Haya ni mafundisho mazito sana na yandani sana, Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. Tutaomba mpaka kieleweke. Luka 10:19
@AmbrosioPaulinoАй бұрын
Asante sana mtumishi
@VicentSubi5 ай бұрын
Yesu anasubi ukubali tu ukubali kuwa yeye ni Mungu na bwana na mokozi wa maisha yako hapo ndo utampa nafasi ya kukaa ndayako haleluya
@DignaMeela-gs8vi Жыл бұрын
Mchungaji please nyoa nywele zako kawaida unatuchanganya🙏
@happykajeli54532 жыл бұрын
Asante mch amiel damu ya Yesu iendelee kukufunika umenigusa kwenye ndoa nahitaji ukombozi
@janetndonye7709 Жыл бұрын
asante sana kama mimi nina biashara sasa nina miezi mbili zijafungua nikiamua kwenda mwili utaki
@patricianyale Жыл бұрын
Juzi nliota wanataka kukata kidole changu Cha mamlaka nkapigana nao mpk nkapata nafasi yakutoroka leo nimepata maana yake Asante Sana mchungaji
@barakakubalyenda6832 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu, tunaomba uandike vitabu vya material ya shuhuda hizo. Asante sana.
@mwavithaniyburana9326 ай бұрын
Barikiwa sana na Bwana kwamafundisho mazuri
@lydiamichael55092 жыл бұрын
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu hakika nimengi tumejifunza tusiojua kazi nzuri Mola awazidishie
@nicholaskiragu27972 жыл бұрын
Thanks alot Pastor.. you are revealing alot of things we didn't know. And you are helping us on how to fight our spiritual battles.
@mauwashomari81602 жыл бұрын
Asante kwa ushuuda huu,,apa kwa nyota kwakweli Mungu saidiya familia yetu kwakweli maisha tunayo yapitia tume ibiwa nyota Mungu tusaidiye
@bahatijohn19582 жыл бұрын
Na Mungu anaenda kuwasahidia Kwa jina la Yesu kristo
@apostlerebeccamunguaniinul7073 Жыл бұрын
Hakika Mungu ana watu wake ambao ana funulia siri zilizo fichwa Yesu Kristo aka sema na enda mbiguni nita watumia roho mutakatifu naye ata wafunulia mengi kuliko niliyo wa funulia mimi barikiwa mutumishi wa Mungu
@helenbahati80382 жыл бұрын
Ahsante Mungu kwa kumpeleka mtumishi wako kule ili azijue siri za kuzimu na kuja kutufunulia mtunze ee BWANA. Barikiwa sana mtumishi Jactan kwa kazi njema 🇰🇪
@laurenciarobert69532 жыл бұрын
AMINA, ABARIKIWE SANA.
@dokasa91762 жыл бұрын
Kwa kila jambo Mungu Analo sababu litende,ni Mungu mwenyewe aliruhusu shetani akatuma yale mapepo yakakuchukua kuzimu hili kisha baadaye akutoe huku uje kutufundisha,na lengo lake tujue yaliyo rohoni na jinsi ya kuomba
@miriamtutorial2 жыл бұрын
Very true
@dorkasjohn6882 жыл бұрын
Yes
@magrethtuma5843 Жыл бұрын
Kwakweli kila linalotokea ni mpango wa Mungu,huyu pastor mungu akimpeleka kuzimu na kufanya kazi huko ili baadae aje afichue sir za shetani,man tusingeweza kujua haya yote Mungu ambariki sana
@neemalekey413810 ай бұрын
Umewaza kama mimi
@HappinessElisha-b6x Жыл бұрын
Balikiwaa sana baba me nahitaji maombi yako niliota nimechukuliwa kidole changu cha katikati mkono wa kushoto sielewi hata
@abrahamjuma9761 Жыл бұрын
Asifiwe,Yesu kristo mtumishi,naomba nijue nivipi yaya nyota yanaweza kurudishwa ajee....
@KamugishaSupe3 ай бұрын
Umenifungua sana maana Kuna vitu naviona kwenye maisha yangu ngoja nivifanyie kazi kiroho
@antlucifermovement7276 Жыл бұрын
Asante sana duu ndo maana niliteseka sana
@zuhuramuhanga54002 жыл бұрын
Jamani leo umenifurahisha sana mchungaji from oman
@BraviusBenedicto4 ай бұрын
Asante
@kashindiibrahim9788 Жыл бұрын
Asante Sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho amboyo, yametusaidia ndani ya maisha yetu. Na zaidi ya yote, naitaji msaada wa maombi yako kwangu.
@siwema400-w6s2 жыл бұрын
Asante sana mtumishi wa Mungu mungu akubariki sana kwa haya mafundisho
@getrudeliyayi80502 жыл бұрын
Asante sana kwa kutuelimisha sana barikiweni sana mtumishi na promover tv
@tamarali83252 жыл бұрын
Pastor Amieli Mungu Aendelee kukutunza Barikiwa sana. Jacktan Mungu akulinde na Akubariki sana
@rehemaibrahim44489 ай бұрын
Amina
@aloycemary19682 жыл бұрын
Ahsante kwa maarifa
@emmaaugustine5606 Жыл бұрын
Hakika Mungu ni mwaminifu uwa anafanya kazi na watu wale walodharauliwa umwinua mtu toka mavumbini na kumketisha na wakuu hakika Mungu hakutie nguvu uzidi kutupa siri hizi
@catemacharia84992 жыл бұрын
Following so much 🇰🇪🇰🇪
@jackswat Жыл бұрын
Ahsante promover tv, lakini ninapata picha ya kusudi la Mungu kwa mpendwa wetu huyu - Mungu alimkusudia kama alivyofanya kwa mtume Paulo - amemtenga na ulimwengu huo, akamuokoa ili atufunulie na kuudhihirisha ufalme huo wa giza katika zama hizi zilizojawa na uharibifu mbaya - ni zama za hatari. Namshukuru Mungu kwa kutuletea neema hii, Jina la Bwana libarikiwe.
@BraviusBenedicto4 ай бұрын
Nimekuelewa
@maloleproduction17692 жыл бұрын
Nimepona Sana leo
@Esperancia-jo8pm Жыл бұрын
Mbarikiwe sana tunaelimika sana, naomba mawasiliano ya huyo mt.
@noelashaoona2 жыл бұрын
Asante sana we need more of this
@Soni-lt6oi8 ай бұрын
MUNGU akubariki sana kwa hio maneno hata Mimi Kuna wakati niliambiwa na mtumishi wa Mungu sikuwa nafaa kuwa nateseka nilikuwa nafaa niwe Europe but nimeelewa hio mambo
@glodynkondo98002 жыл бұрын
God bless u pastor kwa hushuda wako gisi umesema pembe ya kusikiya nikweli mimi mama mukwe wangu Ana nisikiya sana nikiseme kitu kweli anafata
@BernadoAbeid-mi7cs Жыл бұрын
Thanks for..... Respect for you
@Grace-zw5jj2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.
@yvettekyalika9072 жыл бұрын
🔥Aduwi mudjipangeeeeee madjeshi ya YESU inafufukaaaa🔥🔥❤️❤️❤️💃💃
@isayanyingi66222 жыл бұрын
Be blessed the whole team eimee
@frankinspired64862 жыл бұрын
God's blessings to Amiel na Jacktan. Sasa naelewa kwanini waganga utizama mkono wasome nyota. Naninasubiri hapo kwa kurudusha nyota, na pia mitume na nanabii wa uongo..
@ashuramuhammad8813 Жыл бұрын
Ameena
@ChristinaMatiku-d3h Жыл бұрын
Asam Asante Bwana
@LydiaNasimiyu-h1n11 ай бұрын
Mungu wa kweli ukube kibali ishi miaka mingi ili usaidie watu
@colethakahemela37132 жыл бұрын
Be blessed,nimejua kitu leo
@danieljonkey-vh8fc Жыл бұрын
Mtumishi ubarikiwe kwa kutufungua
@rachelnasimiyu42962 жыл бұрын
Mungu awabariki kwa kutuelimisha
@deusmiburo8735 Жыл бұрын
Mungu akuongezee uhai mtumishi wa Mungu.
@janetnzai98662 жыл бұрын
Bwana akubariki sana Pastor
@aivanalexander Жыл бұрын
Ubalikiwe sana Mtumishi wa Mungu
@irenek72802 жыл бұрын
Hey mtumishi sichoki kukuskiliza ...mafundisho yako n ya Hali ya njuu saana waiting for next part how take back our stars
@judithnjunwa6668 Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa MUNGU
@esterswepa47352 жыл бұрын
Tunajunza sana Amina🖐️
@valenakomba92182 жыл бұрын
AMINAAA.
@ayetafatuu87152 жыл бұрын
Siumenifungua mtumishi amina
@prosmutonyi37062 жыл бұрын
You are a blessing . Asante sana brother.
@AbelLucas-ho3be8 ай бұрын
Amina sana
@sarahjacobs88142 жыл бұрын
You have helped us alot n may God bless you
@simonlaizer6261 Жыл бұрын
Ameeen 🙏🙏
@saradavirginia-kd7tn Жыл бұрын
Ni kweli mm niliolewa tulipita ktk shida mblmbl lakini aliniacha ghafula
@hakizimanaphilemon99682 жыл бұрын
Kuliko tukimbilie kujitakasa ,tutakimbilia kutafuta nyota zetu,jiadhari sana.Kristo ndio mfalme,tujitakase tutakua mbali na shetani ndugu atatukimbia
@vumiliawambula17162 жыл бұрын
Amen mtumishi hio nikweli kumbi kila mtu Ana ndowa
@patriciafabiani19382 жыл бұрын
Asante mtumishi
@mkaryenyoka68532 жыл бұрын
Asante Kwa mwendelezo
@kakadkarima24482 жыл бұрын
Mchungaji ni more fire. Umetisha sana
@veronicahmui64192 жыл бұрын
Tueleze pia jinsi ya kujitambua.... yaani kujua nyota yangu
@dadaz46532 жыл бұрын
Yan nimeelewa kuna mtu Yan anahama mikoa Hadi siyo vzr,, kwao kigoma,,akaja dar kakaa ,karud kwao tena katoka huko kwenda tanga, katoka huko kaenda Moro , katoka huko kaenda kigoma, ,katoka kaenda tena Mwanza ,mara geita mara kwao tena mara Moro mara kwao saiv yupo tabora
@rusimackems98202 жыл бұрын
Duu eee Yesu tufungue, yaani me siamini ni mambo mapya kwangu, narudia kusikiliza mara mbilimbili.
@leahenockmrina53812 жыл бұрын
Asante watumishi wa Mungu aliye hai Jactan na Amiel Katekela
@PromovertvTz2 жыл бұрын
Amen
@makoye83882 жыл бұрын
Asante Sana pastor, kwenye pembe ya uongozi umenipatia maana naanzisha kilimo vizuri ila mwishimo mambo yanakuwa sio mazuri. Nitafuatilia mada ijayo ili nikomboe pembe yangu ya uongozi.
@rahabnkya82762 жыл бұрын
Asante BABA kwa mafundisho . Jacktan hingera!
@rebeccaomar35232 жыл бұрын
Mafunzo mazuri sana
@noridamuhami3855 Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi naomba namba yako
@simonjnrmabula37852 жыл бұрын
Asante YESU, bila YESU haya maisha sijui yangekuwaje ?
@egospeltz94862 жыл бұрын
Halleluya
@rosemarry20202 жыл бұрын
Aminaaaaaa
@salimaechessa89332 жыл бұрын
Barikiweni kwa mafundisho haya
@janetjanet86692 жыл бұрын
Amina kwakweli nmepata maarifa hapa za kumshinda shetani 🔥🔥
@sallymumia84252 жыл бұрын
O Lord Jesus Christ continue,using pastor,Amiel,and the whole promover Tv,more blessings, teaching us, what Jesus Christ,wanted us to know,in this time.
@mpesastatements2265 Жыл бұрын
Amen
@cecyaghabu32112 жыл бұрын
Asanteni but tunaamini next episode ataongelea namna ya kurudisha nyota zilizoubiwa as alianza kutaka kuongelea ila mtangazaji alimbadirishia topic Mtumishi.
@zeldamzena92952 жыл бұрын
Jacktan nae anatuondolea uhondo😆😆😆
@highzacknnko96852 жыл бұрын
@@zeldamzena9295 " sio jacktan walla mtumishi anapewa mafunuo na ROHO MTAKATIFU kwahyo cha kufundisha anapewa
@zeldamzena92952 жыл бұрын
Asantee ndugu
@arthurmaleke82452 жыл бұрын
Jamani sasa tufanyeje jamani maana ni Mimi kabisaaaa
@maglindaanyango Жыл бұрын
Amen
@joannanekesa77582 жыл бұрын
N kweli mtumishi wa mungu aombe ndoa pia mm nko hivyo sija alewa
@maloleproduction17692 жыл бұрын
Nafurahia mafundisho yako
@margaretogega88362 жыл бұрын
Nambari ya su ya Mch. Amiel
@tinokaroli3853 Жыл бұрын
ASA MIMI NAWEZA KUKUNJA VYOTE NA KINABAKI HICHO CHA MWISHO KIKO WIMA NA SIO KUSIMAMA TU HADI NAKICHEZESHA CHENYEWE NA VYOTE VIMEJIKUNJA
@paschazianestorymatunda59722 жыл бұрын
Watu wamedanganywa sana kuhusu nyota zao kwakweli
@godfreymautta5089 Жыл бұрын
Nakusuta
@AKIMANAAfsa-ki3vk Жыл бұрын
Mimi nilikuwa Niko nabisnes hapa Kenya wakanioneya
@We2k72 жыл бұрын
Sasa Baba yoooh Vidore vyote sinaaaaaa Basi nakusubiliya virudu Kukupitiya
@sophiakunache49822 жыл бұрын
Tunaomba no ya mtumishi Jackatn
@anitababyderickwasike7872 Жыл бұрын
Hata mmi hapa sijaolewa Niko na watoto wawili kila mtoto na baba yake.
@valenakomba92182 жыл бұрын
AMINAA, NIPENDA SANA MFANO WAKO WA MAGUFULI.
@TingaMedia2 жыл бұрын
Tunazidi Kujifunza ....!!
@edigamashauri74432 жыл бұрын
nime kuerewa sana mtu wamungu
@margaretakoth6150 Жыл бұрын
Nisaidie wachawi wali chukua nyota yangu.
@saumukarisa9873 Жыл бұрын
Mtumishi katekela kuna kaka yangu alimshika babangu mdogo akimchanja kwa mkono... alikua na biashara vizuri saa hii amesambaratika amekua mlevi ata hajielewi
@HappinessElisha-b6x Жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe nahitaji maombi juzi niliota wachawi wamekuja nikaona wamechukua kidole hiki kilefu kupta vyote munombee jamani
@charigrace59932 жыл бұрын
May the LORD fill and supply to all this vessels good work. Tich maber
@millicentochieng5740 Жыл бұрын
🙏
@shantiMickel10 ай бұрын
Huyo ni yusufu 😮😮 huyo 😲😲😲🤔🤔🤔
@ruthouma9449 Жыл бұрын
Mchungaji Niko na swali mtoto wangu ulikuwa top five darasani lakini sahii yuko karibu na mkia shida iko wapi na nifanyeje
@beatricenyongesa61672 жыл бұрын
Asante paster kwa mafundisho mazuri, sasa tunaomba utusaidie vile tunaeza rudisha hizo nyota please