wa africa mashariki ya kati
@user-sk1hm7mf2t2 ай бұрын
Kweli hakili hana angekua naakili asinge ongea utopolo mwislam anaamini mungu mmojatu wewe una amini myungu wala siomungu wewe nikafiri miongoni mwamakafiri
@thobiaspaul82472 ай бұрын
Hichi si kipindi Cha agano la kale hich ni kipindi cha agano jipya maana yake vitu hufanyika rohoni Kwa Imani Sasa huyu sule analitazama neno la Mungu ktk mwili wa damu na nyama wakati huko hatupo Tena maana vita vyetu sisi ni katika ulimwengu wa rohoo na si ktk mwili wa damu na nyama
@FatmaMohammed-ry8yoАй бұрын
Ushapotea
@machindafadhili31862 ай бұрын
FRANCIS NDACHA ndo fimbo ya waislamu wote duniani 😁😁😁
@DuliBrillant-mr8er2 ай бұрын
Uyo ndacha ndo hana hoja kabsa mkaid tu lakin hana lolote
@lukmanabdi2015Ай бұрын
Wwe na ndacha sbirini mufe ndio mutajua
@ImaniKinyansi2 ай бұрын
Huyu sule ni muongo haijui haki na hafuati haki kwakuwa ukweli uliopo kwa Yesu kristo kuwa ni Mungu Ila anachokifanya no kupotosha watu kwakuwa anamkataba na shetani na anafanya kazi za shetani
@chunaabdullah13332 ай бұрын
Soma bibilia yako vzry utajua yesu ni nani.
@MwijakaSwalehe-dg4hw2 ай бұрын
We kama wajua itisha mjadala usitukane watu
@GodfreyPantaleo-po9mk2 ай бұрын
Elewa mdaa mpendwa!! Si ujibu kwa upendavyo ww ujumbe uko ubaoni weng wanatak kujifunza elimu ya mashetani au watu mashetani unawajua!!
@hashimchaoga95662 ай бұрын
Yesu kristo akiwa ni Mungu hivi Mungu alitahiriwa alizaliwa? Mungu hakuzaliwa wala kufa wala hakua na mshirika. Yesu kama ni Mungu siku ile alipokesha kuomba alikua akimuomba nani? Hujasikia Yesu akisema baba mbona unaniacha wasamehe hawajui watendalo kesho tutakua sote katika ufalme wa baba yangu. Kama yeye ni Mungu hayo yote amwambie nani kama yeye ndie Mungu
@KhamisSuleimanAbasi2 ай бұрын
Soma marko 12:28-30 ili ujue ww unabishana na yesu mwenyewe