Part14_UKIONA DALILI HIZI TAMBUA NYOTA YAKO IMEKAMATILIWA|ALIYEEKUWA CHIFU WA KABILA LA KICHAWI

  Рет қаралды 159,472

PROMOVER TV

PROMOVER TV

Күн бұрын

Пікірлер: 221
@anitasamson7850
@anitasamson7850 2 жыл бұрын
Haya ni mafundisho mazito sana na yandani sana, Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. Tutaomba mpaka kieleweke. Luka 10:19
@AmbrosioPaulino
@AmbrosioPaulino Ай бұрын
Asante sana mtumishi
@VicentSubi
@VicentSubi 5 ай бұрын
Yesu anasubi ukubali tu ukubali kuwa yeye ni Mungu na bwana na mokozi wa maisha yako hapo ndo utampa nafasi ya kukaa ndayako haleluya
@DignaMeela-gs8vi
@DignaMeela-gs8vi Жыл бұрын
Mchungaji please nyoa nywele zako kawaida unatuchanganya🙏
@happykajeli5453
@happykajeli5453 2 жыл бұрын
Asante mch amiel damu ya Yesu iendelee kukufunika umenigusa kwenye ndoa nahitaji ukombozi
@janetndonye7709
@janetndonye7709 Жыл бұрын
asante sana kama mimi nina biashara sasa nina miezi mbili zijafungua nikiamua kwenda mwili utaki
@patricianyale
@patricianyale Жыл бұрын
Juzi nliota wanataka kukata kidole changu Cha mamlaka nkapigana nao mpk nkapata nafasi yakutoroka leo nimepata maana yake Asante Sana mchungaji
@barakakubalyenda683
@barakakubalyenda683 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu, tunaomba uandike vitabu vya material ya shuhuda hizo. Asante sana.
@mwavithaniyburana932
@mwavithaniyburana932 6 ай бұрын
Barikiwa sana na Bwana kwamafundisho mazuri
@lydiamichael5509
@lydiamichael5509 2 жыл бұрын
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu hakika nimengi tumejifunza tusiojua kazi nzuri Mola awazidishie
@nicholaskiragu2797
@nicholaskiragu2797 2 жыл бұрын
Thanks alot Pastor.. you are revealing alot of things we didn't know. And you are helping us on how to fight our spiritual battles.
@mauwashomari8160
@mauwashomari8160 2 жыл бұрын
Asante kwa ushuuda huu,,apa kwa nyota kwakweli Mungu saidiya familia yetu kwakweli maisha tunayo yapitia tume ibiwa nyota Mungu tusaidiye
@bahatijohn1958
@bahatijohn1958 2 жыл бұрын
Na Mungu anaenda kuwasahidia Kwa jina la Yesu kristo
@apostlerebeccamunguaniinul7073
@apostlerebeccamunguaniinul7073 Жыл бұрын
Hakika Mungu ana watu wake ambao ana funulia siri zilizo fichwa Yesu Kristo aka sema na enda mbiguni nita watumia roho mutakatifu naye ata wafunulia mengi kuliko niliyo wa funulia mimi barikiwa mutumishi wa Mungu
@helenbahati8038
@helenbahati8038 2 жыл бұрын
Ahsante Mungu kwa kumpeleka mtumishi wako kule ili azijue siri za kuzimu na kuja kutufunulia mtunze ee BWANA. Barikiwa sana mtumishi Jactan kwa kazi njema 🇰🇪
@laurenciarobert6953
@laurenciarobert6953 2 жыл бұрын
AMINA, ABARIKIWE SANA.
@dokasa9176
@dokasa9176 2 жыл бұрын
Kwa kila jambo Mungu Analo sababu litende,ni Mungu mwenyewe aliruhusu shetani akatuma yale mapepo yakakuchukua kuzimu hili kisha baadaye akutoe huku uje kutufundisha,na lengo lake tujue yaliyo rohoni na jinsi ya kuomba
@miriamtutorial
@miriamtutorial 2 жыл бұрын
Very true
@dorkasjohn688
@dorkasjohn688 2 жыл бұрын
Yes
@magrethtuma5843
@magrethtuma5843 Жыл бұрын
Kwakweli kila linalotokea ni mpango wa Mungu,huyu pastor mungu akimpeleka kuzimu na kufanya kazi huko ili baadae aje afichue sir za shetani,man tusingeweza kujua haya yote Mungu ambariki sana
@neemalekey4138
@neemalekey4138 10 ай бұрын
Umewaza kama mimi
@HappinessElisha-b6x
@HappinessElisha-b6x Жыл бұрын
Balikiwaa sana baba me nahitaji maombi yako niliota nimechukuliwa kidole changu cha katikati mkono wa kushoto sielewi hata
@abrahamjuma9761
@abrahamjuma9761 Жыл бұрын
Asifiwe,Yesu kristo mtumishi,naomba nijue nivipi yaya nyota yanaweza kurudishwa ajee....
@KamugishaSupe
@KamugishaSupe 3 ай бұрын
Umenifungua sana maana Kuna vitu naviona kwenye maisha yangu ngoja nivifanyie kazi kiroho
@antlucifermovement7276
@antlucifermovement7276 Жыл бұрын
Asante sana duu ndo maana niliteseka sana
@zuhuramuhanga5400
@zuhuramuhanga5400 2 жыл бұрын
Jamani leo umenifurahisha sana mchungaji from oman
@BraviusBenedicto
@BraviusBenedicto 4 ай бұрын
Asante
@kashindiibrahim9788
@kashindiibrahim9788 Жыл бұрын
Asante Sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho amboyo, yametusaidia ndani ya maisha yetu. Na zaidi ya yote, naitaji msaada wa maombi yako kwangu.
@siwema400-w6s
@siwema400-w6s 2 жыл бұрын
Asante sana mtumishi wa Mungu mungu akubariki sana kwa haya mafundisho
@getrudeliyayi8050
@getrudeliyayi8050 2 жыл бұрын
Asante sana kwa kutuelimisha sana barikiweni sana mtumishi na promover tv
@tamarali8325
@tamarali8325 2 жыл бұрын
Pastor Amieli Mungu Aendelee kukutunza Barikiwa sana. Jacktan Mungu akulinde na Akubariki sana
@rehemaibrahim4448
@rehemaibrahim4448 9 ай бұрын
Amina
@aloycemary1968
@aloycemary1968 2 жыл бұрын
Ahsante kwa maarifa
@emmaaugustine5606
@emmaaugustine5606 Жыл бұрын
Hakika Mungu ni mwaminifu uwa anafanya kazi na watu wale walodharauliwa umwinua mtu toka mavumbini na kumketisha na wakuu hakika Mungu hakutie nguvu uzidi kutupa siri hizi
@catemacharia8499
@catemacharia8499 2 жыл бұрын
Following so much 🇰🇪🇰🇪
@jackswat
@jackswat Жыл бұрын
Ahsante promover tv, lakini ninapata picha ya kusudi la Mungu kwa mpendwa wetu huyu - Mungu alimkusudia kama alivyofanya kwa mtume Paulo - amemtenga na ulimwengu huo, akamuokoa ili atufunulie na kuudhihirisha ufalme huo wa giza katika zama hizi zilizojawa na uharibifu mbaya - ni zama za hatari. Namshukuru Mungu kwa kutuletea neema hii, Jina la Bwana libarikiwe.
@BraviusBenedicto
@BraviusBenedicto 4 ай бұрын
Nimekuelewa
@maloleproduction1769
@maloleproduction1769 2 жыл бұрын
Nimepona Sana leo
@Esperancia-jo8pm
@Esperancia-jo8pm Жыл бұрын
Mbarikiwe sana tunaelimika sana, naomba mawasiliano ya huyo mt.
@noelashaoona
@noelashaoona 2 жыл бұрын
Asante sana we need more of this
@Soni-lt6oi
@Soni-lt6oi 8 ай бұрын
MUNGU akubariki sana kwa hio maneno hata Mimi Kuna wakati niliambiwa na mtumishi wa Mungu sikuwa nafaa kuwa nateseka nilikuwa nafaa niwe Europe but nimeelewa hio mambo
@glodynkondo9800
@glodynkondo9800 2 жыл бұрын
God bless u pastor kwa hushuda wako gisi umesema pembe ya kusikiya nikweli mimi mama mukwe wangu Ana nisikiya sana nikiseme kitu kweli anafata
@BernadoAbeid-mi7cs
@BernadoAbeid-mi7cs Жыл бұрын
Thanks for..... Respect for you
@Grace-zw5jj
@Grace-zw5jj 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.
@yvettekyalika907
@yvettekyalika907 2 жыл бұрын
🔥Aduwi mudjipangeeeeee madjeshi ya YESU inafufukaaaa🔥🔥❤️❤️❤️💃💃
@isayanyingi6622
@isayanyingi6622 2 жыл бұрын
Be blessed the whole team eimee
@frankinspired6486
@frankinspired6486 2 жыл бұрын
God's blessings to Amiel na Jacktan. Sasa naelewa kwanini waganga utizama mkono wasome nyota. Naninasubiri hapo kwa kurudusha nyota, na pia mitume na nanabii wa uongo..
@ashuramuhammad8813
@ashuramuhammad8813 Жыл бұрын
Ameena
@ChristinaMatiku-d3h
@ChristinaMatiku-d3h Жыл бұрын
Asam Asante Bwana
@LydiaNasimiyu-h1n
@LydiaNasimiyu-h1n 11 ай бұрын
Mungu wa kweli ukube kibali ishi miaka mingi ili usaidie watu
@colethakahemela3713
@colethakahemela3713 2 жыл бұрын
Be blessed,nimejua kitu leo
@danieljonkey-vh8fc
@danieljonkey-vh8fc Жыл бұрын
Mtumishi ubarikiwe kwa kutufungua
@rachelnasimiyu4296
@rachelnasimiyu4296 2 жыл бұрын
Mungu awabariki kwa kutuelimisha
@deusmiburo8735
@deusmiburo8735 Жыл бұрын
Mungu akuongezee uhai mtumishi wa Mungu.
@janetnzai9866
@janetnzai9866 2 жыл бұрын
Bwana akubariki sana Pastor
@aivanalexander
@aivanalexander Жыл бұрын
Ubalikiwe sana Mtumishi wa Mungu
@irenek7280
@irenek7280 2 жыл бұрын
Hey mtumishi sichoki kukuskiliza ...mafundisho yako n ya Hali ya njuu saana waiting for next part how take back our stars
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa MUNGU
@esterswepa4735
@esterswepa4735 2 жыл бұрын
Tunajunza sana Amina🖐️
@valenakomba9218
@valenakomba9218 2 жыл бұрын
AMINAAA.
@ayetafatuu8715
@ayetafatuu8715 2 жыл бұрын
Siumenifungua mtumishi amina
@prosmutonyi3706
@prosmutonyi3706 2 жыл бұрын
You are a blessing . Asante sana brother.
@AbelLucas-ho3be
@AbelLucas-ho3be 8 ай бұрын
Amina sana
@sarahjacobs8814
@sarahjacobs8814 2 жыл бұрын
You have helped us alot n may God bless you
@simonlaizer6261
@simonlaizer6261 Жыл бұрын
Ameeen 🙏🙏
@saradavirginia-kd7tn
@saradavirginia-kd7tn Жыл бұрын
Ni kweli mm niliolewa tulipita ktk shida mblmbl lakini aliniacha ghafula
@hakizimanaphilemon9968
@hakizimanaphilemon9968 2 жыл бұрын
Kuliko tukimbilie kujitakasa ,tutakimbilia kutafuta nyota zetu,jiadhari sana.Kristo ndio mfalme,tujitakase tutakua mbali na shetani ndugu atatukimbia
@vumiliawambula1716
@vumiliawambula1716 2 жыл бұрын
Amen mtumishi hio nikweli kumbi kila mtu Ana ndowa
@patriciafabiani1938
@patriciafabiani1938 2 жыл бұрын
Asante mtumishi
@mkaryenyoka6853
@mkaryenyoka6853 2 жыл бұрын
Asante Kwa mwendelezo
@kakadkarima2448
@kakadkarima2448 2 жыл бұрын
Mchungaji ni more fire. Umetisha sana
@veronicahmui6419
@veronicahmui6419 2 жыл бұрын
Tueleze pia jinsi ya kujitambua.... yaani kujua nyota yangu
@dadaz4653
@dadaz4653 2 жыл бұрын
Yan nimeelewa kuna mtu Yan anahama mikoa Hadi siyo vzr,, kwao kigoma,,akaja dar kakaa ,karud kwao tena katoka huko kwenda tanga, katoka huko kaenda Moro , katoka huko kaenda kigoma, ,katoka kaenda tena Mwanza ,mara geita mara kwao tena mara Moro mara kwao saiv yupo tabora
@rusimackems9820
@rusimackems9820 2 жыл бұрын
Duu eee Yesu tufungue, yaani me siamini ni mambo mapya kwangu, narudia kusikiliza mara mbilimbili.
@leahenockmrina5381
@leahenockmrina5381 2 жыл бұрын
Asante watumishi wa Mungu aliye hai Jactan na Amiel Katekela
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@makoye8388
@makoye8388 2 жыл бұрын
Asante Sana pastor, kwenye pembe ya uongozi umenipatia maana naanzisha kilimo vizuri ila mwishimo mambo yanakuwa sio mazuri. Nitafuatilia mada ijayo ili nikomboe pembe yangu ya uongozi.
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 2 жыл бұрын
Asante BABA kwa mafundisho . Jacktan hingera!
@rebeccaomar3523
@rebeccaomar3523 2 жыл бұрын
Mafunzo mazuri sana
@noridamuhami3855
@noridamuhami3855 Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi naomba namba yako
@simonjnrmabula3785
@simonjnrmabula3785 2 жыл бұрын
Asante YESU, bila YESU haya maisha sijui yangekuwaje ?
@egospeltz9486
@egospeltz9486 2 жыл бұрын
Halleluya
@rosemarry2020
@rosemarry2020 2 жыл бұрын
Aminaaaaaa
@salimaechessa8933
@salimaechessa8933 2 жыл бұрын
Barikiweni kwa mafundisho haya
@janetjanet8669
@janetjanet8669 2 жыл бұрын
Amina kwakweli nmepata maarifa hapa za kumshinda shetani 🔥🔥
@sallymumia8425
@sallymumia8425 2 жыл бұрын
O Lord Jesus Christ continue,using pastor,Amiel,and the whole promover Tv,more blessings, teaching us, what Jesus Christ,wanted us to know,in this time.
@mpesastatements2265
@mpesastatements2265 Жыл бұрын
Amen
@cecyaghabu3211
@cecyaghabu3211 2 жыл бұрын
Asanteni but tunaamini next episode ataongelea namna ya kurudisha nyota zilizoubiwa as alianza kutaka kuongelea ila mtangazaji alimbadirishia topic Mtumishi.
@zeldamzena9295
@zeldamzena9295 2 жыл бұрын
Jacktan nae anatuondolea uhondo😆😆😆
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 2 жыл бұрын
@@zeldamzena9295 " sio jacktan walla mtumishi anapewa mafunuo na ROHO MTAKATIFU kwahyo cha kufundisha anapewa
@zeldamzena9295
@zeldamzena9295 2 жыл бұрын
Asantee ndugu
@arthurmaleke8245
@arthurmaleke8245 2 жыл бұрын
Jamani sasa tufanyeje jamani maana ni Mimi kabisaaaa
@maglindaanyango
@maglindaanyango Жыл бұрын
Amen
@joannanekesa7758
@joannanekesa7758 2 жыл бұрын
N kweli mtumishi wa mungu aombe ndoa pia mm nko hivyo sija alewa
@maloleproduction1769
@maloleproduction1769 2 жыл бұрын
Nafurahia mafundisho yako
@margaretogega8836
@margaretogega8836 2 жыл бұрын
Nambari ya su ya Mch. Amiel
@tinokaroli3853
@tinokaroli3853 Жыл бұрын
ASA MIMI NAWEZA KUKUNJA VYOTE NA KINABAKI HICHO CHA MWISHO KIKO WIMA NA SIO KUSIMAMA TU HADI NAKICHEZESHA CHENYEWE NA VYOTE VIMEJIKUNJA
@paschazianestorymatunda5972
@paschazianestorymatunda5972 2 жыл бұрын
Watu wamedanganywa sana kuhusu nyota zao kwakweli
@godfreymautta5089
@godfreymautta5089 Жыл бұрын
Nakusuta
@AKIMANAAfsa-ki3vk
@AKIMANAAfsa-ki3vk Жыл бұрын
Mimi nilikuwa Niko nabisnes hapa Kenya wakanioneya
@We2k7
@We2k7 2 жыл бұрын
Sasa Baba yoooh Vidore vyote sinaaaaaa Basi nakusubiliya virudu Kukupitiya
@sophiakunache4982
@sophiakunache4982 2 жыл бұрын
Tunaomba no ya mtumishi Jackatn
@anitababyderickwasike7872
@anitababyderickwasike7872 Жыл бұрын
Hata mmi hapa sijaolewa Niko na watoto wawili kila mtoto na baba yake.
@valenakomba9218
@valenakomba9218 2 жыл бұрын
AMINAA, NIPENDA SANA MFANO WAKO WA MAGUFULI.
@TingaMedia
@TingaMedia 2 жыл бұрын
Tunazidi Kujifunza ....!!
@edigamashauri7443
@edigamashauri7443 2 жыл бұрын
nime kuerewa sana mtu wamungu
@margaretakoth6150
@margaretakoth6150 Жыл бұрын
Nisaidie wachawi wali chukua nyota yangu.
@saumukarisa9873
@saumukarisa9873 Жыл бұрын
Mtumishi katekela kuna kaka yangu alimshika babangu mdogo akimchanja kwa mkono... alikua na biashara vizuri saa hii amesambaratika amekua mlevi ata hajielewi
@HappinessElisha-b6x
@HappinessElisha-b6x Жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe nahitaji maombi juzi niliota wachawi wamekuja nikaona wamechukua kidole hiki kilefu kupta vyote munombee jamani
@charigrace5993
@charigrace5993 2 жыл бұрын
May the LORD fill and supply to all this vessels good work. Tich maber
@millicentochieng5740
@millicentochieng5740 Жыл бұрын
🙏
@shantiMickel
@shantiMickel 10 ай бұрын
Huyo ni yusufu 😮😮 huyo 😲😲😲🤔🤔🤔
@ruthouma9449
@ruthouma9449 Жыл бұрын
Mchungaji Niko na swali mtoto wangu ulikuwa top five darasani lakini sahii yuko karibu na mkia shida iko wapi na nifanyeje
@beatricenyongesa6167
@beatricenyongesa6167 2 жыл бұрын
Asante paster kwa mafundisho mazuri, sasa tunaomba utusaidie vile tunaeza rudisha hizo nyota please
@wambuimwangi5123
@wambuimwangi5123 Жыл бұрын
That's the very important part.
Леон киллер и Оля Полякова 😹
00:42
Канал Смеха
Рет қаралды 4,7 МЛН
BAYGUYSTAN | 1 СЕРИЯ | bayGUYS
36:55
bayGUYS
Рет қаралды 1,9 МЛН
Hope Has A Name: Come and See
40:38
Pathway Church Redlands
Рет қаралды 6
NAMNA UNAVYOKUWA BAADA YA ANGUKO....|| Apostle Denis Mulokozi
1:17:21
Apostle Denis Mulokozi
Рет қаралды 150
SIKIA KINACHOTOKEA HUKO KUZIMU PALE WALOKOLE WANAPO OMBA.
1:12:16
SHUHUDA NZITO ZA KUSISIMUA NYWELE-MWINJILISTI KATEKERA
31:29
SHUHUDA: MAMBO YA KUTISHA ALIYO PITIA EMMANUEL KUTOKA MOROGORO
1:54:31
Reality of Christ Church
Рет қаралды 423 М.