Part10_Je!Kanumba anaweza kurudi watu wakimwombea?|USHUHUDA WA ALIYEKUWA CHIFU WA KABILA LA KICHAWI

  Рет қаралды 114,868

PROMOVER TV

PROMOVER TV

2 жыл бұрын

4,500$ inahitajika ili kufanikisha safari ya mtumishi wa Mungu Aston Mbaya nchini Kenya.Tafadhali wezesha safari hii ya injili kwa kuchangia pesa yoyote uliyonayo.Tumia namba hizi kuchangia ama kwa mawasiliano.
M-Pessa: +255766294335
Airtel Money: +255784074462
WesternUnion/MoneyGram:Jacktan Arbogast Msafiri
City:Mwanza
Country:Tanzania
$ 4,500 is needed to make the journey of God's servant of God Aston Mbaya to Kenya. Please facilitate this gospel journey by donating whatever money you have. Use these numbers to donate/communication.
M-Pessa: +255766294335
Airtel Money: +255784074462
WesternUnion/MoneyGram:Jacktan Arbogast Msafiri
City:Mwanza
Country:Tanzania
KUJIUNGA NA GROUP MAALUM LA WHAT'SAPP LA SAFARI YA ASTON MBAYA NCHINI KENYA, BONYEZA LINK HII chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Kama unashindwa kujiunga mwenyewe tuma kwa What'sApp neno "Niunge Promover tv Kenya" kwenda No. +255784074462 .Kama unahitaji kuungwa Tafadhali hakikisha umetuma ujumbe kwenye What'sApp usitume kwa ujumbe wa kawaida yaani sms.
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 259
@skeetergodwins2576
@skeetergodwins2576 2 жыл бұрын
Huyu kijana ni mnyenyekevu sana. Damu ya Yesu iendelee kukufunika
@binakitigwa3311
@binakitigwa3311 2 жыл бұрын
Watanzania hii ni azina tuliyopewa na Mungu tumtumie sana na kumwombea sana
@lizzynkifu4179
@lizzynkifu4179 2 жыл бұрын
Tujitahidi wana wa Mungu tuwe tunachangia uwezeshaji wa kwenye hiz shuhuda kiukwel zinatuinua wengi na kutufanya tujue namna gan ya kuomba juu ya hizi nguvu za giza zinazotutesa kila kukicha
@miria659
@miria659 2 жыл бұрын
Mungu umbariki mtumishi Amieli ametufunza mengi Sana tunakusubiria hapa Kenya God bless this platform ya promover TV in Jesus name.
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@channyqueen6288
@channyqueen6288 Жыл бұрын
​@@PromovertvTz naomba unisaidie ni njinsi gani ninaweza kuongea na huyu mtumishi wa Mungu kapo dakika2 tu Kuna mambo mengi yananisumbua Sana nahitaji msaada au ushauri au nipate majibu yake nateseka Sana naomba unisaidie nakuomba
@johnbernad3990
@johnbernad3990 11 ай бұрын
​@@channyqueen6288mpigie kwenye simu yake maana namba yake aliitoa kwenye part 1
@EvelyneNgidos
@EvelyneNgidos 2 ай бұрын
Ko
@maryandason1815
@maryandason1815 2 жыл бұрын
Dah sioni at shida kumalza bando kwa ajil ya mambo yakumtukuza YESU wangu.kuwapendraaa tu ndo nachojuwa mm.naomb niulze Kwan mkutano na semina zimeisha jmn.nataman mkutano usiishe kila leo wachawi wasalimishe mikoba yao... blessed all.promover tv.
@cathyrobert6501
@cathyrobert6501 Жыл бұрын
The same case here ,with me as long as ni kitu Cha kulitukuza jina LA yesu then sijali bundle sinaisha ama yaan I am happy that our God is this powerful to rescue from the power of darkness
@israelkessy9807
@israelkessy9807 Ай бұрын
Amina,,ubarikiwe zaidi
@florencekasambula6497
@florencekasambula6497 5 күн бұрын
hapa ni mahali sahihi pa kumalizia bundle
@stamilinchimbi6547
@stamilinchimbi6547 2 жыл бұрын
Asante kwa muendelezo wa shuhuda inatusaidia kumjua adui yetu na jins yakupigana naye mbarikiwe sanaaaaa
@Soni-lt6oi
@Soni-lt6oi 2 ай бұрын
Asante sana hii ushuhuda unanitia nguvu sana sifa na utukufu zirudie huyu Mungu
@happykajeli5453
@happykajeli5453 2 жыл бұрын
Natamani siku moja nifike kanisani kwako tusali pamoja mch amiel najifunza vitu vingi sana ubarikiwe Jactan
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@IreneCremece
@IreneCremece 21 күн бұрын
Mungu akutie nguvu sana mtumishi wa Mungu uendelee kutufundisha
@tamarali8325
@tamarali8325 2 жыл бұрын
Barikiwa sana Jacktan. Mtumishi wa Mungu usijali watu wanaosema haujaokoka. Wewe ni Mtumishi wa Mungu 💯%. Barikiweni sana Watumishi wa Mungu Aliye Hai.
@juliusmakamba255
@juliusmakamba255 5 ай бұрын
Anasema kuna baadhi ya Manabii wakubwa ni maagent wa shetani.
@heritier5119
@heritier5119 2 жыл бұрын
Siri za shetani zinawekwa Sana wazi siku hizi hadi raha.
@rusimackems9820
@rusimackems9820 2 жыл бұрын
Tujiweke tayari ndugu, Yesu yuko mlangoni
@eunicemsigo9677
@eunicemsigo9677 2 жыл бұрын
Unajuwa ni siku za mwisho Alafu damu ya yesu na jina la yesu liko na nguvu. Tuombe bila kukoma maana shetani anatuwinda Blood of Jesus cover us
@agathasungura5047
@agathasungura5047 2 жыл бұрын
Mh
@petermalema5702
@petermalema5702 7 ай бұрын
Kwakweli Ni Raha Sanaaaaa
@irenek7280
@irenek7280 2 жыл бұрын
Weuh huyu mtumishi Amiel ananibariki saana woiii wish ningekuwa Kenya hizo tarehe akh singekosa but it's my prayer to meet this God servant
@elizabethbarasa1035
@elizabethbarasa1035 2 жыл бұрын
Jacton barikiwa ma vizazi wako kwa kueneza injili kupitia shuhuda .mtumishi kupitia shuhuda hizi nimepata Imani ya kuomba na kumuombea mume wangu na mungu wetu anatenda kweli ...napenda msemo wake huu ..penda chuma na mlingoti chuma😊 piga! Piga!
@aminam.410
@aminam.410 2 жыл бұрын
Ushuhuda umenifanya niwe jasiri sanaa asante mtumishi wa Mungu
@florencemueni1183
@florencemueni1183 2 жыл бұрын
Na mushukuru Mungu sna kwa kutukutanisha tena na ww jactan na mtumishi katekela...kwa majina ni florence mueni toka Kenya nikubukeni kwa maombi juu mmenisaidia sna kiroho
@sarahjacobs8814
@sarahjacobs8814 2 жыл бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ubarikiwe Sana watumishi wa MUNGU Kwa KAZI njema.kweli tungependa kujua mtumishi T b Joshua
@Mwakibinga_wisdom
@Mwakibinga_wisdom 2 жыл бұрын
😂
@petermalema5702
@petermalema5702 7 ай бұрын
Ohooooo😂😂😂😂
@mgangaruban9383
@mgangaruban9383 2 жыл бұрын
nasubili kwa hamu sana sehemu ijayo na Mungu amuinue na kumpa nguvu ya kuusema ukwl inawezekana ukawa wakala na haujui,Yesu tusaidie 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@fezakabala6589
@fezakabala6589 2 жыл бұрын
Aminaa aminaa sifa kwa bwana ubarikiwe saana baba yetu 🙏🙏🇨🇩🇨🇩🇨🇵🇨🇵
@heritier5119
@heritier5119 2 жыл бұрын
Mtumishi kwa Yesu kuna na amani tele tena bure mcheki Mussa Chesa , Meshack wanavyonawiri kwa Yesu
@valentinanduku8718
@valentinanduku8718 2 жыл бұрын
Na zabron na kanyerere
@estherakisa3162
@estherakisa3162 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana umetufunza mengi kweli y Dunia n mengi inabidi ss wadamu tumurudie Mungu hatuyajui y kesho ukiwa n Imani utashinda vita y dunian m niko Imani tutashinda hii vita tusaidiana kw maombi
@maryandason1815
@maryandason1815 2 жыл бұрын
Blessed past Katekela..Niko na maswali yakuulza kwko nitakupigia kwa no yako
@sallymumia8425
@sallymumia8425 2 жыл бұрын
Thank you,promover TV,for the,great mission you are doing,for Jesus Christ,thank you for bringing man of God,katekela.
@thobiasleonard5658
@thobiasleonard5658 Жыл бұрын
Pole sana Mtumishi katekela uwe hodar na moyo wa ushuhuda chapa kazi yesu Yu pamoja nawe.
@irenek7280
@irenek7280 2 жыл бұрын
Glory to God 🙏 continuation iko hapa💃💃💃💃💃mchungaji Amiel n jactan blessings...can't get enough of this MCH
@rusimackems9820
@rusimackems9820 2 жыл бұрын
Wow nimefurahi kuona mwendelezo, Mungu awabariki, naomba unisaidie kumuuliza Jacktan kwamba ni namna gani jini linakuwa katika umbo la mwanadamu na wengine kuzaa na kuzaliwa na wanadamu, asante. Rusi/ Ruth kutoka Canada.
@fortunataangelo5575
@fortunataangelo5575 2 жыл бұрын
Alishaeleza kweshuhuda ya 1-9 rud msikilize vizuri
@JoyceCharles-i9f
@JoyceCharles-i9f 5 сағат бұрын
Mungu akubariki mtumish wa mungu nimeguswa na s huhuda zako
@lydiamichael5509
@lydiamichael5509 2 жыл бұрын
Barikiwa sana ndugu JACKTAN pamoja na MCHUNGAJI Amiel kwa kutufunulia mambo ya giza yenye hatungejua Bwana awe nanyi..
@violettendih...8452
@violettendih...8452 2 жыл бұрын
Thanks Mtumishi wa Mungu God bless you more, more.
@thelivingwordchannel9027
@thelivingwordchannel9027 2 жыл бұрын
Umeeleza vizuri sana kwenye kunena kwa lugha.Kwa kuongezea;lugha za mapepo zinamfanya anaenena kufanya fujo au kuanza kupiga watu ngumi,wanakuwa kama mazomi au kulewalewa.Pia mtu ndiye anaeamuru watu wanene na wanaanza na sio kwa ufunuo wa Mungu.Kuna muhubiri fulani mke wake huwa anawambia watu watamke asante yesu mara nyingi haraka haraka(hypnosis) ili wanene na wananena
@lucyjoseph4216
@lucyjoseph4216 2 жыл бұрын
Asante sana Jactan ubarikiwe Kwa kumleta mchungaji tena... waiting patiently for the next part
@leahenockmrina5381
@leahenockmrina5381 2 жыл бұрын
Asante Mtumishi jactan na Amiel kwa kutufungua mambo ya kiroho ili kuzifumbua fumbo za shetani na kazi zake.
@jasminmustapha4586
@jasminmustapha4586 2 жыл бұрын
Amieli umeokolewa kwa kusud maalum usiogope fanya kazi yesu atakutetea mtumishi
@mauriciocristianomardes6295
@mauriciocristianomardes6295 2 жыл бұрын
Amin mungu akubaliki nchungaji amieli. Jacktan mozambique tunakupenda sana 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@luciasingano1151
@luciasingano1151 2 жыл бұрын
Amina 🙏 Mungu azidi kukubariki mtumishi na promover tv kwa ujumla
@peninahkariuki1136
@peninahkariuki1136 2 жыл бұрын
Asante sana kwa majibu.barikiwa 🙏🇰🇪
@prosmutonyi3706
@prosmutonyi3706 2 жыл бұрын
Mungu ndie mfalme juu ya falme zote.
@alexmunguwakwelinawamilele7657
@alexmunguwakwelinawamilele7657 2 жыл бұрын
Jaktan na pastor Amiel Mungu wa mbinguni awaimalishe na m balikiwe sana
@mgangaruban9383
@mgangaruban9383 2 жыл бұрын
ameni Mungu akubaliki promover tv pia mtumshi kiukweli ushuhuda huu unajenga sana
@anithashembilu7732
@anithashembilu7732 2 жыл бұрын
Yesu Kristo tawala dunia kwa nguvu zako.
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 Жыл бұрын
Hii neema jamani msiomwamini Yesu naomba mjifunze kupitia Mchungaji huyu hamjachelewa.
@user-vj3nb1nc4i
@user-vj3nb1nc4i 11 ай бұрын
Habari ya mchungaji Wewe ulisema jina la yesu likitajwa na mmoja wa hao washirika wa kuzimu linachoma watu Vipi unasema wengine ni nitumie na manabii wa uongo huko kanisani hawataji jina la yesu Linatuchsnganya wengi hilo
@MaggieG276
@MaggieG276 2 жыл бұрын
Kazi nzuri jacktan,bali naomba umulize kuhusu nywele za kuzimu na pia swala kuhusu nyota
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Sawa atajibu
@leahbhoke8718
@leahbhoke8718 2 жыл бұрын
Aminaa Aminaa Yesu ni Bwana Mwokozi wa mataifa yote
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 2 жыл бұрын
Mungu ni mwaminifu kwa kila jambo ushuhuda huu uko na mafundisho mazuri
@ungwamseke4819
@ungwamseke4819 2 жыл бұрын
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 be blessed man of GOD
@jeniphaledaschali4594
@jeniphaledaschali4594 2 жыл бұрын
Nimekumis sana kaka jaktani mungu akuongezee mda wakuishi ili uzidi kumtangaza krixto barikiwa kila unapoingia
@maryandason1815
@maryandason1815 2 жыл бұрын
Ukiandika jina kma KRISTO YESU plzzz andka kwa erfi kubwa kiswahl fasaha
@ZainabuWiliam-tm4iw
@ZainabuWiliam-tm4iw Жыл бұрын
MUNGU akubariki muumba bingu na nchi na akupe maisha marefu
@valenakomba9218
@valenakomba9218 2 жыл бұрын
Asante kwa maekezo yako muhimu Sana.
@adriandanford208
@adriandanford208 2 жыл бұрын
Waislam wamezuiliwa kumjua wala kumpokea roho mtakatifu ili wasiujue ukwer kumhusu yesu Kristo na kupelekea kuokolewa kwao
@fadhilisimfukwe8035
@fadhilisimfukwe8035 Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU kwa ushuhuda
@chulelubella2819
@chulelubella2819 Жыл бұрын
Amen Mtumishi nakuelewa sana Damu ya Yesu
@macklinakabyazi3036
@macklinakabyazi3036 2 жыл бұрын
Jacktani Mungu akuweke miaka 500, nampenda bure Mtumishi Amiel kwa kutupa siri ya ufalme WA giza
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@petermalema5702
@petermalema5702 7 ай бұрын
Halelujha Sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@annak6738
@annak6738 2 жыл бұрын
Mungu Akubariki sana Mch.Amiel kwa kutufundisha siri nyingi za kuzimu.Pia Ubarikiwe sana Jacktan kwa kutuletea shuhuda motomoto,tunajifunza mengi sana.Stay Blessed.
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@milosbibengya5357
@milosbibengya5357 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana, akulinde na akupe mahisha marefu saaaaaaana tu.
@petermalema5702
@petermalema5702 7 ай бұрын
Glory To Jesus
@catemacharia8499
@catemacharia8499 2 жыл бұрын
I wish ningekua Nairobi singekosa kuja hiyo kongomano umoja2 hiyo ni eneo ya nyumba, mchungaji katekelo lazima angekunywa maji kutoka kwangu
@edithajohn4563
@edithajohn4563 Жыл бұрын
Eti nimempa Yesu maisha lakini ingawa vifungo haviishi kwa siku moja. Mimi Yesu ninaemjua akiingia ndani yako vyoote vinaondoka labda kama sio Yesu ninaemjua.
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 6 ай бұрын
Kwa hyo hapo umeelewaje?
@Frosita
@Frosita 2 ай бұрын
Bado hujamjua ..
@simonlaizer6261
@simonlaizer6261 Жыл бұрын
Asanteni sana Wana wa mungu mzidi kuieneza ushuhuda hizi ili tukombolewe🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@lameckemma1718
@lameckemma1718 Жыл бұрын
Asante Sana mutumishi wamungu umetutia not ten mungu akujarie ten karibun kwete burundi
@GraceOtieno-vo3sj
@GraceOtieno-vo3sj 2 ай бұрын
Nashukuru nina ujasiri tangu nianze kufuatikia mtumishi huyu.
@mindenlightenment
@mindenlightenment 2 жыл бұрын
Tunapenda shuhuda hii ♥️♥️♥️, inajenga
@heritier5119
@heritier5119 2 жыл бұрын
Ukishamjua adui hakusumbui watu wanalogwa kwa kukosa maarifa
@barakamanu1514
@barakamanu1514 2 жыл бұрын
hapo umegonga ndipo😀
@heritier5119
@heritier5119 2 жыл бұрын
@@barakamanu1514 true
@pregaremasitatv4259
@pregaremasitatv4259 2 жыл бұрын
Nakufuatilia nikiwa hapa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮100%
@NelsonAbel-tq9zj
@NelsonAbel-tq9zj 9 ай бұрын
God is good all the time, from Mozambique
@preciousgrayson2021
@preciousgrayson2021 2 жыл бұрын
Kama ataendelea kujibu maswali, naomba umuulize kuhusu kiwanda cha kutengeneza rasta kuzimu je rasta zote kusuka ni dhambi au kuna rasta ambazo hazina madhara kwa watu waliookoka
@maryamayitsa6181
@maryamayitsa6181 2 жыл бұрын
hakika ushuhuda huu umenijenga sana.
@eliasifiwekimaro6652
@eliasifiwekimaro6652 2 жыл бұрын
Mchungaji Amiel napenda kujua wakati kuzimu inawawinda watumishi wa Mungu kuwaua' wakifa wanaenda kuzimu au mbinguni? Maana tayari ni watumishi wa Mungu.
@consolathacallixite4241
@consolathacallixite4241 2 жыл бұрын
Aise ainuliwe mungu ambae amemleta huyu mtumishi tumejifunza mengi kuhusu utawala wa kuzimu.nakuombea Mungu aendelee kukulinda
@laudaud6214
@laudaud6214 2 жыл бұрын
Amina mungu ambaliki daima amiell Katekela
@user-bp4wv4jo2i
@user-bp4wv4jo2i Жыл бұрын
Mungu ni mwema siku zote na Kwa Kila amwaminiae
@saumukarisa9873
@saumukarisa9873 Жыл бұрын
Nmejaribu kufatilia mchungaji katekela kupitia ushuhuda wako Imani yangu imeongezeka...
@janethjaneth7639
@janethjaneth7639 Жыл бұрын
Mungu akubariki baba jaman tuamke wakristo
@zipporahmibei9007
@zipporahmibei9007 2 жыл бұрын
Mungu awabariki sana
@alexmunguwakwelinawamilele7657
@alexmunguwakwelinawamilele7657 2 жыл бұрын
Amina kubwa pastor
@maryammaryam7354
@maryammaryam7354 Жыл бұрын
Mungu anisaidie,pia mim mamandogo,alikufa gafla, na mm sikumzika ila usiku huo,alinifata kwa usingiz na kusema hajafa nisaidie 😭😭🙏🙏🙏🙏🙏
@josephinanikwelimdacki3330
@josephinanikwelimdacki3330 2 жыл бұрын
Wanao taka kujiunga na shetani msisumbuke kumtafuta mbona yeye anawafata mwenyewe shetani hana ekima ila ushauli Wangu kimbilieni kwa Yesu
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 6 ай бұрын
Safi kabisa, ushauri mzuri sana.
@josephinanikwelimdacki3330
@josephinanikwelimdacki3330 2 жыл бұрын
Naomba kujua haya mapambo ya wanawake
@carolmueni6431
@carolmueni6431 Жыл бұрын
Husein Mubarak na mjua alifika kwetu Kenya kuhubiri,hapa kwa mwaliko wa mtumishi pn makenzi
@stanslausmathew4591
@stanslausmathew4591 Жыл бұрын
Damu ya yesu ikufunike zaidi mpendwa
@valenakomba9218
@valenakomba9218 2 жыл бұрын
Amen.Asante
@alnordarnold5189
@alnordarnold5189 2 жыл бұрын
Ameeen asante sana nahama viwango hata viwango
@modestarmuchiri5386
@modestarmuchiri5386 2 жыл бұрын
Ubarikiwe 🙏🙏🙏sana mch
@lugendodaniel5266
@lugendodaniel5266 2 жыл бұрын
Asante sana kwa kumkimbia shetani
@PiusSingoi-ke7hv
@PiusSingoi-ke7hv Жыл бұрын
Mungu akulinde sana brother
@hilaryloishiye1240
@hilaryloishiye1240 Жыл бұрын
Mungu awabarki sana Bro Jacktan
@nancyokemwa2470
@nancyokemwa2470 2 жыл бұрын
Hi plis address also demonic clothes Kama zenye Zika na mashimo especially pants. Zinakaa matambara, yani nikama zimekatwa katwa
@magrethakili7675
@magrethakili7675 2 жыл бұрын
BARIKIWA MTUMISHI Q
@amossteven9538
@amossteven9538 2 жыл бұрын
Mbona kila ashuhudiaye, anasema alikuwaga mkuu, huko hamna mdogo
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 Жыл бұрын
Wapo shuhuda za makanisani
@criversiahwilfredy
@criversiahwilfredy Ай бұрын
Powerful🙏💪
@flm1530
@flm1530 2 жыл бұрын
Ameeeenn God bless you,,
@bonifasemmanuel4700
@bonifasemmanuel4700 2 жыл бұрын
Asante Jactan kWa kumhoji mtumishi kWa faidA ya wasikilizaji
@preciouslissahparis1352
@preciouslissahparis1352 2 жыл бұрын
Ameen.Ila sauti,haijachujwa vizuri.
@valentinanduku8718
@valentinanduku8718 2 жыл бұрын
Amen mtumishi nimenifunza mengi kupitia Channel hii
@shuhudazakweli3406
@shuhudazakweli3406 2 жыл бұрын
Amen Amen
@marrymangera7087
@marrymangera7087 2 жыл бұрын
Yes pastor George kariuki niliona shuhuda yake
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 Жыл бұрын
Yes
@rehmacharo6016
@rehmacharo6016 Жыл бұрын
mungu azidi kk fungus mile Amina
@subilamwamkinga6796
@subilamwamkinga6796 2 жыл бұрын
Je! Anayoyasema pasko kssian ni ya kweli
@patrickmuchoki8782
@patrickmuchoki8782 8 ай бұрын
Mimi naomba no y'all Niko hamu kenya nairobi
@wkjshsxbbsbs6392
@wkjshsxbbsbs6392 2 жыл бұрын
Mungu yule aliye kukomboa wewe maana pia wewe ulikuwa na roho ngumu ya kukata kutoa siri za freemason ndio naomba avuruge hiyo freemason kwa sababu Mungu ndio anawatumikia ili Siri ziendelee kutoa na Mungu awafungulie mukaweze ku mkomboa pia iwe ushuhuda kwa Dunia mzima kujua it's true na watu tuzame kwa maombi ili ku vunja hayo mazebau ya kuzimu yote yachomeke
@simonnsengiyumva1000
@simonnsengiyumva1000 2 жыл бұрын
Ninawafwatiliya nikiwa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮, Jactan nikusii sana umtafute Hussein Mubaraka , atushuhudiye pia naye ! Please , please , please
@barakamanu1514
@barakamanu1514 2 жыл бұрын
sawa kabisa, hakuwahi kupata kutoa ushuhuda wake kwa mtiririko mzuri
@marcelinekahawara8304
@marcelinekahawara8304 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Jactan
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@janetndonye7709
@janetndonye7709 Жыл бұрын
asante sana kwa huo ufunuo
@consolathaamandus8136
@consolathaamandus8136 Жыл бұрын
Shalom kaka jacktan Tunaomba ufanye mahojiano na Dr Hamis Hussein Mubarak
@ephraimwadaudi2867
@ephraimwadaudi2867 Жыл бұрын
Mtafte KZbin
@RebekaShumbi
@RebekaShumbi 4 ай бұрын
Mchungaji lugha za kipepo hutakiwi kuzirudia rudia wewe ni kiumbe kipya uliisha toka huko usiyatamke tena hayaleti utukufu pole
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 11 МЛН
Gym belt !! 😂😂  @kauermtt
00:10
Tibo InShape
Рет қаралды 17 МЛН
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 12 МЛН
BABA YANGU KIPOFU Full episode /22/ #love
38:39
BabaJoan
Рет қаралды 94 М.
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 11 МЛН