Allah Akbar,Allah Akbar,mungu moja aliyeziumba mbingu na aradhi ufalme wake wote ni wake,subhanallah aliyetukuka pekee yake
@behewameja50585 жыл бұрын
Nampenda Saidi kinyogori halaf eti Mungu wa makafiri ni mpya sio wazamani halaf wale watu walio kuwepo zamani walikuwa hawana Mungu 😅😅😅😅😅 nacheka pia naumia wanavyo mtukana Allah na yeye ndo kila kitu duniani mpaka Akhenaten Asante Mungu najivunia kuwa muislam na namuomba anifishe muisilam Mungu wangu
@rahmaalli93755 жыл бұрын
Allah atuongoze ktk dini yetu ya kislamu alhamdurilahi kwa kuzaliwa kuwa muslamu
@abedisalumu22954 жыл бұрын
@@rahmaalli9375 amiiin
@rashidkalimbo24513 жыл бұрын
Aamin.
@zulficarbacarsuale68774 жыл бұрын
Mashallah allah awabaliki san inshallah, ama akika wisilamu ni dini ya aki kutokana na mandiko.
@yasintukwa4611 Жыл бұрын
No comment
@halimanassor73093 жыл бұрын
Mashallah mnafahamisha vizuri sana hao wakipinga wapinhe tu lakini ukweli unajukikana
@nazonahdi99934 жыл бұрын
Subhanallah MA shekh wetu wadogo ila wamesoma sadaqta mungu awajahaliye kila la kheri wakiristo mnachuki biy nafsi
@lugendohussein1035 жыл бұрын
Yesu alimsujudiwa bwana Mungu wake kama wafanyavyo waislamu lakini hakuna andiko yesu aliimba wala kupiga kelele makanisani
@fahmimaalim26245 жыл бұрын
Sheikh masha Alllah fundisha wenye wanataka ukweli......Mungu akupe elimu zaidi
@maryammakhumo40157 жыл бұрын
mungu awabariki mashekh watu baraakllah fiik
@peacefulabdhulhakeem30324 жыл бұрын
Ameen
@Awatee3 жыл бұрын
Amiin
@ayadehila49323 жыл бұрын
Ameen
@khurayramadhan97343 жыл бұрын
inshallh amiiin
@elizabethfares46506 жыл бұрын
Mashallah mungu awabaliki san inshallah sote twende pepeni
@user-de7nf8pp3w7 жыл бұрын
inna lillah wainnaillah rajiun allah awasameh
@saumusanjiama69912 жыл бұрын
Hiikazi ningumu Allah awalipekher dunian na akhera
@rutahalima14006 жыл бұрын
Jazakumllahu khairan ma shekh wetu.
@mayasakitambwa41866 жыл бұрын
walaaahi nimekapenda mashekhe wangu mpaka najivunia kuwa mwislamu 😍😍😍😍alhamdulllah
@foryoucreatorsinstitute82125 жыл бұрын
Nilatie namba zako
@mudkhamis30784 жыл бұрын
Hongera sna mayasa
@Awatee3 жыл бұрын
Alhamdu lilah
@nazonahdi99934 жыл бұрын
Padri umechemsha maisha mwislam habadili dini kwajili tunasoma quran bado wadogo tunajuwa dini co km wakiristo wanadanganyika na mapadri
@mohammedbusaidi85056 жыл бұрын
wazamani ndio mumgu wa kwel sio mwengne bali ni allah hadhawajala ya allah waongoze waliopotea ktk njia ilionyoka ameeeen😢😢😢😢😢
@saidirashid91186 жыл бұрын
Mohammed Busaidi subhannnah Allah ni msiba aki
@frankjohn85705 жыл бұрын
Mohammed Busaidi mh kama wa zamani huyo joka mwabuduni ninyi lkn wa kristo wanamtumaini Mungu ambaye ni yeye yule Jana Leo na milele, mana wa zamani atatupwa jehanam
@allymakwasa88554 жыл бұрын
Mweny enz mung hawaongeze ndug zetu waitambuae haki waachwe ushabik
@abdullahnassor95045 жыл бұрын
shkh said ni mrith wa mazinge
@amirmohamedali24844 жыл бұрын
Kweli bro kinyogori ni kiboko lakini pia usimsahau sheikh shafi
@fatmayahya61007 жыл бұрын
Masha Allah mwalim said
@noahwamalwa43853 жыл бұрын
1 Yohana 3:1 Tazameni jinsi Baba alivyotupenda mno, hata tukaitwa watoto wa Mungu! Na hivyo ndivyo tulivyo. Watu wa ulimwengu hawatutambui kwa sababu hawakumjua Mungu. Wapendwa, sisi sasa tu wana wa Mungu. Tutakavyokuwa baadaye haijulikani bado, lakini tunajua kwamba Kristo atakapotokea, tutafanana naye, kwa maana tutamwona kama alivyo.
@user-fy4op1sw2f9 ай бұрын
Ustsdh Said wallahi uko fiti❤❤❤❤❤
@daudipaulo35767 жыл бұрын
mashaallah majibu mazuri ya kiislam
@saidtamim86007 жыл бұрын
Daudi Paulo mashaallah tunakuribisha kwenye kalima ya laailahailallah muhammad rasuulullah
@suzanamenamenswingahallelu1985 жыл бұрын
Yapi hayo ??? Shame on you ... ngojeni Siku ya kiyama .ndipo hapo mtakakiri kwamba yesu ni mwanzo na mwisho. Kama alivyo kiri farauni na mwenzake ahabu .avyokuwa wakiabudu misanamu ..... ⭐🌙🌞
@@godwinmwambande3208 mbona kashindwa kujiokoa yeye halafu aje kuokoa nyie c ndo ugonjwa uwo
@farhatrashid20634 жыл бұрын
@@godwinmwambande3208 ujbu bs au vp
@asmamohamefasma23077 жыл бұрын
mashaallah Alla awaongezee umri mrefu ili mupata kutuelimishaa ishaallaah
@Awatee3 жыл бұрын
Amiin
@ayadehila49323 жыл бұрын
Ameen
@zulficarbacarsuale68774 жыл бұрын
Poleni sana wa cristo ingawa akuna dini inaioitua cristo, munatakiwa kusema mumekufuru.
@mangulymanguly1393 жыл бұрын
Yaani awa wakristo ata kujenga hoja awajui, Inna lilah wa ina ilaihi Rajiun
@sauzimikito83463 жыл бұрын
Pole sana suzana Hujitambui ndio maana
@mgeniali17685 жыл бұрын
Masha Allah
@harbisulub7 жыл бұрын
jazaka Allah khair mashaAllah
@yesusimungu90847 жыл бұрын
Shuq"ran Masheikh
@alimatambwe34022 жыл бұрын
MashaAllah Jazakhallahu kheiri MaShekhe wetu Allah awalipe kila la kheiri mnapigania dini yake
@mwanamsipofu60437 жыл бұрын
Nashukuru kuzaliwa muislam alamdhulilah
@mudkhamis30784 жыл бұрын
Hata mm pia
@Awatee3 жыл бұрын
Alhamdu lilah
@kibibimwanamvuamohammadmoh98237 жыл бұрын
Mtihani mkubwa jamaan yani mtu anamtukana Mwenyezi Mungu bla mwili kumsisimka, wafunzeni wakifuata ni kwa faida yao wenyewe na wakipuuza ni khasara yao. Ndio maana ufunguo wa rizki upo kwa Allah tu ungelkuwa kwa mja wake wallah wengi wangekosa rizki kwa 7bu ya uovu usiopimika. Allah awape subra walimu wetu na nguvu ya kuwashinda makafiri. Aamiyn
@othmanabdallah19487 жыл бұрын
Kibibi Mwanamvua Mohammad Mohammad ameen
@godwinmwambande32087 жыл бұрын
Kibibi Mwanamvua Mohammad Mohammad hatukanwi mugu gan anachangamana majini? mungu gan anayempenda shetan?
@msafiriduwiya77656 жыл бұрын
+Godwin Mwambande hata Mimi nashangaa yesu kamchagua SHETANI kuwa mwanafunzi 6:70 yohana
@hajimohamed97114 жыл бұрын
Godwin Mwambande mshazoea kudanganywa nyie namoto unawangojea kama amtomkubali mkubali mtume wa mwisho Muhammad wamwenyezi mungu ambae nikiongozi wamanabii wote ukijumlisha na yesu pia,unashindana naaliye kuumba tena unamkana,basi ujue kwake utarudi tu sababu ndo ulipotoka we mwana wa Adam,woe to you repent 😡
@petromachanga294 жыл бұрын
@@hajimohamed9711 nabii wa mwishwo kwa nan?
@zainabmsuya24192 жыл бұрын
Kweli mwenyezi mungu ni mmoja na mtume ni mja wa allaa
@hidayashaaban26257 жыл бұрын
Mashaa Allah mungu azidi kuwapa nguvu na afya njema mpate kuendeleza uislam Inshaa Allah
@mussagweje87315 жыл бұрын
Allah tupemema duniani na akhera nautukinge naazabjzamoto
@Awatee3 жыл бұрын
Allah humma amin
@zakiaanwar677 Жыл бұрын
Niko saudia maashallah mashekhe wetu
@mwanashazinga95386 жыл бұрын
shekh saidi kinyagoli wanipunga vilivyo
@muhammedkinanda69605 жыл бұрын
m/mungu awape mwisho mwema mashehe wote
@Awatee3 жыл бұрын
Allah humma amin
@peterchuchu53957 жыл бұрын
Nikweli alla anasema ukweli na ukristo ni ushabiki tu kwa ufatiliaji wa ngu nimeona wislaam ndo haki
@omarjogo43387 жыл бұрын
PETER CHUCHU umetisha
@mamatuishi-mamatuondoke88227 жыл бұрын
Tunawatakia kila hker duniani
@shuwehaharunaomariikwena2337 жыл бұрын
karibu ndugu yangu utongeneze akhera yaki
@godwinmwambande32087 жыл бұрын
PETER CHUCHU pole. sana hujui ulinenaro tatizo ufaham,
@shuwehaharunaomariikwena2337 жыл бұрын
Peter fanyia kazi Allah kashakuongoza umepata ufahamuusibabaike na maneno ya watu kwani wapo watu wao Allah kashapiga mihuri mioyo yao ndio maana unaona mtu anabishana na ukweli au yupo katika dini ya Allah lakini anafanya kinyume naasemayo usivunjike moyo ushaongozwa ndugu yangu
@lugendohussein1035 жыл бұрын
Biblia inathibitisha yesu kuingia msikitini na kuhubiri 17:17 matendo ya mitume lakini hakuna andiko yesu ameingia kanisani kwenye biblia bado tu
@fatwimamakungu54567 жыл бұрын
PETER CHUCHU mashaa Allah tuna kukaribisha katka dini ya kweri
@suzanamenamenswingahallelu1985 жыл бұрын
Mmmmm dini ipi??? Shame on you... funguwa Quran 3 vs 116 ..uone kama hiyo dini inaweza kumuingiza mtu katika Uzima wa milele mmmm someni vitabu vwenu vizuri ndugu yangu .then ndo uanze ku judge ....
@king3-q1s4 жыл бұрын
@@suzanamenamenswingahallelu198 hiyo aya uliyoandika na kutaka isomwe, inasomeka kama ifuatavyo ..''hakika wale walio kufuru hazitawafaa kitu mali zao wala watoto wao mbele ya MWENYEZI MUNGU. Na hao ndio watu wa motoni humo watakaa milele.''
@king3-q1s4 жыл бұрын
@@suzanamenamenswingahallelu198 aya uliyoitaka isomwe ndio hiyo hapo, nini hoja yako?
@suzanamenamenswingahallelu1984 жыл бұрын
@@king3-q1s AMA kweri nyie niwatu waongo kama vire mtume wenu alivyowafundisha kwamba unaweza kutumia uongo .Loh. ndo huu unaoutumia hapa du.. wapi umetowa hayo maneno ?? Plse read carefully dat verses .ambayo nimekutumia mimi...
@farhatrashid20634 жыл бұрын
@@suzanamenamenswingahallelu198 wht u mean when u say uzima Wa milele...
@obasisibao50866 жыл бұрын
Kinyogoli shafi mazinge nouma sana kkkkkkkk
@mgeniali17685 жыл бұрын
Innah hillah wainna lillah rajiunah mungu wanusuru yarrab mbona mijinga hayo makafiri
@RastaMpesa3 жыл бұрын
Mashaallah
@bakarimwakabebe96495 жыл бұрын
Kweli nyie wakristo mmekita katika Giza Totoro.. Allah awaongoze..mufe mkiwa waislam dini ya haki
@frankjohn85705 жыл бұрын
Bakari Mwakabebe sema wa Kristo wapi juu sana huwafikii wala kuwaona si kama wapo gizani Bali ugiza wewe mana Kristo ni Nunu nanyi mmependa Giza mmemkataa
@bakarimwakabebe96493 жыл бұрын
Hamtambui Kesho wala Amali za maisha ya kaburini .hayo ni mawaidha mnaipenda dunia sana .mnasoma na kuamini kupitia mahubiri yanayozongumzia maisha ya kawaida hapa duniani.hamuwezi kuziona kudura zake Allah.
@prettyaysha78923 жыл бұрын
@@bakarimwakabebe9649 usishindane nao kaka hawa maana mwisho utapata dhambi ju utawatukana kwa hasira maana hawaelewi na sio wakueleweshwa
@fatmayahya61007 жыл бұрын
Inalillah waina ilayh rajiun
@shortcut38167 жыл бұрын
Wa Lahi Allah mwingi wa Rehema. jinsi hivi makafiri wanamtukana Allah , bási hawa wangekuwa wameungua wakageuka mikaa hadharani. bahati yao kuwa kajiita Al Rahman Al Rahim bila hivyo wangemjua bila kufungua mdomo. Biblia yao inatukana mitume, kinamtukana hata huyo wanamwabudu kama Muokozi wao yesu inamwita laana kafanywa laana kwa ajili yao. hiyo biblia pia inasema Mungu atanyolewa (Isaiah 7:20) hii ni wazi kuwasemea ukiristo si dini ya Mungu bali ni chama cha kupinga dini ya mwenyezi Mungu. kwani ingelikuwa kweli ni dini pasi wangefuata sheria 10 ambazo zimetajwa na mambo yote aliyokatazwa katika biblia wangefundishana hayo wanaona imeandikwa wasile nguruwe wao wanakula, imeandikwa wasinwe ulevi wao ndio wanakunwa kanisani ukiristo ni mali ya shetani ambae huenda kinyume na maagizo ya mitume.
@suzansuzanei11433 жыл бұрын
Kafiri ww unayeabudu majini mnani nyie
@zalhathasaid20603 жыл бұрын
@@suzansuzanei1143 wew unaekula mavi lkanisani
@hanifaharet37396 жыл бұрын
yaani kweli wakristo akili zenu zimefungwa kabissa,yaani maandiko mwayasoma lkn hata common sense hamna
@suzansuzanei11433 жыл бұрын
Na hayo majini yenu mtaaungu nyinyi
@bakarimwakabebe96493 жыл бұрын
@@suzansuzanei1143ii ndio ukaidi wenu kwasababu mnaamini mahubiri ya mapadre wenu. Ni makosa kumuabudu au kumfuata mwanadamu..Nabii issa ni mtume ndani ya wale 25 na Muhammad ndio mtume wa Mwisho aliekuja kukamilisha dini..
@sadasada12916 жыл бұрын
subuhan nllaah shukran san mashekhe wote wakiislam
@mariamkombo53257 жыл бұрын
Allah akbaru!!Allah a waongo ze katika kutangaza karma ya laila hairaa uraa mohamedi raa surlaah
@amirmohamedali24844 жыл бұрын
A Salam aleykum ndugu waisllamu tushukuruni sana Allah kutufanya waisllamu
@mussagweje87315 жыл бұрын
Allah tupemema duniani,natupemema akhera na utulinde namakafiri
@Awatee3 жыл бұрын
Amiin
@rashidkalimbo24514 жыл бұрын
... SubhaAllah...wallahi ni msiba mkubwa jamani huu.... Wakristo wamefungwa macho.
@suzansuzanei11433 жыл бұрын
Nyie amna soko na ayo majini yenu
@shabirimohamedi53802 жыл бұрын
Kinyogori na mashekhe woote mungu awape afya njema amin
@assanshakur47437 жыл бұрын
shehetani#shetani
@jeanpaulkwizera321610 ай бұрын
aaaa Uyu mu evangelist awo wahislam wata ku uwa aaa
@mwadawasaidi23047 жыл бұрын
jamani mimi nashangaa wakristo ivi wariumbwa na yesu au ? mbona yesu mwenyewe kaumbwa na Allah amakweri wakristo mtaangamia katika moto usio zima da.
@godwinmwambande32087 жыл бұрын
Mwadawa Saidi endelea kuwashangaa ila jua neno moja tu Giza na nuru havichangamani !
@rashidkhamis97945 жыл бұрын
@@godwinmwambande3208 wewe kuona wapi mungu akazaliwa
@fatmazullu49334 жыл бұрын
Watu ni wa ajabu jamani!! Eti wameumbwa na Yesu! Khaaaa msiba huu!
@suzansuzanei11433 жыл бұрын
@@fatmazullu4933 wewe kweli zuzu
@suzansuzanei11433 жыл бұрын
Majini ndo yaliyowatawala nyie
@binmungiadinininasahachane58884 жыл бұрын
Waislam wamejaaliwa hekma sana
@najmaawadh13592 жыл бұрын
Allahu Akbar mungu ana mfafanulia kila aliye ntaka na kumbainishia ukweli shkuru ukiwa wajua kubainishiwa ukweli na haki alhamdullh hawa Namuomba mungu kma hawakubahatika kuwa waislamu natka nikawazomee motoni wallh na maneno Yao machafu wanapoteza watu
@rezikomer95523 жыл бұрын
Wewe ni muanaadamu umepewa ubongo wakujijuwa mwenyewe na yaliyo tuzunguka ya malimwengu na kujuwa tutokako na tutakako regeya nakujihadhari na yaliyo tu sababisha kuwateremuswa hapa ulimuenguni Nawewe muanadamu una ubongo wakuweza kuinuza mambo yakumujuwa ALLAH ikiwa sisiwanadamu hatujijui kwanza ba nikama hivyo muna amuwa kuwa qatumishi wa ibilisi huyo anaye zunguza mwewe ndiyo ibilisi anajificha ndani ya kuchanga kuruani wewe ndiye i bilisi mwenyewe
@dacwatual-naasilaaallah82367 жыл бұрын
Allahu Akbar
@timabushuti20657 жыл бұрын
Mungu awape kheri duniani na hakheri
@youtubeisyours64176 жыл бұрын
allahu akbar
@mohammedbusaidi85056 жыл бұрын
hi we inaonesha huna hata akil aka unauliza allah nin nan unjuwa alie kuumba we unamjuwa nan pumbavu jinga we aliekupa pumzi n huwo ujaeuri wako n masauti yako unamjuwa nan jinga we amka ya allah waongoE ktk njia iliionyoka😢😢😢
@BayuyuHussein5 ай бұрын
ALLAHU AKBAR welcome to ISLAM
@beatricezacharia43135 жыл бұрын
Nashukuru sana wachungaji wangu mungu azidikuwatia nguvu mzidi kuwaelomisha hao
@hamaschannel8014 жыл бұрын
MashaALAAH
@aishaaaa69876 жыл бұрын
Wakristo poleni sana mnaonyesha kabisa mpo kwenye giza
@frankjohn85705 жыл бұрын
AISHA Aaa wa kristo wapi nuruni kila mwenyewe jicho anatazama wa kristo na kusoma biblia mana wanaabudu Mungu asieshindwa, WANAJUA kuwa Mungu alieumba viumbe vyake hashindwi kujua lugha zao
@abedisalumu22954 жыл бұрын
@@frankjohn8570 nakuona unavyo angaika kwakila comment yesu mwenyewe shetani kafa nalaana ya Allah
Ndivyo tunavyojidanganya eti unawezw ukawa mwizi na mzinifu lkn ukishahadia Siku yako ya kufa utaenda peponi sasa fanya hayo mambo ya kishetwani useme ukitaka kufa utashadia lkn wapi shahada aitatoka na utashindwa kuitaja sababu ya uchafu Allah atuifadhi walahi uIslam ndio dini ya haki aina Quran ya sasa wala ya zamani yote ni moja tu
@marcbanyankirubusa1353 жыл бұрын
Hata wislamu muutakas mukiwa mamilioni na mamilioni utabaki kuwa uongo museme kwakiasi gani, utabaki ni ucafu tu, hautaingia mbinguni ukipitia wislamu utaenda jikoni,sikukula cibisi kucomwa tu, lakini waislamu muna mdomo hamna masikio, wokovu unapitia masikioni yesu alisema walio waheli akasema heli mulio namasikio asikiae kuna walio namasikio hawasikii walio na maco hawaoni, waislamu niwale yesu alisema wanatembea lakini ni maiti wadani ni Watu hai lakini walisha kufa napfusi Zao zimekufazamani.
@masungwasalumu12784 жыл бұрын
Huja onge shekh toa maandiko yako ya aya zako Allah ninani ni Mungu au Shetani uzinzi ulevi pepo gani hiyo toa maandiko kama alivyotoa mtangulizi wako
@zulficarbacarsuale68774 жыл бұрын
Lakini wakristo munajifunza kuelewa au kujifuraisha? Au kujifunza hili mupate kubishana? - Lakini ndio ulivio maskini, ila nasema tu mola awasamehe
@hadijahshabani26743 жыл бұрын
Allah Akbar takibiriiiiiiiiiiii
@masungwasalumu12784 жыл бұрын
Soma maandiko huyo Allah ni nani? toa aya zako kama alivyo toa
@mudkhamis30784 жыл бұрын
Yani km utaamua kueka ushabiki pembele ukaskilia asa pent za pande zote mbili na zinavojibiwa kwakila upande hakuna shaka asa ukweli utabaki pale kuwa hakuna dini ya kweli ispokuwa ni uislam
@farhatrashid20634 жыл бұрын
Sio kwamb hawaelewi eti....ubishi tu
@rezikomer95523 жыл бұрын
Waoga akifika mazinge watowa kwa mtandawo wanazima
@Bachirdjibril-jo2ukАй бұрын
Wallah
@josephkamani20933 жыл бұрын
Injili Tanzania yagonga ndipo hapa Kenya Francis Ndacha agonga ndipo mbalikiweni twaelewa mengi ya Mungu
@lileoh38933 жыл бұрын
Hii ivi hawajui kua mnawasaidia wasichomwe moto
@lugendohussein1035 жыл бұрын
Wakorinto wa kwanza sura ya 14 mstari wa 34-35 inakataa mwanamke kunena kanisani wakristo hao mnaowaita mama wachungaji amri yakunena kanisani wamepewa na nan?
@masungwasalumu12784 жыл бұрын
Uisilam umeanza mwaka 600 hiyo ndiyo Mungu wa zamani au longolongo tu
@hassanabdalla27414 жыл бұрын
Uislamu umeanza na Baba Adamu na sio mwaka 600. Mungu yupo tangu enzi na enzi wala hana mfano wa kitu chochote.
@amadimagadi20173 жыл бұрын
Wakristo mashabiki tu hawa hawajielewi
@zalhathasaid20603 жыл бұрын
@@amadimagadi2017 hawajielew vo akili zimeganda na mikate ya mavi wanolishwa
@user-de7nf8pp3w7 жыл бұрын
kumbe mnajua kwamb cfa ya mwenyez mungu ni uumbaj sas huyo yesu kaumba nn alaf yesu kazaliwa kama viumbe wengne muabudun mung mmoja tu kidogol waambie hao bado wapo kwny kiza
@suzansuzanei11433 жыл бұрын
Wasilamu wanafki wa kubwa nyie
@suzansuzanei11433 жыл бұрын
Mbona waarabu wenyewe wanakunywa atari
@zalhathasaid20603 жыл бұрын
@@suzansuzanei1143 kwan wakristo nyie akili za mavi hamunywi na waarab n kabila tu usichachawe na rangi wala kiarab wapo makafir kma nyinyi mazombi
@lugendohussein1035 жыл бұрын
"Eti yeye aniaminie mm hata kufa hata milele" Sasa mbona mnamuamini na mnauonja umauti? Acheni ushabiki ni muda wakumjua Mungu kwa uhakika na kwa yakini kwani Hatujui siku wala saa
@mtumeshaba17684 жыл бұрын
LUGENDO HUSSEIN subscribe account yangu
@suzansuzanei11433 жыл бұрын
We maji kincwani elimu amna kazi ushilikina tu ndo umewajaa
@zalhathasaid20603 жыл бұрын
@@suzansuzanei1143 mnakula mavi awooooo😀😀😀
@elizabethsidi5574 Жыл бұрын
Yaani waislamu mmejaa matusi kwenye midomo yenu kweli hivi hio aya inayosema kua jehannam itadai watu Hadi Allah aweke mguu wake ndo iseme imetosha ni ya uongo ama ni ya kweli???sas kama mnatushawishi tusilimu tumfuate Allah na Allah ataingia jehannam kuna faida Gani na ww mwislamu unatutukana sis ni makafir tutasilimu vip na matusi hayoo
@davisrotich1165 жыл бұрын
waislamu hamna siku mtakua na uadilifu mikelele tu ndio mnajua
@barakarama95415 жыл бұрын
Wakiristo hamfi mana mmemuamini yesu
@frankjohn85705 жыл бұрын
Davis Rotich lipi tumaini kwao walioambatani na walio hao mana ni heri mbwa alie hao kuliko simba aliekufa,imeandikwa
@husseinhaidhurojr54695 жыл бұрын
Chuki binafx
@abedisalumu22954 жыл бұрын
@@frankjohn8570 brother yesu wenu Yuko wapi ?
@frankjohn85704 жыл бұрын
@@abedisalumu2295 YESU YUKO HAI NA HUKO MBINGUNI NA SIKU ATAKUJA KUHUKUMU ULIMWENGU SI WAISRAELI PEKEAO BORA KUFUATA SHERIA YAKE KULIKO KUDANGANYWA NA MAKAFIRI WASIOMJUA MUNGU AMBAO HAWAKUBATIZWA ,NA SIO WANAFUNZI WA YESU HALAFU WANAJIDAI WANAFUNDISHA NENO LA KWELI WAKATI HAKUNA MTI MBAYA WENYE KUZAA MATUNDA MAZURI
@shifamakame46224 жыл бұрын
Mshezi ww kafiri unamtukana AllaH unamfananisha na shetwani na nyoka km hamuna vya kuelimishe Bora si mukatae
@amanichanga34483 жыл бұрын
Lakumdinukum Waliyadin
@zawadiabdallah83423 жыл бұрын
Hawa wakirito hawasikii wakikatazwa wasichezee mavi wanachezea mikojo wakikatazwa wasichezee mikojo wanarejea yaleyale mavi hasa kama hawatak kuamin kama din ya haki ni uisilam ikiwa fika siku ndo watamjuwa mola wahaki kama ni yesu au allah
@somoendege46775 жыл бұрын
Huyo yesu mwenyewe aliewadanganya nyinyi yuko wap?
@daahirmaxamed92973 жыл бұрын
Mashaalah
@user-de7nf8pp3w7 жыл бұрын
mung kaamrisha znaa wapi nyie mnakufur mnazd kumkaclisha allah ila jeur yenu yoote itaisha cku ambayo zilail atapochukua roho zenu
@user-de7nf8pp3w7 жыл бұрын
wallah dunia imeisha watu mnamtukana allah waz waz hata mtumie lugha gan hatuw wakristo tutakufa ktk uislam makafir wakubwa nyie
@omarjogo43387 жыл бұрын
افلح السريرس ndo ukafr kabsa ni makafir
@rosemasoud40282 жыл бұрын
Tatizo liopopo waislamu hawana elimu ya roho hivyo kuelewa kwao ni shida hata kuraani inasema na mkiulizwa habari za roho semeni hatukupewa roho ni mambo yanayohusika na mola wetu wakrito wanaongozwa na roho
@rezikomer95523 жыл бұрын
Kumbuka ni wasilam ni walimu wanakurekebisha wewe ni mwanafunzi ujui bible yako mwenyewe ndiyo munaulenga uisilamu lkujirekebisha amini usiamini nyiyi niwanafnzi mungeyafundishakutoka zamani ikiwayesu yuko hai wewe ndiye ibilisi mwenyewe
@sharifmuadham24546 жыл бұрын
Yaw ewe ndiounawapotosha Kweli.bro
@alihaji16874 жыл бұрын
HAFAHAMU HUYU ANAKASORO YA KUTOFAHAMU ANABIRUWA BIRUWA TU NDIO WAKRISTO WANAKUWA HAWAFAHAMU WANA BWAJA TU
@ramzanqarim49774 жыл бұрын
Huyu kila akielezwa hailewi sijui nani anamueleza nani amueleza ..maana zinaa ni kwa wanadamu wote wasifanye lakin leo hata wakaelezewa hawaelewi maana swali moja anauliza mara 3
@benedictvaati337 жыл бұрын
mshallah.....
@petromachanga294 жыл бұрын
Allah ni shetan
@hassanabdalla27414 жыл бұрын
Allah ni Muumbaji wa vyote unavyovijua na usivyovijua na Shetani ni Kiumbe ambacho kimeumbwa na Allah. Shetani amelaaniwa na Allah. Nadhani umenielewa ndugu
@najmarazam80053 жыл бұрын
We una matatizo ya akili
@najmarazam80053 жыл бұрын
TAKBIIIIIIIIIIIIIIIIIR...
@najmarazam80053 жыл бұрын
Yaa Rabbi waongoze na kuwasameh..na uwape fahamu ya kufata njia ilio sawa.
@khairatsuleiman4606 Жыл бұрын
Shetani n nafsi Yako
@FF-gq2zt6 жыл бұрын
Mm naomba shehe mazinge aseme je yaruhusiwa kumramba mke uchi wake
@suleimanmdoe10763 жыл бұрын
Mh
@lileoh38933 жыл бұрын
Paulo soma 16 yohana
@bakarimwakabebe96493 жыл бұрын
Mmepotea..biblia kitabu cha nani? Maana Musa =Taurat,Daud=zabur,IssaAmbae ndio yesu kwenu=injil, Muhammad saw=Qur'an..ii ndio orodha ya vitabu vilivyopewa manabii kueleza uungu na Kumuogopa katika sifa nyingi