Bwana Yesu Kristo alibariki jeshi letu limejitoa kwa moyo mkuu sana.
@hussenikija66992 ай бұрын
Mungu awabariki Afande.
@KingMandama2 ай бұрын
Tumepiga kazi sana mahali hapa🔨🔨
@abedysteven49302 ай бұрын
Dah hongera serekali!!🙏🙏
@mariasafari10042 ай бұрын
Hongereni sana kwa kazi nzuri, Mungu awabariki🙏🏽
@doreengomes34892 ай бұрын
Hongera sana! Mbarikiwe wote!
@Sumaiyafisoo2 ай бұрын
Manshaallah 🎉🎉🎉🎉mama samia 5tena
@seneu.21282 ай бұрын
Hongera serikali kwa hili, sasa naomba wakazi waoteshe miti yakutosha eneo hilo, naomba kuuliza hivi MIHAYO ni watu wa wapi? Hao majamaa wanapendana itakuwa aisee wako wengi sana jeshini 🙌 kila badge ya jwtz ukiisoma hilo jina lazima ulione tuu
@EmanueliWildausoni2 ай бұрын
Mm nikipendi chama cha mapinduzi na mambo yake mengne lakni kwa hili niwapongeze mmefanya kazi nzuri sana sana sanaaa tusije tu tukasikia wengne walioathirika hawajapata nyumba kama mmewajengea wote na mgawanyo ukawa wa haki itakuwa poa sana rais
@exaverysimon10642 ай бұрын
SAF SANA MUNGU AWABARIKI
@jaypna68142 ай бұрын
That's great
@fidelfidel-jz4iw2 ай бұрын
Hongera sanaa jkt mmetumia pesa vizuri nyumba nyingi bei ya kawaida huwa nashangaa daraja fupi lakawaida eti hiliona sabaa mambo ya ajabu
@HansChuma2 ай бұрын
Kumbe serekali inaweza kujenga nakuwapa wananchi wake nyumba bureèeee kama south africa kwann wasiwe wanafanya hvyo kwa wananch masikin kila nyakat inawezekana ili kupunguza ujenz horela
@YusraThomas-cb6ll2 ай бұрын
👏👏
@sadamissa56872 ай бұрын
Msizigawe Kwa mchongo tu tendeni haki
@smartonlinetv51442 ай бұрын
Hongera sana Kwa serikali yetu inayoongozwa na Mh Rais Dr Samia suluhu Hassan. Mitano tena
@Zubaiba2 ай бұрын
Hongera sana serikali yetu
@ConsalvaMumbara2 ай бұрын
MUNGU akupe maisha marefu RAIS wetu.
@bcozhenry26982 ай бұрын
Nimependa huyu askari alivyosema "nyumba hizi za wananchi wenzetu, ...!" Yaani "WANANCHI WENZETU" huwa sipendi kusikia mwanasiasa akisema "Wananchi wetu", ni dharau sana wanapojikweza hivyo
@Abdul-oc1ul2 ай бұрын
Hy ndo kz yenu c kupiga na kuuwa
@RehemaMasunga-ml7kt2 ай бұрын
Kutoka kuishi nyumba za udongo hadi nyumba za block kwa raha zenu
@AirinSumeno2 ай бұрын
Kuna raha gani watu wamewapoteza wapendwa wao
@RehemaMasunga-ml7kt2 ай бұрын
@@AirinSumeno inatakiwa ifikie kipindi usahau yote ya nyuma my dear ukiyashikilia yatakuumiza. Matukio mabays na mazuri maadam yamepita haijalishi achilia kama ulipoteza wapendwa wako achilia na usahau alafu uanze maisha mapya
@RehemaMasunga-ml7kt2 ай бұрын
@@AirinSumeno kwa hivyo kuna kila sababu za wao kufurahia kwa sababu haya ni maisha mapya wanaanza na hakuna mtu aliyepanga hilo tukio ni ajari tu hata ukihuzunika miaka 100 ndio watarudi, jibu ni kwamba hawawezi kurudi sasa cha kufanya furahia tu na usahau