Part 2_USHUHUDA WA PETER RASHID ALIYEKUWA SHEHE SHARIF ABUBAKAR MAJINI

  Рет қаралды 30,911

PROMOVER TV

PROMOVER TV

3 жыл бұрын

JIUNGE NA MAGROUP YETU YA WASAP KAMA UNGEPENDA KUWA MCHANGIAJI WA KILA MWEZI KAMA IFUATAVYO:-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Cm8cBgjxQhM...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/KOzwX8N7rqy...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/EhBM3Od8c1B...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 149
@micamathew2595
@micamathew2595 3 жыл бұрын
Amen hadi chozi lanidondoka kwasababu nampenda Yesu. Yaan Yesu ni mkuu sana kuliko vitu vingine vya aina yoyote. Yaan Bwana Yesu ni mkuu kuliko Miungu yote. Wala hakuna wa kumfananisha na Yesu ulimwenguni mwote. Amen.
@aberboaz9512
@aberboaz9512 3 жыл бұрын
Amen tunampenda sote
@jimmymwashambwa7364
@jimmymwashambwa7364 19 күн бұрын
Kwa ushuhuda huu wakristo tumshukuru sana Mungu wetu Maanandiyo Mungu wa kweli wapendwa tuongeze biidi tuta,barikiwa sana
@happykajeli5453
@happykajeli5453 3 жыл бұрын
Yesu ni njia na uzima nitakuwa nawe Yesu wangu siku zote za uhai wangu
@ezrakitts7645
@ezrakitts7645 3 жыл бұрын
BWANA YESU ASIFIWE SANA. NAWASLIMU NYOTE . NIMEBARIKIWA SANA NA HUO USHUHUDA, MUNGU AWABARIKI.
@IANA2030
@IANA2030 3 жыл бұрын
Amen 🙏🏿
@esiebabs4487
@esiebabs4487 3 жыл бұрын
Yesu tufunike na damu ya yesu hii dunia imejaa maovu😢
@zenassylvester125
@zenassylvester125 3 жыл бұрын
Nani kama YESU hakuna bwana. .. YESU akikuhitaji anakupata popote pale... Barikiwa mtumishi
@agnesschirstian9226
@agnesschirstian9226 3 жыл бұрын
Hongera kaka kwa kupata Neema ya Wokovu. Bwana Yesu apewe sifa.
@ashleymechack5037
@ashleymechack5037 3 жыл бұрын
Mungu atuepushe na atufunike na damu yake!🙏🏽🙏🏽
@lilianfelekeni7771
@lilianfelekeni7771 3 жыл бұрын
Amen, Yesu ni muweza🙏kwa Yesu kuna raha tele
@jackneymasamson8335
@jackneymasamson8335 3 жыл бұрын
HALLELUJAH AND Glory be to God the Lord Jesus Christ may God bless you and Protect you and your family 👪 very interesting we need more of your Testimony
@dodoted5033
@dodoted5033 3 жыл бұрын
Peter Rashid,ubarikiwe kaka, lugha fasaha sana,wewe pia karama ya utangazaji pia unayo. Yesu ni Bwana,majini walizuiliwa wote,ujumbe wa Yesu ukakufikia. Hakuna kama Yesu,Atukuzwe milele.
@winnierichardmwalyego8942
@winnierichardmwalyego8942 Жыл бұрын
Nimekukubali mtumishi unazidi kuniongeza Imani Kwa ushuuda mzuri
@jkkim3848
@jkkim3848 2 жыл бұрын
Waisilamu watapinga hii ushuhuda kwa sababu inalenga Imani yao
@lioncoin
@lioncoin 3 жыл бұрын
Damu ya Bwana Yesu mtakatifu, naomba utuokoe kutokana na maofu ya shetani Amina,
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 3 жыл бұрын
Natamani kwenda kanisani aliko Hakika Yesu Kristo atosha tu
@RosemaryEvarist
@RosemaryEvarist Жыл бұрын
Hongera sana Mchungajii kwa kipata neema ya wokovu.
@joylynenalija4795
@joylynenalija4795 3 жыл бұрын
Huyu mtumish ana ushuhuda mrefu tu,kaka Jaktan umesahau kumuuliza alisema walikuwa 8 wenzake 7 wte wamekufa amebaki yy peke yke,nini kiliwauwa hao wenzake?na hajaeleza jins walivyokuwa wanapinga ukristo na kutaka kuwauwa wale watumish wakubwa waliokuwa wakimtumikia Mungu kweli na wamesimama lkn walishindwa kuwauwa. Ushuhuda huu mmeukatisha kaka Jactan bdo huyu mtumishi wa Mungu alikuwa na mengi ya kutueleza ili tujifunze na kuuthamini wokovu🙏
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 жыл бұрын
Ni kweli,ndio maana nikasema tutakuwa na mwendelezo
@joylynenalija4795
@joylynenalija4795 3 жыл бұрын
@@PromovertvTz sawa kaka Jackan🙏
@amedeusmodestikimey9888
@amedeusmodestikimey9888 3 жыл бұрын
@@joylynenalija4795 🛤️🏃🤲🤲🤲
@salmaahadi3510
@salmaahadi3510 2 жыл бұрын
Yesu wewe ni Bwana.Utukufu ni wako Jehovah...ahsante kwa kutuokoa🙏
@yohanamagele3633
@yohanamagele3633 3 жыл бұрын
YESU NI TAA YA UZIMA DAAH ,NIMEBARIKIWA SANA NA HUU USHUHUDA
@mwesigwaannte6751
@mwesigwaannte6751 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi wa MUNGU kwa maswali uko poa sana
@kacerawamami1209
@kacerawamami1209 3 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe. Ushuhuda mzuri ningeomba kama angerudi tena atoboe siri yote. Pia ushuhuda wa Omar jojo tungeomba bwana Jactan utuletee majaliwa. Asante
@davidsolomon5240
@davidsolomon5240 3 жыл бұрын
Power full testimony! Praise Lord God of Israel for might name of king Jesus Christ 🙏🙏
@josephinemumbua159
@josephinemumbua159 3 жыл бұрын
Barikiwa sana kweli damu ya yesu usafisha kabisa amen
@RosemaryEvarist
@RosemaryEvarist Жыл бұрын
Hongera saana kwa kumpata YESU. Kumbe tuache bla bla za wokovu.
@nicolemulonda8984
@nicolemulonda8984 3 жыл бұрын
Yesu ni Bwana Karibu katika jamaa takatifu
@user-me3ee4fu8w
@user-me3ee4fu8w 3 жыл бұрын
Amen tupee ushuhuda wote jamani tujue ujanja wote
@hebronsdaughter1661
@hebronsdaughter1661 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kwa ushuhuda wako na tunahitaji zaidi kuskiliza zaiidi
@peninahkariuki4679
@peninahkariuki4679 3 жыл бұрын
Damu ya Yesu inaokoa Amen 🙏🙏🇰🇪
@zakiaabdulrahman3013
@zakiaabdulrahman3013 3 жыл бұрын
Asante kwa ushuhuda umenijenga sana.Hakika Mungu mwema
@eastcuisines124
@eastcuisines124 3 жыл бұрын
Asante Yesu kwakua wewe ni kweli yote
@thomasnachenga795
@thomasnachenga795 3 жыл бұрын
Mungu ni wa watu WOTE. Kwaio usiadaike ata wewe unaesoma text hii mungu anaweza kukusikia na kukutendea. Kikubwa ni IMANI.... dini nyingi ni UTAFUTAJI wa pesa. Cha zaid utanunua mafuta. Utatoa sadaka. utafulia na ndugu mchungaji anatajirika. SHITUKA. God is rich he dosen't need money. He need BELIVE. take that. Peaceeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
@davidmghanga8502
@davidmghanga8502 Жыл бұрын
Endelea ndugu ushapokelewa kwa YESU ni uzima
@user-ci5vo6sb2h
@user-ci5vo6sb2h 7 ай бұрын
Ninachukuru kumuonatena mtumiski wa Mungu uchuhuhda wakemtamusana ubarikiwe
@IANA2030
@IANA2030 3 жыл бұрын
Thank you very much Jactan God bless you.
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 жыл бұрын
Amen
@FrancisNdungukulef
@FrancisNdungukulef 8 ай бұрын
Yesu atosha tu,, Hallelujah🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@josephmayunga2879
@josephmayunga2879 3 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa ushuhuda mzuri
@noelashaoona
@noelashaoona 3 жыл бұрын
We need more this is not even close to what we wanna know
@estasage5506
@estasage5506 3 жыл бұрын
True
@emmakerubo7954
@emmakerubo7954 3 жыл бұрын
Thank u Juses
@noelashaoona
@noelashaoona 3 жыл бұрын
Yani we need more episodes
@user-me3ee4fu8w
@user-me3ee4fu8w 3 жыл бұрын
Apostle una ushuhuda mrefu sana mbona kuufupisha
@vitaasumani4613
@vitaasumani4613 5 ай бұрын
Mungu ni mwema
@preciouslissahparis1352
@preciouslissahparis1352 2 жыл бұрын
Mungu asingeweka msamaha,sijui ingekuwajewachawi watu wabaya saana
@dodoted5033
@dodoted5033 3 жыл бұрын
Nikisoma baba na mama nitapata nini? Chekesha sana Peter.😂😂😂😂❤
@aminaally4163
@aminaally4163 3 жыл бұрын
Amen YESU ANAWEZA
@pastorwalterrodney5509
@pastorwalterrodney5509 3 жыл бұрын
Powerful testimony
@mercykariithi7919
@mercykariithi7919 3 жыл бұрын
Thxs so much mchungaji jactan kwa watumishi tofauti tofauti wanatufundisha mambo ya manufa kwa roho zetu endelea hivyo hivyo Amen
@pirminmatumizi5464
@pirminmatumizi5464 3 жыл бұрын
Mtumishi, Je, unakumbuka huko miaka ya nyuma wakati unatoa ushuhuda wa chanzo cha wokovu wako ulishuhudia kwamba Mke wako wa ndoa ndiyo chanzo na siyo hivyo unavyoshuhudia (sijui kama bado ungali na mkeo wa kwanza ktk ndoa; maana nalikuona ktk KZbin ukifunga ndoa na kimwana mwingine kule SA). Ubarikiwe Mtumishi.
@drtobias_
@drtobias_ 3 жыл бұрын
Nilijua kuwa labda ni ndo tu nakumbuka hilo,Hii dunia bwana
@fei3668
@fei3668 3 жыл бұрын
asante yesuu🙌
@lydiamichael5509
@lydiamichael5509 3 жыл бұрын
YESU NI BWANA AZIDI KUHIMIDIWA MILELE.
@sophiajonas3459
@sophiajonas3459 Жыл бұрын
Asante Yesu kwa wokovu
@xinyingmiao4996
@xinyingmiao4996 3 жыл бұрын
eeh yn miaka 8 mtu anasoma uchawi kweli tunahitaji maombi jaman
@hebronsdaughter1661
@hebronsdaughter1661 3 жыл бұрын
Nimejifunza mengi sana barikiwa sana Mtumishi
@emmakerubo7954
@emmakerubo7954 3 жыл бұрын
Mungu akuongose k wa maisha yako
@LOGOSNew
@LOGOSNew Жыл бұрын
Huyu jamaa tapeli! Ukimcontact ataanza kumwambia umpatie majina yako kamili. Atakunasa na uchawi wake!!!!😊😊😊😊😊
@rehemaabinelynyagawa2878
@rehemaabinelynyagawa2878 3 жыл бұрын
Nimejifunza kitu ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
@joycemuhoja4729
@joycemuhoja4729 3 жыл бұрын
God bless you
@makakenia7065
@makakenia7065 3 жыл бұрын
Mungu akuinue zaid
@joliea2956
@joliea2956 3 жыл бұрын
Amen
@christophermwandemange796
@christophermwandemange796 Жыл бұрын
Aaah Groly be to God
@HappyJohn-kk1pr
@HappyJohn-kk1pr Ай бұрын
AminA kubwa
@tigerchristmas5491
@tigerchristmas5491 3 жыл бұрын
KWELI KWA YESU KUNA RAHA MTUMISHI ANASIMULIA NA FLOW NZURI NA AMANI YA KRISTO.IMETAWALA ASNTE KAKA JACTAN KWA USHUHUDA HUU
@kenmarykimtan2360
@kenmarykimtan2360 3 жыл бұрын
Hakika Mungu ni mkuu sana
@cyprianchale602
@cyprianchale602 3 жыл бұрын
Yesu ni wangu
@Grand_Ayatollah_Hussein_Parmar
@Grand_Ayatollah_Hussein_Parmar 10 ай бұрын
Haya mambo yanafanywa baadhi ya uchawi na Mashia wahindi Khoja wakifanya sehemu yao ya dini na hakuna anaweza akapambana nao kwa uchawi wao na itikadi zao mbaya na pesa walizanazo walizopata kwa uchawi. Wenyewe wanachukia na wanaweza wakaniua zaidi ya kunitenga kwa kuwafichua wenyewe wakiona hayo wakiyaona lakini wanafurahi wenzao kama hawa serikali ya Zambia kama hapa nilipo wanapambana na mimi wakiwa na uadui na mimi kama wale watu wa Afrika Kusini na uchawi na mabaya yao, na ukatili wao, kwa sababu ya mimi kuzaliwa kwa kasoro ya hulka za kike na jinsia mbili, na vile nilivyobakwa na watu utotoni, na vile nilivyosoma dini na nikasomeshwa kwa mwenyewe kutaka na Mungu kuniteua nikiwa nina jinsia mbili, na kwa mafundisho ya kweli ya Mungu inayoenda na maandiko niliopata ambayo nayofundisha na mafundisho ya upendo na ya kumrudia Mungu inayoendana na maandiko na imani ya kweli ya Manabii
@peterkaranja295
@peterkaranja295 Жыл бұрын
Fundisha jinsi ya kukabiliana na uchawi wowote ule.
@user-rf5tz5ft2y
@user-rf5tz5ft2y 3 жыл бұрын
JESUS IS GOD
@Mpakauseme
@Mpakauseme 3 жыл бұрын
Dah watu wanaumbuka
@lispamagu5810
@lispamagu5810 2 жыл бұрын
Yesu ni BWANA
@godisgreat1845
@godisgreat1845 3 жыл бұрын
Fanya basi kwa uhakika tone kama kweli au fanya lote
@yvonnewitandaye1873
@yvonnewitandaye1873 2 жыл бұрын
Jacktan yuko makini sana hasahau kabisa,ina wezekana ume someya utangazaji,nakama hawu kusameya basi uko vizuli kabisa uwa una wauliza yale ambayo tungetaka kuwa uliza.
@leahdaniel1117
@leahdaniel1117 Жыл бұрын
Hii dini haki haifai kabisa
@carolinederi5690
@carolinederi5690 2 жыл бұрын
David Richard pia alisema shetan I ni kijana handsome boy hajabadlika toka alipofukuzwa mbinguni
@mosesg.pendael8381
@mosesg.pendael8381 2 жыл бұрын
Kwingine kote sawa. Hapo penye kukausha kuni hapo, na huyo mama hakuuwawa baada ya watu kumshuhudia ni mchawi....badala yake wakamshtaki, mmmmh.
@dodoted5033
@dodoted5033 3 жыл бұрын
Swali ni mbona Yesu huwa hawatokei akaawaambia hubiri Uislamu achana na uchawi.Ama Muhammad hawatokei kuwakanya? Yesu huwaambia acheni uchawi hubiri Injili nitumikie mimi.
@egospeltz9486
@egospeltz9486 3 жыл бұрын
Alete ushuhuda zaidi.🏃🏃
@fadhiliswalehe9286
@fadhiliswalehe9286 3 жыл бұрын
Haeleweki
@estherkoya2480
@estherkoya2480 3 жыл бұрын
Yaani wanaweza kutoa pepo? Kivipi?
@mahomamahoma1858
@mahomamahoma1858 3 жыл бұрын
Tunaomba mwendelezo
@zeldamzena9295
@zeldamzena9295 2 жыл бұрын
Jactan huu ushuhuda ndio uliishiaga hapa hapa.mpendwa haukuendelea??
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Ndio umeishia hapo kwa sasa, mwendelezo bado
@dorcaskarago2876
@dorcaskarago2876 3 жыл бұрын
Sorry achakufindisha watu mabaya
@fauziaabdullah3733
@fauziaabdullah3733 3 жыл бұрын
hukusama dini ya uhakika ulisoma mambo ya majini
@livanofficialkenya
@livanofficialkenya 3 жыл бұрын
Hayo masomo syako kwa kurani
@Mpakauseme
@Mpakauseme 3 жыл бұрын
Usipagawe rudia tena kumsikiliza
@ikabako2454
@ikabako2454 3 жыл бұрын
Sasa kimatamshi hiyo herufi ndogo unaitamkaje na hiyo ya herufi kubwa unaitamkaje? Yes Allah amekataza kumshirikisha ila uchawi ni mashaka ya kishetwani. Wewe ulizaliwa kwenye mashaka na umeenda kwenye mashaka tena.
@estherkoya2480
@estherkoya2480 3 жыл бұрын
Naomba Uwaulize hao waislam ili kutoa majini Kwa watu huwa wanatoa Kwa nini? Jina la mtume au? Kama sisi tunavyoharibu nguvu za Giza Kwa jina la Yesu
@fadhiliswalehe9286
@fadhiliswalehe9286 3 жыл бұрын
Majini wabaya wanatolewa kwa uwezo wa Allah pekee anaposomewa Quran wanaunguzwa kwa ukali wa maneno ya Allah wala hakuna kiumbe chochote kinachoweza kudhuru au kunufaisha siyo yesu wala muhammad kiumbe bora kuliko wote duniani
@hubertbuchuma951
@hubertbuchuma951 3 жыл бұрын
Mhuuu
@josephgatuhi2427
@josephgatuhi2427 3 жыл бұрын
......mungu wangu Lucifer hivi kwamba huyo ndiye mungu wa waislamu ama vipi huyo ndiye wanamuita allah?
@nyendochamwela3031
@nyendochamwela3031 3 жыл бұрын
Hapana
@fadhiliswalehe9286
@fadhiliswalehe9286 3 жыл бұрын
Allaah siyo lucifer bali lucifer ni mkubwa wa mashetani wote.Allah ni Mungu wa viumbe vyote ukiwemo na wewe piya na yesu piya na sote tutakuja tutarudi kwake kwa Allah atatuhukumu motoni au peponi .Allaah akuondolee giza la ukafiri uingie katika nuru ya uislamu dini ya haki siyo ya ubabaishaji
@dotosalim5090
@dotosalim5090 3 жыл бұрын
Mungu mmoja kwan mungu wangap
@estherkoya2480
@estherkoya2480 3 жыл бұрын
Katika uislam, kuna mbingu baada ya Kifo kama sisi tulivyoandaliwa makao yetu na Yesu?
@euniceeunice7680
@euniceeunice7680 3 жыл бұрын
Waefeso 4.5 Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja. Amna dini yyte duniani wala mbinguni zaidi ya Yesu kristo...kwaiyo ukiona mtu ni muislam au muhindu jua uyo anamtumikia shetani na mbingu zao ni kuzimu then motoni milele....kama misukule saiz ipo kuzimu inateseka jua ndo ivyo maana awapo ktk nuru Bali ni giza
@fadhiliswalehe9286
@fadhiliswalehe9286 3 жыл бұрын
Siyo kweli hakuna mbinga baada ya kifo lete ushahidi wa hayo maneno ikiwa weye ni mkweli?
@fadhiliswalehe9286
@fadhiliswalehe9286 3 жыл бұрын
Makao yenu mliyoandaliwa yapo ni kweli ni jehannam milele
@joycemushi725
@joycemushi725 3 жыл бұрын
@@fadhiliswalehe9286 wewe inashida kijana, unasahau nyie waislamu mnasema mungu wenu atawapa wake kibao huko ahera, onana mnavyoendekeza zinaa😀
@barnaba3037
@barnaba3037 2 жыл бұрын
NDUGU JACTAN TUNAOMBA UMTAFUTE TENA UYU NDUGU UMUHOJI ZAIDI
@rajabuhassani8426
@rajabuhassani8426 2 жыл бұрын
Kwa kweli mnachokitafuta kwa waisilamu mtakipata hasa haka kachanell kamichongo
@abdalahsuleiman8989
@abdalahsuleiman8989 3 жыл бұрын
Wewe Acha ujinga wewe uongo huo umeupata wapi ngoje tukukamate uje uthibitishe maneno mbele ya Sheria uje useme na huo ujinga wa jina lako unalotaka kudanganyia watu
@Mpakauseme
@Mpakauseme 3 жыл бұрын
Sasa mumkamate kwakosa gani mbona unalipuka
@musakasingo594
@musakasingo594 2 жыл бұрын
Haha hahahahaaa, acha mpewe dozi
@dareenali6086
@dareenali6086 3 жыл бұрын
Lahaula walaquwata illabillah
@habibumdetele6530
@habibumdetele6530 3 жыл бұрын
Hahahaha.....Daaaa hizi injili hizi.
@shadiantakiyica6647
@shadiantakiyica6647 3 жыл бұрын
Mungu yuko na ww atakuukum, kuzalilisha dini ya wengine, labda mnakuwa mumelipwa, maana taha alhamdulilah ww kama ulikuwaga sheikh haujuwi ku itamka, muongo ww
@godisgreat1845
@godisgreat1845 3 жыл бұрын
Yaani 1hata kupangilia majina kashindwa eti Rashidi shehe sharif Abubakar kasoma Quraan hata kuiigizia hujui lakini kwa vile unazungumza na kondoo hamna shida huwa wanaamini kila jambo Hao najua mwanzo wa kutafuta njia ya kuanzisha kanisa ule sadaka za kondoo
@myself4128
@myself4128 3 жыл бұрын
Kaka Jacktan hulali???naona ndio umepost😅😅😅😅 Sasa naomba umtafute mtumishi Jamal jojo yupo mombassa na alikuwa pamoja na sheikh omari mnyeshani pls wahoji hao wagu wana ushuhuda mzito mnooooooo
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 жыл бұрын
😆hakuna kulala
@estasage5506
@estasage5506 3 жыл бұрын
@@PromovertvTz Please, bring more testimony from him. Please, please.
@estasage5506
@estasage5506 3 жыл бұрын
@@PromovertvTz Good catch brother Jacktan. You reminded him about misukule
@estasage5506
@estasage5506 3 жыл бұрын
@@PromovertvTz Please brother, bring him more and allow him to talk more.
@myself4128
@myself4128 3 жыл бұрын
Mnapohoji hawa watu Tafaadhali muwe mnawapa pia nafasi ya kuflow freely,washuhudie bila kuwa interrupted na maswali mengi sana ila waulizwe maswali ya msingi na pia uwepo ushahidi wa wanayoyasema sababu walinga Kristo uwa hawaamini wao wanatetea lidini lao tuu na wanawakana kuwa hawakutokea kwao,,
@habibumdetele6530
@habibumdetele6530 3 жыл бұрын
Utadhani CCM wakiwa wanatafuta kura....huu ukafiri yaani mtu hapati watu ampka adanganye.
@musakasingo594
@musakasingo594 2 жыл бұрын
Hahaha muokoke sasa
@designdesign4426
@designdesign4426 3 жыл бұрын
Mpumbavu mmoja unamzalilisha mzaziwako alieluwekatumboni.kwa njaazadunia akuna laukweli hata moja labda kwa matahila ndo wataamini make wapowengi mjini...nabiasharahio inalipa na inawateja kikubwa nikujiita nabii namtume nakuliita jina layesu basi
@ikabako2454
@ikabako2454 3 жыл бұрын
Naam huyu alikuwa mchawi aliyezaliwa katika uislamu kama ambavyo kuna wachawi waliozaliwa katika wakristo. Muogope Allah SW na ipo siku Allah atafanya watu wajue ukweli wako.
@Mhandisi2008
@Mhandisi2008 2 жыл бұрын
Huwezi kuchukua sura za biblia ukafanya uchawi, lakini quran linawezekana Hilo..
@ikabako2454
@ikabako2454 2 жыл бұрын
@@Mhandisi2008 sio kweli. Quran haina maneno ya kiuchawi hata kidogo. Wewe hujawahi hata kusoma sura moja ndio maana unabisha kitu usichokijua. Hawa waleta story wenye njaa wanawaponza sana. Mbona hasemi namna gani alifanya akachukua akili? Anasema tu
@habibumdetele6530
@habibumdetele6530 3 жыл бұрын
Rashidi hahahaha.....
@mohamedhamismagoraonlinetv459
@mohamedhamismagoraonlinetv459 3 жыл бұрын
Tafuta njia nyingine ya utapeli hii ni ya kijinga sana.
@RemmyWilliams
@RemmyWilliams 3 жыл бұрын
YANI SANAAAAA🤣🤣🤣
@ikabako2454
@ikabako2454 3 жыл бұрын
Asante sana Mohamed. Huyu ana matatizo na hakuujua na wala hataujua uislamu.
@giftwema9542
@giftwema9542 3 жыл бұрын
Hahaha inauma sana waisilamu wakimuona Murtad.
@dotosalim5090
@dotosalim5090 3 жыл бұрын
@@giftwema9542 kilamtu anaimani yake
@musakasingo594
@musakasingo594 2 жыл бұрын
Okoka acha kupinga
@godisgreat1845
@godisgreat1845 3 жыл бұрын
Yessu alikutokea wewe nyie makafiri huyo Yessu alikuwa kwako wewe Sasa hubiri Sasa injili tukuulize masuali ujibu au huwezi kujibu
@giftwema9542
@giftwema9542 3 жыл бұрын
Maana ya kafiri ni nini?
@tigerchristmas5491
@tigerchristmas5491 3 жыл бұрын
KWELI KWA YESU KUNA RAHA MTUMISHI ANASIMULIA NA FLOW NZURI NA AMANI YA KRISTO.IMETAWALA ASNTE KAKA JACTAN KWA USHUHUDA HUU
@mwanashagladys4581
@mwanashagladys4581 2 жыл бұрын
Amen
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
00:23
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 17 МЛН
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 39 МЛН
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 14 МЛН
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 7 МЛН
Part1_MKAKATI WA MALKIA WA PWANI DHIDI YA KANISA|Maono ya kutisha
37:45
USHUHUDA WA SHEHE ALIYEOKOKA(Part-4)~Shehe Omary Mnyeshani
30:50
PROMOVER TV
Рет қаралды 19 М.
Part 1_USHUHUDA WA SHEIKH AMIR ALIYEKUWA USTHADH SASA AMEOKOKA
46:48
SHEIKH MWAIPOPO AFICHUA MAFUTA YA AJABU DAR /YANAFUKUZA MPAKA MAJINI..
26:36
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
00:23
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 17 МЛН