WAINJILISTI WATOKWA NA MAJASHO NA VIKOHOZI BAADA YA KUULIZWA SWALI ZITO NA DR SULE AYA KTK BIBLIA

  Рет қаралды 46,707

Adil TV

Adil TV

8 ай бұрын

#AdilTV #drsule

Пікірлер: 84
@mwambakibucheche1119
@mwambakibucheche1119 19 күн бұрын
Pia namshauri huyu Sule. Akasome Yohana 3: 16 Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanawe wa pekee ili mtu kila amwaminiye amwaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele. Hapo Mungu hakutaja muisrael wala mtu wa taifa fulani bali ni ulimwengu wote.Bwana Yesu atusaidie sana.
@IbrahimuKapelula
@IbrahimuKapelula 2 ай бұрын
Sule unatisha sana, mungu akupe maisha marefu xaba waislam tunaamani xana
@mr_voiceeyounghustler149
@mr_voiceeyounghustler149 Ай бұрын
Dr SULLE UNATUKINGA NYOYO SISI WAISILAMU MUNGU AKUPE UHAYI MLEFU PAMOJA NAMASHEKHE WOTE WALIOKUEPO HAPO
@kobylwaho3191
@kobylwaho3191 Ай бұрын
kipindi kizuri sana @dr sule 😂😂😂😂hicho kichwa alooo !hatari❤
@NadhiraNa-vm5hs
@NadhiraNa-vm5hs 11 сағат бұрын
Waislamu ni ni maprofes ssna daah najivunia kuwa muislam jamn
@NadiaJuma-en8sr
@NadiaJuma-en8sr 8 ай бұрын
Docta sulle unanipaga rahasana wafunze ao Allah akuzidishie umri sheih
@user13375
@user13375 Ай бұрын
Ila majini ndo anatuchanganya
@Chrisblaze-beats
@Chrisblaze-beats 2 ай бұрын
Wachungaji wako vzr sana Sule anahitaji elim sana inaonekana ameponza sana waislam kwa kuwapotosha ujinga wake. Tafuteni elimu Mchague.
@woah.africa99
@woah.africa99 2 ай бұрын
Ww mwenyewe huna elimu kila siku wachungaji wanawadanganya wanekutana na mungu kila mmoja atatoa uongo wake na ww hujamfata pesaro umemfata Paulo Paulo aisha kuambia kua atawapotosha na bee isa yesu alikua muislam wala hakuwahi kuingia kanisani la Paulo na pia yesu alisali ktk misikitinalbagsa leo lipo ktk ardhi ya palestina na pia mmungu ndio mitume wake wote uliwahi kusikia muislam anachana bible kwa kuna kuna meneno mengine ni ya injili ya kale sio ya wazungu na mzungu hana na bee na uislam ulianza kwa mitume woote na ukakamilika kwa myume wa mwisho Muhammad saw ) leo nyiyi yesu mnamsingizia uongo mwingi wachungaji na mawigi.mnachapwa mnaganyagwa na uongoooo mwingi
@user-ey9vf2xo6l
@user-ey9vf2xo6l 2 ай бұрын
Asante sana doctor sule
@HassanJaphari-rx7jy
@HassanJaphari-rx7jy 8 ай бұрын
MashaAllah
@BBm-re6oj
@BBm-re6oj Ай бұрын
uislam ama ukristo hautatufikisha mbinguni mhimu imani na matendo
@hafidhhemed1514
@hafidhhemed1514 Ай бұрын
Sisi wa islam tunaamini dini yetu, nyinyi msiamini dini yenu sababu hamuijui na ni wavivu wa kujifunza
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 2 ай бұрын
Masha Allah
@muhammadmuaswara8087
@muhammadmuaswara8087 8 ай бұрын
Maashallah mabruuk
@GodfreyMolel
@GodfreyMolel Ай бұрын
Waislam najua mna🎉shindwa tu iusarenda na kujiunga na ukristo msiaibike karibuni tunawapenda
@user-ve3wu5jn1l
@user-ve3wu5jn1l Ай бұрын
Wewe utakuwa umepagawa kwanza molel wengi hawana dini. Allah awapandishe darja mashehe wetu mzidi kuwatoa hao Gizan
@user-tr9wd5kf7i
@user-tr9wd5kf7i 2 ай бұрын
Doctor surely kiboko
@mwambakibucheche1119
@mwambakibucheche1119 19 күн бұрын
Msisahau kusoma 2petro 2:23 Lakini uyakatae maswali kipumbavu....
@CrispusKadenge
@CrispusKadenge Ай бұрын
Swala si ukali wa Dr sule..swala ni ukweli ndani ya vitabu..uislamu wapendwa ni ukafiri bila isa
@bigmanfish6346
@bigmanfish6346 4 күн бұрын
TANZANIA WAONGOZWA NA MWANAMKE 😀
@mr_voiceeyounghustler149
@mr_voiceeyounghustler149 Ай бұрын
Dr sule ana PHD
@obestone1188
@obestone1188 Ай бұрын
Mchungaji ni mtu, yesu ni mchungaji , yesu ni mungu . Ina maan mungu ni mtu . Hatar hii
@michaelkenga9150
@michaelkenga9150 Ай бұрын
Hata Allah ni mchungaji UPO?
@mulewakatana2518
@mulewakatana2518 Ай бұрын
Ndacha nde kiboko yao
@user-ve3wu5jn1l
@user-ve3wu5jn1l Ай бұрын
Huyo ndacha mwenyewe hana mda mrefu anawaacha
@user-qg7el6gc5j
@user-qg7el6gc5j 2 ай бұрын
this is the end..... Watu wanabishania Dini Uuuuuuwih. Mungu nipe mwisho mwema
@khamisally5788
@khamisally5788 2 ай бұрын
Mara nyingi mtu asio na dini Moja kwa moja anakua kafiri
@hidayambarka6514
@hidayambarka6514 2 ай бұрын
Doctor sule karbu pemba nimemss raha zako na ss
@woah.africa99
@woah.africa99 2 ай бұрын
Nyiyi ndio mnatenda mabaya mana wachungaji wa kila aina mpaka wamawigi na maiss kupigwa viboko na kusema wamenda kwa mungu ili mradi wawadanganye kondooo kwa kua hajui kitu mpaka viuno wanakata ndio kanisani jamani muogopeni mmungu hata yesu atashangaaa
@allykhamis8751
@allykhamis8751 8 ай бұрын
Huyoo ndio mtalam wa bibliaa hawachomokii haoo
@martinmkoba361
@martinmkoba361 2 ай бұрын
Alipokutana na ndacha ilikuaje?? Hahaha
@julesngama2508
@julesngama2508 2 ай бұрын
Uyu jama anadiri na majini , siwezi kubishana naye . Yesu Njo njia na uzima wa milele.
@khamisally5788
@khamisally5788 2 ай бұрын
Jibu hoja sio kuleta vioja
@yassinhamza1969
@yassinhamza1969 Ай бұрын
Hivi majini yamejiumba yenyewe au mungu kayaumba
@hamisimwagarashi9501
@hamisimwagarashi9501 Ай бұрын
Mmejua fika kwamba mko kidogo na maajabu ya MUNGU mwaeza pungua zaidi
@ElberthBambara
@ElberthBambara Ай бұрын
Zizi ni Jamii iliyokuwepo enzi za ufuasi wa Yesu .
@hassanjuma2772
@hassanjuma2772 Ай бұрын
Nikuulize unisaidie jibu,yesu kabla hajaja alitabiriwa atakuja kwa njia ya mimba kwa bikra maria,Sasa ameondoka na tumeambiwa atarudi tena, jee kurudi kwake kutakuwa kwa njia gani? 1.njia ya mimba au atateremka tuu 2.atapokuja ikiwa atakuja kwa mimba jee mimba hio atabeba yule yule mariamu atamzaa tena au kutakuwa na mwanamke mwengine? 3.
@hassanjuma2772
@hassanjuma2772 Ай бұрын
3.na ikiwa atarudi kwa njia ya mimba jee atarudi akiwa na umbule gani la uungu au mwanadamu
@godisgreat1845
@godisgreat1845 Ай бұрын
Swali halijakuelea vizuri sasa roho mtakatifu hajaamka kuja kuwapa majibu
@ElberthBambara
@ElberthBambara Ай бұрын
Hapana maana ya mchungaji ni Yule mtu aliyenusulu kundi la watu ambao hawakuwa naufahamu juu ya uzima wa milele.hivyo mchungaji ni YESU CHRISTO .na Kondoo ni Wafuasi waliokuwa wakimsikiliza Yesu
@user-ve3wu5jn1l
@user-ve3wu5jn1l Ай бұрын
😅😅😅😅
@user-gu9zp7jt8k
@user-gu9zp7jt8k 8 ай бұрын
Naaam
@AbduSumwa
@AbduSumwa Ай бұрын
WAISLAMU MSIPOTUBU MNAKWENDA MOTONI, KIKUBWA TUBUNI DHAMBI UISLAMU HAUTA KUPELEKA MGINGUNI.
@mr_voiceeyounghustler149
@mr_voiceeyounghustler149 Ай бұрын
Hao wakilisto wameingia chakike
@rashidbusanya5843
@rashidbusanya5843 Ай бұрын
Dokta sule ni fimbo ya makafiri wote
@user-zi9dn8xh8n
@user-zi9dn8xh8n Ай бұрын
Ndacha yupo wapi?
@user-fy4op1sw2f
@user-fy4op1sw2f 2 ай бұрын
Kumbe nyie wachungaji ni wa mshahara 😂😂😂😂
@michaelkenga9150
@michaelkenga9150 Ай бұрын
Kondoo ni kina nani? Zaburi 100:3 - Jueni kwamba BWANA ndiye Mungu, Ndiye aliyetuumba na sisi tu watu wake, tu watu wake na kondoo wa malisho yake
@CrispusKadenge
@CrispusKadenge Ай бұрын
Swali mboga tu..
@user-oo3kc2cj8n
@user-oo3kc2cj8n 2 ай бұрын
Watumishi wamesikia tumenawa kazi kwao wakimbie kabla maji hayajazidi unga
@mohamedmtahiyatu9113
@mohamedmtahiyatu9113 2 ай бұрын
Sule unatisha
@japhetndoro6533
@japhetndoro6533 Ай бұрын
Dr sule Hana hoja
@whitetigerprincy5882
@whitetigerprincy5882 2 ай бұрын
l wish ndacha angekuwa huku
@mussakamando2678
@mussakamando2678 2 ай бұрын
Tehetehe😂😂
@qassimislam5291
@qassimislam5291 2 ай бұрын
Mmh ila sule kweli wewe ni shule watasoma tu halafu mchungaji kajiuwa et mchungaj ni Yesu wengine wauwongo daah na yeye kajisahau hahhh😂 hawa jamaa
@jekoniarubeni4609
@jekoniarubeni4609 2 ай бұрын
Hamna ustaaaraabu kuzidi mkristo nyie ni fuujo tu
@ramadhanjuma610
@ramadhanjuma610 Ай бұрын
Ukristo tobo tu
@user-qg7el6gc5j
@user-qg7el6gc5j 2 ай бұрын
sasa israel wa leo ni nani kama sio mimi na wewe
@abasingaruka1872
@abasingaruka1872 2 ай бұрын
Ndacha ndio kibomo wà waislamu vinginevo Ni ubishi tu wà waislamu, mm Ni mwislamu najifunza kutoka kwa Wakristo,
@mwinjumaissa4434
@mwinjumaissa4434 2 ай бұрын
Wewe sio muislam hakuna muislam anaejifunza dini kwa makafiri. Basi wew ni mmoja wao polee shetani
@AshaOmar-vk7kg
@AshaOmar-vk7kg 2 ай бұрын
Hakuna muislamu anaejifunza kwa makafiri ukiona mtu kazaliwa katika uislam na nafanya Mambo kikafiri nayy kafiri kwaiyo jijue ww kafiri na kafiri mafikioyake ni moto.
@binrashid1638
@binrashid1638 2 ай бұрын
Huuamini uislam wako
@DuliBrillant-mr8er
@DuliBrillant-mr8er 2 ай бұрын
Ww sio muislam ww ni mjinga tu wa africa mashariki ya kati
@user-sk1hm7mf2t
@user-sk1hm7mf2t 2 ай бұрын
Kweli hakili hana angekua naakili asinge ongea utopolo mwislam anaamini mungu mmojatu wewe una amini myungu wala siomungu wewe nikafiri miongoni mwamakafiri
@thobiaspaul8247
@thobiaspaul8247 2 ай бұрын
Hichi si kipindi Cha agano la kale hich ni kipindi cha agano jipya maana yake vitu hufanyika rohoni Kwa Imani Sasa huyu sule analitazama neno la Mungu ktk mwili wa damu na nyama wakati huko hatupo Tena maana vita vyetu sisi ni katika ulimwengu wa rohoo na si ktk mwili wa damu na nyama
@FatmaMohammed-ry8yo
@FatmaMohammed-ry8yo Ай бұрын
Ushapotea
@machindafadhili3186
@machindafadhili3186 2 ай бұрын
FRANCIS NDACHA ndo fimbo ya waislamu wote duniani 😁😁😁
@DuliBrillant-mr8er
@DuliBrillant-mr8er 2 ай бұрын
Uyo ndacha ndo hana hoja kabsa mkaid tu lakin hana lolote
@lukmanabdi2015
@lukmanabdi2015 Ай бұрын
Wwe na ndacha sbirini mufe ndio mutajua
@ImaniKinyansi
@ImaniKinyansi 2 ай бұрын
Huyu sule ni muongo haijui haki na hafuati haki kwakuwa ukweli uliopo kwa Yesu kristo kuwa ni Mungu Ila anachokifanya no kupotosha watu kwakuwa anamkataba na shetani na anafanya kazi za shetani
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 2 ай бұрын
Soma bibilia yako vzry utajua yesu ni nani.
@MwijakaSwalehe-dg4hw
@MwijakaSwalehe-dg4hw 2 ай бұрын
We kama wajua itisha mjadala usitukane watu
@GodfreyPantaleo-po9mk
@GodfreyPantaleo-po9mk 2 ай бұрын
Elewa mdaa mpendwa!! Si ujibu kwa upendavyo ww ujumbe uko ubaoni weng wanatak kujifunza elimu ya mashetani au watu mashetani unawajua!!
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 2 ай бұрын
Yesu kristo akiwa ni Mungu hivi Mungu alitahiriwa alizaliwa? Mungu hakuzaliwa wala kufa wala hakua na mshirika. Yesu kama ni Mungu siku ile alipokesha kuomba alikua akimuomba nani? Hujasikia Yesu akisema baba mbona unaniacha wasamehe hawajui watendalo kesho tutakua sote katika ufalme wa baba yangu. Kama yeye ni Mungu hayo yote amwambie nani kama yeye ndie Mungu
@KhamisSuleimanAbasi
@KhamisSuleimanAbasi 2 ай бұрын
Soma marko 12:28-30 ili ujue ww unabishana na yesu mwenyewe
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 115 МЛН
WAKRISTO WA MADHEHEBU TOFAUTI WAHITILAFIANA JUU YA BIBLIA
57:21
Straight Path Dawah
Рет қаралды 10 М.
DEBATE Dr SUL, MAZINGE AND SHAFII
2:16:21
AKASHA PRODUCTION TV
Рет қаралды 124 М.
MAJINI WA DK SULE SIO WEMA USIMTETE || MAJIBU KWA BABA KIR'WASHA || Muhammad Bachu.
1:04:29
DR SULE - MAAJABU YA NABII MUSSA KWA FIRAUN- MUENDELEZO HUU
28:39
HAJI ONLINE TV
Рет қаралды 12 М.
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 115 МЛН