Nakupongeza sana kwa hoja zako comred polepole, nakupongeza zaidi kwa kuendelea kutoa somo japo ulifungiwa on line TV yako. Wayahudi walimwua Yesu wakadhani wameweza, kumbe wamekamilisha ukombozi wa dunia. Wanaokuponda hawajui maana ya siasa na hata historia ya Afrika. Watu wenye ujasiri wa kukosoa mambo kila zama wapo na huwa wachache na ni muhimu kuwapo. Walioko madarakani wanapaswa kukuchukulia kama meter ya kupimia utendaji wao na siyo kukupiga biti. Watu wenye misimamo kama yako ambao pia kwa kiswahili fasaha huitwa "social thinkers" hupangwa na Mungu na kauli zao zinakuwa na nguvu Fulani za kimungu. Wanaokushauri ukae kimya wao ndiyo wafumbe midomo. Kama Nelson Mandela, Mwal. Nyerere nk. Wangeogopa kusema ukweli, leo hii Afrika ingekuwaje.
@herielstephenmsanga2 жыл бұрын
kumlinganisha Polepole na Mandela au Nyerere unakosea sana, uwezo wa Polepole ni mdogo maana amekua kigeugeu wakati hao Elites umewataja hawajawahi kuwa vigeugeu.. Na mfano hai ni kumuangalia Polepole wa Mchakato wa katiba ya Warioba, Polepole wa Awamu ya Tano alipokua itikadi na uenezi na Polepole wa leo..ni mtu mmoja katika aina 3 za utu kitu ambacho kwa hilo tu huwezi mlinganisha na Wazee uliowataja Mandela au Nyerere
@deusrobart81812 жыл бұрын
@@herielstephenmsanga mhuni ww kama wa huni wengine
@josephgomalo412 жыл бұрын
True that. Watu hujifanya wanamjua Mwalimu, Uncle Magu au Mandela bila kutambua ya kuwa watu hao wangewapelekea moto hata wao wenyewe (wahuni) endapo wangekwenda kinyume kwani lengo la viongozi hao lilikuwa ni ukombozi wa muafrika! Wanaompiga vita Polepole leo hii wangempiga vita Mwalimu, Uncle Magu au hata Mandela kwa manufaa yao binafsi ya kihuni..!
@nestor3842 жыл бұрын
Humphrey Polepole is the future prosperity, labda WAHUNI wamuhujumu! Hon. Polepole the true African finest son
@ooafrica36262 жыл бұрын
Polepole ni Nyerere wa II NAONGEA KILA SIKU
@alindabenjamin66722 жыл бұрын
Big up sn.Mh Polepole
@seshiorman69242 жыл бұрын
Tunakukubali sana mh pole pole endelea kuwanyoosha ndo njia yako ya kufika peponi
@wadeelegbogun30152 жыл бұрын
MH.POLEPOLE umesema ukweli kabisa, bwawa la nyerere likamilike chap chap
@wadeelegbogun30152 жыл бұрын
Inashangaza watu wenye upeo mkubwa wametolewa, halafu tunawekewa wahuni. Inasikitisha sana 😢
@ilampahamisi57772 жыл бұрын
Nashukuru Mungu kwa ajili ya H. Polepole. Mungu yu pamoja nawe. SSH amekuteua kuwa Balozi hapo Zambia, that's good for you, you will acquire new experience. Go Zambia hopes one day we will see you in executive!!
@essencebespoke19342 жыл бұрын
Positive mind always wins
@shinipapaya846 Жыл бұрын
We nawe sahihisho sio Zambia 🇿🇲 ni MALAWI 🇲🇼 🤣😀
@venancemalima11812 жыл бұрын
Kiongozi mwenye uwezo ambaye hana nafasi kutekeleza ndoto zake ktk Taifa la Tanzania.inasikitisha sana 😢
@abelwabike14822 жыл бұрын
CCM tunaipenda na dira, maono, malengo na imani za chama viko safi sana. Tatizo ni tukubali wamo wachache wamefanikiwa kupata nafasi za uongozi ndani ya chama au katika serikali ya CCM ambao ukweli ni wahuni. Na wabunge wa CCM mkiwa waoga mkabaki kuwa watu wa ndiyo tu mjue ni hatari sana kwa Msitkabali wa CCM kama chama cha siasa, Mzee mmoja alisema tatizo la CCM baadhi ya viongozi wa CCM ni kujiamini kupita kiasi, hata wanadhani kwenye soko la majogoo hata mabundi wananunuliwa. Wawaache wanaothubutu kutufumbua macho kuwa huyu ni bundi na si jogoo waseme kwa Uhuru kabisa kwani hiyo itakisaidia chama kuendelea kuwatawala na haki kikatiba. Vinginevyo wasidhani watanzania hawana uwezo kutofautisha kati ya jogoo na bundi.
@wadeelegbogun30152 жыл бұрын
#kataa wahuni, MH.POLEPOLE OYEEEEEEEE
@wadeelegbogun30152 жыл бұрын
Tuongezee, wahuni,+mafisadi +majesusi +MAGAIDI yameingia mpaka ikuru.
@chalressikana23892 жыл бұрын
Toyota rahum
@wadeelegbogun30152 жыл бұрын
JPM TUTAENDELEA KUMKUMBUKA DAIMA. 2025 uchaguzi utakuwa mgumu tena sana.
@kabhikachambala33922 жыл бұрын
Anafaa kuwa raisi wa nchi hii
@deusrobart81812 жыл бұрын
Kataa wahuni
@kingmichael12342 жыл бұрын
Muheshimiwa pole pole najua unajitahidi sana lakini baadhi ya watu wachache wasio waadilifu watakupiga vita lakini usiache kuendelea kuitetea haki ya watanzania, wote masikini na matajiri wakristu na waislaam, sisi wote ni watanzania. Haki ni lazima isimamiwe na Mungu atakulinda
@anordkingstar57932 жыл бұрын
Wazalendo wa nchi yetu tu,,, ndo tutakao kuelewa nini unaongea,,, vilaza hawawez kukuelewa pamoja san mzalendo wa kwel 🇹🇿🇹🇿
@margarethpolepole74382 жыл бұрын
Huyo 2030 mama muda wake ukiisha atachukuliwa atakae pewa urais na wahuni watakaa pembeni huyo bado mtoto sana ana nafasi kubwa za kufanya kazi za kujitegemea