Huyu mama nahisi dish limeyumba na uyu mtanga mwenzetu umezingua sana
@vinickokindo29044 жыл бұрын
I love thus lady beautiful smile .I wish them nothing but happiness !
@augustinomwamasinga22004 жыл бұрын
Vinick Okindo hehehe, why nothing
@sophiamacdonald27114 жыл бұрын
Eti mmewangu 😁😁😁
@joycewafula9354 жыл бұрын
Yes😂
@janegeogre32344 жыл бұрын
Naombeni namba za Go kiz ili nimsapot ktk huduma yake ya uimbaji na ktk kutangaza neno la Mungu! hongera sana mtumish wa Bwana! songa mbele mtumishi usjali maneno ya wanadamu!!!
@nurafedrick3784 жыл бұрын
Mm pia natamani kama hii Eee Mungu nipe subira namm nipate chet chandoa🙏🙏🙏
@maryhaule56254 жыл бұрын
Mungu ni mwema utapata
@anthonyjoseph49794 жыл бұрын
Jamani Siku Ya Harusi hiii ningekuwa Kanisani Humo Ningekuwa Nacheka Tyuuuuu..Siwezagi kujizuia Mimi.
@omaryasili35544 жыл бұрын
Yaaan mm ndio kabisa siwez kuzuia kicheko
@johnmatiko25964 жыл бұрын
Mimi naona sijui ndo bestman na mchungaji wanacheka sana
@claramkisi52684 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 😂 Mimi kwa kucheka ningefukuzwa uko church
@anthonyjoseph49794 жыл бұрын
Hahahahahahahahahaaa!
@happynesslema78854 жыл бұрын
Anthony Joseph kuwaga unang’ata ulimi itakuasaidia kujizuia 🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️
@moreenedwin59434 жыл бұрын
Afu uyu mwanaume eti tusaport penzi lao jinga uyu😁😁
@magdalenazilimu43434 жыл бұрын
khahahhahah
@twariatiomary4864 жыл бұрын
Hahaaa
@qonquererqanquerer17814 жыл бұрын
Mambo ni Mazito!.
@happynesslema78854 жыл бұрын
Moreen Edwin 🤣🤣🤣
@marryyohana894 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 mungu anakuona
@siwemamichael6904 жыл бұрын
Huyu mama sio mzima sio kwa cheko hilo
@mariamnamwa1884 жыл бұрын
Nimependa ulipo sema usipo zaa utaangalia yatima kwa hapo b blsd aise that's my dreams too.ahafu huyu n mrwanda
@lazaromallya78954 жыл бұрын
You're welcome. lazmally25@yahoo.com
@ashajuma38264 жыл бұрын
Mariam Namwa ni mrundi huyu mama ,na mjuwa vizur
@sarahmwaluko24804 жыл бұрын
Mama kwanza hongera kwa muonekano mzuri hata nimeshindwa kuamini Kama unaumri sitini na aisee bado unadai kuhusu penzi lenu Nina maswali mengi lakini no comment mwisho wasiku hayo nimaamzi yenu so wacha nibaki na maswali yangu
@gabriellabampema23464 жыл бұрын
@@ashajuma3826 mama wa Jean Marie uyo hapo.Kasema amesahau jina lake la kizazi😡😡😡
@moreenedwin59434 жыл бұрын
Hehehe ja mani miwani😀😀 natabasamu la bibiee kweli go kz anamahaba duh jamani Dunia inaviumbe wake ila nimechekaaa sana
@imaculatadominic70054 жыл бұрын
moreen nimecheka co kidogo
@mussaisaac4 жыл бұрын
😂😂
@twariatiomary4864 жыл бұрын
Haaaa
@sabinaalex63414 жыл бұрын
Kama mjinga
@Airforcebz4 жыл бұрын
Jina lake ni Gokeys Dokeys!
@rahmahersi65843 жыл бұрын
May God Bless your Marriage.
@anastazialymo35644 жыл бұрын
Tulio ona mbwe mbwe za go kiz gonga like
@mwajumabulugu41154 жыл бұрын
Tatizo watanzania tunafeli kufanya kitu kwa kuogopa watu watasema,mwisho wa siku tunajikosesha furaha.tufanye kitu roho inapenda bila kukiuka misingi ya dini
@isolatedbull4 жыл бұрын
Bora Mwajuma wewe umesema ukweli. Kwasabu watu wawaponda wakati mwisho wa siku hakuna yoyote anahusika na maisha yao. Wanaoponda siajabu hawajavalishwa Pete na wengine hawajaoa kazi uzinzi tu😜😜😜
@fatmakhalfan28694 жыл бұрын
kbsa yan
@lazaromallya78954 жыл бұрын
Umetishaaaaaaa? + Answers are always like this.
@elizamwaigombe24574 жыл бұрын
Mwajuma Bulugu mungu weeee nikweli lakin
@pilijohn42674 жыл бұрын
Umeongea kitu cha kwel
@mosesmwaisela24554 жыл бұрын
Acha ujinga wazazi wanataka wajukuu. Apo mbegu unapada kwenya ramii. Nguvu alokupa mungu unaichezea utakuja jutia badae.
@basilisamsaka84694 жыл бұрын
Waacheni jamn wafuhie maisha ya ndoa yao, yaani hapo ungekuwa mwanaume ndo mwenye umri mkubwa mwanamke mdog msingetukana, Mbona Mzee flan tajir alioa kibint kidoooogo mlikuwa mkimsiaaaaa
@mohamedpesambili94604 жыл бұрын
We basilisa mungu anakuona😂😅😅 xi unajua lakn mwanaume haendi hedhi😄😄 na hedhi ina ukomo xax jiulize huyo mama bado mda gan ili axiwe anaenda hedhi?(menopause)🤩🤩🤩🤩
@mohamedpesambili94604 жыл бұрын
Muogope mungu basilisa 😁😁😃😃😃😃🤣
@salomerobert78984 жыл бұрын
Aaah Asante kwa swali 😜go kiz to kiz.... mimi nimependa kiatu cha muimbaji ☺️🏃🏽♀️
@marycelinapaschal96194 жыл бұрын
Bi mdashi anapenda kukenua😁😁
@angelfelix79393 жыл бұрын
😂😂aliyesikia go kizz ndo no1 Tz nzima🙌🙌🙌😂😂jmn
@mimsbaibe6mimsgul7374 жыл бұрын
From Kenya ooh boy child uyu ni mamako roho ikapenda kazi iendelee kwa raha zenu love forever mamasboy
@CyimSky4 жыл бұрын
hili nalo tatizo kama matatizo mengine
@lubatikoseme66134 жыл бұрын
We acha tu
@souvenirweber71694 жыл бұрын
🤣majanga jamani.
@salmajuma40154 жыл бұрын
😂😂😂
@humphreydaimon70284 жыл бұрын
Salma Juma 😁😀😀😀😁
@mariamfaki11664 жыл бұрын
Huyu mama ni m bakaji
@allnaturegoodgrafics94824 жыл бұрын
Daaah Go kiz ana mbwe mbwe 😂😂😂😂😂
@mamaivansaganda97834 жыл бұрын
Happy Valentine's day. Wakukenua na mjukuu wako
@mgogomtata4 жыл бұрын
Sema limama linakenua...kama lips sentimita 70 sema jamaa mama ako aliogopa...kuja kwa ndoa yako alihisi unamuoaa yeye🤣🤣🤣
@namelessunknown13774 жыл бұрын
Hahaha
@rehemaismail68164 жыл бұрын
😂😂😂😂
@ponsianasingo53484 жыл бұрын
MG mtata tv umeua kabisa washenzi hawa😒
@merinaibrahimnampendayukov70074 жыл бұрын
Sanaa tuu
@sabinaonline65754 жыл бұрын
Hahahaaaa
@stainasmkoko6044 жыл бұрын
Hongereni mungu awatunze
@polisinibinadamu95274 жыл бұрын
Kama umesikia akimwita mr innocent piga like
@legendofxxxtentacion68794 жыл бұрын
uyo bi mkubwa ivi akili zake zipo sawa kweli😁😁
@kinyippalta95984 жыл бұрын
😂😂😂
@kelvinoisso83744 жыл бұрын
legend of xxxtentacion uyo mwimbaj kanisan anainjoy watu 🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️
@محمدسالم-ظ2ف4 жыл бұрын
🤣🤣
@nancyjohn41474 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@michaelnzunda73474 жыл бұрын
Mtambo
@damariszuckschwert94894 жыл бұрын
Wangapi waliowana wakiwa na umri uliolingana na ndoa hazikudumu? Ni wapi pameandikwa ndoa lazima umri utoshane? Waacheni watu na raha zao. Rika ndio wanauwana kwa mapanga kila kukicha.
@laylasuliman58054 жыл бұрын
Ni sawa vp ss kuhusu wtt inamana huyu jamaa miaka yake atoke empty asiwe na wtt akalie tu mapenzi
@damariszuckschwert94894 жыл бұрын
@@laylasuliman5805 Watoto ni baraka kutoka kwa Mungu. Kama Mungu hajakujalia wawezaowa msichana wa miaka 16 na asikuzalie kwa kuwa hana uzao. Na mtoto siyo lazima umzae hata ukipata wa kulea ni baraka pia.
@laylasuliman58054 жыл бұрын
Kweli mungu ndo anabariki wtt utakaowa msichana huwezi jua atazaa au laa ndo tutajua ni mipango ya mungu ss mwanamke tayari kashabarikiwa wtt na ukomo wakuzaa umeshamfika
@damariszuckschwert94894 жыл бұрын
@@laylasuliman5805 wangapi walizaa na hata kulea kukawashinda. Kuzaa siyo kilakitu.
@laylasuliman58054 жыл бұрын
@@damariszuckschwert9489 Bora uwe nao malezi yakushinde kuliko kutokua nao kabisa
@classiccell96714 жыл бұрын
Ila siku zote mwanaume atabaki2 kuwa mkubwa kwa mwanamke hata kama ni katoto ka miaka tano na mama wa miaka hamsini bado2 hako kakijana ka miaka tando ndo kakubwa ndo manake ikaandikwa sisi wanawale ni viumbe vithaifu na kando na hilo mungu alitakulia kumuimba mwanaume mbele ta mwanamke haijalishi mnazidiana na umri gani hata kwa bibilia wsko2 wengi waliowaoa wanawake wakubwa tukiabza na king solomoni alimuowa mke wa mfanyikazi wake baada ya kuuwa bwanako so hakuna jipya hapa wanawak tutabaki2 kuwa chini ya wanaume hata kama ni mdogo kiyasi gani . Age is just a namba
@kaliyahya87824 жыл бұрын
Dah hawa ni wanyabi kweliii😂😂😂😂😂
@fataomedia70504 жыл бұрын
Hii sinema kanumba akasome
@qonquererqanquerer17814 жыл бұрын
Nikwerekweche!
@zumbaabiyah31844 жыл бұрын
Asnt kwa kuniongezea Cku za kuishi!! 😂😁😱👏
@cdeleo93364 жыл бұрын
Hahahahaha
@mwanamhd67484 жыл бұрын
Shkamoo miwani shkamo smile salut kwa wapendanao........nimecheka mno jmni
@dunduumaster48154 жыл бұрын
Mpaka mshipa wa K umekusimama
@benedictdingobenedictdingo40374 жыл бұрын
Mhh nimechoka na mauzauza ya Dunia hii 😂 😂 😂 😂
@twariatiomary4864 жыл бұрын
Haaa
@jenymtafya34304 жыл бұрын
Mh! Huyu mama akili yake haiko sawa, na sio real Tanzanian the way she speak swahili
@fatmakhanii16764 жыл бұрын
Huyu Bibi ananikosha Hilo tabasam na anavojibebisha Hadi na acha mdomo wazi 😁😁😁nakuzaa nimajaliwa nasiyo umri
@sarahmcharo15484 жыл бұрын
kwelii kabisaa hana raha mwenyeww
@madamloveness72744 жыл бұрын
Huyu mama Ni mrundi na sio mtanzania ,niliwahi ona kwa tv Burundi ndio maana anasema kasahau jina lake alopewa na wazazi
@furahamwatwinza95604 жыл бұрын
Uko sahihi
@paulosonda89954 жыл бұрын
Mwanaume akili zikimludia wataachana labda awe hana
@slimjumakimamba39794 жыл бұрын
Paulo nimecheka
@nancyjohn41474 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@merinaibrahimnampendayukov70074 жыл бұрын
Paul, hujakosea
@zumbaabiyah31844 жыл бұрын
Kk upo sahihi!
@rosemaiko94054 жыл бұрын
Hatariiii
@silyadamian57084 жыл бұрын
😎😎 hii inaitwa haruc ya kijan na kicheko 😂😂😂all de best
@Airforcebz4 жыл бұрын
Jina lake ni Gokeys Dokeys!
@upendozahaki3044 жыл бұрын
ivi uyu mwanamke anajielewa kweli mmh tuwaombee watoto wetu
@rebecamolamu50964 жыл бұрын
Yaan huyu kijana no zaidi ya zezeta ,tarehe ya ndoa hakumbuki,kanisa alilofungia ndoa hakumbuki,wasimamizi wa doa et yupoo......,yupoo....na wengine kibaooo
@joanitastephano33214 жыл бұрын
Huyu bi harusi ana vibanio kama vyote🤣🤣
@bryanfelix37714 жыл бұрын
Nawashauli ndungu zangu tuache matusi anaye bariki ni mungu kuna watu wapo nate kijana au vijana wanamani ndoa lakini wanaikosa wanapata wakuwazalisha tu. Huyo mama mjue nimlea wayatima hamna kubwa kama kulea yatima.hivo basi mungu kamkumbuka naomba tujifikilie mala mbili mbili hayo matusi tunayo yatoa naomba tuombe mungu msamaha maana uyo mama anavyo jiereza naona yopo sahii miaka 20 akiwa mjane
@celinakingu30974 жыл бұрын
Hahahahahaha its realy amaizing and shoked and its happed just like miracles and un belivable ......DANCE ACCORDING TO THE TONE .......😃
@khadijamdoe16014 жыл бұрын
my best couple ever🤣🤣🤣😂😊
@sesiliajohn22164 жыл бұрын
Hiihiii
@justerinnocent70144 жыл бұрын
ivi we kijana umelogwa au??
@tatuta65294 жыл бұрын
Kijana kafa na mahaba mama anapenda kutabasamu mtihani sana huu
@zumbaabiyah31844 жыл бұрын
...huyu jamaa nae chenga, kanisa alilofungia ndoa kalisahau! Mke wake nae jina ulilopewa na wazazi kalisahau..!! 😱🙏
@sarahmwaluko24804 жыл бұрын
🤣🤣
@rebecamolamu50964 жыл бұрын
Hahahaaaa wasimamizi wa ndo wawili na wengine kibao
Sawa lakini Kama wanisadia kuona hii Ni Kiki gonga like....
@benbenedict27204 жыл бұрын
Wapo vizuri Mungu awabariki sana
@ami.atwaha70244 жыл бұрын
Huyu mama sawa ni mtu mzima lkn heshima anayo kwa mumewe
@damariszuckschwert94894 жыл бұрын
Kuliko wengi wenye umri wa kutoshana.
@rosekweka95444 жыл бұрын
Unajua huyu mtt Ni chizi na huyu Bibi pia nikichaa jamani mm nimewasikiliza vizuri nimewaelewa awanazote eti aujui kanisa ulilofungia ndio Mara sijui mchungaji alifanyaje kweli hapo Amna ktu kawapimeni
@almasymohamed14964 жыл бұрын
Dah hii ni sawa na kununua gazeti jioni habar zote washa soma wadau
@Mrshoo1694 жыл бұрын
Aaaaah expired
@blandinamnyinga83184 жыл бұрын
Heeeee dunia simama niteremke.naona greenish kama zote mapenziiiiiiii.Mungu awalinde.
@zuhramakus46394 жыл бұрын
Alieona wei yamchungaji tujuane
@begukulemosobe96854 жыл бұрын
Jamani huyo mama ni nini lakini nimecheka sana, halafu hata kanisa walilofunga ndoa hawalijui linaitwaje yajayo yanafurahisha
@nurafedrick3784 жыл бұрын
Mama anatabasamu smt sana
@nyamkamawanjara294 жыл бұрын
Siku akitamani mtoto ndio apo atakapo cheat pumbavu kijana mjinga sana wewe huyo ni mama yako kabisa hivi nyie watoto wetu wa kiume jamani aibu hii
@mohamedpesambili94604 жыл бұрын
😁😁😁😁😂🤣🤣😆😆😆
@azizaaldhahari63874 жыл бұрын
Sio mama yke ni mjuku wake
@rozzana30482 жыл бұрын
Wewe zidi kuwatusi na hao wanaendeleza mapenzi yao
@waukweelinikkon65554 жыл бұрын
Eti Mume wanguuuu😂😂😂😂😂daaah,yaani mwenzenu nahisi km commedy vile🙈🙈
@Airforcebz4 жыл бұрын
Jina lake ni Gokeys Dokeys!
@veojoseph4884 жыл бұрын
Ci bure ufaham wa kijana umetekwa tena kwa hali ya juu Mungu akupe ufaham poleeee ci mtu wa kawaida
@mussarichard81444 жыл бұрын
Mimi naona wote wawili kama vile dishi limeyumba sizani kama wako sawa tuwaombee
@abuumaryam16284 жыл бұрын
Hii dunia bana Ina kanuni zake "Ukishindwa kujishughulisha basi utashughulishwa wewe" Kijana ukishindwa kutafuta utatafutwa wewe Jamaa amenaswa huyu Huwezi kumpenda mzee kirahisi rahisi Mungu hajatuuumbu hivyo
@mussaothmani62734 жыл бұрын
Huyu dogo anatafuta laana tu hakuna chengine, maana kaamua kumvua mama yake nguo.
@Airforcebz4 жыл бұрын
Jina lake ni Gokeys Dokeys!
@jeniphachristian21313 жыл бұрын
😳😳 innocent nyange tena!🤭🤭ukoo wa nyange huu jamn😂😂😂😂🤣🤣🤣
@simbarajabu41574 жыл бұрын
Nguvu zako unazimaliza bule kuna kipindi hizo nguvu zitakwisha na utatimuliwa hapo atachukuliwa kijana mwingine mwenye nguvu ya kufanya kazi hiyo
@prisslakabyemela48914 жыл бұрын
Uyu mama kichwa kibovu
@bintiiddy70434 жыл бұрын
Jaman kama vilenawaona watoto wako wanavyo umia mama lakini wajikaze ty hakuna jins Dunia haina huruma 😁😁😁🤣🤣🤣
@mishibabu89464 жыл бұрын
Huyo bi harusi vp meno wazi mweeeh mapenzi mema
@aishalukas58144 жыл бұрын
Hahaaaaaaaaa
@happyfamilly10494 жыл бұрын
Nani alieona msuruwali washemeji akiceza na kuimba,mungu nisamee mimi
@mohamedpesambili94604 жыл бұрын
Eee mungu njoo utuchukue tu maana hakuna tunachokifanya duniani kwa xaxa vyote vimeisha🤩😂😅🤣😁😁😁😃😃
@beatricemapembe89414 жыл бұрын
Yaani mwali kwa kucheka! Familia umepata mkwe hongereni
@otiliakapinga74884 жыл бұрын
Anatamani kuzaa ata watoto ishirini😀😀😀😀
@Airforcebz4 жыл бұрын
Jina lake ni Gokeys Dokeys!
@neemakaluwa20894 жыл бұрын
Mambo ya green mpaka unajikuta km ni shamba la mchicha vile!! Maana c kwammechisho huo!!
@nurafedrick3784 жыл бұрын
haha mm naona nikibanda ya safaricom🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@leonardgewa58754 жыл бұрын
Hawa ndio wanaaribu jina LA Yesu kwa upuuzi wao wakiki, na viongozi wa kikristo wawewanakemea upuuzi km huu
@nelsonkazaura69544 жыл бұрын
Masikini kijana mdogo katekwa na kuzimu, bi harusi alisahau jina alilopewa na wazazi sasa wote wamesahau jina la Kanisa walilofungia ndoa. Makubwa!
@mwanatz59804 жыл бұрын
Unajua kuchombeza kaka😂😂🤣🤣.
@deusmogahachi26204 жыл бұрын
shikamoo mapenzi
@tatuta65294 жыл бұрын
Hatar sana kweli
@joycestephen97524 жыл бұрын
Huyù kijana ameliza wazazi wake huyu mama asubiri kwa watoto wake mchungaji ana neno la kujibu kwa Mungu
ww kijana jmn kweli umetekwa sikatai mapenzi yapo unaweza penda mzee au mzee akampenda kijana lakini lazima ufikirie future itakuwaj na huyo mtu utakuwa naye sasa huyo mama ana watoto na amebatika kuolewa kwahiyo moyo wake umetulia sasa ww kijana mdogo jmn huyo mama hawez kukuzalia mtoto.inamaana ww utaishi tu hutamani kuwa na mtoto ndio mnapendana lakin wat about future jmn mm nakuonea huruma
@laylasuliman58054 жыл бұрын
Haswa umenena watu hawafikiri hapa
@angeljoyce68364 жыл бұрын
Hiyo siyo ndoa ni komedi bwana msituzingue
@shedrackhm22044 жыл бұрын
...eti mme wangu si ndio! Ooohhh niokodeo ...koloni joi wanameremeta....
@ummukulthummohd54034 жыл бұрын
Bi harusi anarembua hatari
@naimanurdin89844 жыл бұрын
😭Eti nimejikuta me ndo mama wa uyo mwanaume natokwa na machozi hapa
@evaduttu83274 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@bahatirngulika44934 жыл бұрын
An hawa wannchkesha sn huyu mwanaume yuko timamu il huyu bibi hakuna kitu humo kichwan jmn anajibu km chizi tu,mtu unasahauj jin lako na huo mdomo anakenua n km dume la ng'ombe juu ya jike
@winnifridamilari44484 жыл бұрын
Siku ya harusi atakuwa aliisahau miwani yake
@zakyahya46454 жыл бұрын
Yani uyu mama anacheka mda wote mashallah
@regnethsangwa61484 жыл бұрын
Kama umeuona mstari aliounyoa mchungaji kwenye nywele zake gonga like hapa twende sawaaaa
@augustinomwamasinga22004 жыл бұрын
Regneth Sangwa eeeeh
@regnethsangwa61484 жыл бұрын
Hahahaaaaa ,umeona eeeenh
@samsonphilmon67574 жыл бұрын
Kama ndo habari za upepo wa kisuli suli huko makanisani basi....wanaume Kazi tunayo.
@shamsaog29984 жыл бұрын
Mm najiuliza hivyo Vibanio na miwani cjui wana duka la hivyo vifaa