Part3_USHUHUDA WA MCHAWI MSTAAFU WA SUMBAWANGA/ALISABABISHA MARADHI KWA UCHAWI WA MITI,DUA NA MAJINI

  Рет қаралды 16,502

PROMOVER TV

PROMOVER TV

Күн бұрын

#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 64
@dokasa9176
@dokasa9176 2 жыл бұрын
Jacktan nikwambie ubarikiwe sana sana,mm kitambo nilikuwa mkristo vugu vugu si moto si baridi lakini tangu nianze kufuatilia hii promover ndiyo niliokoka kanisa kabisa ile kutoangalia nyuma,kulia wala kushoto natazama mbele hata majaribu yawake moto,nimegundua dhambi ndiyo chanzo ya kurogwa hata kutumiwa majini,Jacktan nakupenda sana Mungu akubariki Dorcah Bonareri from Saudi Arabia
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Asante sana Dorcah Nakupenda pia
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Asante sana Dorcah Nakupenda pia
@wilsonmatunda4937
@wilsonmatunda4937 3 жыл бұрын
Nimejifunza mengi sana haswa uhusiano wa waganga wa kienyeji na wachawi. Kumbe ni marafiki sana! Waalaniwe kwa jina la Yesu Christo!
@shadrachkamyori9911
@shadrachkamyori9911 7 ай бұрын
Ushuhuda wa maana kabisa. Mch Leonard Mungu akupe furaha ya wokovu. Mtumishi Jaktan, ubarikiwe kwa kutuletea shuhuda halisi za namna hii. Mungu akulipe sawasawa na mapenzi yake.
@keziaranga6329
@keziaranga6329 3 жыл бұрын
Huu ushuhuda umenibariki sana, kuna nguvu ya ajabu katika damu Ya Yesu kristo,nikupongeze sana Joktan kwa kutuletea ushuhuda huu hakika roho nyingi zitakuja kwa yesu, Mungu akubariki mchungaji usiache kuwahubiria watu injili.
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 жыл бұрын
Amen
@vickiemerere4056
@vickiemerere4056 3 жыл бұрын
Hakuna uganga wala uchawi juu yangu na generation yangu kwa jina la Yesu... Hesabu 23:23
@daisymuthoni675
@daisymuthoni675 3 жыл бұрын
Amen
@riccahcate8126
@riccahcate8126 3 жыл бұрын
Waaaah!!! Natumai uliomba toba kamili kaka hii ni hatari hadi naingiwa na uwoga lakini nina imani Damu ya Yesu iko juu yetu tunaokusikiliza. Kipekee nakuombea toba kali na Damu ya Yesu inayo mwagika msalabani iikuoshe thabiti. Mungu akukumbuke na akuokoe kabisa usirudi Kule tena. Asante kaka Jactan
@nicksonmmbando9635
@nicksonmmbando9635 2 жыл бұрын
@@pastorleonarddionizi9333 Naomba Mawasiliano Kaka Mchungaji
@muhindokeukeu5503
@muhindokeukeu5503 Жыл бұрын
Asante kwa kukuokowa yesu Christo apewe sifa
@isabellarkageha7707
@isabellarkageha7707 Жыл бұрын
Amen hakika Yesu ni Mshindi
@kmwendemusic5379
@kmwendemusic5379 3 жыл бұрын
Kweli Yesu mwema na mwenye rehema nyingi siku zote, 🙏Asante Yesu kwa kutoa damu yako msalabani itukomboe
@haikajohn7580
@haikajohn7580 3 жыл бұрын
Amen,yesu nibwana hakuna lisilowezeka kwake yeye aaminie.mungu akusaidie kuulinda wokovu huu uliyogharimu damu ya yesu iliyoyathamani sana
@pammymoraamoraa6702
@pammymoraamoraa6702 3 жыл бұрын
Give glory to God almighty mungu ndio mungu jana leo na milele, ,
@peninahkariuki4679
@peninahkariuki4679 3 жыл бұрын
Shetani ni mwongo,sasa mtumikie Mungu kwa nguvu na kwa roho yako yote 🇰🇪🙏🙏
@pastorleonarddionizi9333
@pastorleonarddionizi9333 3 жыл бұрын
Ameeeen
@pastorleonarddionizi9333
@pastorleonarddionizi9333 3 жыл бұрын
Ameeeen
@kamanzielias3585
@kamanzielias3585 3 жыл бұрын
Amina
@pastorleonarddionizi9333
@pastorleonarddionizi9333 3 жыл бұрын
Ameeeen
@admerarobert3485
@admerarobert3485 3 жыл бұрын
YESU ndiye njia na kweli na uzima ubalikiwe Sana Mtumishi
@waithirahnaomy1573
@waithirahnaomy1573 2 жыл бұрын
Ameni amenii ubarikiwe na yesu
@fefedordjuma7093
@fefedordjuma7093 3 жыл бұрын
Ameeeeeena Ameeeeeena 😭😭😭 nashukuru sana Mungu kuona nimezaliwa kwenye familia ya wokovu 😭😭😭😭😭😭😭😭 Asante Yahweh
@tamarali8325
@tamarali8325 3 жыл бұрын
Wacheni Mungu aitwe Mungu. Barikiwa sana Jacktan
@marianachriss2444
@marianachriss2444 3 жыл бұрын
YESU KRISTO ni Nuru ya ulimwengu wote na ni BWANA na mwokozi
@fredkyara3278
@fredkyara3278 3 жыл бұрын
Ahsante Yesu kwa damu yako msalabani
@habari2558
@habari2558 2 жыл бұрын
Amen God is good
@sallymumia8425
@sallymumia8425 3 жыл бұрын
Amen ,amen,what a testimony,I have learned alot.
@evalynerwegasira7485
@evalynerwegasira7485 3 жыл бұрын
HONGERA KWA KUMPOKEA YESU.
@neemaduda4186
@neemaduda4186 3 жыл бұрын
Mungu ni mwema sana
@myself4128
@myself4128 3 жыл бұрын
Yaani ndio maana Africa hatuendelei maaana Kuna maroho mabaya tupu yanatenda kazi katika ulimwengu wa roho,bila hata Sababu mtu anakuharibia tu maisha! Shetani amefanikiwa sana sababu ya umasikini na ujinga wetu weusi
@africandarling6925
@africandarling6925 Жыл бұрын
Mmhh ndugu sio kwl kusema watu weusi ndio wachawi au washilikina Apana ata hizo langi nyeupe ni watu wabaya bora ata sie wafrca ndugu tunayaona kwa macho na sio kuadisiwa
@shadrachkamyori9911
@shadrachkamyori9911 7 ай бұрын
Yesu ni Ushindi. Yesu ni Uhuru. Asifiwe yeye aokoaye mataifa.
@alinepascalin8777
@alinepascalin8777 3 жыл бұрын
Mungu ni mwema
@josephomuto3240
@josephomuto3240 2 жыл бұрын
Daaaaaah! Ndugu Jaktan Msafiri, Mungu akibariki sana kwa kazi yako nzuri sana na ya kipekee. Kupitia channel hii, nimejifunza mambo mengi sana, sana, saaana. Mchungaji Leonardi, wewe ni wa baraka sana, ushuhuda wako umenijenga sana.
@sarahjudahsarah1263
@sarahjudahsarah1263 2 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@edinambaga776
@edinambaga776 3 жыл бұрын
Jactan mdogo wangu siku hizi unaalibu watu wanaeleza Sana uchawi kwa muda bila kusikia ukuu wa MUNGU je ktk uchawi ajawai kukutana na Alie okoka hata maswali Kama zamani akuna mpaka mwisho tutachoka tunafatilia kz yako kwakuwa unatujenga kiroho ushauli tu ili kazi ihende mbele hacha kuwa no mpiga pesa tu ila kutangaza ukuu wa MUNGU
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 жыл бұрын
Amen asante kwa ushauri.Maswali mengi zaidi yanakuwa mwisho wa ushuhuda kama wengi walivyoshauri.Hapo kwenye kwenye kupiga pesa sijaelewa kabisa ungefafanua labda.
@mahomamahoma775
@mahomamahoma775 3 жыл бұрын
Mm naona Jack Tan unavyofanya ni sahihi kabisa kuacha mtuu ajieleze kisha mwisho unauliza maswalii,hii inafanya mmzungumzajii awe huru kueleza kwa mtiririko mzuri
@justooluoch2468
@justooluoch2468 3 жыл бұрын
Ukiacha MTU aeleze maovu aliyoyafanya ndivyo anavyozidi kuwa huru..huu ndio ushuhuda.
@wilsonmatunda4937
@wilsonmatunda4937 3 жыл бұрын
Jackstan Msafiri Hoyeeeeeee!!
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 жыл бұрын
🙏
@rhodahsavayi5146
@rhodahsavayi5146 3 жыл бұрын
Glory to God
@hobokelajackson1947
@hobokelajackson1947 3 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe sana🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 жыл бұрын
Amen
@aimablendereyimana48
@aimablendereyimana48 Жыл бұрын
Habari zenu, Promover TV, mimi nilikuwa nataka kujuwa mafuta ya mtuu ni nini, tunajua mtuu ana damu, mkojo, mate, jasho, sasa mafuta ya mtuu ni nini?
@fayanyembe9470
@fayanyembe9470 10 күн бұрын
Ushuhuda huu umenibariki
@Peace.2018
@Peace.2018 3 жыл бұрын
Mungu ni mwema kila siku, kila saa
@wilsonmatunda4937
@wilsonmatunda4937 3 жыл бұрын
Viva Promover TV!!
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 жыл бұрын
Vivaaa!
@benterawuor6950
@benterawuor6950 3 жыл бұрын
Hallelujah.
@eddasang9393
@eddasang9393 3 жыл бұрын
Weeueee hatariii
@yvettekyalika907
@yvettekyalika907 3 жыл бұрын
.😳😳😳.. Wickedness 😳😳😳😳
@mabulamasunga7378
@mabulamasunga7378 3 жыл бұрын
Mafuta ya maiti yalipatikanaje mortuary?
@haikajohn7580
@haikajohn7580 3 жыл бұрын
Sasa? Ilehirizi ilikutokaje ile ulioimeza?
@myself4128
@myself4128 3 жыл бұрын
Na je? Vita gani ya kiroho ulokutana nayo baada ya kuokoka???hukupambana na maroho (majini) ulokuwa ukiyamiliki?
@pastorleonarddionizi9333
@pastorleonarddionizi9333 3 жыл бұрын
Ushindani ulikuwepo ila nilisimama wima sana kwa maombi
@myself4128
@myself4128 3 жыл бұрын
Hukuchoma mapembe na mahirizi yako??utaachaje uganga kwa kuutelekeza katika mji wa mtu?huoni umewaachia majanga? Yale mapepo yatamuingia mtu na bado yanamilki iyo nyumba,na pia kuhusu hirizi na mavitu ulomeza je uliyatapika ulipoombewa?? Manaake katika ushuhuda hujasema kama mapepo yalilipuka wakati wa Deliverence,
@truth7796
@truth7796 3 жыл бұрын
Next episode is coming i think he will tell us more about how he receive deliverence
@happyisack8469
@happyisack8469 3 жыл бұрын
Kaelezea vizuri sana aisee groly 2 God
@dorisgesare7707
@dorisgesare7707 2 жыл бұрын
Glory to God
Кровавый лидер #сталин #китай #мао
00:55
Послезавтра
Рет қаралды 3,5 МЛН
100km/h Reflex Challenge 😱🚀
00:27
Celine Dept
Рет қаралды 156 МЛН
REAL OR CAKE? (Part 9) #shorts
00:23
PANDA BOI
Рет қаралды 81 МЛН
На ЭТО можно смотреть БЕСКОНЕЧНО 👌👌👌
01:00
БЕЗУМНЫЙ СПОРТ
Рет қаралды 4,4 МЛН
Moses, Jonah, Noah & Daniel - NON-STOP - The Beginners Bible
1:42:12
The Beginners Bible
Рет қаралды 3,5 МЛН
UCHAWI WA KIJANA HUYU MPAKA UTAJIULIZA MASWALI
43:25
Robert Tv Tanzania
Рет қаралды 12 М.
Ushuhuda wa Mganga aliyeokoka | Part-1
25:21
PROMOVER TV
Рет қаралды 34 М.
Кровавый лидер #сталин #китай #мао
00:55
Послезавтра
Рет қаралды 3,5 МЛН