No video

Part16_MAANA YA ACD FAIDA NA HASARA ZAKE|USHUHUDA WA ALIYEKUWA CHIFU WA WAGEREGERE KABILA LA KICHAWI

  Рет қаралды 67,371

PROMOVER TV

PROMOVER TV

2 жыл бұрын

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 260
@sarahjacobs8814
@sarahjacobs8814 2 жыл бұрын
90%of this world ni vitu vya kuzimu hat tushukuru Mungu Sana kw ulizi juu vyakula mavazi,etc kuzimu inaunda🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@miriammusyoki4280
@miriammusyoki4280 5 ай бұрын
Kazi nzuri pastor
@leahenockmrina5381
@leahenockmrina5381 2 жыл бұрын
Dah Leo watumishi wa Mungu somo limekolea sana Mungu azidi kuwabariki Mchungaji Amiel Daniel Katekela na muwezeshaji wa promover tv mtumishi Jactan Msafiri Asanteni sana
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@maryandason1815
@maryandason1815 2 жыл бұрын
Ongeren jmn kwa kumaliza vizur semina jina la YESU litukuzwe 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 mzidi na kuongezeka cku zote
@ngwanafabian4612
@ngwanafabian4612 2 жыл бұрын
Utakatifu ni (pakeji) iliyosheheni vitu vingi ikiwemo, namna tunavyowaza, tunayoyanena, tunavyovaa, tunavyotembea nk. Utakatifu siyo kufunga na kuomba tu ni zaidi ya hapo.
@Esthernyenyezi3
@Esthernyenyezi3 2 жыл бұрын
Kweli
@miria659
@miria659 2 жыл бұрын
God will always bless you pastor Amieli because you are humble teachable n that is why God is using you in a mighty way
@leonardinabalenzi4005
@leonardinabalenzi4005 2 жыл бұрын
True
@ibrahimisaack4400
@ibrahimisaack4400 Жыл бұрын
Nakupenda mtumishi because your frexble.
@bintalmasi2393
@bintalmasi2393 2 жыл бұрын
😊😊 Mungu ni mwema sana wewe ni mnyenyekevu na msikivu,Mungu aendelee kukuinua kwa viwango alivyokukusudia Yesu Kristo.
@nemaodhiambo7274
@nemaodhiambo7274 2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@aishaidrissa6133
@aishaidrissa6133 2 жыл бұрын
Bado hiyo Pete kidoleni lkn atajua
@bintalmasi2393
@bintalmasi2393 2 жыл бұрын
@@aishaidrissa6133 ya ndoa ee? Nami namwomba Mungu nipate neema ya kuivulia mbali, bado nimevaa pete ya ndoa.Mungu nisaidie kuiachilia kutoka moyoni🙏🙏🙏 nimeweza kuchoma suruali, kuacha kusuka nyuzi na rasta, makeup zote, na nimefanikiwa kufunika kichwa kanisani.
@aishaidrissa6133
@aishaidrissa6133 2 жыл бұрын
Tufatishe Mungu alivyo fanya kwa Adam na hawa, inatosha, yanayozidi yanatoka kwa mwovu
@nemaodhiambo7274
@nemaodhiambo7274 2 жыл бұрын
@@bintalmasi2393 Mungu akubariki sana sana
@tatumluv6054
@tatumluv6054 2 жыл бұрын
Asanteni sawa team ya promover kwa huduma hii BWANA awabariki na mchungaji Amiel pia
@aishakilimba5938
@aishakilimba5938 2 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu furaha yangu nikuona umeokoka umeniinua kiimani Mimi pia niliokolewa nilikuwa muislam, Jacktan umeniongezea Imani Kwa viwango Kwa kazi Yako🙏🙏
@elizabethmuthike9623
@elizabethmuthike9623 2 жыл бұрын
Congratulations kwa kuamua kerekebisha unyoaji wako asante sana MTU wa mungu uliamua maamuzi yalio sahii mbele za mungu kweli kabsa muonekano wako sasa hivi auna ata kasoro moja inayo onekana barikiwa sana
@revelationc.23-jpm75
@revelationc.23-jpm75 Жыл бұрын
I think your microscopic vision is very sharp and clear! Hongera dada, naamini nawe upo vizuri.
@catherinemutindi5031
@catherinemutindi5031 2 жыл бұрын
I'm Cate watching from Kenya .nawasalim katika jina la yetu kristo,jactan msafiri,Amiel katekela,na team nzima ya promover tv.yesu hazidi kuwampigania na kuwatia nguvu.
@Jeffah_Iman_Kauchape
@Jeffah_Iman_Kauchape Жыл бұрын
Nawe pia pokea salamu Cate
@pammymoraamoraa6702
@pammymoraamoraa6702 2 жыл бұрын
Knowledge is truly powerful I thank God we get such people to teach us so much like this , ubarikiwe mtumishi Emieli
@daphine8229
@daphine8229 2 жыл бұрын
Ahsante mchungaji,umenichanua sana God bless you, you have a purpose.
@endtimes9850
@endtimes9850 2 жыл бұрын
My faith has raised more and more. GOD of heaven bless you all in this CHRIST work
@mercy342
@mercy342 7 ай бұрын
Na mkubali huyu mtumishi wa Mungu kweli neema ya mungu ipo
@thelivingwordchannel9027
@thelivingwordchannel9027 2 жыл бұрын
Kwa maarifa haya uliyonayo juu ya kuzimu ni dhahiri ulikuwa umezama sana kwenye ulimwengu wa giza.Katika shuhuda nilizowahi kusikia nadhani huu wa kwako ni wa kufundisha na kufungua watu macho jinsi shetani anavyofanya kazi.Ubarikiwe sana mtumishi.
@martinmaryogo3676
@martinmaryogo3676 2 жыл бұрын
kbsa hta mm hii n namba moja huyu jmaa anaeleza mamb makubw sn juu ya kuzm
@Reginajohnson19884
@Reginajohnson19884 9 ай бұрын
Hallelujah hallelujah amen
@mandyaltrfawi6986
@mandyaltrfawi6986 2 жыл бұрын
Tunajifunza kila siku Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
@annambilinyi3722
@annambilinyi3722 2 жыл бұрын
Hongera Sana ,Mtumishi kwa kazi ya Mungu,na unyenyekevu ulio nao Mungu azidi kukuongezea ACD,ili uwe viwango vya juu,ili kuitenda kazi yake,Haleluya!!!
@millicentnaliaka
@millicentnaliaka 2 жыл бұрын
😄😄hongera sana mtumishi Amieli na pia tunamshukuru Roho mtakatifu kuuongoza kwa kilichosawa ubarikiwe nazidi kukufwata
@noellanduwimana51
@noellanduwimana51 2 жыл бұрын
Karibu Rwanda mutumishi mimi nakufuraiya saaaanaaaa
@cuthbertsebastian2705
@cuthbertsebastian2705 2 жыл бұрын
@@noellanduwimana51 naomba link ya wsp y mtumishi
@irenek7280
@irenek7280 2 жыл бұрын
Wow thanks for continuation mtumishi am always ready to learn from you🇰🇪
@liesharehema5193
@liesharehema5193 2 жыл бұрын
Amina mtumishi kwa kufafanua vizuri Leo mwenye sikio na asikieeee God bless you
@mindenlightenment
@mindenlightenment 2 жыл бұрын
We are glad for this!♥️♥️
@helmashimba7761
@helmashimba7761 2 жыл бұрын
We are really are
@maryamayitsa6181
@maryamayitsa6181 2 жыл бұрын
Asante sana mtumishi, kwangu mm naamini kua chochote chakujibandika kama nywele kucha na kubadili rangi ya ngozi, mm naona nikama kumkosoa mungu kua hakukuumba ipasavio,bora nifurahiye nilifio umbwa, tena tunajua kwamba wanawake hawafai kuvalia suruali za waume, na ukipuuza ukavifanya naamini kua hautasamehewa,kwa sababu ulifanya makusudi, kwahivo watu wasikukwaze na swala lanywele za kubadika, Mungu akusaidie kwa kazi nzuri na ngumu unayoifanya,🇰🇪🇰🇪.
@catemacharia8499
@catemacharia8499 2 жыл бұрын
I love you people for what you teach us God bless you
@Musaasnathkawono
@Musaasnathkawono 11 ай бұрын
Nabarikiwa Sana kuptia kpindi chenu Cha promover tv,
@DenisCasey-kh8ub
@DenisCasey-kh8ub 8 ай бұрын
Asante sana Mungu wetu kwaku tutumia mchungaji huyu ambaye anaye tufungulia vitu ambavyo sisi wanawako ambavyo atuku tumevijuwa asante sana Yesu Kristo ✴️
@irineochieng2455
@irineochieng2455 2 жыл бұрын
Ahsante kwa roho mtakatifu kukufunulia zaidi kuhusu ukataji wa nywele,kwasababu kwa Yesu hakuna excuse na dhambi ni dhambi.
@emanuelayubu5021
@emanuelayubu5021 2 жыл бұрын
Mungu hazingatii habari za unyoaji wa nywele, bali nafsi yako imejaa nn
@gracendunge7587
@gracendunge7587 Жыл бұрын
God bless u so much and increase u brothers for enlightening us...hakika mungu awajaze neema na fadhili zake..mungu azidi kukulinda na kukupanua Mtumishi Amiel
@nicholaskiragu2797
@nicholaskiragu2797 2 жыл бұрын
Huuh! Brother you are doing wonderful! Great work in the kingdom of God! Nowander God allowed you to go through the kingdom of darkness so as you can reveal these secrets!! God bless you Soo much Sir Amieli Katekela.
@lizanyango1144
@lizanyango1144 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Mchungaji Amiel. Sio kila kitu unaweza kufunuliwa lakini kwa sababu uko na moyo wa kufundishika Mungu akusaidie kuhusiana na pete. Mimi nilikuwa kichwa ngumu kwa maswala ya nywele . Lakini nilifunuliwa na hadi wakati huu sisongi nywele wala dawa niko na nywele asili ya kuzaliwa. Ahsante.
@eviealex25
@eviealex25 2 жыл бұрын
Mungu azidi kuwainua mch. Amiel, Jacktan, Erick na team nzima ya Promover, Mungu awatunze na kuwaongoza mtokapo na muingiapo in the name of our Lord Jesus Christ of Nazareth 🙏🏿
@emelivaly1720
@emelivaly1720 2 жыл бұрын
Hi 🖐️. Mtumish. Amieli. Na. Jacktan. Asante. Sana. Kwa. Kutuelemisha nimebasikiwa. Sawa. Ninaona. Life. Nikiwa. Oman 🇴🇲 may the. Almighty God bless you all 🙏. Somuch
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@helenanduwimana9715
@helenanduwimana9715 2 жыл бұрын
@@PromovertvTz 008
@helenanduwimana9715
@helenanduwimana9715 2 жыл бұрын
8
@bentaatieno9776
@bentaatieno9776 2 жыл бұрын
Asante sana Mtumishi Ya Mungu
@japhetausu8475
@japhetausu8475 2 жыл бұрын
a, ... - Yi, -
@danielkassi3222
@danielkassi3222 6 ай бұрын
Watumishi mungu wa mbiguni awajalie neema yake,na kuzidi for the good jobs,ningependa kujua vitabu vyenye shuhuda na fundisho lako...
@madamtemu4167
@madamtemu4167 2 жыл бұрын
Asante sn watumishi wa Mungu,Mungu awabarik sn,mnatusaidia kuwa makini.
@doricemrema2177
@doricemrema2177 2 жыл бұрын
Amina mtumishi,🙏 hata sauti YAKO inaujasiri na NGUVU ndani yake, unazidi kutupa ujasiri 💪😊🙏 BARIKIWA saana
@liesharehema5193
@liesharehema5193 2 жыл бұрын
Dada do rice nakusalimu ktk Jina LA Yesu kristo naomba namba yako ili tuwe tunawasiliana huwa nakuona kwenye mlima wa ukweli
@dodoted5033
@dodoted5033 2 жыл бұрын
Mchungaji Katekela usibabaishwe na denge maadam hukunyoa kwa sababu ya mizimu ama sadaka za shetani,haina shida wala wasikubabaishe hukuweka manuizi ya kishetani. Mtukuze Bwana Yesu Kristo.
@ashatadauda5670
@ashatadauda5670 2 жыл бұрын
Aksanti saana Brother Amieli piya aksanti brother Jacktan. Mubarikiwe na Mungu.
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Asante
@happnesskitumbo5713
@happnesskitumbo5713 2 жыл бұрын
Kweli kaka wewe ni mnyenyekevu kabisa. Yesu atakufikisha mbali saaana kaka.
@liesharehema5193
@liesharehema5193 2 жыл бұрын
Leo nimefurahi kuisikia hivyo kwasababu wengine walitubeza ubarikiwe mtumishi wa Mungu aminaaaaaaa kubwa Huyo ndo Mungu wetuuuu
@julianapeason6254
@julianapeason6254 2 жыл бұрын
My dear brother you are talking the truth, ndoto ni mlango wa kiroho, Mungu anazungumza nasi vitu vingi kupitia ndoto, binafsi naota ndoto sana, kuna ninazoshinda na kuna ninazolega, ila huwa napambana kuomba kadri ninavyoota,binafsi ni kama maisha yangu yanaendeshwa na ndoto, kwa sababu najikuta nafanyia kazi ndoto zangu tu, napambana na watu ambao ni maarufu sana ambao hata hawanifahamu ila mimi nawafahamu kupitia mitandao, but kiroho nakutana nao kupitia ndoto wakipambana na mimi kwa kuwa nawagusa katika maombi, ila huwa nafanya maombi sana ya kuangusha utawala wa ibilisi duniani, na nadhani ndio maana hawa watu wanapambana na mimi, but I believe that am always the winner
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@isayanyingi6622
@isayanyingi6622 2 жыл бұрын
Always God talk to me in different testimony through this media "be blessed with God" aiseeee,,,,,,,,
@amishambar3418
@amishambar3418 2 жыл бұрын
Mbarikiwe sana nabarikiwa sana na ushuhuda Wa mchungaji amiel katekera nakila siku nazidi kujazawa na imani tena asante Sana kwa kutufungua akili nimeweza kutazama vitu or mambo kivingine asante sana batikiweni sana jactani na mchungaji amiel
@joelboy5656
@joelboy5656 2 жыл бұрын
Mungu Akubariki much Amiel katekela pamoja na team ya promover tv
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@sionlemajoel72
@sionlemajoel72 2 жыл бұрын
Mungu awabariki nashukuru sana kwa ajili ya maarifa haya yanatusaidia kuomba
@sharonnkenya
@sharonnkenya Жыл бұрын
Wewe ni mwalimu mzuri sana,twamshukuru mungu kwa ajili yako,barikiwa sana.
@josephmutemi7494
@josephmutemi7494 2 жыл бұрын
Amen BWANA awabariki sana mtumishi katekela pamoja na Kaka Jacktan
@emmymatigula4870
@emmymatigula4870 2 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa MUNGU ALIYEHAI Na asante watumishi wa PTOMOVERTV Kweli nimejifunzaaa sana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤❤
@hermanemmanuel1953
@hermanemmanuel1953 2 жыл бұрын
YES THIS IS PASTOR AMILIEL I WANT TO SEE IN JESUS CHRIST NAME HALELUYAH. UBARIKIWE SANA MCHUNGAJI WANGU KWA KUMSIKILIZA ROHO MTAKATIFU KWA UZURI NA KUFANYA MABADILIKO HALELUYA, HAKIKA WEWE NA NYUMA YAKO NAKUTAMKIA HAMTAKOSA MBINGU NA MUNGU AZIDI SANA KUKUFUNDISHA MBAKA DAKIKA YA MWISHO HALELUYA AMINA.
@irenek7280
@irenek7280 2 жыл бұрын
Mimi naelewa MCH saana anafunza Chenye anajua na Ako na unyenyekevu wa roho mtakatifu
@user-st8od2ht1m
@user-st8od2ht1m Жыл бұрын
Mungu akubaliki sana
@THEDEMISEOFTHECITYOFDARESALAAM
@THEDEMISEOFTHECITYOFDARESALAAM 2 жыл бұрын
AICD NI KIPIMO CHA KIROHO kupima nguvu za kiroho na nguvu za kiroho zinatokana na imani yako kwa Mungu. . yaani wanapima asilimia zako za nguvu za kiroho una ngapi Mfano mume ana asilimia 5 mke ana asilimia 60. Mume atalindwa na nguvu ya mke.
@yvettekyalika907
@yvettekyalika907 2 жыл бұрын
💃💃❤️🔥kwa YESU kuna tumaini.. kunarahaaa 🔥..❤️ nawapenda sana team ya promover TV 💃❤️...
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Asante
@motelutula3380
@motelutula3380 2 жыл бұрын
God bless you much! Tunasubr mwendelezo ila naona unachelewa mno!
@irenek7280
@irenek7280 2 жыл бұрын
Asanti saana MCH barikiwa
@nancydayo8392
@nancydayo8392 2 жыл бұрын
I salute you Kingdom Ambassadors. You are touching lives. Glory be to the Lord. More grace!
@josephmutemi7494
@josephmutemi7494 2 жыл бұрын
Ameeeeen mafusho mazuri mchungaji BWANA akulinde
@teonasjorgelimbwata9207
@teonasjorgelimbwata9207 2 жыл бұрын
Obrigado irmão pelo testemunho
@mamahope9923
@mamahope9923 2 жыл бұрын
Asante sana mchungaji pamoja na promover TV,mungu awabariki sana, Mimi nimeokoka nanimefurahia mungu kwa mchungaji atawasaidia sana wakristo, Ningeomba mchungaji atuelekeze,nyakati,siku na wakati ata mwaka na masaa ya utenda kazi wa kusimu ili tukaweze kupinga Mambo ya shetani kwa njia kuu,asante.
@gracekinyaki2376
@gracekinyaki2376 2 жыл бұрын
Barikiwa watumishi wa Mungu
@ellyitete938
@ellyitete938 2 жыл бұрын
Asanteh Sana Sana ........umetusaidia mtumishi ........
@dainesykalinga7133
@dainesykalinga7133 2 жыл бұрын
Mungu awabariki sana watumishi wa Mungu kwa kutueleza ukweli .
@joycehyera4233
@joycehyera4233 2 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi na Bwana Yesu Akutunze! Naomba utufafanulie ni nywele za aina gani ni mbaya na nywele zipi nzuri tafazali naomba sana tuweke sawa hapo
@graceofgolgothatv
@graceofgolgothatv 2 жыл бұрын
Tuna moyo wa shukrani kwa huduma hii ambao tumevumbiwa mambo mengi zaidi Mungu wetu azidi kubariki Mtumishi wake na Promover TV
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 2 жыл бұрын
Mungu asante kwa elimu hii kubwa ya siri za ulimwengu wa Giza na ulimwengu wa Mbingu zako baba
@josepjminja4590
@josepjminja4590 2 жыл бұрын
Nakushukuru sana Kwa ushuhuda huu ambao umenitia nguvu sana. Lakini mimi naona ni Bora wanawake wasiweke rasta hata za katani, kwavile hata zenyewe zinaweza kuwekwa code ya kuzimu. Hivyo Kuwa salama ni kuacha kuzitumia kabisa. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.
@christinezuma5588
@christinezuma5588 Жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.umenifunza mengi hapa
@frankinspired6486
@frankinspired6486 2 жыл бұрын
Nilifurahi jana kukutana na nyinyi Jacktan na Amieli jana baada ya kutafutana kwa mda. Naomba pia Amieli ueleze hizo milango 14 Za mtu kuingiliwa na majini na roho chafu..
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen,tulibarikiwa pia
@rosedamiankabesa5092
@rosedamiankabesa5092 Жыл бұрын
Kusuka si dhambi,ukisoma hiyo 1Petro 1:1-6,Kilichomaanishwa na Mungu ni wanawake kujipamba utu wa ndani, wajikite zaidi kwenye mwendo wa usafi(utakatifu) na hofu ya Mungu yaani uchaji wa Mungu,na sio kujikita katika kujipamba kwa nje huku muonekano wao katika utu wa ndani ukiwa umeharibika. Msisitizo ulikuwa ni kujipamba katika utu wa ndani (usafi/utakatifu na hofu ya Mungu/uchaji) kuliko kujipamba kwa utu wa nje/mwili.
@daudiasajilemwambata6150
@daudiasajilemwambata6150 Жыл бұрын
Soma vizuri ndugu, Biblia haisemi mwanamke ajipambe kwa ndani(utu wa Yohana) na si nje tu, hapana, inamwambia mwanamke ajipambe kwa utu wa ndani na mapambo ya rohoni na kujisitiri, si kwa kusuka nywele, wala kuvalia mavazi, lulu, dhahabu na mapambo kama hayo, KWA hiyo kwa mujibu wa biblia haitakiwi kusuka nywele wala kujipamba
@Reginajohnson19884
@Reginajohnson19884 9 ай бұрын
Yani ata mie nilikuwa nalo hilo joka luka wa linatembea saa nyingine linakwangua, Ila BWANA YESU NI MWANANIFU
@boazcosmaswarubenge4171
@boazcosmaswarubenge4171 Жыл бұрын
Mtumishi ubarikiwe kutufundisha wanawa Mungu. Mimi ni naomba utueleze maumbo ya maraika na mapepo maana Watu wengi tunamtazamo tofauti juu ya hao viumbe.
@rahellubandila1928
@rahellubandila1928 Жыл бұрын
Umenibariki sana mtumishi waache kumkosoa Mungu, warumi 12:2
@lydiamichael5509
@lydiamichael5509 2 жыл бұрын
Mbarkiwe sana watumishi wa Mungu hakika tunajifunza mengi jina la Bwana lizidi kuhimidiwa.
@prudencesumbane2886
@prudencesumbane2886 2 жыл бұрын
Mungu awakubariki sana , kwa kutufunuliya izo siri tulikuwa tume angamiya kweli, bila kujielewa, 🙌👏
@liesharehema5193
@liesharehema5193 2 жыл бұрын
Mtumishi Leo umenipa maarifa ya kuomba zaidi Kuna siri nimeipata hapa leo
@peninahkariuki1136
@peninahkariuki1136 2 жыл бұрын
Be blessed Man of God🙏🙏
@ruthogungo
@ruthogungo Жыл бұрын
From Kenya taking notes.. God bless you men of God
@rehemasuleiman7469
@rehemasuleiman7469 2 жыл бұрын
Nabarikiwa na utumushi wako,naomba Mungu anisaidie nivuke,Kila ninapisikiliza napata Jambo jipya
@everlynemiriam5943
@everlynemiriam5943 Жыл бұрын
Hello man of God I have a big problem and I am tired of this I need 2 be free
@neemawasha8080
@neemawasha8080 2 жыл бұрын
Barikiweni sana wahudumu wa promo over tv. Group la pili la wsp pia limejaa.mnatusaidiaje
@neemawasha8080
@neemawasha8080 2 жыл бұрын
Group la pili
@lucyjoseph4216
@lucyjoseph4216 2 жыл бұрын
Jactan ubarikiwe Sana na Mchungaji ainuliwe na mungu Kwa kazi njema na sahihi anayoifanya
@adilimihinga7873
@adilimihinga7873 Жыл бұрын
Ahsante sana mimi nitakuwa nakuuita 'mchungaji mzalendo' elimu hii ndio tuliokuwa tuna ikosa songa mbele
@mauwajeanpierre7832
@mauwajeanpierre7832 2 жыл бұрын
Thank you so much God bless you guys I am so happy to understand about ACD
@azizabuyonde8368
@azizabuyonde8368 2 жыл бұрын
Mubarikiwe kwa kazi nzuri ya Mungu, amen
@mauriceishengoma5955
@mauriceishengoma5955 2 жыл бұрын
Mtumishi mtu anayesuka nywele zake mwenyewe bila kuongeza kitu cha ziada haitamzuia mtu kwenda mbinguni. mwanamke nywele ndefu ni utukufu kwa Mungu.
@oprahsalum8185
@oprahsalum8185 2 жыл бұрын
𝚗𝚒 𝚖𝚗𝚢𝚎𝚗𝚢𝚎𝚔𝚎𝚟𝚞 𝚜𝚊𝚗𝚊
@florencekasambula6497
@florencekasambula6497 18 күн бұрын
sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@pleystill9913
@pleystill9913 Жыл бұрын
Mungu akuongezee imani mtumishi wa Mungu
@catherinemwandiga1223
@catherinemwandiga1223 2 жыл бұрын
Barikiwa Mtumishi wa Mungu
@miriammusyoki4280
@miriammusyoki4280 5 ай бұрын
Nipo kenya nimefurahia ushuhuda wako sababu umeyasema mengi ambayo hatuwezi ambiwa makanisani
@waithirahnaomy1573
@waithirahnaomy1573 2 жыл бұрын
Asante Sana mtumishi wa mungu,,,,mungu awabarikii
@zipporahmibei9007
@zipporahmibei9007 2 жыл бұрын
Mubarikiwe wajungaji
@jimmykasinde8439
@jimmykasinde8439 2 жыл бұрын
Vitu fake ni fake tu mtumishi video iliyopita ulieleza kama kuna baadhi nywele ambazo sio mbaya ila ukweli ni kwamba zote ni mbaya madada zetu msisuke kabisa
@Esthernyenyezi3
@Esthernyenyezi3 2 жыл бұрын
Kweli
@marykilila8786
@marykilila8786 2 жыл бұрын
Barikiwa kweli ni kweli kabisaa
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 2 жыл бұрын
" Ameee!!
@reachelchemtai2604
@reachelchemtai2604 2 жыл бұрын
Amen
@sallymumia8425
@sallymumia8425 2 жыл бұрын
Twahitaji bado Kenya,Sana.
@ambrosiovictorvalerio1307
@ambrosiovictorvalerio1307 Жыл бұрын
Mungu awabariki sana, mimi nina pona
@graceshayo1347
@graceshayo1347 2 жыл бұрын
Mtumishi umependez jmn Mungu aendeleee kukutunz
@harunigaitani338
@harunigaitani338 2 жыл бұрын
Yaaaan mtumish kwa ili la nywere hakika utafika mbali sana umenifraisha sana
@salimaechessa8933
@salimaechessa8933 2 жыл бұрын
Mungu awazidishie nguvu kwa ufafanuzi huu,naomba muniombee sana nasumbuliwa na jini mahaba.
@chrisophermazanza6499
@chrisophermazanza6499 2 жыл бұрын
Ingia promover angalia mafundisho ya mtumishi Adam Aston mbaya amelezea jinsi ya kushinda Hilo swala chukua sadaka yako nenda kampe mchungaji wako au mtumishi anaehusika na maombi mueleze Hilo swala Kisha ataanza maombi sadaka yako ndio inatoa uhalali wa kumfukuza huyo jini
@helenkimo1078
@helenkimo1078 2 жыл бұрын
Kwani wamesomaa
@jemimmahjembe8770
@jemimmahjembe8770 Жыл бұрын
Na ukiota unafukuzwa na umbwa alafu upae juu yule umbwa abaki chini ju hawezi kukufikia maana yake ni nini
@christianmtei7449
@christianmtei7449 Жыл бұрын
Ni kwann haya yote ya kuzimu yanatumik kwa lugha kiarabu
Magic trick 🪄😁
00:13
Andrey Grechka
Рет қаралды 33 МЛН
How I Did The SELF BENDING Spoon 😱🥄 #shorts
00:19
Wian
Рет қаралды 34 МЛН
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 12 МЛН
Magic trick 🪄😁
00:13
Andrey Grechka
Рет қаралды 33 МЛН