Рет қаралды 4,027
Mabalozi kutoka Umoja wa Ulaya nchini Tanzania wamelaani mauaji ya kikatili ya Kada wa Chadema siku ya Ijumaa. Katika taarifa ya pamoja, mabalozi hao wamesema wana wasiwasi mkubwa na kuongezeka kwa matukio ya utekaji nyara, kupotea na vifo vya viongozi wa kisiasa nchini Tanzania.
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZbin Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram