unanifanya nikuone kama #Ruge Mutahaba, nice work na Mungu akufikishe mbaaaaaaali
@joemouly78775 жыл бұрын
Usante saana kaka Joël nanauka. Yaani wewe ni mtu ambae kila siku nikiona videos zako najihisi niko juu kabisa. Mungu azidi kukubariki na akupe maisha marefu ili ufundishe watu zaidi na zaidi. Wapate Maarifa yakufundisha generations zitakuja. Mafu'disho yako imebadili mambo mengi katika maisha yangu. DAILY ROUTINE. Asante kaka.
@amandusabren41495 жыл бұрын
I mean sio jambo baya kureffer articles nyingine, ila talk inapojaa content za watu wengine inapoteza proof ya kuwa mjuzi na mbunifu. Nilijifunza kua nikitaka kufanya kitu bora niache kujifunza, nianze kufikiri. (Elewa, simaanishi tusijifunze) ila at the moment unataka kufanya wewe kama wewe inatakiwa ufikiri kwa kina kutoka ndani mwako ili uepuke kutumia ya wengine uliyoyaingiza kwenye subconscious mind yako.
@namsifuwadeya27744 жыл бұрын
Your too much,nakuelewa sana,barikiwa mno nanauka
@amandusabren41495 жыл бұрын
Honestly nilichokiona ni compilation ya ideas za waandishi mbalimbali, sio jambo baya ila nilitegemea kuona vitu vipya. Nikiwa kama msoma vitabu nimeona ni kama vile nimepata mtu wakunisimulia vipande vya vitabu nilivyosoma. Btw. Nimefatilia masomo yako mengi, you are doing good
@amandusabren41495 жыл бұрын
I mean sio jambo baya kureffer articles nyingine, ila talk inapojaa content za watu wengine inapoteza proof ya kuwa mjuzi na mbunifu. Nilijifunza kua nikitaka kufanya kitu bora niache kujifunza, nianze kufikiri. (Elewa, simaanishi tusijifunze) ila at the moment unataka kufanya wewe kama wewe inatakiwa ufikiri kwa kina kutoka ndani mwako ili uepuke kutumia ya wengine uliyoyaingiza kwenye subconscious mind yako.
@thegirl14055 жыл бұрын
Ahsante sana brother ubarikiwe sana 🙏 🙏
@user-sv1jg3wj4o7 ай бұрын
Nataka kitabu cha timiza malengoo
@SandrineNduwimeNduwim5 жыл бұрын
Asante sana kwa upande wangu shida matumizi mpaka nafanya shooping wakati nakosewa nazijutia.
@mwajumayunus20415 жыл бұрын
Nimeshakuwa tajiri tayariiii wa maono baaada ya miezi mitatu insha'Allah nitaleta mrejesho
@rajabumrama31613 жыл бұрын
Balikiwa sana
@matabikasuccessline20685 жыл бұрын
asnte kaka nanauka kwa kutushilikisha kwa sisi tulioko mbali.kalibu sana kasuru kigoma
@zuhuraabdillah69415 жыл бұрын
waoooooh amazing bro one day can you come to meet us in Arusha, you are welcome
@nelsonmpolochacha50353 жыл бұрын
To have you is a blessing
@lucksometechnology20355 жыл бұрын
Kaka umekuja kama nabii kutukomboa kwa kweli
@merryhussen27753 жыл бұрын
Asante Kaka mungu akuzidishie nguvu na maarifa zaidi
@emmanueltwaha14894 жыл бұрын
Asante Bro Joel Nanauye, upo vizuri, unatupa mwanga.Barikiwa
@drems393 жыл бұрын
Shukrani sana
@esterkapinga13365 жыл бұрын
Joel nakuelewa sana pia nataman kuanza biashara ila nilisha feli malanyingi mpaka naogopa japo na jua nguvu niliyo nayo
@LatifaAbdala-mz3zw10 ай бұрын
Kaka haya matangazo yutubu yanakera kweli, mtu unajifunza jambo mara tangazo linajitokeza, ndani ya dakika tano yanaweza kutokea zaidi ya mara tatu, daa inaudhi sana.
@msleny67674 жыл бұрын
Wow.. Somo hili limekuwa key la kufungua mawazo na ubunifu uliopo ndani yetu Asante sana Mwalimu Joel kwa video hili na somo safi👏👏
@maboyiamurani3312 жыл бұрын
Sauti imetoka vibaya masomo yalikuwa mazuri
@noelmwikeve62555 жыл бұрын
Mtaalamu ubarikiwe sanaa
@Maulidfundi5 жыл бұрын
mzee baba,,,asante kw kunifaamisha kua mm ni muindajiii,,,japo ngumu ila naimeza,2
@marthamwaihojoofficial64345 жыл бұрын
Amina
@fahadalismaily93705 жыл бұрын
Ahsante sana Joel Nnauka hatukuwepo ila na sisi tumejifunza kiasi kama chao
@LuiTvshow5 жыл бұрын
Nafuatilia kutoka @Kenya @Mombasa afisi za Radio @SautiYaPwani
@joelnanauka5 жыл бұрын
Captain lui1 nipe namba yako nakuja mombasa mwaka huu 🔥🔥🔥
@LuiTvshow5 жыл бұрын
@@joelnanauka +254711526919
@LuiTvshow5 жыл бұрын
Nimekua nikikufuatilia kwa mda sasa toka mwaka jana na umenibadilisha kiasi fulani hususan kuifaulisha ndoto ya ukuaji wa kampuni yangu itwayo Image 36 Production nilioifungua mwaka wa 2016.
@bakarimbonjo71825 жыл бұрын
dodoma lini?
@herytheryt73215 жыл бұрын
Safi sn kaka yaani nimejifunza kitu ,,,mungu akubariki mno
@winnyshayo88125 жыл бұрын
KAKA JOEL YOUR THE BEST,
@mussasaimon20125 жыл бұрын
Hakika wewe ni mwalimu bora
@citymaxbookshoptanzania29245 жыл бұрын
Ilikuwa semina yenye nguvu sana kama ulikosa pole
@enockkagomba12614 жыл бұрын
Asante sana my mentor huwa nakuelewa vizuri sana
@medameda39204 жыл бұрын
Bro asante sana nikua sijui n nini cha kufanya kwa kile nikipendacho sasa ntarifanyia kazi m hupenda sana wototo na ndo hao marafiki zangu asante sana bro
@kassianmwenyasi37185 жыл бұрын
Barikiwa sana Pastor , nimepata kitu kikubwa
@richardj.magoma78044 жыл бұрын
Kazi nzuri sana.
@aishamaulidi46795 жыл бұрын
Nimefarijika sana sana sana Mungu akubariki kaka joel
@faudhiatmasoud40255 жыл бұрын
Jamani mimi kuna jambo linaniumiza sana..kaka Joel mbona mm huwa hata sipat taarifa kama kutakua na conference ambayo itaongozwa na ww..hata kama mkoani jaman uwezekano ukiwepo tunakujaaa..naomba utuandalie namna ambayo tunaweza kutaarifiika mapema kuhusu aya ili tuwe pamojaa..plzzzz jaman
@pascalkasandakasela45415 жыл бұрын
Andika neno NDOTO YANGU kwenda WhatsApp namba 0743868507
Kwaiyo ukishaandika hivyo inakuwaje yani mikutano yote itakayofanyika inakuwa unatumiwa ujumbe au
@faudhiatmasoud40255 жыл бұрын
@@maryammaram2612 Utaona profile yake na about imeandikwa Timiza malengo yako..
@paulinedavid2524 Жыл бұрын
@@faudhiatmasoud4025 asantee
@kagembekagembe22715 жыл бұрын
Kaka unaakili kama za kwangu nakupenda sana aisee
@ngonyanijames24325 жыл бұрын
hongera kaka kaz nzuri
@omaryenock82035 жыл бұрын
Brother thanks!!!!!!
@enockkagomba12615 жыл бұрын
Thanks my brother
@meshackurio27455 жыл бұрын
Niunganishe kwenye gurupu rako plz
@joseefaidabutu72945 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kaka
@hafsahcletty59685 жыл бұрын
Shukran 🙏
@rajabojunju81835 жыл бұрын
Karibu tukuyu tunaomba usiishie mbeya tu kaka
@shubackmashinga35355 жыл бұрын
Asante
@shubackmashinga35355 жыл бұрын
Asante bro
@egonkasiano78225 жыл бұрын
Shukran
@esterkapinga13365 жыл бұрын
Ungeweka no zako za whatsp kaka nikutafute
@zahramunir85964 жыл бұрын
Wwaaawww
@bakarimbonjo71825 жыл бұрын
kanda ya kati lini?
@salilamsigwa43235 жыл бұрын
mbona ukiwa unasemina dar huwa sijui nitajuane kama unasemina dar
@pascalkasandakasela45415 жыл бұрын
Like page yake fasebook yenye jina jnanauka
@salomekombo61665 жыл бұрын
Tnx broo ubarikiwe sanaa nmejifunza jins ya kubajet fedha na kuweka akba na kuacha matumis yasiyokua na faida,tunasubil conference ya dar jmn broo Joel Lin nataka kujua ili plzz
@alexmhema65664 жыл бұрын
Mkuu nakipataje kitabu cha timiza malengo ?npo njombe
@kubyunvakimwe14374 жыл бұрын
Joel abari dungu please nataka unipe number zako kama unatumiya whatsapp nataka kuogeya nawewe thanks
@tinotairo4 жыл бұрын
naomba namba yako Bro..email yangu in tinotairo@gmail.com